Showing posts with label Jeneza. Show all posts
Showing posts with label Jeneza. Show all posts

Tuesday, August 13, 2013

Bilionea Msuya kuzikwa leo, Jeneza lafunguliwa kwa ‘rimoti’

 Marehemu Erasto Msuya, alikuwa bilionea. Mnashangaa nini jeneza lake likifunguliwa kwa remote control? Rest in peace.


*************************************

The late Tanzanian Billionaire Erasto Msuya. He was murdered.


Kutoka Gazeti la MWANANCHI:

Arusha - Mazishi ya kifahari yanaandaliwa na familia ya marehemu Erasto Msuya, huku ikielezwa kuwa jeneza litakalotumika kubeba mwili wake linafunguka kwa kutumia ‘rimoti’.
Msuya aliyeuawa wiki iliyopita, anazikwa leo huku familia ikitangaza kutokulipiza kisasi kwa waliohusika, badala yake wamemwachia Mungu.
Kinachovutia katika msiba huo ni jeneza lililobeba mwili wa mfanyabiashara huyo lililoagizwa Nairobi, la aina yake huku likifunguliwa kwa kutumia ‘rimoti’.
Jeneza hilo lililoagizwa kutoka Kampuni ya Montezuma & Monalisa Funeral Home, linafunguliwa kwa kubonyeza kifaa maalumu hata mhusika anapokuwa mbali.
Hali hiyo ilionekana kuwaacha na mshangao maelfu ya waombolezaji waliofika kuaga mwili wakati wa ibada iliyofanyika nyumbani kwake, Kwa Iddi, wilayani Arumeru.
Mfanyabiashara huyo aliyeuawa kwa kumiminiwa risasi zaidi ya 20 na watu wasiojulikana, anazikwa leo nyumbani kwao eneo la Kairo Mirerani, Wilaya ya Simanjiro, mkoani Manyara.
Kaka wa marehemu, Israel Msuya, alisema jana kuwa mazishi hayo yatafanyika makaburi ya familia ya mzee Elisaria Msuya ‘Kikaango’, baba wa marehemu Erasto.
Kwa mujibu wa Kamati ya Maandalizi ya mazishi hayo inayoongozwa na kaka mkubwa wa familia ya Msuya, Gady, zaidi ya Sh100 milioni zimepangwa kugharimia shughuli za maombolezo na mazishi.
Jeneza na gari maalumu la kubebea mwili wa marehemu yameagizwa kutoka Kampuni ya Montezuma & Monalisa Funeral Home ya Nairobi, Kenya kwa gharama ya Sh8 milioni.
Chakula, vinywaji, mapambo na magari ya kukodishwa kutoka Arusha kwenda Mirerani na kurudi yanatarajiwa kugharimu zaidi ya Sh80 milioni.
Katika hatua nyingine, polisi mkoani Arusha imeendelea kuwahoji wafanyabiashara maarufu wa madini ya Tanzanite wa Mji mdogo wa Mirerani, wilayani Simanjiro, wakidaiwa kuhusika na kifo hicho.
Habari zilizopatikana jana zinadai mfanyabiashara mmoja kijana ambaye aliibuka ghafla kuwa tajiri mkubwa kutokana na biashara ya madini ya Tanzanite, anashikiliwa Arusha kwa mahojiano.


Jana, kwenye viunga vya Mji wa Mirerani watu walitangaziwa kuwa mfanyabiashara huyo, alikuwa anashikiliwa kwa mahojiano kuhusiana na kifo hicho.
Hata hivyo, Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Arusha, Liberatus Sabas, hakupatikana mara moja kuelezea suala hilo kwani simu yake ilipopigwa ilikuwa haipatikani.
Marehemu ameacha mke na watoto wanne, huku akiacha rasilimali nyingi ikiwamo jumba la kifahari lililopo Sakina kwa Idd, hoteli maarufu za SG Resort na Mezza Luna zilizopo Arusha.

Wednesday, March 27, 2013

Relocation

Recieved by E-mail:
Man Carrying Coffin for Relocation

A man who makes caskets was on his way to deliver one of the coffins when, not that far from his destination, his car broke down.

Trying not to be late out of respect for the client, he put the coffin on his head and began heading to his destination.

Some policemen saw him and wanted to make some money off him (bribe), so they challenged him:

"Hey!!! What are you carrying and where are you going?!"

The man said, Eish, I do not like where I was buried, so I am busy relocating".

The Policemen turned and ran for their lives!!!

Thursday, January 17, 2013

Wenye Hasira Kenya Wachoma Majeneza 221 - Yawakilisha Wabunge

Duh! Huko Kenya wananchi wenye hasira wamechoma moto majeneza 221 nje ya jengo la Bunge mjini Nairobi! Eti yanawakilisha wabunge 221 wa Bunge la Kenya. Wananchi wana hasira maana wabunge hao walionyesha uroho kwa kutaka mishahara na marupurupu yao yaongezeke marudufu.

Mshahara wa mbunge Kenya ni $170,000 kwa mwaka!  Walitaka wapatiwe bonasi ya $110,000. Huko kipato cha  wastani wa Kenya ni $1,700!   Hebu linganisha na Marekani. Mbunge anapata $150,000 kabla ya kukatwa kodi.  Kipato cha wastani kwa Mwananchi wa Marekani ni $45-50,000/-.   Lazima wakasirike!

********************************************************

Kutoka Yahoo News

NAIROBI, Kenya (AP) — Hundreds of demonstrators angered at the conduct of outgoing Kenyan legislators doused 221 coffins with gasoline and set them on fire Wednesday, causing an inferno outside parliament's main entrance.

Organizers of the protest said the coffins represented the end of an era of parliament's 221 legislators and burning the coffins symbolized the start of a new era away from the dishonorable acts that parliament was known for in the last five years. The legislators' term ended earlier this week. Police looked on as the caskets made of thin wood burned to ashes as protesters shouted and screamed in exhilaration.

"Bye bye parasites," shouted Sheldon Ochieng, 23, a college student studying community development. "MP's do not know their work; they are just stashing money in their pockets. It is time to have new leaders who serve the people."

Kenyans say their legislators are seen as lazy, greedy and self-centered for often improving their welfare lavishly at the cost of tax payers. A Kenya legislator earns about $175,000 a year in a country where the average annual income is $1,700. Last week Kenyan legislators attempted to award themselves a $110,000 bonus, but the president vetoed the legislation.

The package would also provide legislators with an armed guard, a diplomatic passport, and access to the VIP lounge at Kenyan airports and state funerals.

It was the second time the President Mwai Kibaki had refused to sign the bill adding the legislators' bonuses into law. In October members of parliament quietly awarded themselves the bonuses.

However, civil society activists say Kibaki, who is the 222nd legislator, is no different from other parliamentarian's because while he vetoed the hefty raises, he has approved hefty increments to a send-off package for when he retires after two terms in office following the country's March 4 elections.

The organizers of the protests Wednesday said they did not make a coffin for the president because of the veto, and the decision to give himself more money came after the coffins had been ordered.

"It was unsurprising that President Kibaki, while rejecting the MPs' pay deal, retained his own hefty retirement package. Moreover, the failure of his administration to rein in grand corruption remains a blot on what many see as credible efforts to grow the country's economy," said Boniface Mwangi, an official of a lobby group called Kenya Ni Kwetu, or Kenya is Our Home.

Atsango Chesoni, the executive director of the Kenya Human Rights Commission, said Monday that the president had contravened the constitution by approving the law that awards him hefty pension increments.

Chesoni said under the constitution Kenya adopted in 2010, the Salaries and Remuneration Commission is the authority charged with rationalizing and deciding the pay for public servants.

Mwalimu Mati, an anti-corruption activist, said the common argument from legislators is that they deserve pay increases because they have passed more bills. Mati said that argument is without merit. He said that although many laws have been crafted during the current parliamentary term, most of the legislation was passed without scrutiny due to low attendance at parliament.

Mati said the legislators spent a lot of time voting on bills for their own benefit, "like watering down sections of the integrity laws which would have required them to declare wealth." The legislators reduced academic qualifications required for one to be elected that were set out after country adopted the constitution in 2010, Mati said.