Saturday, June 20, 2015

Ubaguzi Marekani!

Yaani kama huyo kijana wa kizungu aliyeua watu 9  huko South Carolina angekuwa mweusi polisi wangemwua!  Alikamatwa na kurudishwas South Carolina kwa ndege! Eric Garner alikuwa anauza sigara tu, walimwaua! Mimi binafsi nilikuwa namfahamu marehemu Eric, alikuwa jitu kibonge cha mtu lakini mstaarabu.

No comments: