Saturday, November 07, 2015

Rais Magufuli Afanya Ziara ya Kushutukia Wizara ya Fedha

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.John Pombe Magufuli amefanya ziara ya kushtukiza kwa kutembea Ikulu hadi katika wizara ya fedha na kukagua utendaji kazi wa wafanyakazi mbali mbali ofisi kwa ofisi na kukuta Maofisa wengi wa serikali hawapo kazini. 

Kujua kwa kina namna ilivyokuwa fuatilia habari za saa Saa tisa kasoro dakika kumi leo hii hapa ITV.
CHANZO ITV

https://www.facebook.com/itvtz/videos/805063832937926/

No comments: