Wednesday, November 28, 2012

Sharo Milionea Azikwa Tanga

Bongo Staa, Sharo Milionea aka. Hussein Ramadhani Mkieti (27) amezikwa leo, Muheza, Tanga.  Sharo alipoteza maisha yake juzi katika ajali ya gari mkoani Tanga. Alikuwa anakwenda kuona wazazi wake.  Kabla ya kifo chake, Sharo Milionea alikuwa anapanda kwa kasi katika chati ya Bongo Stars. 

REST IN PEACE SHARO MILIONEA!


Shekhe akimwombea mwili wa marehemu Bongo Staa, Sharo Milionea


Umati walitokea kwenye mazishi ya marehemu  Bongo Staa, Sharo Milionea

Sharo Milionea aka. Hussein Ramadhani Mkieti (1985 -2012)

Sharo Milionea alipoteza maisha yake katika ajali ya gari mkoani Tanga. Alikuwa anaendesha mwenyewe, alikuwa anaeelekea Muheza, Tanga kwenda kuona wazazi wake.

Mnaweza kuona picha zaidi za Mazishi ya Sharo Milionea katika KAJUNA BLOG:

No comments: