Showing posts with label Earthquake. Show all posts
Showing posts with label Earthquake. Show all posts

Saturday, June 24, 2017

Earthquake Mozambique - Tetemeko la Ardhi

   JOHANNESBURG (AP) - An earthquake with a magnitude of 5.8 has hit central Mozambique, but there are no immediate reports of damage or casualties.

   The U.S. Geological Survey says the epicenter of the quake on Saturday was 34 kilometers (21 miles) northwest of the town of Dondo in Sofala province.

Saturday, September 10, 2016

Tetemeko la Ardhi Bukoba - Earthquake in Bukoba, Musoma and Mwanza Tanzania

Nimepata ujumbe kupitia Facebook muda huo kuwa kumetokea tetemeka la Ardhi kubwa (Earthquake) Bukoba!!!! Nitawajulisha nikipata habari zaidi!

***********************************
Tetemeko la Ardhi imetokea Mwanza, Bukoba na Musoma.  Magnitude 5.7.



**********************
Earthquake information today.
Magnitude 5.7
Region LAKE VICTORIA REGION, TANZANIA
Date time 2016-09-10 12:27:28.6 UTC
Location 1.06 S ; 31.55 E
Depth 10 km
Macroseismic
Intensity VI Effects: Slightly Damaging
Distances
191 km SW of Kampala, Uganda / pop: 1,354,000 / local time: 15:27:28.6 2016-09-10

42 km NW of Bukoba, Tanzania, United Republic of / pop: 70,700 / local time: 15:27:28.6 2016-09-10
20 km NE of Nsunga, Tanzania, United Republic of / pop: 20,100 / local time: 15:27:28.6 2016-09-10


Picha kwa Hisani ya Innocent Lugumamu.  Picha ni kutoka Bukoba Kijijini.










*****************************************************************
 Picha kutoka Bunda, Tanzania Kwa Hisani ya Mawazo Maduhu





Thursday, January 14, 2010

Haiti Yaangamizwa na Tetemeko la Ardhi

Wadau, sijui ni mavoodoo ya Haiti, yaani kila nikitaka kuposti habari ya Haiti nashindwa. Mara posti inapotea, mara inashindwa kwenda!

Ni hivi, juzi huko Haiti kulitokea tetemeko la ardhi. Shauri ya ujenzi holela huko, nyumba nyingi zimeanguka. Wataalamu wanasema kuwa huenda watu 500,000 wamekufa. Maiti zimelundikana kaika mitaa. Hii janga haikuchagua tajiri wala maskini, wote wamekufa. Hata Askofu Mkuu wa Roman Katoliki alifariki ofisini kwake. Wazungu pia wamekufa. Mungu alaze roho zao mahala pema mbinguni. AMEN.

Ukitaka kutoa msaada dola $10 text Haiti to 90999. Pia FBI wametoa onyo kuwa katika mtandao tayari matapeli wameanza mchezo wao wa kuiba pesa za watu kwa kudai wana charities feki.

Kwa habari zaidi someni:

http://www.cnn.com/2010/WORLD/americas/01/14/haiti.earthquake/index.html?hpt=T1

id=9556519aitiEarthquake/haiti-earthquake-overwhelms-medical-aid-workers/story?id=9556519

Hata Ikulu ya Haiti Imebomoka!