Saturday, November 08, 2014

Usikate Tamaa

Nilibakwa nikiwa na Umri wa Miaka 9" - Oprah Winfrey

"Sikumaliza hata Elimu yangu ya Chuo" - Bill Gates

"Kwenye Maisha ya Utotoni, Nilidhurumu Viatu" – Abraham Lincoln

"Nilipata sana shida katika kipindi chote nilichokuwa Shule" - Dr Ben Carson

"Nilikuwa nauza Chai Dukani ili niweze kupata Hela kwa ajili kufanikisha Mazoezi" - Lionel Messi

"Nililala Sakafuni kwenye Vyumba vya Marafiki , nikiwa nakusanya Chupa za Coke kwaajili ya Hela
ya Chakula, na pia kupata Chakula cha Bure cha Wiki kinalichotolewana Wahisani" - Steve Jobs

"Mwalimu wangu alikuwa akiniita Anayefeli" – Tony Blair

KUMBUKA:
Maisha sio kile ambacho hujakifanya mpaka sasa, ila ni juu ya kile ambacho bado una muda na uwezo wa kukifanya!!!
USIKATE TAMAA


No comments: