Showing posts with label Mawaziri. Show all posts
Showing posts with label Mawaziri. Show all posts

Friday, December 04, 2015

Serikali Mpya ya Rais Magufuli! - Katuni


Sunday, June 10, 2012

Mawaziri waKenya Wafa Katika Ajaili ya Helikopta!

Rest in Peace Waziri Saitoti wa Kenya. Watu walioshuhudia ajali wanasema kuwa wakishindwa kuwasaidia kwa vile ilitokea moto mkali sana.  Kabla ya kifo chake, Waziri Saitoti alitangaza kuwa angegombea Urais wa Kenya katika uchaguzi ujao mwaka 2013.




Mkia wa Helikopta
Mabaki ya Helikopta Iliyoanguka nje ya Mji wa Nairobi

Kenyan minister's death in helicopter crash fuels terrorism fears 

The Late Honourable George Saitoti  1945-2012

 The architect of Kenya's military campaign in Somalia and a leading presidential candidate for next year's election has died in a helicopter crash in the hills outside the capital, Nairobi.


The Internal Security Minister, George Saitoti, and at least five of his colleagues died when the police helicopter they were travelling in crashed on the outskirts of the city. Authorities are investigating the cause of the crash, which comes at a time when Kenya is on high alert for terrorist attacks. "As we speak now, nobody knows the cause of the accident," the Prime Minister Raila Odinga said yesterday.

Mr Saitoti pushed for Kenya's intervention last year in neighbouring Somalia. Since then, there has been a spate of grenade attacks blamed by police on supporters of the Somali militant group al-Shabaab. One person was killed and dozens were injured last month in a firebomb attack on a Nairobi shopping centre that has been linked to al-Shabaab. The Islamist group has threatened an attack against a major Kenyan target in the coming month.
Mr Saitoti, 66, was one of the country's most prominent politicians, a veteran of the authoritarian government of Daniel Arap Moi. Mr Saitoti had been Vice-President and held several ministries.
He was implicated in the country's largest corruption scandal, the Goldenberg affair, in which billions of dollars of public money were stolen as part of a gold export scheme.
After a period of political exile he returned to the cabinet under the current President Mwai Kibaki, whose administration was revealed by its own anti-corruption tsar, John Githongo, to be involved in similar grand corruption schemes.
An unusual figure in senior Kenyan politics, Mr Saitoti had a mixed background from the Masai and Kikuyu tribes. His sudden death nine months before a crucial election in East Africa's biggest economy may force a reorganisation of alliances in a campaign set to be dominated by the rivalry of Mr Odinga and the former Finance Minister Uhuru Kenyatta, the son of Jomo Kenyatta, Kenya's first president.

KWA HABARI ZAIDI NA VIDEO BOFYA HAPA:

Friday, May 04, 2012

Orodha ya Mawaziri na Naibu Maaaziri

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS

Telephone: 255-22-2114512, 2116898
E-mail: ikulumawasiliano@yahoo.com
Fax: 255-22-2113425



PRESIDENT’S OFFICE,
THE STATE HOUSE,
P.O. BOX 9120,
DAR ES SALAAM.
Tanzania.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

ORODHA YA MAWAZIRI NA NAIBU MAWAZIRI

MAWAZIRI

1. OFISI YA RAIS


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu)

Ndugu Stephen M. Wasira, Mb.,


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, (Utawala Bora)

Ndugu George Mkuchika, Mb.,


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (UTUMISHI)

Ndugu Celina Kombani, Mb.,


2. OFISI YA MAKAMU WA RAIS


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (MUUNGANO)

Ndugu Samia H. Suluhu, Mb.,

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (MAZINGIRA)

Dr. Terezya P.L. Huvisa, Mb.,


3. OFISI YA WAZIRI MKUU


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji na Uwezeshaji)

Ndugu Mary M. Nagu, Mb.,


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI)

Ndugu Hawa Ghasia, Mb.,


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge)

Ndugu William V. Lukuvi, Mb.,


4. WIZARA

Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki

Ndugu Samuel J. Sitta, Mb.,


Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa

Ndugu Shamsi Vuai Nahodha, Mb.,


Waziri wa Ujenzi

Dr. John P. Magufuli, Mb.,


Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii

Dr. Hussein A.H. Mwinyi, Mb.,

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi

Dr. Shukuru J. Kawambwa, Mb.,


Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto

Ndugu Sophia M. Simba, Mb.,


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa

Ndugu Bernard K. Membe, Mb.,


Waziri wa Katiba na Sheria

Ndugu Mathias M. Chikawe, Mb.,


Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi

Ndugu Emmanuel Nchimbi, Mb.,


Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi

Dr. David M. David, Mb.,


Waziri wa Kazi na Ajira

Ndugu Gaudentia M. Kabaka, Mb.,

Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia

Prof. Makame M. Mbarawa, Mb.,


Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi

Prof. Anna K. Tibaijuka, Mb.,


Waziri wa Maji

Prof. Jumanne Maghembe, Mb.,


Waziri asiyekuwa na Wizara Maalum

Prof. Mark Mwandosya, Mb.,


Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika

Eng. Christopher Chiza, Mb.,


Waziri wa Uchukuzi

Dr. Harrison Mwakyembe, Mb.,


Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo

Dr. Fenella E. Mukangara, Mb.,


Waziri wa Maliasili na Utalii

Ndugu Khamis Kagasheki, Mb.,

Waziri wa Viwanda na Biashara

Dr. Abdallah O. Kigoda, Mb.,

Waziri wa Fedha

Dr. William Mgimwa, Mb.,

Waziri wa Nishati na Madini

Prof. Sospeter Muhongo, Mb.,



5. NAIBU MAWAZIRI


OFISI YA RAIS

HAKUNA NAIBU WAZIRI



6. OFISI YA MAKAMU WA RAIS

Naibu Waziri, Ofisi ya Makamu wa Rais

Ndugu Charles Kitwanga, Mb.,


7. OFISI YA WAZIRI MKUU

Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI)

Ndugu Majaliwa K. Majaliwa, Mb.,


Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI)

Ndugu Aggrey Mwanry, Mb.,


8. WIZARA MBALIMBALI


Naibu Waziri wa Kazi na Ajira

Dr. Makongoro M. Mahanga, Mb.,


Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika

Ndugu Adam Malima, Mb.,


Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi

Ndugu Pereira A. Silima, Mb.,

Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara

Ndugu Gregory G. Teu, Mb.,

Naibu Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi

Ndugu Benedict N. Ole-Nangoro, Mb.,

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa

Ndugu Mahadhi J. Maalim, Mb.,

Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi,

Ndugu Goodluck J. Ole-Medeye, Mb.,

Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto

Ndugu Ummy A. Mwalimu, Mb.,

Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi

Ndugu Philipo A. Mulugo, Mb.,

Naibu Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki

Dr. Abdulla Juma Abdulla, Mb.,

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii

Ndugu Lazaro Nyalandu, Mb.,


Naibu Waziri wa Ujenzi

Ndugu Gerson Lwenge, Mb.,

Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii,

Dr. Seif Suleiman Rashid, Mb.,

Naibu Waziri wa Nishati na Madini

Ndugu George Simbachawene, Mb.,

Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia

Ndugu January Makamba, Mb.,

Naibu Waziri wa Uchukuzi

Dr. Charles J. Tizeba, Mb.,

Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo

Ndugu Amos Makala, Mb.,

Naibu Waziri wa Maji

Eng. Dr. Binilith Mahenge, Mb.,

Naibu Waziri Nishati na Madini

Ndugu Stephen Maselle, Mb.,

Naibu Waziri wa Katiba na Sheria

Ndugu Angela Jasmine Kairuki, Mb.,

Naibu Waziri wa Fedha

Ndugu Janet Mbene, Mb.,

Naibu Waziri wa Fedha

Ndugu Saada Mkuya Salum, Mb.,


Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu.
Dar es Salaam.
4 Mei, 2012

Tuesday, February 19, 2008

Kipanya Anasema....

Translation-

Kipanya (rat character) is standing outside a building on Mawaziri St. (Ministers' St.)

Kipanya - Hey, Hey have you heard? He (President Bush) said that he isn't giving money to theives! Do you understand? Don't get mad at me, I am just the messenger! Hello you greedy people! Helloooo!

Voice from the building - You would think he was sent here! That creature is really annoying me!

Tuesday, February 12, 2008

Baraza Jipya la Mawaziri!

Kutoka ippmedia.com

BREAKING NEWS: Baraza jipya la Maziri latangazwa

2008-02-12

Na Mwandishi Wetu

Rais JK ametangaza Baraza jipya la mawaziri, baada ya kuvunja baraza la mawaziri ya kufuatia Edward Lowasasa kujiuzulu baada ya kukumbwa na kashfa ya Richmond. Akizungumza katika ukumbi wa Tamisemi mjini Dodoma amesema baraza hilo limepunguzwa na kubakia na Mawazirii 26 badala ya 29 wa awali na Manaibu 21 badala ya 31.

(Menejimenti utumishi wa umma) Hawa Ghasia.

(Ofisi ya Rais muungano) Seif Mohamed Khatib.

(Mazingira) Batilda Burian.

(Ofisi ya waziri mkuu utaratibu wa bunge) Philipo Marmo.

(Tamisemi Tawala za mikoa na serikali za mitaa) Stephen Wasira, naibu Serena Kombani.

(Wizara ya mipango na Fedha) Mustafa Mkulo, manaibu Jeremia Sumari, Omari Yusuph Mzee.

(Afya na ustawi wa jamii) Prof Mwakyusa, Naibu Asha Kigoda.

(Ardhi Nyumba na maendeleo ya makazi) John Chiligati.

(Elimu na mafunzo ya ufundi) Prof Jumanne Maghembe, Manaibu Gaudensia Kabaka , na Mwantum Mahiza.

(Mawasiliano na Sayansi na Technologia) Shukuru Kawambwa Naibu Maua Daftari.

(Miundo mbinu) Andrew Chenge, Naibu Milton Mahanga.

(Habari Utamaduni na Michezo) George Huruma Mkuchika, Naibu Joel Bendera.

(Kazi Ajira na maendeleo ya Vijana) Prof Juma Kapuya, Naibu Ezekiel Chibulunje.

(Maji na Umwagiliaji) Mark Mwandosya, Naibu wake ni Engineer Christopher Chiza.

(Kilimo Chakula na Ushirika) Peter Msola, Naibu Mathayo David Mathayo.

(Maendeleo ya jamii Jinsia na Watoto) Magreth Sitta naibu Lucy Nkya.

(Maendeleo ya mifugo na uvuvi) Johhn Pombe Magufuli, Naibu DR. James Wanyancha.

(Maliasili na utalii) Shamsa Mwangunga, Naibu Ezekiel Maige.

(Mambo ya Ndani) Lawrence Masha, naibu Hamis Kagasheki.

(Wizara ya Sheria) Mhe. Matthew Chikawe.

(Mambo ya nje na Ushirikiano wa kimataifa) Bernard Membe, naibu Seif Ally Idi.

(Wizara ya madini) Wiliam Ngereje, Naibu ni Adam Malima.

(Wizara ya Ulinzi) Hussein Ally Mwinyi, Naibu Emmanuel Nchimbi.

(Wizara Ya Afrika Mashariki) Dr. E Kamala.

(Viwanda na Masoko) Mary Nagu, Naibu Cyril Chami.

Awali kabla ya kutangaza baraza hilo Rais Kikwete alisema kuna mawaziri walioomba kupumzika baada ya kutumikia serikali kwa muda mrefu na watabaki katika kushauri tu. ambao ni Mzee Kingunge Ngombare Mwiru, na Joseph Mungai.

SOURCE: Alasiri

Thursday, February 07, 2008

Baraza la Mawaziri Lavunjwa!!!!


Rais Jakaya Kikwete, kaonyesha waTanzania kuwa hana mchezo. Amevunja Baraza la Mawaziri!

Pia amekubali ombi la kujiuzulu uwaziri mkuu, Mheshimiwa Edward Lowassa.

Kuona Baraza la Mawaziri lilliyovunjwa bofya HAPA:

Cheche zimetembea Bungeni tangu ripoti ya Mheshimiwa Dr. Harrison Mwakyembe kusomwa Bungeni jana. Ripoti ilihusu sakata la umeme na kampuni tapeli la Richmond.

Kusoma Ripoti hiyo bofya HAPA:

Mwalimu Nyerere aliwahi kuvunja Baraza lake la Mawaziri.