TANZANIA DIASPORA NETWORK
Da Chemi pole na kazi. Tumeona kuna umuhimu wa kuwaunganisha watanzania wote wanoishi nje ya Tanzania ili tuweze kuzungumza, kuumiza vichwa, na kadhalika kuhusu maisha abroad na maisha Tanzania. Kuna mambo mengi ya kuongea kati ya watanzania hawa. Vile vile kuna nafasi ya kujuana na kusaidiana. Wenzetu wa mataifa mbalimbali tayari wao wana network kama hizi. Basi naomba msaada tutani uibandike hii network katika blog yako: www.tanzaniadiaspora.ning.com
Ahsante na kazi njema.
Showing posts with label Tanzania Diaspora Network. Show all posts
Showing posts with label Tanzania Diaspora Network. Show all posts
Saturday, April 04, 2009
Subscribe to:
Posts (Atom)

