Showing posts with label beating. Show all posts
Showing posts with label beating. Show all posts

Saturday, July 12, 2014

Chidi Benz Ampiga Ray C

Jamani, jamani, jamani! Mambo gani tena haya! Dume anampiga dada wa watu namna hii! Halafu bado huyo dume anaitwa Staa! Huyo ni mhalifu na anstahili kuwa jela kwa kitendo alichokifanya kwa Ray C.  Mmeona hatua zilizichukuliwa dhidi ya Chris Brown alivyomtwanga Rihanna? Nilipokuwa TAMWA, nilishughulikia sana maswala ya uoneveu dhidi ya akina mama. Loh! Huyo jamaa siyo Chid Benz ni Chizi Benz!

*********************************************

Kwa habari kamili ya Tukio Tembelea GLOBAL PUBLISHERS:


http://api.ning.com/files/Jlj7Yacjzg3*Iyvt90DSt5oT20Lf6U4hQjUZP8Q9QGKLl7Ba9HNopUt0VXWvUSXeDCKIuek51EB2qvq0z85a*SGDrfCArDwR/chdi.jpg
Huyo ni Mwanaisha ambaye alipigwa kabla na Chid Benz

Bongo Flava Star - Rehema Chalamila aka. Ray C
 
Ray C Hospitalini Baada ya Kipigo


Na Musa Mateja
Uonevu! Rapa mwenye ‘swagger’ za Ja-Rule Bongo, Rashid Makwilo ‘Chid Benz’, anadaiwa kukwaa kisanga kingine kibaya baada ya kukurupuka kutoka nyumbani kwake na kwenda kumvamia staa mwenzake, Rehema Chalamila ‘Ray C’ nyumbani kwake anapoishi na kumtwanga makonde ikiwa ni siku chache tangu jamaa huyo apate msala mwigine wa aina hiyo.

 TUJIUNGE NYUMBANI KWA RAY C
Ilidaiwa kuwa tukio hilo lilitokea usiku wa kuamkia Alhamisi iliyopita nyumbani kwa Ray C, Changanyikeni jijini Dar es Salaam ambapo ilisemekana kwamba Chid Benz alimvamia mishale ya saa 4:00 usiku kwa gia ya kumsaka mzazi mwenzake aliyemtaja kwa jina moja la Mariam.


CHID BENZ ATAKA KUMUONA MWANAYE
Ilidaiwa kwamba Chid Benz alisema kuwa alizungumza na mpenziye huyo kwamba alitaka kwenda kumuona mwanaye ambapo Mariam alimjibu kwamba kwa muda huo alikuwa nyumbani kwa Ray C  Changanyikeni.

UNGA WATAJWA
Sosi wetu alidai kwamba baada ya kujibiwa hivyo, Chid Benz alianza kulalama na kumwambia anamfuata palepale kwa nini usiku ule alale kwa Ray C, wakati ana uwezo wa kwenda nyumbani au amekwenda kwa staa huyo ili kunywa dawa zao za kuondoa sumu ya madawa ya kulevya ‘unga’,
 jambo ambalo jamaa huyo siku zote huwa hataki hata kulisikia masikioni mwake.


