Monday, September 28, 2009

Ramani ya Enzi za Mjerumani

BOFYA PICHA KUONA PICHA KUBWA ZAIDI:

Kwa wadua wasiojua, hapo zamani za kale, Rwanda na Burundi zilikuwa sehemu ya Tanganyika. Hii picha ni ya enzi za Mjerumani wakati ni German East Africa. Bibi yangu marehemu alikuwa mtoto mdogo Mjeruman alipotua pale Manda, Ludewa Ziwa Nyasa. Anasema walikuwa wanacheza halafu wakatokea wazungu kwenye maboti.

No comments: