Showing posts with label Map. Show all posts
Showing posts with label Map. Show all posts

Wednesday, December 22, 2010

Ramani Ya Africa


Monday, September 28, 2009

Ramani ya Enzi za Mjerumani

BOFYA PICHA KUONA PICHA KUBWA ZAIDI:

Kwa wadua wasiojua, hapo zamani za kale, Rwanda na Burundi zilikuwa sehemu ya Tanganyika. Hii picha ni ya enzi za Mjerumani wakati ni German East Africa. Bibi yangu marehemu alikuwa mtoto mdogo Mjeruman alipotua pale Manda, Ludewa Ziwa Nyasa. Anasema walikuwa wanacheza halafu wakatokea wazungu kwenye maboti.