Showing posts with label Lake Victoria. Show all posts
Showing posts with label Lake Victoria. Show all posts

Saturday, October 15, 2016

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Asindua Meli Mpya ya Kisasa MV Nyehunge 2

Mkuu wa mkoa wa Mwanza, John Mongella (wa pili kushoto), jana amezindua Meli mpya na ya kisasa (Kivuko) ya MV NYEHUNGE II yenye uwezo wa kubeba abiria 500 pamoja na mizigo inayofanya safari zake kati ya Jiji la Mwanza na Wilaya ya Ukerewe.

"Naamini kivuko hiki kitakuwa ni mkombozi kwa wakazi wa Ukerewe kwani uhitaji wa wakazi wa Ukerewe kuhitaji huduma nzuri na salama ya usafiri ni mkubwa hivyo tunaamini  kivuko hiki kitatumika kwa maeneleo ya wanaUkerewe". Alisema Mongella na kuongeza kwamba hiyo ni fursa kwa wafanyabiashara wa Ukerewe kutumia Kivuko hicho katika shughuli mbalimbali za kibiashara.
Na BMG
Mkuu wa mkoa wa Mwanza, John Mongella (wa pili kushoto), jana amezindua Meli mpya na ya kisasa ya MV NYEHUNGE II yenye uwezo wa kubeba abiria 500 pamoja na mizigo inayofanya safari zake kati ya Jiji la Mwanza na Wilaya ya Ukerewe.
Mmoja wa watoto akisalimiana na viongozi waliohudhuria uzinduzi wa meli hiyo
Viongozi mbalimbali wakiwa kwenye uzinduzi huo
Mama  Gertrude Mongella (kushoto), akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana, Bi.Mary Tesha, wakati wa uzinduzi huo.


Mama  Gertrude Mongella (katikati), akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana, Bi.Mary Tesha (kulia), pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Ilemela, Dkt.Leonard Masale (kushoto) wakati wa uzinduzi wa Meli hiyo.
"Naamini kivuko hiki kitakuwa ni mkombozi kwa wakazi wa Ukerewe kwani uhitaji wa wakazi wa Ukerewe kuhitaji huduma nzuri na salama ya usafiri ni mkubwa hivyo tunaamini  kivuko hiki kitatumika kwa maeneleo ya wanaUkerewe". Alisema John Mongella (katikati) na kuongeza kwamba hiyo ni fursa kwa wafanyabiashara wa Ukerewe kutumia Kivuko hicho katika shughuli mbalimbali za kibiashara.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Nyehunge, Said Mohamed (kushoto), alisema Meli hiyo itakuwa mkombozi kwa wasafiri wa Ukerewe ambapo kutakuwa na Meli tatu kwa siku zitakazokuwa zikifanya safari zake za Jiji la Mwanza na Ukerewe huku nauli ikiwa ni nafuu kabisa.
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe, George Nyamala, akielezea umuhimu wa meli hiyo kwa wakazi wa wilaya yake.
Mmoja wa wakazi wa Ukerewe akielezea furaha yake baada ya uzinduzi wa Meli ya Mv Nyehunge II
Mwonekano wa ndani wa Meli ya Mv Nyehunge II
Abiria wakiingia kwenye Meli ya Mv Nyehunge baada ya uzinduzi kwa ajili ya kusafiri kutoka Jijini Mwanza kuelekea Ukerewe.

Tuesday, June 18, 2013

Saida Karoli ni Mzima! Hajafa!

Wadau, ndo Uselebriti huo, Uzushi mwingi! Saida Karoli yu Hai!  Mungu azidi kumbariki!

Hakuwemo kwenye boti iliyopata ajali, Ziwa Victoria!


*********************************************
Taarifa ya Neville Meena kuwa ingawa ni kweli kuna ajali ya boti iliyotokea, mwanamuziki Saida Karoli hakuwa mmoja wa waliokuwemo kwenye boti hiyo na yuko hai!Taarifa hiyo imetoa angalizo kutafuta uhakika kwani inasemekana kuwa Saida Karoli ni mzima, yupo jijini Dar es Salaam: “Nimetafuta namba yake ya simu sijaipata, ila taarifa kutoka Bukoba na ofisi ya Ofisa Utamaduni Muleba zinasema siyo kweli…” ameandika Meena.
Kuhusiana na ajali ya boti, Meena amesema, “…ni kweli kwamba kuna boti imezama katika Ziwa Victoria, na kulikuwa na uvumi mwingi mjini Bukoba na Wilayani Muleba kuhusu mwanamuziki huyo kufariki lakini baadaye ikathibitika kwamba hakuwa mmoja wa abiria.”Nayo Upland FM radio, Kwa kupitia Facebook page yake, imekanusha taarifa za kufariki Saida kalori na kusema msanii huyo ni mzima wa Afya. “TAARIFA: Kumezuka habari zisizo rasmi juu ya mwanamuziki SAIDA KALORI. Tunaomba kuthibitisha kwa Mwanamuziku huyo ni MZIMA wa afya kabisa. Usidanganywe na uzushi wowote. ASANTE.” imesema taarifa hiyo ya Upland FM









Tuesday, March 10, 2009

Ndege Imeanguka Ziwa Victoria!!!


Picha kutoka AFP
Kutoka ippmedia.com

Cargo Plane crashes in Lake Victoria, at least 7 die

2009-03-10
By ENTEBBE, Uganda

An Ilyushin cargo plane on a logistical mission to African peace forces in Somalia crashed into Lake Victoria yesterday after taking off in Uganda with 11 people on board, including three Burundian officers.

Seven of those on board were confirmed dead, and an aviation source said he feared all 11 had been killed. ``It plunged into the lake and went down deep,`` the source said.

Rescue boats and divers scoured the lake`s choppy waters for survivors some 7 km (4.3 miles) from Uganda`s main airport at Entebbe, where the plane began its flight. Two wheels and some wreckage were brought onshore.

Ugandan military sources had initially identified the aircraft as an Antonov, but the Ugandan government later said it was a chartered Ilyushin 76.

It was taking tents and water purification equipment to Somalia, where Uganda and Burundi both have soldiers in a small African Union peacekeeping mission, Ugandan officials said.

The aircraft burst into flames before plunging into the lake and hitting two fishing boats, injuring four fishermen, Uganda`s government spokesman said.

``We have not rescued anybody... Time is really working against us,`` said Information Minister Matsiko Kabakumba.
A Civil Aviation Authority spokesman said there were four crew and seven passengers on board the aircraft when it crashed.

A Burundi army spokesman confirmed three of its soldiers -- a brigadier general, a colonel and a captain -- had died.

``The information we have is that the plane crashed five minutes after taking off at Entebbe Airport. Burundi deplores the death of three of its officers who were on the plane,`` Adolphe Manirakiza told Reuters in Bujumbura.

There was no immediate word on what caused the crash.
``We`re not ruling anything out, and we`re not ruling anything in,`` Kabakumba said, adding that the plane had flown some 20 missions in recent weeks.

Russian media said the pilot and copilot were Russian citizens and the navigator and flight engineer were Ukrainians.

All four were killed in the crash, Ruslan Madiyev, an official at the Russian embassy in Kampala, told RIA news agency.

Uganda said the flight also carried one Ugandan soldier, an Indian citizen, a Ugandan loadmaster and a South African peacekeeper.

Africa`s air accident rate is six times worse than the rest of the world, the International Air Transport Association says.

SOURCE: Guardian