Tanzania kwa kweli haiendelei. Majengo yale yale, ufisadi umezidi badala ya maendeleo watu wanaiba pesa. Thanx Chemi, umeniibulia chuki nilizonazo na viongozi wetu.
Mdau wa 6:34PM, asante kwa kuulizia. Sijawahi kuwa kwenye Grey's Anatomy, nilikuwa kwenye episode moja ya Brotherhood, na pia Afrtershock Beyond the Civil, ambayo inaonyeshwa kwenye History Channel mara kwa mara. Kama networks watachukua show (Fall/Winter Line up), mtaniona kwenye See, Kate, Run (pilot episode) nikiigiza kama Mwalimu.
I worked for Tanzania's Daily News for 11 years leaving as a Senior Reporter. I love acting, films, short story writing and cooking. I blog in English and Swahili. I am a member of the Screen Actors Guild (SAG) and AFTRA.
You can contact me at chemiche3@yahoo.com.
6 comments:
Enzi hizo Dodoma Hotel ilikuwa kwa ajili ya wazungu tu! Mweusi ni mhudumu!
duh! kumbe zamani dodoma kulikuwa na snow?
Tanzania kwa kweli haiendelei. Majengo yale yale, ufisadi umezidi badala ya maendeleo watu wanaiba pesa. Thanx Chemi, umeniibulia chuki nilizonazo na viongozi wetu.
Mdau US
Out of topic
Dada CHEMPONDA nakufananisha na huyu dada anayecheza katika series ya "Grey's Anatomy" ni ww au?
Jina(character) la dada silijui.Anacheza kama nurse.
Mdau wa 6:34PM, asante kwa kuulizia. Sijawahi kuwa kwenye Grey's Anatomy, nilikuwa kwenye episode moja ya Brotherhood, na pia Afrtershock Beyond the Civil, ambayo inaonyeshwa kwenye History Channel mara kwa mara. Kama networks watachukua show (Fall/Winter Line up), mtaniona kwenye See, Kate, Run (pilot episode) nikiigiza kama Mwalimu.
Mdau wa 12:24 hebu achaha ushamba! Hiyo picha ni Black & White!
Post a Comment