Saturday, July 25, 2015

Nabii Fidel Castro

Wadau, Kumbe Rais Fidel Castro wa Cuba ni Nabii. Mwaka 1973 alitabiri kuwa Marekani itazungumza na serikali ya  komunisti Cuba wakipata Rais mweusi na Papa anatoka nchi za Marekani ya kusini. Ona Raisi wa Marekani ni mweusi, Papa anatoka Argentina!  Sasa kuna Ubalozi wa Cuba Washington D.C. na US wanatuma Balozi Cuba! Duh! Vita Baridi imekweisha sasa.


No comments: