Saturday, October 24, 2015

Push - Ups za Wagombea 2015

Mh. Magufuli anaonyesha vitu vyake

 
Mgombea Mwenza, Mama Samia Suluhu Aonyesha naye yumo!
Mgombea ubuge jimbo la Moshi Mjini, Davis Mosha mwenye shati la njano akipiga push up sambamba na wagombea Udiwani.
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Mufindi Kusini Ndugu Mahmoud Mgimwa akipiga push up mbele ya wakazi wa Mafinga waliojitokeza kwa wingi kwenye mkutano wa kampeni ...
WaTanzania wanashangaa viongozi wakipiga push-ups hdharani. Mbona hata Rais Obama anapiga push-off kuonyeshs yuko fiti!
Power Toto naye anaonyesha vitu vyake!

No comments: