Marehemu Prof. Aggrey NzaliNimepokea habari hii leo kwa masikitiko mno. Prof. Nzali alifariki mwezi Oktoba baada ya kupata ajali ya gari.
Mungu ailaze roho yake mahala pema mbinguni. AMEN.
Mungu ailaze roho yake mahala pema mbinguni. AMEN.
Kwa habari zaidi tembelea Jamii Forums:
http://www.jamiiforums.com/matangazo-madogomadogo/19728-prof-nzali-afariki-dunia.html
*******************************************************
Wadau,
Nimesoma habari ambayo kwa kweli ni vigumu kuamini.
Ninaomba sana mwenye taarifa juu ya Prof. Aggrey Nzali wa Department of Engineering UDSM anitumie e-mail chemiche3@yahoo.com.
Prof. Nzali alikuwa rafiki wa marehemu mume wangu Prof. Henry Kadete, tulikuwa naye Uholanzi mwaka 1986 na alisimamia ubatizo wa mwanangu.
*******************************************************
Wadau,
Nimesoma habari ambayo kwa kweli ni vigumu kuamini.
Ninaomba sana mwenye taarifa juu ya Prof. Aggrey Nzali wa Department of Engineering UDSM anitumie e-mail chemiche3@yahoo.com.
Prof. Nzali alikuwa rafiki wa marehemu mume wangu Prof. Henry Kadete, tulikuwa naye Uholanzi mwaka 1986 na alisimamia ubatizo wa mwanangu.

