Blogs in Kiswahili, the main African language of EAST AFRICA.
Tuesday, March 01, 2011
Askari Wa Vita Vya Kwanza ya Dunia - German East Africa
Hii ni meli ya kivita Mjerumani SMS Konisberg ikiwa imita nanga bandarini Bagamoyo. Bagamoyo ilikuwa mji mkuu wa Tanganyika enzi za MJerumani
Askari kwenye foleni
Waliopitia JKT wataelewa hii...ROUTE MARCH!
Sijui ni Tanga au Bagamoyo hapo au Itakuwa kwenye Ziwa Victoria au Nyasa
Hao watakuwa wale Asakri wa kwanza kabisa. Hawana viatu!
Askari wakisfisha bunduki zao
Enzi za MJerumani walikuwa wanatumia Rupia siyo Shilingi
Bahati mbaya hatuna majina ya hao Askari pichani
The Force Publique in German East Africa during World War One
3 comments:
Anonymous
said...
Hongera sana kwa kutuletea historia yetu wakati wa kipindi hiki cha mjerumani. Watu wengi Tanzania sio wasomi wa historia na watu wengi hawajui kabisa kilichotokea na historia iliyochangia kutufikisha hapa tulipo. keep up the good work.
Picha ya Meli hapo juu ni hiyo hiyo Konisberg. Manowari hii bomba tatu haikuwahi kwenda lake Nyasa wala Victoria.
Meli hii ilipigana vita bahari ya hindi na mwisho wake iliharibiwa na wajerumani wenyewe Mto Rufiji baada ya kuwekewa "blockade" na waingereza katika juhudi za kuiangamiza. Mwenzake alikuwa ni MHS somali naye amezamishwa maeneo ya kusini Tanzania bahari ya hindi
I worked for Tanzania's Daily News for 11 years leaving as a Senior Reporter. I love acting, films, short story writing and cooking. I blog in English and Swahili. I am a member of the Screen Actors Guild (SAG) and AFTRA.
You can contact me at chemiche3@yahoo.com.
3 comments:
Hongera sana kwa kutuletea historia yetu wakati wa kipindi hiki cha mjerumani. Watu wengi Tanzania sio wasomi wa historia na watu wengi hawajui kabisa kilichotokea na historia iliyochangia kutufikisha hapa tulipo. keep up the good work.
Mchungaji Dar es salaam
Picha ya Meli hapo juu ni hiyo hiyo Konisberg. Manowari hii bomba tatu haikuwahi kwenda lake Nyasa wala Victoria.
Meli hii ilipigana vita bahari ya hindi na mwisho wake iliharibiwa na wajerumani wenyewe Mto Rufiji baada ya kuwekewa "blockade" na waingereza katika juhudi za kuiangamiza. Mwenzake alikuwa ni MHS somali naye amezamishwa maeneo ya kusini Tanzania bahari ya hindi
Sasa naanza kuelewa, kumbe ule mnara wa askari kimavazi anafanana na askari hawa!
Post a Comment