CHID BENZ AWAVAMIA
“Huwezi kuamini baada ya muda kama wa saa moja, Ray C na Mariam wakiwa ndani wakitazama TV, ghafla mlango ulisukumwa kwa nguvu kisha akaingia Chid Benz na kumdaka Mariam na kuanza kumshushia kipigo.“Yaani huo mshtuko walioupata walidhani wamevamiwa na Al-Shabaab.
KIBAO CHAMGEUKIA RAY C
“Mungu mkubwa kwa sababu Mariam alifanikiwa kuchoropoka na kukimbilia chumbani ndipo kibao kikamgeukia Ray C.
“Ray C akiwa anashangaa ghafla naye alipokea kipigo kikali kutoka kwa Chid na kumsababishia majeraha mbalimbali mwilini.
RAY C AKIMBILIA KWA MAJIRANI
“Baada ya kuona maji yanazidi unga, Ray C alitafuta upenyo na kukimbilia kwa majirani huku akipiga kelele za kuvamiwa, mara moja majirani waliambatana naye mpaka nyumbani kwake.
“Walipofika Chid Benz alikuwa ametumia staili za kininja kwa kuruka geti na kutokomea kusikojulikana huku akiwaacha Ray C na Mariam wakiangua vilio kwa kipigo kikali walichopokea.
RAY C AVUJA DAMU
“Ray C aliumia mkono na mguu ambao ulionekana ukivuja damu. Mariam alikuwa akililia mbavu zake kuchakazwa kwa makonde mazito na upande mwingine baadhi ya vyombo vya ndani vikionekana kuvunjwa na vingine kusambaratishwa kufuatia tafrani iliyozuka muda mfupi baada ya Chid Benz kutia maguu nyumbani hapo,” chanzo kilishusha madai hayo mazito.

RAY C ATIRIRIKA SAKATA LILIVYOKUWA

Akizungumzia na gazeti hili Alhamisi iliyopita juu ya sakata hilo, Ray C alisimulia mkasa mzima: “Kweli Chid Benz alikuja nyumbani kwangu na kunivamia.
“Alinipiga vibaya sana na kuvunja baadhi ya vitu vya ndani kwangu, jambo ambalo lilinishangaza zaidi ni namna alivyopafahamu nyumbani kwangu hadi kuja kunifanyia fujo nikiwa na mzazi mwenzake, Mariam ambaye nilitoka naye ofisini kwangu.
“Ujue jana (Jumatano) tulikuwa na kazi sana ofisini kwangu mimi na Mariam, sasa kutokana na kubanwa na kazi kweli muda ulienda sana hivyo nikamwambia Mariam akalale kwangu.
“Kwa kuwa muda ule ilikuwa ngumu kwenda kwao Mbezi Beach, Mariam alikubali na tulikwenda wote nyumbani kwangu.

“Huko nyuma Mariam alikuwa mwathirika wa madawa ya kulevya lakini baada ya kusikia mimi nimeacha, naye aliachana nayo na kuanza kutumia dawa za kuondoa sumu.
“Tumeendelea kutumia naye dawa na sasa ameshapona kabisa hivyo kuna baadhi ya kazi nimekuwa nikimshirikisha kunisaidia kwenye ofisi yangu. Pia alishawahi kumshawishi Chid Benz ili aje kutumia dawa lakini jamaa alikataa na kumfanyia vurugu sana huku akimkataza kuwa na mimi kwa madai mimi ndiyo namfanya amwambie kuachana na utumiaji dawa za kulevya.
“Sasa jana alipojua hivyo nadhani Chid Benz alikuja kutimiza dhamira yake ambayo siku nyingi alikuwa akiahidi kunipiga.”

SOO LIPO POLISI

Ray C alisema baada ya tukio hilo alikwenda kuripoti kwenye Kituo cha Polisi cha Oysterbay, Kinondoni na kufunguliwa jalada la kesi ambapo Chid Benz anasakwa na polisi.
Juhudi za kumpata Chid Benz hazikuzaa matunda kwani simu yake haikuwa hewani hivyo jitihada zinaendelea na kama ana ufafanuzi au utetezi anaweza kutupigia.

CHID BENZ NI TATIZO?

Chid Benz anadaiwa kuwa ni tatizo kwani tukio hilo la Ray C amelifanya wakati akiwa na tukio la pili kwa wanawake kwani kwenye Mahakama ya Mwanzo, Ilala ana kesi mbichi aliyoshitakiwa kwa kosa la kumpiga mrembo aitwaye Mwanaisha.
Mbali matukio hayo pia Chid Benz ana rekodi ya kukorofishana na wasanii wenzake kama Kalapina na marehemu Ngwea.

KWA HABARI ZAIDI TEMBELEA EDWIN MOSHI BLOG

Wednesday, December 29, 2010

Mwandishi wa Habari Apigwa Kahama

Natoa pole kwa Kaka Ali Lityawi. Hao polisi wanastahili kuadhibiwa. Kutokana na maelezo sioni kama Ali alifanya kosa. Hao polisi wangefurahi kuwa wanapigwa picha wakiwa wanafanya kazi yao kama ilivyotakiwa.

******************************************************

Kahama Police Beat Up Journalist, Seize His Camera
By The guardian reporter
29th December 2010

A group of police officers whose identities and force numbers could not be immediately established last weekend beat up Tanzania Daima newspaper journalist Ali Lityawi, and seized his camera allegedly for taking pictures without permission.

The police said the newsman was 'punished' for taking pictures of a police officer on duty while chasing a prisoner, who had apparently escaped from custody.

The incident took place on Sunday at Lumelezi near Magai hospital, where the journalist, who was on the beat looking for news, found a police officer running after a prisoner.

According to Lityawi, the police officers saw him taking pictures of his colleague, whereupon they attacked him before seizing his camera.

Later, he was taken to the central police station where he was remanded in custody by Kahama Officer Commanding District George Simba on allegation of taking photographs of a police officer and a suspect without a permit.

“The district police chief ordered that the photos in my camera be deleted and ordered his assistants to remove from the camera the smartcard used to store pictures,” he said.

When reached for comment about the incident, Shinyanga regional police commander Diwani Athumani condemned the action by the police officers and ordered repair of the camera, which the journalist claimed was damaged in the fracas.

“It is a police force’s policy to collaborate with journalists to educate the public on public safety and security. If they (police officers) thought the pictures were not good enough, they should have advised the reporter not to use them instead of beating him up and deleting them,” he said.

Wednesday, December 02, 2009

Kumbe Tiger Woods Mzinzi!

(Tiger Woods Beaten)
Hii picha inazunguka kwenye e-mails leo.

Duh! Leo Tiger Woods amekiri kuwa katembea nje ya ndoa yake. Na si yule Rachel tu, mwingine kajitokeza na ana ushahidi! Hivi ubongo wa mwanaume unakuwa kwenye dhakari nini? Leo kuna habari kuwa Tiger na mke wake wanakwenda kwenye counseling!


Kwa habari zaidi someni:


http://www.sfgate.com/cgi-bin/blogs/abraham/detail?entry_id=52729

http://www.suntimes.com/entertainment/zwecker/1916410,zwecker-tiger-woods-marriage-elin-prenup-120209.article

http://www.nydailynews.com/gossip/2009/12/02/2009-12-02_tiger_woods_offers_profound_aplogy_for_transgressions_amid_rumored_affairs_with_.html

Monday, June 25, 2007

UGALI



Mwandishi Sandra A. Mushi ametoa hadithi mpya. Hadithi hiyo inaitwa ' The Plate of Ugali' (sahani ya ugali). Hadithi hiyo hasa inahusu mambo ya kunyanyaswa kwa mwanamke na mume wake (domestic violence). Imeandikwa kwa kimombo (English).
Hivi karibuni niliandika blogu kuhusu Sandra na bidii yake ya kutunga hadithi na mashairi. Mnaweza kusoma hapa: http://swahilitime.blogspot.com/2007/06/mjue-sandra-mushi.html
Pia tembelea Authors Den:
- http://authorsden.com/sandraamushi

*************************************************************************************


The Plate of Ugali




Read more stories by this author

It was one reason after another – as long as I was his punching bag – and almost always it was a plate of ugali that started it. Yep, his source of strength. Like the hair on Samson in the bible. Maybe ugali makes one mad. Maybe it had a drug.


My mama used to say a real African man doesn’t eat chips or pasta. That’s food for a mzungu man who gets his nails manicured, his face scrubbed and his lips conditioned with lip balm. A real African man eats ugali, my mama used to say. With their calloused fingers with rough nails he would mould the stiff porridge into little balls, dunk each ball into a stew then dunk the stew covered ball into mouth with chapped lips.

I would sit at the corner of the room watching his Adam’s apple bopping up and down as he swallowed a ball of ugali and meat stew. His jaw always moving in super-human speed as he chewed, making the vein on his forehead pop out angrily.

Ugali would make your man strong, my mama used to say. Strong enough to take care of you and our family, she would add. What she didn’t add was that ugali would make him strong enough to beat me black and blue. But maybe she was always right, because it was a plate of ugali that gave me strength today.

It had started with his plate of ugali not being warm enough. Then the following time he beat me black and blue it was because the bowl of stew did not have enough meat. The other times before that it was the disciplinary slap, as the elders called it. Married women needed the slap every now and then, they would say, to keep them in check.

Then he beat me again black and blue when I failed to pound his kisamvu the way he liked it. I had been vomiting the whole day; infact even getting up was a problem.

“My mother dug a whole farm the day she was giving birth and you say you can’t cook for your husband?” He had bellowed. “What kind of a woman are you?”

“But mume wangu, the doctor said …” lamenting, I had tried to explain before I was interrupted by a slap. The room started spinning around me.
“Has the doctor married you?” He gave me another slap which sent me reeling to the floor vomiting blood, “is the doctor your husband now? Or are you having an affair?”

My baby did not make it. I almost did not make it too. I broke a few bones and I almost became blinded on my left eye.

After that I became numb to the pain. It was one reason after another – as long as I was his punching bag – and almost always it was a plate of ugali that started it. Yep, his source of strength. Like the hair on Samson in the bible. Maybe ugali makes one mad. Maybe it has a drug.

Today he broke my two front teeth – after breaking four others last week. I laugh madly as I looked at four year old with his milk teeth missing. He grins at me nervously showing his gums.

Today he beat me because I refused to serve his mistress a plate of ugali. Like my body numbing to pain, my heart had numbed to reason. Maybe it was my fault when the plate of ugali wasn’t warm enough because I had run out of cool to warm the food; maybe it was my fault when I didn’t negotiate with the butcher to give me more meat than the money could buy; maybe it was my fault that I was too lazy too pound cassava when I was due; maybe it was my fault when I had used to the last of the flour to cook my baby porridge for lunch instead of cooking him his ugali; maybe it had all been my fault. But how could this be my fault? My mama told me my husband came first, then my children.

I had put some food aside for my husband, the fed the remaining to my children. How was that my fault? I never said anything when he brought her and moved me out of our marital bed. I said nothing.

He kicked his plate of ugali when there wasn’t enough for his mistress and made me eat from the floor after beating me black and blue - wounding the scars that had no even healed. On all fours I bent down and ate like a dog. As I lay clutching my stomach I see the mouse that I have been trying to catch for a while, rushing to the last crumbs of ugali on the floor. No amount of rat poison seemed to kill it. Rodent. Maybe I had been giving it the poison with the wrong food. Rodent. Rodent. I should have mixed the poison in ugali. Rodent. Or is it rodent and man. Rodent man. Kick. Rodent man. Kick. Rodent man, I think.

I feel humiliated when I hear her cheering him on. It was okay before, as I probably needed disciplining. But it’s not okay now. She is not supposed to be here, cheering on. But the ugali gave me strength.

“Stupid woman! Go make another plate,” he had kicked me on the shins as his mistress laughed again, louder this time. “And make it enough to give us strength for the work ahead of us tonight!”

Ugali has given me strength too. I look down as I limp to the back yard. I don’t want them to see my face. The smile on my face. Yes, ugali has given me strength.

Quickly I grab a khanga to hide my new scars, covering myself I dash to my neighbour to borrow me some money from her. Just as quickly I send my oldest to the market. Flour, kisamvu, coconut, curry powder, peanuts, nyanya chungu and some powder that will kill that rodent. Today I will make the best plate of ugali ever. The kisamvu will have peanut sauce and the dagaa will have coconut milk and nyanya chungu. Today I will catch that rodent with a plate of ugali for sure.