Showing posts with label Mawaziri. Show all posts
Showing posts with label Mawaziri. Show all posts
Friday, December 04, 2015
Sunday, June 10, 2012
Mawaziri waKenya Wafa Katika Ajaili ya Helikopta!
![]() |
| Mkia wa Helikopta |
![]() |
| Mabaki ya Helikopta Iliyoanguka nje ya Mji wa Nairobi |
Kenyan minister's death in helicopter crash fuels terrorism fears
![]() |
| The Late Honourable George Saitoti 1945-2012 |
The architect of Kenya's military campaign in Somalia and a leading
presidential candidate for next year's election has died in a helicopter
crash in the hills outside the capital, Nairobi.
The Internal Security Minister, George Saitoti, and at least five of
his colleagues died when the police helicopter they were travelling in
crashed on the outskirts of the city. Authorities are investigating the
cause of the crash, which comes at a time when Kenya is on high alert
for terrorist attacks. "As we speak now, nobody knows the cause of the
accident," the Prime Minister Raila Odinga said yesterday.
Mr Saitoti pushed for Kenya's intervention last year in neighbouring Somalia. Since then, there has been a spate of grenade attacks blamed by police on supporters of the Somali militant group al-Shabaab. One person was killed and dozens were injured last month in a firebomb attack on a Nairobi shopping centre that has been linked to al-Shabaab. The Islamist group has threatened an attack against a major Kenyan target in the coming month.
Mr Saitoti, 66, was one of the country's most prominent politicians, a veteran of the authoritarian government of Daniel Arap Moi. Mr Saitoti had been Vice-President and held several ministries.
He was implicated in the country's largest corruption scandal, the Goldenberg affair, in which billions of dollars of public money were stolen as part of a gold export scheme.
After a period of political exile he returned to the cabinet under the current President Mwai Kibaki, whose administration was revealed by its own anti-corruption tsar, John Githongo, to be involved in similar grand corruption schemes.
An unusual figure in senior Kenyan politics, Mr Saitoti had a mixed background from the Masai and Kikuyu tribes. His sudden death nine months before a crucial election in East Africa's biggest economy may force a reorganisation of alliances in a campaign set to be dominated by the rivalry of Mr Odinga and the former Finance Minister Uhuru Kenyatta, the son of Jomo Kenyatta, Kenya's first president.
KWA HABARI ZAIDI NA VIDEO BOFYA HAPA:
Mr Saitoti pushed for Kenya's intervention last year in neighbouring Somalia. Since then, there has been a spate of grenade attacks blamed by police on supporters of the Somali militant group al-Shabaab. One person was killed and dozens were injured last month in a firebomb attack on a Nairobi shopping centre that has been linked to al-Shabaab. The Islamist group has threatened an attack against a major Kenyan target in the coming month.
Mr Saitoti, 66, was one of the country's most prominent politicians, a veteran of the authoritarian government of Daniel Arap Moi. Mr Saitoti had been Vice-President and held several ministries.
He was implicated in the country's largest corruption scandal, the Goldenberg affair, in which billions of dollars of public money were stolen as part of a gold export scheme.
After a period of political exile he returned to the cabinet under the current President Mwai Kibaki, whose administration was revealed by its own anti-corruption tsar, John Githongo, to be involved in similar grand corruption schemes.
An unusual figure in senior Kenyan politics, Mr Saitoti had a mixed background from the Masai and Kikuyu tribes. His sudden death nine months before a crucial election in East Africa's biggest economy may force a reorganisation of alliances in a campaign set to be dominated by the rivalry of Mr Odinga and the former Finance Minister Uhuru Kenyatta, the son of Jomo Kenyatta, Kenya's first president.
KWA HABARI ZAIDI NA VIDEO BOFYA HAPA:
Labels:
George Saitoti,
Kenya,
Mawaziri,
Msiba. Helicopter Crash,
Vifo
Friday, May 04, 2012
Orodha ya Mawaziri na Naibu Maaaziri
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
Telephone: 255-22-2114512, 2116898
E-mail: ikulumawasiliano@yahoo.com
Fax: 255-22-2113425
PRESIDENT’S OFFICE,
THE STATE HOUSE,
P.O. BOX 9120,
DAR ES SALAAM.
Tanzania.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
ORODHA YA MAWAZIRI NA NAIBU MAWAZIRI
MAWAZIRI
1. OFISI YA RAIS
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu)
Ndugu Stephen M. Wasira, Mb.,
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, (Utawala Bora)
Ndugu George Mkuchika, Mb.,
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (UTUMISHI)
Ndugu Celina Kombani, Mb.,
2. OFISI YA MAKAMU WA RAIS
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (MUUNGANO)
Ndugu Samia H. Suluhu, Mb.,
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (MAZINGIRA)
Dr. Terezya P.L. Huvisa, Mb.,
3. OFISI YA WAZIRI MKUU
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji na Uwezeshaji)
Ndugu Mary M. Nagu, Mb.,
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI)
Ndugu Hawa Ghasia, Mb.,
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge)
Ndugu William V. Lukuvi, Mb.,
4. WIZARA
Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki
Ndugu Samuel J. Sitta, Mb.,
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa
Ndugu Shamsi Vuai Nahodha, Mb.,
Waziri wa Ujenzi
Dr. John P. Magufuli, Mb.,
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii
Dr. Hussein A.H. Mwinyi, Mb.,
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi
Dr. Shukuru J. Kawambwa, Mb.,
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
Ndugu Sophia M. Simba, Mb.,
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa
Ndugu Bernard K. Membe, Mb.,
Waziri wa Katiba na Sheria
Ndugu Mathias M. Chikawe, Mb.,
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi
Ndugu Emmanuel Nchimbi, Mb.,
Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
Dr. David M. David, Mb.,
Waziri wa Kazi na Ajira
Ndugu Gaudentia M. Kabaka, Mb.,
Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia
Prof. Makame M. Mbarawa, Mb.,
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
Prof. Anna K. Tibaijuka, Mb.,
Waziri wa Maji
Prof. Jumanne Maghembe, Mb.,
Waziri asiyekuwa na Wizara Maalum
Prof. Mark Mwandosya, Mb.,
Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika
Eng. Christopher Chiza, Mb.,
Waziri wa Uchukuzi
Dr. Harrison Mwakyembe, Mb.,
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo
Dr. Fenella E. Mukangara, Mb.,
Waziri wa Maliasili na Utalii
Ndugu Khamis Kagasheki, Mb.,
Waziri wa Viwanda na Biashara
Dr. Abdallah O. Kigoda, Mb.,
Waziri wa Fedha
Dr. William Mgimwa, Mb.,
Waziri wa Nishati na Madini
Prof. Sospeter Muhongo, Mb.,
5. NAIBU MAWAZIRI
OFISI YA RAIS
HAKUNA NAIBU WAZIRI
6. OFISI YA MAKAMU WA RAIS
Naibu Waziri, Ofisi ya Makamu wa Rais
Ndugu Charles Kitwanga, Mb.,
7. OFISI YA WAZIRI MKUU
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI)
Ndugu Majaliwa K. Majaliwa, Mb.,
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI)
Ndugu Aggrey Mwanry, Mb.,
8. WIZARA MBALIMBALI
Naibu Waziri wa Kazi na Ajira
Dr. Makongoro M. Mahanga, Mb.,
Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika
Ndugu Adam Malima, Mb.,
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi
Ndugu Pereira A. Silima, Mb.,
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara
Ndugu Gregory G. Teu, Mb.,
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
Ndugu Benedict N. Ole-Nangoro, Mb.,
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa
Ndugu Mahadhi J. Maalim, Mb.,
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi,
Ndugu Goodluck J. Ole-Medeye, Mb.,
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
Ndugu Ummy A. Mwalimu, Mb.,
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi
Ndugu Philipo A. Mulugo, Mb.,
Naibu Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki
Dr. Abdulla Juma Abdulla, Mb.,
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii
Ndugu Lazaro Nyalandu, Mb.,
Naibu Waziri wa Ujenzi
Ndugu Gerson Lwenge, Mb.,
Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii,
Dr. Seif Suleiman Rashid, Mb.,
Naibu Waziri wa Nishati na Madini
Ndugu George Simbachawene, Mb.,
Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia
Ndugu January Makamba, Mb.,
Naibu Waziri wa Uchukuzi
Dr. Charles J. Tizeba, Mb.,
Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo
Ndugu Amos Makala, Mb.,
Naibu Waziri wa Maji
Eng. Dr. Binilith Mahenge, Mb.,
Naibu Waziri Nishati na Madini
Ndugu Stephen Maselle, Mb.,
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria
Ndugu Angela Jasmine Kairuki, Mb.,
Naibu Waziri wa Fedha
Ndugu Janet Mbene, Mb.,
Naibu Waziri wa Fedha
Ndugu Saada Mkuya Salum, Mb.,
Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu.
Dar es Salaam.
4 Mei, 2012
Tuesday, February 19, 2008
Kipanya Anasema....
Translation-Kipanya (rat character) is standing outside a building on Mawaziri St. (Ministers' St.)
Kipanya - Hey, Hey have you heard? He (President Bush) said that he isn't giving money to theives! Do you understand? Don't get mad at me, I am just the messenger! Hello you greedy people! Helloooo!
Voice from the building - You would think he was sent here! That creature is really annoying me!
Tuesday, February 12, 2008
Baraza Jipya la Mawaziri!
Kutoka ippmedia.com
BREAKING NEWS: Baraza jipya la Maziri latangazwa
2008-02-12
Na Mwandishi Wetu
Rais JK ametangaza Baraza jipya la mawaziri, baada ya kuvunja baraza la mawaziri ya kufuatia Edward Lowasasa kujiuzulu baada ya kukumbwa na kashfa ya Richmond. Akizungumza katika ukumbi wa Tamisemi mjini Dodoma amesema baraza hilo limepunguzwa na kubakia na Mawazirii 26 badala ya 29 wa awali na Manaibu 21 badala ya 31.
(Menejimenti utumishi wa umma) Hawa Ghasia.
(Ofisi ya Rais muungano) Seif Mohamed Khatib.
(Mazingira) Batilda Burian.
(Ofisi ya waziri mkuu utaratibu wa bunge) Philipo Marmo.
(Tamisemi Tawala za mikoa na serikali za mitaa) Stephen Wasira, naibu Serena Kombani.
(Wizara ya mipango na Fedha) Mustafa Mkulo, manaibu Jeremia Sumari, Omari Yusuph Mzee.
(Afya na ustawi wa jamii) Prof Mwakyusa, Naibu Asha Kigoda.
(Ardhi Nyumba na maendeleo ya makazi) John Chiligati.
(Elimu na mafunzo ya ufundi) Prof Jumanne Maghembe, Manaibu Gaudensia Kabaka , na Mwantum Mahiza.
(Mawasiliano na Sayansi na Technologia) Shukuru Kawambwa Naibu Maua Daftari.
(Miundo mbinu) Andrew Chenge, Naibu Milton Mahanga.
(Habari Utamaduni na Michezo) George Huruma Mkuchika, Naibu Joel Bendera.
(Kazi Ajira na maendeleo ya Vijana) Prof Juma Kapuya, Naibu Ezekiel Chibulunje.
(Maji na Umwagiliaji) Mark Mwandosya, Naibu wake ni Engineer Christopher Chiza.
(Kilimo Chakula na Ushirika) Peter Msola, Naibu Mathayo David Mathayo.
(Maendeleo ya jamii Jinsia na Watoto) Magreth Sitta naibu Lucy Nkya.
(Maendeleo ya mifugo na uvuvi) Johhn Pombe Magufuli, Naibu DR. James Wanyancha.
(Maliasili na utalii) Shamsa Mwangunga, Naibu Ezekiel Maige.
(Mambo ya Ndani) Lawrence Masha, naibu Hamis Kagasheki.
(Wizara ya Sheria) Mhe. Matthew Chikawe.
(Mambo ya nje na Ushirikiano wa kimataifa) Bernard Membe, naibu Seif Ally Idi.
(Wizara ya madini) Wiliam Ngereje, Naibu ni Adam Malima.
(Wizara ya Ulinzi) Hussein Ally Mwinyi, Naibu Emmanuel Nchimbi.
(Wizara Ya Afrika Mashariki) Dr. E Kamala.
(Viwanda na Masoko) Mary Nagu, Naibu Cyril Chami.
Awali kabla ya kutangaza baraza hilo Rais Kikwete alisema kuna mawaziri walioomba kupumzika baada ya kutumikia serikali kwa muda mrefu na watabaki katika kushauri tu. ambao ni Mzee Kingunge Ngombare Mwiru, na Joseph Mungai.
SOURCE: Alasiri
BREAKING NEWS: Baraza jipya la Maziri latangazwa
2008-02-12
Na Mwandishi Wetu
Rais JK ametangaza Baraza jipya la mawaziri, baada ya kuvunja baraza la mawaziri ya kufuatia Edward Lowasasa kujiuzulu baada ya kukumbwa na kashfa ya Richmond. Akizungumza katika ukumbi wa Tamisemi mjini Dodoma amesema baraza hilo limepunguzwa na kubakia na Mawazirii 26 badala ya 29 wa awali na Manaibu 21 badala ya 31.
(Menejimenti utumishi wa umma) Hawa Ghasia.
(Ofisi ya Rais muungano) Seif Mohamed Khatib.
(Mazingira) Batilda Burian.
(Ofisi ya waziri mkuu utaratibu wa bunge) Philipo Marmo.
(Tamisemi Tawala za mikoa na serikali za mitaa) Stephen Wasira, naibu Serena Kombani.
(Wizara ya mipango na Fedha) Mustafa Mkulo, manaibu Jeremia Sumari, Omari Yusuph Mzee.
(Afya na ustawi wa jamii) Prof Mwakyusa, Naibu Asha Kigoda.
(Ardhi Nyumba na maendeleo ya makazi) John Chiligati.
(Elimu na mafunzo ya ufundi) Prof Jumanne Maghembe, Manaibu Gaudensia Kabaka , na Mwantum Mahiza.
(Mawasiliano na Sayansi na Technologia) Shukuru Kawambwa Naibu Maua Daftari.
(Miundo mbinu) Andrew Chenge, Naibu Milton Mahanga.
(Habari Utamaduni na Michezo) George Huruma Mkuchika, Naibu Joel Bendera.
(Kazi Ajira na maendeleo ya Vijana) Prof Juma Kapuya, Naibu Ezekiel Chibulunje.
(Maji na Umwagiliaji) Mark Mwandosya, Naibu wake ni Engineer Christopher Chiza.
(Kilimo Chakula na Ushirika) Peter Msola, Naibu Mathayo David Mathayo.
(Maendeleo ya jamii Jinsia na Watoto) Magreth Sitta naibu Lucy Nkya.
(Maendeleo ya mifugo na uvuvi) Johhn Pombe Magufuli, Naibu DR. James Wanyancha.
(Maliasili na utalii) Shamsa Mwangunga, Naibu Ezekiel Maige.
(Mambo ya Ndani) Lawrence Masha, naibu Hamis Kagasheki.
(Wizara ya Sheria) Mhe. Matthew Chikawe.
(Mambo ya nje na Ushirikiano wa kimataifa) Bernard Membe, naibu Seif Ally Idi.
(Wizara ya madini) Wiliam Ngereje, Naibu ni Adam Malima.
(Wizara ya Ulinzi) Hussein Ally Mwinyi, Naibu Emmanuel Nchimbi.
(Wizara Ya Afrika Mashariki) Dr. E Kamala.
(Viwanda na Masoko) Mary Nagu, Naibu Cyril Chami.
Awali kabla ya kutangaza baraza hilo Rais Kikwete alisema kuna mawaziri walioomba kupumzika baada ya kutumikia serikali kwa muda mrefu na watabaki katika kushauri tu. ambao ni Mzee Kingunge Ngombare Mwiru, na Joseph Mungai.
SOURCE: Alasiri
Thursday, February 07, 2008
Baraza la Mawaziri Lavunjwa!!!!
Rais Jakaya Kikwete, kaonyesha waTanzania kuwa hana mchezo. Amevunja Baraza la Mawaziri!
Pia amekubali ombi la kujiuzulu uwaziri mkuu, Mheshimiwa Edward Lowassa.
Kuona Baraza la Mawaziri lilliyovunjwa bofya HAPA:
Cheche zimetembea Bungeni tangu ripoti ya Mheshimiwa Dr. Harrison Mwakyembe kusomwa Bungeni jana. Ripoti ilihusu sakata la umeme na kampuni tapeli la Richmond.
Kusoma Ripoti hiyo bofya HAPA:
Mwalimu Nyerere aliwahi kuvunja Baraza lake la Mawaziri.
Subscribe to:
Posts (Atom)









