Saturday, October 31, 2015

Sherehe ya Kumkabidhi Mh. John Magufuli Cheti cha Kushinda Urais

 Rais Mteule Dkt. John Pombe Joseph Magufuli na Makamu wa Rais Mteule Mama Samia Suluhu Hassan wakiwa na Mwenyekiti wa Chama cha UPDP Taifa  Mhe. Fahmi Dovutwa katika chumba cha VIP cha ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam muda mfupi kabla ya kuanza kwa hafla ya kukabidhiwa hati ya Urais na Makamu wa Rais
 Rais Mteule Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akiongea na Mwenyekiti wa Chama cha UPDP Taifa  Mhe. Fahmi Dovutwa katika chumba cha VIP cha ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam muda mfupi kabla ya kuanza kwa hafla ya kukabidhiwa hati ya Urais na Makamu wa Rais
 Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo Mhe. Anna Mghwira  na wagombea wengine wakiwa  katika chumba cha VIP cha ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam muda mfupi kabla ya kuanza kwa hafla ya kukabidhiwa hati ya Urais na Makamu wa Rais
 Rais Mteule Dkt. John Pombe Joseph Magufuli na Makamu wa Rais Mteule Mama Samia Suluhu Hassan wakiwa na  wagombea wengine wakielekea  ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam  tayari kwa hafla ya kukabidhiwa hati ya Urais na Makamu wa Rais
 Rais Mteule Dkt. John Pombe Joseph Magufuli na Makamu wa Rais Mteule Mama Samia Suluhu Hassan na Mhe Anna Mghwira na  wagombea wengine wakielekea  ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam  tayari kwa hafla ya kukabidhiwa hati ya Urais na Makamu wa Rais
 Rais Mteule Dkt. John Pombe Joseph Magufuli na Makamu wa Rais Mteule Mama Samia Suluhu Hassan na Mhe Anna Mghwira na  wagombea wengine wakielekea  ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam  tayari kwa hafla ya kukabidhiwa hati ya Urais na Makamu wa Rais
 Viongozi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi chini ya Jaji Damia Lubuva wakiwa tayari katika sehemu yao
 Meza kuu
 Mke wa Rais Mteule Mama Janet Mgufuli akisalimiana na Waziri wakuu wastaafu Mzee John Malecela na Jaji Joseph Sinde Warioba 
 Mama Janet Magufuli akisalimiana na Mama Salma Kikwete
 Rais Kikwete akisalimiana na Mama Janet Magufuli
 Mkrugenzi wa Uchaguzi Mhe. Kailima Ramadhani akisoma muhtasari wa ratiba
 Meza ya viongozi
 Wakuu wa vyombo vya Ulinzi na Usalama 

 Sehemu ya viongozi wa  taasisi mbalimbali na wastaafu
 Viongozi wa Taasisi mbalimbali
 Viongozi wa Taasisi mbalimbali
 Viongozi wa Taasisi mbalimbali
 Viongozi wa Taasisi mbalimbali na wananchi waliohudhuria
 Viongozi wa Taasisi mbalimbali
 Viongozi mbalimbali
 Viongozi wa Taasisi mbalimbali
 Viongozi wa Taasisi mbalimbali
 Viongozi wa Taasisi mbalimbali za umma na binfasi
 Viongozi wa asasi mbalimbali za umma na binafsi
 Wananchi kutoka sehemu mbalimbali
Balozi wa China nchini Tanzania Dkt. Lu Youqing akiwa ameketi na wananchi
 Sehemu ya wananchi na makada wa CCM
 Sehemu ya wananchi na makada wa CCM
 Sehemu ya wananchi na makada wa CCM
 Wanahabari
 Sehemu ya watumishi wa Tume ya Uchaguzi
 Sehemu ya watumishi wa Tume ya Uchaguzi
 Sehemu ya watumishi wa Tume ya Uchaguzi
 Wananchi toka sehemu mbalimbali
 Wanahabari na wananchi 
 Wananchi wakiwa na furaha
 Wananchi
 Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Damian Lubuva akisoma hotuba yake
 Wananchi wakimsikiliza Jaji Damina Lubuva

 Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Damian Lubuva akisoma hotuba yake
 Viongozi wa dini  na wananchi wakisikiliza
 Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Damian Lubuva akisoma hotuba yake
 Vifijo toka kwa viongozi
 Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Damian Lubuva akisoma hati kabla ya kuikabidhi wa Rais Mteule Dkt John Pombe Magufuli na Makamu wa Rais Mteule Mhe Samia Suluhu Hassan
 Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Damian Lubuva akisoma hati kabla ya kuikabidhi wa Rais Mteule Dkt John Pombe Magufuli na Makamu wa Rais Mteule Mhe Samia Suluhu Hassan. Kulia ni Mkurugenzi wa Uchaguzi Mhe. Kailima Ramadhani
 Wanahabari wa ndani na nje ya nchi wakirekodi tukio hilo la kihistoria
 Rais Mteule Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akionesha hai ya Urais akiwa na Makamu wa Rais Mteule Mama Samia Suluhu Hassan, Jaji Damian Lubuva na Mhe Kailima Ramadhani
 Rais Mteule Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akionesha hai ya Urais akiwa na Makamu wa Rais Mteule Mama Samia Suluhu Hassan, Jaji Damian Lubuva na Mhe Kailima Ramadhani
 Viongozi wakishuhudia tukio hilo kwa furaha
 Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Lubuva akisoma hati ya Makamu wa Rais
 Makamu wa Rais Mteule Mhe Samia Suluhu Hassan akipokea hati  yake
  Makamu wa Rais Mteule Mhe Samia Suluhu Hassan akionesha  hati  yake
 Rais Mteule na Makamu wake mteule wakipongezwa baada ya kukabidhiwa hati
 Rais mteule akipongezwa na waliokuwa wagombea wa Urais wa vyama vingine
 Rais Mteule Dkt Magufuli akimuonesha Mhe Anna Mghwira cheti cha Urais
 Rais Kikwete akimpongeza Rais Mteule
 "...Cheti ndiyo hiki...." anasema Rais Mteule kwa Rais Kikwete
 Wakikionesha cheti kwa furaha
 "....Huyu ndiye our new boss..." anasema Rais Kikwete
 Rais Mteule Dkt John Pombe Magufuli akipita kuonesha cheti chake cha Urais
 Rais Mteule Dkt John Pombe Magufuli akipita kuonesha cheti chake cha Urais
 Rais Mteule Dkt John Pombe Magufuli akipita kuonesha cheti chake cha Urais
 Rais Mteule Dkt John Pombe Magufuli akipita kuonesha cheti chake cha Urais
 Rais Mteule Dkt John Pombe Magufuli akipita kuonesha cheti chake cha Urais
 Rais Mteule Dkt John Pombe Magufuli akipita kuonesha cheti chake cha Urais
 Rais Mteule Dkt John Pombe Magufuli akipita kuonesha cheti chake cha Urais
 Rais Mteule Dkt John Pombe Magufuli akipita kuonesha cheti chake cha Urais


 Rais Mteule Dkt John Pombe Magufuli akipita kuonesha cheti chake cha Urais

 Rais Mteule Dkt John Pombe Magufuli akipita kuonesha cheti chake cha Urais
 Rais Mteule Dkt John Pombe Magufuli akipita kuonesha cheti chake cha Urais na kupeana mikono na Rais wa Zamani wa Nigeria Mhe Goodluck Jonathan

 Rais Mteule Dkt John Pombe Magufuli akipita kuonesha cheti chake cha Urais kwa mabalozi
 Rais Mteule Dkt John Pombe Magufuli akipita kuonesha cheti chake cha Urais
 Makamu wa Rais Mteule Mhe Samia Suluhu Hassan akipongezwa
 Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo Mhe Anna Mghwira akiongea kwa niaba ya wagombea wengine wa vyama mbalimbali  walioshiriki kwenye kugombea Urais
 Wanahabari
 Rais Mteule akimpongeza Mhe Anna Mghwira kwa hotuba nzuri
 Rais Mteule Dkt John Pombe Magufuli katika picha ya pamoja na viongozi wa tume na vyama vya siasa
 Wateule na Tume ya Taifa ya Uchaguzi













3 comments:

Anonymous said...

Hongera Dr John Pombe Magufuli

Nami nichukue nafasi hii kumpongeza Dr. JJP Magufuli; Rais ambaye ni mwajibikaji. Nchi hii ilipo inahitaji Rais kama huyu awahimize vijana waache kukaa vijiweni wafanye kazi yoyote ambayo ni halali kwa faida yao

Ni jambo la heri kuwa hatimaye Kiu ya Watanzania imetulia. Ni aina ya kiongozi tunayemuhitaji sana hasa katika kipindi hiki ambacho walio wengi wamekata tamaa ya maisha kutokana na kupanda kwa gharama za maisha kila kukicha.

Tunaamini yote yatawezekana, mradi amtangulize Mungu mbele na sisi pia tuna jukumu kubwa la kumwombea afya nzuri ili aweze kuyatekeleza yale ambayo tunayahitaji kadri ya mapenzi ya Mwenyezi Mungu. Sina uhakika nma mihemuko ya vijana huko kijijini kwetu lakini kwa Dar it's like watu walikuwa wameaminishwa eti ENL atakuwa anapita anadondosha neema tu. Pengine ni kutokana na na zile kauli kama ".. kila mwenye boda boda moja atapata 10. etc etc etc." nakadhalika ambazo they are next to impossible!

John Pombe Magufuli ni binadamu kama mimi na wewe na jukumu la kuijenga nchi hii linatuhusu wote kwa pamoja. Tuwajibike na tufanye kazi kwa ufanisi na mustakabali wa nchi yetu.. Kidole kimoja hakivunji chawa..Tuwajibike kwa pamoja (Responsible Citizenship)

Mungu Ibariki Tanzania,

Mungu ibariki serikali mpya ya awamu ya Tano, Amani, Umoja, Upendo na Mshikamano vitamalaki ili tuione nchi ya Maziwa na Asali kupitia uongozi wa Mteule - Dr John Pombe Joseph Magufuli..

Muhingo said...

Naandika haya ukiwa ni mda mfupi baada ya sherehe ndogo ya kumkabidhi Ndugu Magufuli cheti cha kumtambulisha kuwa ndiye aliyeteuliwa na watanzania kuwa Rais wa Tanzania.
Nimeona mambo matatu ambayo kama sikukosea yanaitambulisha tanzania na demkrasia yetu na changomoto tulizo nazo.
1) UPEO WA DEMOKRASIA TULIYO NAYO: Nimeona viongozi wa upinzani wakijumuika pamoja. Nimeona mgombea akikabidhiwa cheti mbele ya hadhara na viongozi wa vyama mbalimbali wakishangilia na kusemezana. ni kama nimeona pia watu wengine wakishangaa. Nilioona wakishangaa ni marais wastaafu wa Naigeria na Msumbiji. Nimeona na mabalozi wakishangaa. Hili si jambo dogo. Dr. Magufuli kama hakuliona akilissoma humu alikumbuke. Shughuli zinazoweza kuwakusanya viongozi wetu wa vyama mbalimbali zikionekana watanzania tutaujali ummoja. namuamini kwa ishara moja. Alipoambiwa aondoke ukumbini alichelewa kama dakika chache akiongea na waliokuwa wagombea wenzake. Hii iendelee.

2) Nimeona watu waliokuwa wamevalia sare za chama cha mapinduzi. Mimi ni mwanachama wa CCM nisiyependa kuvaa sare hizi. Sare hizi ninafikiri ndani ya fikra zao huenda ni njema kwa sababu wagombea walioshinda ni wa CCM. Sijui kama wanajua kuwa waliomchagua walio wengi si wana CCM. kwa hiyo wangeujali utanzania na kuziacha sare hizo nyumbani mpaka siku ya chama.

3)Nimeona mfungwa. Mfungwa huyo alianza kutumikia kifungo toka jana nadhani. Aliposimama kuwasalimia watanzania wenzake askari wasio na sare wakamzunguka. Nikaon asivyo na uhuru kwenda anakotaka. Atabaki kifungoni kwa myakla mitano na asipoangalia anaweza kuongezewa adhabu. Kifungo chake hakina punguzo kama vilivyo vya wafungwa wengine. Wao li;a siku hupunguziwa masaa kadhaa. nakumbuka mfungwa wa kwanza hapa Tanzania alipoachiwa alisema amekuwa huru.
Kitendawili: tega: Mfungwa huyo ni nani?
Muhingo

Anonymous said...

Pamoja na ubabe wake hataweza kuwadhibiti Mafisadi maana
kama kweli mlikuwa na nia ya kuwakata kama mlivyofanya kwa
Lowassa ilikuwaje mkawaacha kugombea majimboni? Hatimae
naona wengi tu wamerudi mjengoni