
Huko Uingereza kuna padre katolewa kiazi matakoni wikiendi hii iliyopita. Ni kweli kabisa.
Padre alivyofika hospitalini (Sheffield Northern General Hospital) alidai kuwa eti alikuwa anatundika mapazia kwenye dirisha halafu kaanguka kwenye meza na kukalia hicho kiazi! Eti alikuwa uchi wakati anatundika hizo pazia! Khaa!
Padre alivyofika hospitalini (Sheffield Northern General Hospital) alidai kuwa eti alikuwa anatundika mapazia kwenye dirisha halafu kaanguka kwenye meza na kukalia hicho kiazi! Eti alikuwa uchi wakati anatundika hizo pazia! Khaa!
Wakati iko huko aliweza kwenda haja kubwa kweli? Au, ilikuwa kama kizibo ndo maana aliamua kwenda hospitalini.
Nauliza huyo padre alikuwa anafanya nini na hiyo kiazi kweli? Duniani kuna mambo.
Nauliza huyo padre alikuwa anafanya nini na hiyo kiazi kweli? Duniani kuna mambo.

