Thursday, October 29, 2015

Ushindi wa Rais Mteule Dr. John Magufuli Katika Vyombo Vya Habari Vya Kimataifa

Na Mdau Msema Kweli
http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/MAGUFULI-1.jpg
Rais Mteule Mh. John Pombe Magufuli
 USHINDI WA RAIS MTEULE DKT JOHN MAGUFULI WAFUNIKA KIMATAIFA

Ushindi wa Rais Meteule wa Tanzannia John Magufuli aka Tingatinga (The Bulldozer) umefunika vianzo vya habari vya kimataifa katika kila kona ya dunia.
Kufunika kwa ushundi wa mgombea wa CCM katika kiti cha urais Dkt.John Magufuli inadhihirisha wazi kuwa nchi ya Tanzania ni kioo cha amani duniani,
kwani watanzania wamefanya mahamuzi sahii kwa amani bila kuwapo na uvunjifu
wa amani,tofouti na nchi nyingi duniani kila panapokuwa na uchaguzi basi raia wataishi kwa mashaka.
Mungu Ibariki Tanzania tupia jicho baadhi ya link:


BBC-London

New York

 Kenya


UGANDA:

Germany:


AUSTRIA:

Rwanda:

UAE;

No comments: