*******************************************************************


Picha na Maelezo kutoka JIACHIE BLOG:Mfanyabiashara wa nyanya katika soko la Kariakoo aliye fahamika kwa jina moja la Veronica akipambana na Askari Mgambo wa Jiji wakati walipokuwa wakichukua bidhaa zake ,kitendo hicho kimempelekea mama huyo kumwacha uchi jambo ambalo ni kinyume cha haki na sheria za binadamu.
JIACHIE inalaani vikali vitendo vya udharirishaji kama hivi,ambavyo kimsingi vinavuka mipaka ya haki na sheria za binadamu,hakuna mwenye haki ya kumvua nguo mwenzake hadharani,mbele ya watu lundo kama hivi.!


