Showing posts with label Nelson Mandela. Show all posts
Showing posts with label Nelson Mandela. Show all posts

Friday, June 11, 2010

Mtukuu wa Nelson Mandela Afariki Katika Ajali ya Gari

(Pichani Mzee Nelson Mandela na Mtukuu wake Zanani mwaka 2008)

Habari za kusikitisha kutoka Afrika Kusini. Mtukuu wa Nelson na Winnie Mandela, Zenani mwenye miaka 13 amefariki katika jali ya gari. Habari kutoka huko zinasema kuwa walikuwa wanarudi kutoka kwenye sherehe za ufunguzi wa mashindano ya World Cup. Dereva wa gari alikuwa amelewa!

Pole sana familia ya Mandela. Mungu ailaze roho ya Zenani mahala pema mbinguni. AMEN.

*********************************************************************
Kutoka New York Times:

JOHANNESBURG — Heartbreak intruded on the opening day of the soccer World Cup when Nelson Mandela’s 13-year-old great-granddaughter Zenani was killed in an auto accident here early on Friday. In response, Mr. Mandela canceled a much-heralded appearance at a tournament depicted as a triumphant showcase for his country and his continent.

Zenani Mandela was returning home from the event’s Thursday night kickoff concert in Soweto, an extravaganza with stars like Alicia Keys and Shakira that was meant to launch the contest on a joyous note. At its conclusion, the sky lit up with fireworks as happy attendees made way to their parked vehicles.

According to police, Zenani died in a one-car accident on a Johannesburg highway. The man behind the wheel, who has yet to be named, was accused of drunk driving and may also be charged with culpable homicide, the police said.

MNAWEZA KUSOMA HABARI ZAIDI KWA KUBOFYA HAPA:

Saturday, August 23, 2008

Wake wa Mzee Mandela


Wake wa Mzee Mandela.

Mke wa sasa Nelson Mandela, Mama Graca Machel (kushoto) akimpiga busu mke wa zamani wa Mandela, Winnie Mandela (kulia), kwenye sherehe za kusherekea birthday ya 90 ya mume wao. Naona wanapatana vizuri tu. Je, wana-share siri za kumfurahisha mzee?

Thursday, July 03, 2008

Mandela au Mandingo?

Cheki CNN walivyomtusi Mzee Mandela wiki iliyopita. Kwa hapa Marekani 'Mandingo' ni mwanaume mweusi anayetembea na wanawake wa kizungu. Wanawake wa kizungu wanapenda akina mandingo kwa vile eti wamejaliwa chombo/ume 'kikubwa'.

Asante Da Subi kwa kunistua na habari hii:

Inaelekea kuna mtu alifanya uandishi kutumia 'auto complete' wakati wa kazi halafu akalibandika tu alimradi...Afadhali CNN wameondoa na kurekebisha maana ingekuwa si njema.Dah, akikosewa jina Mandela sisi akina Chipiliro wa Akapungwamchanye sijui itakuwaje.Tizama kipande cha picha nimekiambatanisha hapa.