Saturday, January 18, 2014

Sista Mkatoliki Ajifungua Italy

Wadau, hii kali. Sista mKatoliki amejifungua mtoto wa kiume mwenye afya huko Italia. Huyo Sista, ambaye hakutajwa jina, ana miaka 31 na ana asili ya El Salvador, Amerika ya Kusini. Hakujua kuwa ana mimba.  Alipelekwa hospitali baada ya kushikwa na maumivu makali tumboni.  Amemwita mwanae Francesco.  Je, atabaki kuwa Sista au watamvua USista. Tusimlaumu labda hakujua kuwa ukitembea na mwanaume utapata mimba.

Kama mnavyojua ni mwiko kwa Sista kufanya ngono. Wanatakiwa kuwa Bikira. Au wakishakuwa Sista ni mwiko kufanya ngono na mwanaume tena.  Je, atasema hiyo mimba kapewa na malaika? Lakini mjue hapa Boston miaka ya 1950's waliboma Convent (Nyumba ya Masista). Kwenye Basement walikuta mifupa mingi ya watoto wa wachanga waliozikwa huko! hiyo Convent ilijengwa miaka ya 1800's na kubomolewa 1950's!  Na ninakumbuka nilivyokuwa nafanya kazi Daily News, mwandishi wa habari mwenzangu alikuwa anatamba kuwa anatembea na sista. Eti wanaenda gesti kufanya mambo, wakimaliza yule sista anavaa magwanda yake na kwenda zake. DUH! 

**************************************************

MaSista  wakitembea katika viwanja vya Vatican


Kutoka Huffington Post

A 31-year-old nun has given birth to a baby boy in Rieti, Italy, after experiencing abdominal pains she thought were stomach cramps.
After she was taken to a hospital, she gave birth to a baby and named him Francis after the current pope. The nun, originally from El Salvador, claims she had no idea she was pregnant.
The sister belongs to a convent which is located near the city of Rieti, which has a population of 47,700.
The nun belongs to the "Little Disciples of Jesus'' convent in Campomoro near Rieti, which manages an old people's home.
As news of the nun's pregnancy has spread, the mayor of Rieti, Simone Petrangi, asked local residents and media to give the woman privacy.
Clothes and donations have been collected and sent to the hospital where she gave birth.
"I did not know I was pregnant. I only felt a stomach pain," she told the Ansa news agency.
Other nuns at the convent also expressed shock at the mysterious pregnancy of a holy sister at their order, saying they were "very surprised", according to Italian media reports.
Don Fabrizio Borrelio, a local pastor, says he believes that the nun is telling the truth about being unaware of her pregnancy. He said the nun plans to take care of the baby herself.
The results of a study on reproductive health, published in the British Medical Journal, revealed that one in 200 US women claim to have given birth without ever having had sexual intercourse.
The BMJ reports that of the women who took part in the study, 45 (0.5%) reported at least one virgin pregnancy, "unrelated to the use of assisted reproductive technology".
They claim to have conceived without vaginal intercourse or in-vitro fertilisation (IVF).
The BMJ article notes that virgin births, or parthenogenesis (from the Greek parthenos for virgin and genesis for birth), can occur in non-humans as a consequence of "asexual reproduction, where growth and development of the embryo occurs without fertilisation".
However, the authors of the study, entitled "Like a virgin (mother)", warn that researchers need to take into account the possibility of fallible memory on the part of respondents.

2 comments:

Anonymous said...

Mimba ya Padri!

Anonymous said...

Ngono tamu, we acha tu,and that is nature. Mangwanda ya sista au padri hayauwi nature. Hapo mungu asifiwe tu, angefanya dhambi kama mtoto huyo amgemzika ktk basement.