Saturday, November 29, 2014

Rais Kikwete Awasili Dar es Salaam, Apata Mapokezi Makubwa!


PICHA NA IKULU



Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na mmoja wa abiria wakati
ndege aliyopanda ilipotua katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa
Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es salaam akitokea Marekani kwenye
matibabu leo Novemba 29, 2014
 
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Mkuu wa Jeshi la
Polisi IGP  Ernest Mangu baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa
Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es salaam akitokea
Marekani kwenye matibabu leo Novemba 29, 2014

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na
waandishi wa habari na viongozi mbalimbali waliokuja kumlaki baada ya
kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere
jijini Dar es salaam akitokea Marekani kwenye matibabu leo Novemba 29,
2014

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Mama
Maria Nyerere baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa
Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es salaam akitokea Marekani kwenye
matibabu leo Novemba 29, 2014

.Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipokea mashada ya maua
kutoka kwa wafanyakazi wa Ikulu waliojitokeza kumpokea mara baada ya
kuwasili Ikulu akitokea nchini Marekani kwenye matibabu.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipokea kadi ya pole toka kwa
mjukuu wake aziza Ridhiwani Kikwete mara baada ya kuwasili Ikulu
akitokea nchini Marekani kwenye matibabu
.

No comments: