Friday, July 24, 2015

Ubaguzi Marekani - Kifo cha Sandra Bland

Wadau, marehemu Sandra Bland (28) alikamatwa na polisi mbaguzi huko Texas na kufungwa jela. Dhamana yake ilikuwa dola $5,000.  Kosa lake eti ilikuwa kutokutumia indicator akiwa anaendesha yake. Alikuwa anampisha polisi apite.  Polisi anadai kuwa alimpiga teke. Polisi wamekata hiyo video waliopiga la tukio na hakuna aliyona polisi akipigwa teke.  Waongo!  Sasaa wanadai kajiua.

Sasa, huyo Dylan aliua watu weusi 9 waliokuwa wanasali kanisani. Alikamatwa na kuvalisha vest ya kuzuia risasi na kupewa chakula cha Take Out!  Alikamatwa kwa adhabu kabisa!!!! Yaani nchi hii!

No comments: