![]() |
| UDA Bus is Dar es Salaam circa 1978 |
Showing posts with label Daladala. Show all posts
Showing posts with label Daladala. Show all posts
Saturday, December 08, 2018
Usafiri Dar es Salaam (UDA)
Nani nakumbuka mabasi ya UDA ya miaka ya 1970's-1980s. Zilikuwa zinajazana, vibaya mno! Mwenyezi mungu alitulinda! Walileta kumbakumba lakini hazikudumu kwa sababu barabara zilikuwa mbovu. Yaani siyo mashimo, ilikuwa mahandaki!!! Depot ya Kumbakumba ilikuwa Ubungo (Pale yanapoondokea mabasi ya mkoani)
Labels:
Daladala,
Public Transporation,
UDA,
Usafiri Dar es Salaam
Saturday, June 21, 2014
Ajali Mbaya Imetokea Lugalo Leo - Watu Saba Wamakufa
Taarifa na picha kitoka kwa Mdau OS:
Ajali mbaya ya gari imetokea mchana huu, katika maeneo ya Lugalo jijini Dar es Salaam. Katika ajali hiyo, inakadiriwa zaidi ya watu saba wamefariki dunia.
Mashuhuda wanasema, ajali hiyo imesababishwa na gari aina ya dalala iliyokuwa ikitokea maeneo ya Tegeta kuja Mwenge. Gari hiyo ililigonga dalala nyingine kabla ya kulivamia roli na baadaye gari nyingine aina ya Toyota Discover.
Saturday, November 10, 2012
Taxi Cab Assaults in Dar - Warning to U.S. Citizens

U.S. Embassy Dar es Salaam, Tanzania
Security Message for U.S. Citizens
Taxi Cab Assaults in Dar
November 10, 2012
Over
the past several weeks, the U.S. Embassy has received many reports of
U.S. citizens being assaulted and robbed while riding in taxis in Dar es
Salaam. Being the victim of a crime is not always preventable, but
there are some steps you can take to protect yourself. The
assaults follow a similar pattern: a person enters a taxi, often hailed
by a third party. Another person is already in the car, or someone
else gets in shortly thereafter. Then they demand your money. If you
resist, they beat, threaten, and frighten you. They drive you from one ATM to another to withdraw funds until you reach your limit. Victims
report they are being hit, cut, and bruised if they do not cooperate.
When the victim's fund source has been depleted, the
assailants drop off the victim. The perpetrators call themselves the
"Tanzanian" or "Little Mafia." Please note these assaults are happening
during the day as well as night.
We strongly urge you to observe these safety suggestions:
· Use only use a licensed taxi* selected by a reputable hotel or restaurant, or one parked at an official taxi stand.
· Never get in a taxi hailed by someone you just met.
· Avoid riding in group taxis (daladalas and bajajis).
· Do not travel alone.
· If a taxi stops to pick up another passenger, exit immediately.
· Do not carry a credit or debit card unless absolutely necessary.
· Keep only a small amount of cash that you need for that specific activity.
· Keep your passport in a secure location; put a photocopy in your pocket.
· Avoid carrying a bag, jewelry, or any personal electronics. If you must carry a bag, ensure it is 'quick release', i.e., one that you can drop before being dragged or injured.
· If assaulted or robbed, report the incident to the police and ask for a written report. (You will need the report for insurance or other future claims.)
· If
you are the victim of violent crime overseas, you may be eligible for
benefits offered by your state's victim compensation fund. Follow this link for more information.
· Be mindful of your safety at all times.
*What Does a Licensed Taxi Look Like?
(Please
note we cannot vouch for the safety of any vehicle or driver, this is
just a checklist to determine whether a taxi might be licensed.)
· A white car with a white (never yellow) license plate
· A colored stripe running laterally on the side panels of the vehicle
· A number inside a circle on both passenger doors
· Specific windshield stickers, namely:
o A valid insurance certificate
o TRA sticker indicating the maximum number of passengers
o A motor vehicle license certificate
o A municipal council parking stand sticker
· Does the driver's i.d. match the name of the car registration and taxi licenses?
Please be safe when you use public transportation.
The U.S. Embassy in Dar es Salaam encourages U.S. citizens to enroll in the Smart Traveler Enrollment Program (STEP)
for the most up-to-date safety and security information. Keep all of
your information in STEP up-to-date by maintaining your current phone
numbers and email addresses where you can be reached in case of an
emergency.
You can stay in touch and get updates by checking the U.S. Embassy Dar es Salaam website. You can also get global updates at the U.S. Department of State's Bureau of Consular Affairs website,
where you can find the current Worldwide Caution, Travel Warnings,
Travel Alerts, and Country Specific Information. Follow us on Twitter
and the Bureau of Consular Affairs page on Facebook as well, or you can
download our free Smart Traveler iPhone App for travel information at
your
fingertips.
Current
information on safety and security can also be obtained by calling
1-888-407-4747 toll-free in the United States or a regular toll line
at-1-202-501-4444 for callers from other countries. These numbers are
available from 8:00 a.m. to 8:00 p.m. Eastern Time, Monday through
Friday (except U.S. federal holidays).
U.S. Embassy in Dar es Salaam, Tanzania
686 Old Bagamoyo Road, Msasani
Tel: [255] (22) 229-4000
Fax: [255] (22) 229-4721
Email: drsacs@state.gov
After-hour emergencies: Call the switchboard and wait for an operator to answer.
Friday, June 29, 2012
Ogopa Magari enye Madirisha Tinted!
Nimepata kwa email, lakini hii kali! Mambo ya ushirikina yataisha lini!!!!
*************************************************************
Dear Friends:
Leo nimeona ni vyema nika-share nanyi kisa hiki cha kutekwa mfanyakazi mwenzetu ambaye ni cashier siku ya jumatano jioni wiki iliyopita. Ni kama movie lakini ni ukweli, cashier wetu aliomba ruhusa siku hiyo ya tukio aende kwenye mkutano wa wasabato uliokuwa uliendelea viwanja vya biafra.
Yeye pia ni msabato aliyeishika dini ya Sabato haswa, kwa hiyo aliondoka saa kumi kamili badala ya saa kumi na moja. Baada ya dakika 40 tulianza kupokea sms zinazosema mwenye namba xxx amepata ajali na kufa papo hapo na kwa taarifa zaidi twende muhimbili hospital. Baada ya kutazama hiyo namba xxx ilikuwa ni ya cashier wetu. Tulijaribu kuipiga iliita tu bila kupokelewa, na pia tulipiga namba iliyotutumia sms iliita bila majibu. Ilipofika saa kumi na moja tuliamua kuelekea muhimbili, ma baada ya kufika pale emergence tukaambiwa tuelekee chumba cha kuhifadhia maiti. Tulioneshwa mwili wa mtu aliyepata ajali lakini haukuwa wa cashier wetu, tukawatuma wenzetu waende hospitali zote lakini hapakuwa na taarifa zake.
Baada ya kuzunguka bila mafanikio tulitoa taarifa makao makuu ya usalama barabarani na baada ya dk kumi wakatwambia kuwa hakuna taarifa za ajali mbaya iliyotokea jioni hiyo. Hatua iliyofuata ilikuwa ni kutoa taarifa polisi juu ya tulio hilo na ndipo waliposema kwa kuwa ni mtu mzima tusubiri hadi siku inayofuata.
Wakati huo huo ndugu zake pamoja na wafanyakazi wenzetu walikuwa pamoja wakiendelea na jitihada za kumtafuta hadi saa sita usiku.
Kilichokuwa kinatia wasiwasi zaidi ile namba iliendelea kutumia sms namba takribani zote zilizokuwa kwenye phonebook yake na ndugu zake hawakuwahi kuona ndugu yao akichelewa kiasi hicho.
Ilipotimu mida kama ya saa sita na nusu walisikia mtu akigonga mlango, alikuwa kaumizwa na amejaa matope, hakuwa na uwezo wa kuzungumza sana, ilibidi wampeleke kituo cha polisi na baada ya muda hospitali ya mwananyamala. Alipopata nguvu alianza kuwasimulia nduguze kilichotokea. Alipotoka ofisini alikwenda moja kwa moja kwenye kituo cha daladala cha karakana, pale kituoni walikuwa abiria wawili
yaani yeye na mama mmoja. Baada ya dk chache ilikuja coaster iliyoandikwa mbele Kawe na ilikuwa na tinted nyeusi, yule mama hakupanda sababu alikuwa anaelekea posta ila yeye alipanda. Ndani ya gari kulikuwa na watu watatu pamoja na dereva, wawili wakiwa wamekaa nyuma na mmoja akiwa amekaa karibu na driver. Gari hiyo hiyo ilikuwa ni mpya, mmoja wa abiria alimumba simu cashier apige simu
moja kwa jamaa yake maana alidai kuwa simu yake illiishiwa charge na walikuwa wametoka mtwara kupeleka maiti, alimuuliza cashier umri wake na kama ameoa na anafanya kazi wapi, cashier akamjibu hajaoa na hana kazi pia ana miaka 32.
Walipofika Tazara hawakutaka kupakia abiria yoyote na walikuwa wote wamevaa miwani myeusi, na ndipo akaanza kuingiwa na mashaka akaomba ashuke, wao wakamwambia watapita biafra na hawana mpango wa kusanya kwa kuwa hata yeye walimpa lifti tu.
Gari ilipokaribia taa za buguruni akainuka ili ashuke, jamaa wale wa nyuma wakamkalisha chini kwa nguvu, na sio kwenye viti yaani chini kabisa. Mmoja wao akafunga kitambaa cheusi kwenye macho na mikono ikafungwa kwa nyuma na mipira, baada ya muda akasikia kama wamempulizia perfume. Akihisi fahamu kumtoka polepole na neno lamwisho analokumbuka alisikia kuwa waelekee misitu ya Kibaha wakamalize kazi. Kilichomwamsha ni kofi zito alilopigwa na kusukumwa hadi nje ya gari. Alianza kulia na kuwasihi wasimdhuru, wakaanza kumrusha kichurachura huku wakimkanyaga.
Walikuwa wameshamfungua kitambaa machoni na waliacha gari umbali kama wa dk kumi na lilikuwa ni pori zito na giza, wao walivaa vitu usoni na walikuwa wamevaa gloves.
Wakamwekea simu yake mfukoni wakiwa wametoa simcard, walichomwambia wanachohitaji ni sehemu zake za siri na sio kitu kingine. Mmoja wao akaambiwa alete kisu kikali wanachokitumia, na walipompigia boss wao akawasisitiza nyeti zinazotakiwa lazma ziwe za mtu wa miaka 40 na kuendelea.
Mwenzao mmoja akasema cashier alisema alikuwa na miaka 32, baada ya kumkagua wakakuta card yake inaonyesha kazaliwa mwaka 1979. Kulingana na yeye asemavyo ndicho kilichomwokoa ila waliendelea kumkung'uta kwa hasira. Wakamrudisha kwenye gari na baada ya mwendo wakampakia kwenye gari nyingine ndogo iliyokuwa na watu wawili ambao walimchukua na kumtelekeza maeneo ya sayansi.
Hawakuchukua kitu hata kimoja wala kumwambia lolote, siku iliyofuata alipelekwa agakhan kwa uchunguzi zaidi na kwa sasa anaendelea vizurr. Kwa ufupi ni hayo, ukweli mwenyezi Mungu atulinde na tumwombe pia
abadilishe mioyo ya watu ambayo imekuwa migumu mno kwa ajili ya kupata vyeo na utajiri wa haraka.
*************************************************************
Dear Friends:
Leo nimeona ni vyema nika-share nanyi kisa hiki cha kutekwa mfanyakazi mwenzetu ambaye ni cashier siku ya jumatano jioni wiki iliyopita. Ni kama movie lakini ni ukweli, cashier wetu aliomba ruhusa siku hiyo ya tukio aende kwenye mkutano wa wasabato uliokuwa uliendelea viwanja vya biafra.
Yeye pia ni msabato aliyeishika dini ya Sabato haswa, kwa hiyo aliondoka saa kumi kamili badala ya saa kumi na moja. Baada ya dakika 40 tulianza kupokea sms zinazosema mwenye namba xxx amepata ajali na kufa papo hapo na kwa taarifa zaidi twende muhimbili hospital. Baada ya kutazama hiyo namba xxx ilikuwa ni ya cashier wetu. Tulijaribu kuipiga iliita tu bila kupokelewa, na pia tulipiga namba iliyotutumia sms iliita bila majibu. Ilipofika saa kumi na moja tuliamua kuelekea muhimbili, ma baada ya kufika pale emergence tukaambiwa tuelekee chumba cha kuhifadhia maiti. Tulioneshwa mwili wa mtu aliyepata ajali lakini haukuwa wa cashier wetu, tukawatuma wenzetu waende hospitali zote lakini hapakuwa na taarifa zake.
Baada ya kuzunguka bila mafanikio tulitoa taarifa makao makuu ya usalama barabarani na baada ya dk kumi wakatwambia kuwa hakuna taarifa za ajali mbaya iliyotokea jioni hiyo. Hatua iliyofuata ilikuwa ni kutoa taarifa polisi juu ya tulio hilo na ndipo waliposema kwa kuwa ni mtu mzima tusubiri hadi siku inayofuata.
Wakati huo huo ndugu zake pamoja na wafanyakazi wenzetu walikuwa pamoja wakiendelea na jitihada za kumtafuta hadi saa sita usiku.
Kilichokuwa kinatia wasiwasi zaidi ile namba iliendelea kutumia sms namba takribani zote zilizokuwa kwenye phonebook yake na ndugu zake hawakuwahi kuona ndugu yao akichelewa kiasi hicho.
Ilipotimu mida kama ya saa sita na nusu walisikia mtu akigonga mlango, alikuwa kaumizwa na amejaa matope, hakuwa na uwezo wa kuzungumza sana, ilibidi wampeleke kituo cha polisi na baada ya muda hospitali ya mwananyamala. Alipopata nguvu alianza kuwasimulia nduguze kilichotokea. Alipotoka ofisini alikwenda moja kwa moja kwenye kituo cha daladala cha karakana, pale kituoni walikuwa abiria wawili
yaani yeye na mama mmoja. Baada ya dk chache ilikuja coaster iliyoandikwa mbele Kawe na ilikuwa na tinted nyeusi, yule mama hakupanda sababu alikuwa anaelekea posta ila yeye alipanda. Ndani ya gari kulikuwa na watu watatu pamoja na dereva, wawili wakiwa wamekaa nyuma na mmoja akiwa amekaa karibu na driver. Gari hiyo hiyo ilikuwa ni mpya, mmoja wa abiria alimumba simu cashier apige simu
moja kwa jamaa yake maana alidai kuwa simu yake illiishiwa charge na walikuwa wametoka mtwara kupeleka maiti, alimuuliza cashier umri wake na kama ameoa na anafanya kazi wapi, cashier akamjibu hajaoa na hana kazi pia ana miaka 32.
Walipofika Tazara hawakutaka kupakia abiria yoyote na walikuwa wote wamevaa miwani myeusi, na ndipo akaanza kuingiwa na mashaka akaomba ashuke, wao wakamwambia watapita biafra na hawana mpango wa kusanya kwa kuwa hata yeye walimpa lifti tu.
Gari ilipokaribia taa za buguruni akainuka ili ashuke, jamaa wale wa nyuma wakamkalisha chini kwa nguvu, na sio kwenye viti yaani chini kabisa. Mmoja wao akafunga kitambaa cheusi kwenye macho na mikono ikafungwa kwa nyuma na mipira, baada ya muda akasikia kama wamempulizia perfume. Akihisi fahamu kumtoka polepole na neno lamwisho analokumbuka alisikia kuwa waelekee misitu ya Kibaha wakamalize kazi. Kilichomwamsha ni kofi zito alilopigwa na kusukumwa hadi nje ya gari. Alianza kulia na kuwasihi wasimdhuru, wakaanza kumrusha kichurachura huku wakimkanyaga.
Walikuwa wameshamfungua kitambaa machoni na waliacha gari umbali kama wa dk kumi na lilikuwa ni pori zito na giza, wao walivaa vitu usoni na walikuwa wamevaa gloves.
Wakamwekea simu yake mfukoni wakiwa wametoa simcard, walichomwambia wanachohitaji ni sehemu zake za siri na sio kitu kingine. Mmoja wao akaambiwa alete kisu kikali wanachokitumia, na walipompigia boss wao akawasisitiza nyeti zinazotakiwa lazma ziwe za mtu wa miaka 40 na kuendelea.
Mwenzao mmoja akasema cashier alisema alikuwa na miaka 32, baada ya kumkagua wakakuta card yake inaonyesha kazaliwa mwaka 1979. Kulingana na yeye asemavyo ndicho kilichomwokoa ila waliendelea kumkung'uta kwa hasira. Wakamrudisha kwenye gari na baada ya mwendo wakampakia kwenye gari nyingine ndogo iliyokuwa na watu wawili ambao walimchukua na kumtelekeza maeneo ya sayansi.
Hawakuchukua kitu hata kimoja wala kumwambia lolote, siku iliyofuata alipelekwa agakhan kwa uchunguzi zaidi na kwa sasa anaendelea vizurr. Kwa ufupi ni hayo, ukweli mwenyezi Mungu atulinde na tumwombe pia
abadilishe mioyo ya watu ambayo imekuwa migumu mno kwa ajili ya kupata vyeo na utajiri wa haraka.
Labels:
Daladala,
Gari,
Kidnapping,
Lifti,
Tinted Windows,
Uchawi
Monday, August 25, 2008
Auwawa ndani ya Daladala!
Jamani, mbona kuna vituko huko Dar. Unapanda daladala mzima, unashushwa maiti! Mola ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi. Amin.
*************************************************************
Hatari! Abiria Dar kauawa ndani ya daladala
Kutoka ippmedia.com
2008-08-25
Na Moshi Lusonzo, Pilosi Kati
Ukusimulia tukio hilo, utadhani ni zile hadithi za kubuni za elfu lela ulela siku alfu na moja. Lakini amini usiamini, limetokea Jijini Dar es Salaam.
Mtu katoka nyumbani kwake salama, akavuka barabara salama, akapanda basi salama, halafu akauawa akiwa ndani ya daladala!
Kamanda wa Mkoa wa Kipolisi wa Temeke, Emmanuel Kandihabi amesema tukio hilo la kusikitisha lilitokea jana mishale ya saa 3: 45 usiku katika barabara ya Kilwa eneo la Madafu Jijini.
Amemtaja aliyeuawa kuwa ni Suleiman Namumila, mkazi wa Mbagala Kwa Mangaya aliyekuwa kwenye daladala yenye nambari za usajili T989 ARL aina ya Toyota DCM inayofanya safari zake kati ya Mwenge na Mbagala.
Akisimulia mkasa huo kwa undani, Kamanda Kandihabi amesema kwenye daladala hiyo alipanda abiria mmoja mwenye asili ya Kiarabu, ambaye alianza kuzozana na konda akidai amepilizwa kituo.
Kwa mujibu wa Kamanda Kandihabi, mzozo huo ulianza mara baada ya daladala hiyo kuondoka kituo cha Kwa Aziz Ally ambapo abiria huyo alidai kuwa alipaswa kushushwa.
Akasema gari hiyo ilipofika kwenye kituo cha Kwa Madafu, ikasimama ili abiria huyo ashuke.
Hata hivyo akasema wakati abiria huyo akishuka, alimkaba na kumkunja shati konda wa daladala aitwaye Yusuph Hassan, 27, akidai kuwa ndiye aliyesababisha yeye apitilize kituo chake cha kushukia.
Kamanda Kandihabi akasema baada ya abiria wengine kuona hivyo, wakaingilia kati kumtetea konda wao, kwa madai kuwa abiria huyo amepitiliza kituo chake kutokana na uzembe, kwa kuwa gari lilisimama pale kwa Aziz Ally.
Akasema Mwarabu huyo alipoona abiria wote wanamjia juu, akachomoa kisu kutoka mfukoni na kumchoma kifuani Suleiman ambaye alionekana kuwa alikuwa akimsaidia konda.
Akasema baada ya tukio hilo, Suleiman alikimbizwa katika hospitali ya Temeke kwa matibabu, lakini alifariki wakiwa njiani.
Kamanda Kandihabi amesema Mwarabu huyo baada ya kumchoma kisu Suleiman alikimbia na jeshi la Polisi linaendelea kumtafuta.
Amesema mwili wa marehemu umehifadhiwa katika chumba cha kuhifadhia maiti cha hospitali ya Temeke.
*************************************************************
Hatari! Abiria Dar kauawa ndani ya daladala
Kutoka ippmedia.com
2008-08-25
Na Moshi Lusonzo, Pilosi Kati
Ukusimulia tukio hilo, utadhani ni zile hadithi za kubuni za elfu lela ulela siku alfu na moja. Lakini amini usiamini, limetokea Jijini Dar es Salaam.
Mtu katoka nyumbani kwake salama, akavuka barabara salama, akapanda basi salama, halafu akauawa akiwa ndani ya daladala!
Kamanda wa Mkoa wa Kipolisi wa Temeke, Emmanuel Kandihabi amesema tukio hilo la kusikitisha lilitokea jana mishale ya saa 3: 45 usiku katika barabara ya Kilwa eneo la Madafu Jijini.
Amemtaja aliyeuawa kuwa ni Suleiman Namumila, mkazi wa Mbagala Kwa Mangaya aliyekuwa kwenye daladala yenye nambari za usajili T989 ARL aina ya Toyota DCM inayofanya safari zake kati ya Mwenge na Mbagala.
Akisimulia mkasa huo kwa undani, Kamanda Kandihabi amesema kwenye daladala hiyo alipanda abiria mmoja mwenye asili ya Kiarabu, ambaye alianza kuzozana na konda akidai amepilizwa kituo.
Kwa mujibu wa Kamanda Kandihabi, mzozo huo ulianza mara baada ya daladala hiyo kuondoka kituo cha Kwa Aziz Ally ambapo abiria huyo alidai kuwa alipaswa kushushwa.
Akasema gari hiyo ilipofika kwenye kituo cha Kwa Madafu, ikasimama ili abiria huyo ashuke.
Hata hivyo akasema wakati abiria huyo akishuka, alimkaba na kumkunja shati konda wa daladala aitwaye Yusuph Hassan, 27, akidai kuwa ndiye aliyesababisha yeye apitilize kituo chake cha kushukia.
Kamanda Kandihabi akasema baada ya abiria wengine kuona hivyo, wakaingilia kati kumtetea konda wao, kwa madai kuwa abiria huyo amepitiliza kituo chake kutokana na uzembe, kwa kuwa gari lilisimama pale kwa Aziz Ally.
Akasema Mwarabu huyo alipoona abiria wote wanamjia juu, akachomoa kisu kutoka mfukoni na kumchoma kifuani Suleiman ambaye alionekana kuwa alikuwa akimsaidia konda.
Akasema baada ya tukio hilo, Suleiman alikimbizwa katika hospitali ya Temeke kwa matibabu, lakini alifariki wakiwa njiani.
Kamanda Kandihabi amesema Mwarabu huyo baada ya kumchoma kisu Suleiman alikimbia na jeshi la Polisi linaendelea kumtafuta.
Amesema mwili wa marehemu umehifadhiwa katika chumba cha kuhifadhia maiti cha hospitali ya Temeke.
Friday, August 01, 2008
Nauli Mpya Bongo
Nilipoanza Form One 1977, nauli ilikuwa sumni (senti hamsini) kwa mwanafunzi. Tena hata wikiendi na jioni uliweza kulipa sumni, mradi una kitambulisho. Mnakumbuka mabasi ya UDA? Basi kila mwezi tulikuwa tunaenda Kurasini Depot ya UDA kununua 'monthly pass' nadhani ilikuwa kama shilingi 20/-! Walifuta pass hizo 1979.
Nilivyomaliza mwaka 1980, nauli ilikuwa shilingi 1/-. 1984 nikiwa nafanya kazi Daily News mabasi binafsi yaliingia. Nauli ulikuwa shilingi 5/- (dala) Ndo jina daladala. Tuliona hiyo dala nyingi lakini ulikuwa usafiri mzuri kuliko wa UDA. Miaka imeenda na sasa nauli ni shs. 500/- (one way). )Of course miaka ya 70 hiyo dola ilikuwa eight shillings to the dollar. Kwa sasa ni 1 dollar -1,200/-.)
Sasa jamani, matatizo ni yale yale, Mtu unapata mshahara lakini haitoshi hizo bili za mwezi. Na siki hizi kila kitu ni kulipia, shule, hospitali. Watu wanakoma ingawa serikali ilipandisha kima cha chini mwaka jana. Mambo ni yale yale maana hata wakati ule mshahara ulikuwa hautoshi. Miradi ndo ziliokoa watu, kuku, ice cream.
Nimeona wanafunzi wamechachamaa huko Dar Leo. Lakini jamani, Bongo kuna mabadiliko. Enzi za Mwalimu mnadhani watu wangeweza kuandamana hivi hivi na mabango?! Watu fulani wangezolewa halafu ungewaona wanarudi 'kiiimya" hawana neno tena. Nyie wengine mngeshulikiwa vizuri na FFU. Ndo tulikuwa tunsema, "kamchape class".
Serikali itazame upya hi suala la nauli. Dar mji mkubwa, watu kutembea miendo si mchezo. Na familia enye watoto wengi wanaosoma si ni balaa kwao!
Miaka mingi tumekuwa tunasema 'Tunataka hali bora ya maisha kwa kila MTanzania'. Sijui hali itakuwa bora lini.
*******************************************************************************
Nauli Mpya ni Kilio
2008-08-01
Na Sharon Sauwa, Jijini
Hatimaye kile kiama cha nauli mpya kwa wakazi wa Jiji la Dar es Salaam kimeanza leo asubuhi na kuwatoa chozi abiria kibao hasa wale akina kwangu pakavu tia mchuzi.
Alasiri ilipovinjari maeneo kadhaa ya Jiji imeshuhudia abiria kadhaa wakiwalilia makonda wa mabasi kuwaruhusu japo kwa leo kulipa nauli ya zamani kwa kile walichodai kuwa hawakuwa na pesa zaidi.
``We vipi, mlishatangaziwa kwamba nauli mpya inaanza leo...kama huna mia nne yangu, anza...dereva ondoa gari, hakuna kichwa hapa`` konda mmoja wa basi la kutoka Mbezi-Mwenge alisikika akimwambia abiria aliyekuwa akimlilia apokee nauli ya zamani. Kutokana na kupanda kwa nauli, baadhi ya abiria walionekana wakitembea kwa mguu huku wengine wakitokwa na majasho kutokana na kupiga kwata umbali mrefu.
``Tangu saa 11:30, niko njiani. Mshahara wenyewe ndio huo...nikitoa kodi ya nyumba, chakula, ada ya watoto, umeme, nauli hii ya Sh. 600 kwa kila ruti nitaipata wapi? Nimeona nianze mapema kabisa kutembea,`` mwanamama mmoja aliyekuwa akitokea Boko kwenda Mwenge ameliambia Alasiri.
Kwa upande wa wanafunzi, wengi walionekana wakiwa wamejazana vituoni kutokana na makonda kuwazuia kupanda mabasi hadi waonyeshe nauli yao mpya. ``Tulidandia malori la sivyo tusingekwenda shule kabisa,`` denti mmoja kutoka Tabata anayesoma maeneo ya Mbezi amesema.
Kwa mujibu wa Mamlaka ya Usafiri, Nchi Kavu na Majini, SUMATRA, nauli mpya ilitakiwa kuanza kutumika leo ambapo watu wazima wanatakiwa kulipa Sh. 300 kwa safari fupi ambazo hazizidi kilomita kumi wakati wale wa umbali wa kilomita kumi na tano wanatakiwa kulipa nauli ya Sh. 400 na wale wa kilomita 25, nauli yao ni Sh. 500.
Kwa upande wa ruti za kulala usingizi, yaani zile za umbali wa kilomita 30, wanatakiwa kulipa nauli ya Sh. 600 wakati wanafunzi nauli yao imepanda kutoka Sh. 50 hadi Sh. 100. Habari zilizotufikia wakati tukienda mitamboni zinasema kuwa wanafunzi wa shule mbalimbali Jijijini Dar es Salaam wameitisha mgomo mkubwa kupinga nauli mpya za daladala.
Imedaiwa kuwa wametinga ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Abbas Kandoro kumweleza tatizo hilo.
Nilivyomaliza mwaka 1980, nauli ilikuwa shilingi 1/-. 1984 nikiwa nafanya kazi Daily News mabasi binafsi yaliingia. Nauli ulikuwa shilingi 5/- (dala) Ndo jina daladala. Tuliona hiyo dala nyingi lakini ulikuwa usafiri mzuri kuliko wa UDA. Miaka imeenda na sasa nauli ni shs. 500/- (one way). )Of course miaka ya 70 hiyo dola ilikuwa eight shillings to the dollar. Kwa sasa ni 1 dollar -1,200/-.)
Sasa jamani, matatizo ni yale yale, Mtu unapata mshahara lakini haitoshi hizo bili za mwezi. Na siki hizi kila kitu ni kulipia, shule, hospitali. Watu wanakoma ingawa serikali ilipandisha kima cha chini mwaka jana. Mambo ni yale yale maana hata wakati ule mshahara ulikuwa hautoshi. Miradi ndo ziliokoa watu, kuku, ice cream.
Nimeona wanafunzi wamechachamaa huko Dar Leo. Lakini jamani, Bongo kuna mabadiliko. Enzi za Mwalimu mnadhani watu wangeweza kuandamana hivi hivi na mabango?! Watu fulani wangezolewa halafu ungewaona wanarudi 'kiiimya" hawana neno tena. Nyie wengine mngeshulikiwa vizuri na FFU. Ndo tulikuwa tunsema, "kamchape class".
Serikali itazame upya hi suala la nauli. Dar mji mkubwa, watu kutembea miendo si mchezo. Na familia enye watoto wengi wanaosoma si ni balaa kwao!
Miaka mingi tumekuwa tunasema 'Tunataka hali bora ya maisha kwa kila MTanzania'. Sijui hali itakuwa bora lini.
*******************************************************************************
Nauli Mpya ni Kilio
2008-08-01
Na Sharon Sauwa, Jijini
Hatimaye kile kiama cha nauli mpya kwa wakazi wa Jiji la Dar es Salaam kimeanza leo asubuhi na kuwatoa chozi abiria kibao hasa wale akina kwangu pakavu tia mchuzi.
Alasiri ilipovinjari maeneo kadhaa ya Jiji imeshuhudia abiria kadhaa wakiwalilia makonda wa mabasi kuwaruhusu japo kwa leo kulipa nauli ya zamani kwa kile walichodai kuwa hawakuwa na pesa zaidi.
``We vipi, mlishatangaziwa kwamba nauli mpya inaanza leo...kama huna mia nne yangu, anza...dereva ondoa gari, hakuna kichwa hapa`` konda mmoja wa basi la kutoka Mbezi-Mwenge alisikika akimwambia abiria aliyekuwa akimlilia apokee nauli ya zamani. Kutokana na kupanda kwa nauli, baadhi ya abiria walionekana wakitembea kwa mguu huku wengine wakitokwa na majasho kutokana na kupiga kwata umbali mrefu.
``Tangu saa 11:30, niko njiani. Mshahara wenyewe ndio huo...nikitoa kodi ya nyumba, chakula, ada ya watoto, umeme, nauli hii ya Sh. 600 kwa kila ruti nitaipata wapi? Nimeona nianze mapema kabisa kutembea,`` mwanamama mmoja aliyekuwa akitokea Boko kwenda Mwenge ameliambia Alasiri.
Kwa upande wa wanafunzi, wengi walionekana wakiwa wamejazana vituoni kutokana na makonda kuwazuia kupanda mabasi hadi waonyeshe nauli yao mpya. ``Tulidandia malori la sivyo tusingekwenda shule kabisa,`` denti mmoja kutoka Tabata anayesoma maeneo ya Mbezi amesema.
Kwa mujibu wa Mamlaka ya Usafiri, Nchi Kavu na Majini, SUMATRA, nauli mpya ilitakiwa kuanza kutumika leo ambapo watu wazima wanatakiwa kulipa Sh. 300 kwa safari fupi ambazo hazizidi kilomita kumi wakati wale wa umbali wa kilomita kumi na tano wanatakiwa kulipa nauli ya Sh. 400 na wale wa kilomita 25, nauli yao ni Sh. 500.
Kwa upande wa ruti za kulala usingizi, yaani zile za umbali wa kilomita 30, wanatakiwa kulipa nauli ya Sh. 600 wakati wanafunzi nauli yao imepanda kutoka Sh. 50 hadi Sh. 100. Habari zilizotufikia wakati tukienda mitamboni zinasema kuwa wanafunzi wa shule mbalimbali Jijijini Dar es Salaam wameitisha mgomo mkubwa kupinga nauli mpya za daladala.
Imedaiwa kuwa wametinga ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Abbas Kandoro kumweleza tatizo hilo.
Sunday, July 20, 2008
Mnao lilia kuja Dar Shauri Lenu! - Father Kidevu
Mnao lilia kuja Dar shauri lenu!
Kutoka Father Kidevu Blog
Na Father Kidevu
YALAAAH! Jamanai mjini sasa hapafai na chonde chonde mlio huko mashambani wala msililie kuja jijini Dar es Salaama maana kuna tabu na karaha siku hizi.Nimelia maana sasa ninaona tunakokwenda kwa hizi nauli za daladala na mabasi ya kwenda huko kwa babu na bibi ni hatari.
Wajameni mimi leo nalia na na nimeamua kuropoka niwezavyo juu ya upandaji huu wa nauli hapa mjini na za kwenda makwetu, walahi ni zambi kabisa. sababu naambiwa eti mafuta na gharama za uendeshaji zimepanda, Haya mi mnyonge sina la kusema pandisheni tu hata misosi nayo hivi sasa sii ipo juu kisa mafuta.
Juzi hapa muuza madafu na machungwa wananiambia sasa dafu ni 300 badala ya 250 kisa eti mafuta. Mafuta haya hadi lini? SUMU ya MATRA nayo hiyo imekubali kutuua kwa kupanda kwa mafuta. haya tuendelee.
Ndio! Hatari sana, eti SUMATRA imeridhia baadhi ya nauli za mikoani kupanda, awali nilipo sikia ni nilihisi sasa maskani huko kwa babu watanisahau zaidi maana huu mwaka wa nne sijatia tumu bado naichanga nauri na leo huyu Izraeli Mwakilasa wa hiyo Mammlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini ameongeza tena.Kha!
Nitaendaje kwetu Kigoma kwa basi maana bila ya kuwa na shilingi 200 elfu/= sijaenda na kurudi kwangu Vingunguti. Nauri tu ya kwenda ni sh 84,elfu nikichanganya na msosi inaweza fika 100 elfu na zaidi.Lakini usishtuke hiyo ni ya ndugu zangu walio soma na wakabahatika kufanya kazi BOT au katika mashirika na taasisi kubwa kama Mabenki na kule TRA ambao hupenda kupanda mabasi yaliyo na raha kamili.
Mimi na mwenzangu hapo ambao hufanya kazi katika NGOs za kuzoa taka hapa mjini na kuropoka ropoka kama huku nauri yetu leo imepanda kutoka sh 40,500 hadi 49,000 hadi huko Kigoma.Nauri hii jamani inatugombanisha na kututenganisha na familia zetu.
Akina Masawe, Mushi, Manka, Kekuu, Mboro, Lymo, Mgonja, Mbaga, Msuya, Nendiwe, Nakiete na hata wewe Naelijwa kwenda kwenu kama mpo hapa Disim mtalipa sh 31,000 kama mmesoma na mnamiliki maduka makubwa pale Kariakoo na mnamabucha ya kule Koregwe ya kuuza Astaghafilula.
Ofkozi nitatumia ka eropleni kwenda kwetu Kyaka na hata kwa my frendi Prof. Rwegoshora wa pale Chuo kikuu cha Univasiti, lakini siwezi lipa 75,000 hadi Bukoba.Kaka Kyaruzi, nawewe Rwebangira mmesoma au ndio akina mimi?
Haya wewe Bishanga hukusoma lipa 44,000 tu hadi kwenu Kanyigo.Hahahahaaa! Yeto Msangi, unastuka nini kwani nani kakuita kuja hapa mjini uache mikahawa yako na makilaume kule kwenu, Masawe unalia sana, kama pato lako la chini panda mabasi yale yaliyo na Chesisi za malori ambazo nauri zake sasa ni 18,000 badala ya 14,900.
Akina Lukwangule, Msimbe, Mloka, Malonga, Chamhene, Mwenda na wewe Chuma mnaotoka hapo Matombo, Mgeta, Mlali na kule Gairo hadi Ifakara nauri hadi pale Msavu kituo Kikubwa Mjomba sasa uwe na buku sita (6,000) na sio 5,000 ya zamani.Be Mwakitosi, Se-Fute, Mwatagalile, kule kwetu Lilinga ah! Iringa, sasa kwenda kusalimia home kupata Ulanzi kidogo na tule tumboga twetu tudogo ni sh 29,000 taslim kama unataka kuangalia na video kama hutaki panda Upendo ulipe 17,000.
Wewe nani anasema kwa Akina Somo kule Ntwara na Lindi ni Mbali? Acha habari hiyo kule ukipanda basi swafi Video na Maliwato humo humo utalipa 25,00 tu hadi Lindi na kama utashukia Ntwara lipa 29,000.Jamani wewe bado unataka kuja bandari ya Salama tu, kwa kazi gani kubwa unayotaka huku, kuuza maji au mambo flani…. Tulia huko huko unaweza kushindwa hjata kurudi bush bure maana wengine kwa kuja na malori ama mabehewa ya Ng’ombe na mbio zamwenge ndio wenyewe halafu kurudi soo.Kuna watu wanacheka hapa!
Eti aende huko sijui Kigoma,Moshi na Iringa kuna nini ilhali babu yake mwenyewe kazaliwa Taasisi ya Saratani Ocean Road, nauri ya kuja kutoka Mwenge au Kimara ni 300 mara mbili hapo 600 umeliwa.Kwataarifa yako sasa nauri zote za hapa town zimepanda. Tobah!
Ndio Sekilasa wa SUMATRA amesema hivi sasa ukitoka Mbezi mwisho hadi Kariakoo au Posta utalipa Sh 600, Mwenge Posta sasa utalipa 500 na nauri ya chini sasa ni 300 hakuna kulia lia.Hapo sasa utajiuliza kwa mshahara gani niupatao nauri 1200 kwa siku?
Ebwana ninawazo sasa akili zikiniruka tu nahamisha watz wote weupe pale NHC za Posta na Kariakoo wakaishi Kimara naTegeta halafu WaTz weusi tuhamie zile nyumba za mjini amabazo hata kodi yake ni nafuu.
Watahama tu wao si, wanavipato vikubwa unafikiri watashindwa kukaa nje ya mji na magari wanayo.Waajiri sasa muangalie upya sakata hili la nauri kupanda na gharama nyinge za maisha, muwahurumie hao wanao wazalishia kwa kuwapa nyongeza kama ya SUMATRA.-------------------------------------------------------------------------------------------------
Wasomaji wa gazeti tando hili kuanzia sasa nitakuwa naweka maneno kama haya hapa chini na yeyote mwenye maoni au ushauri aniandike mrokim@gmail.com au sms +255373999.
Kutoka Father Kidevu Blog
Na Father Kidevu
YALAAAH! Jamanai mjini sasa hapafai na chonde chonde mlio huko mashambani wala msililie kuja jijini Dar es Salaama maana kuna tabu na karaha siku hizi.Nimelia maana sasa ninaona tunakokwenda kwa hizi nauli za daladala na mabasi ya kwenda huko kwa babu na bibi ni hatari.
Wajameni mimi leo nalia na na nimeamua kuropoka niwezavyo juu ya upandaji huu wa nauli hapa mjini na za kwenda makwetu, walahi ni zambi kabisa. sababu naambiwa eti mafuta na gharama za uendeshaji zimepanda, Haya mi mnyonge sina la kusema pandisheni tu hata misosi nayo hivi sasa sii ipo juu kisa mafuta.
Juzi hapa muuza madafu na machungwa wananiambia sasa dafu ni 300 badala ya 250 kisa eti mafuta. Mafuta haya hadi lini? SUMU ya MATRA nayo hiyo imekubali kutuua kwa kupanda kwa mafuta. haya tuendelee.
Ndio! Hatari sana, eti SUMATRA imeridhia baadhi ya nauli za mikoani kupanda, awali nilipo sikia ni nilihisi sasa maskani huko kwa babu watanisahau zaidi maana huu mwaka wa nne sijatia tumu bado naichanga nauri na leo huyu Izraeli Mwakilasa wa hiyo Mammlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini ameongeza tena.Kha!
Nitaendaje kwetu Kigoma kwa basi maana bila ya kuwa na shilingi 200 elfu/= sijaenda na kurudi kwangu Vingunguti. Nauri tu ya kwenda ni sh 84,elfu nikichanganya na msosi inaweza fika 100 elfu na zaidi.Lakini usishtuke hiyo ni ya ndugu zangu walio soma na wakabahatika kufanya kazi BOT au katika mashirika na taasisi kubwa kama Mabenki na kule TRA ambao hupenda kupanda mabasi yaliyo na raha kamili.
Mimi na mwenzangu hapo ambao hufanya kazi katika NGOs za kuzoa taka hapa mjini na kuropoka ropoka kama huku nauri yetu leo imepanda kutoka sh 40,500 hadi 49,000 hadi huko Kigoma.Nauri hii jamani inatugombanisha na kututenganisha na familia zetu.
Akina Masawe, Mushi, Manka, Kekuu, Mboro, Lymo, Mgonja, Mbaga, Msuya, Nendiwe, Nakiete na hata wewe Naelijwa kwenda kwenu kama mpo hapa Disim mtalipa sh 31,000 kama mmesoma na mnamiliki maduka makubwa pale Kariakoo na mnamabucha ya kule Koregwe ya kuuza Astaghafilula.
Ofkozi nitatumia ka eropleni kwenda kwetu Kyaka na hata kwa my frendi Prof. Rwegoshora wa pale Chuo kikuu cha Univasiti, lakini siwezi lipa 75,000 hadi Bukoba.Kaka Kyaruzi, nawewe Rwebangira mmesoma au ndio akina mimi?
Haya wewe Bishanga hukusoma lipa 44,000 tu hadi kwenu Kanyigo.Hahahahaaa! Yeto Msangi, unastuka nini kwani nani kakuita kuja hapa mjini uache mikahawa yako na makilaume kule kwenu, Masawe unalia sana, kama pato lako la chini panda mabasi yale yaliyo na Chesisi za malori ambazo nauri zake sasa ni 18,000 badala ya 14,900.
Akina Lukwangule, Msimbe, Mloka, Malonga, Chamhene, Mwenda na wewe Chuma mnaotoka hapo Matombo, Mgeta, Mlali na kule Gairo hadi Ifakara nauri hadi pale Msavu kituo Kikubwa Mjomba sasa uwe na buku sita (6,000) na sio 5,000 ya zamani.Be Mwakitosi, Se-Fute, Mwatagalile, kule kwetu Lilinga ah! Iringa, sasa kwenda kusalimia home kupata Ulanzi kidogo na tule tumboga twetu tudogo ni sh 29,000 taslim kama unataka kuangalia na video kama hutaki panda Upendo ulipe 17,000.
Wewe nani anasema kwa Akina Somo kule Ntwara na Lindi ni Mbali? Acha habari hiyo kule ukipanda basi swafi Video na Maliwato humo humo utalipa 25,00 tu hadi Lindi na kama utashukia Ntwara lipa 29,000.Jamani wewe bado unataka kuja bandari ya Salama tu, kwa kazi gani kubwa unayotaka huku, kuuza maji au mambo flani…. Tulia huko huko unaweza kushindwa hjata kurudi bush bure maana wengine kwa kuja na malori ama mabehewa ya Ng’ombe na mbio zamwenge ndio wenyewe halafu kurudi soo.Kuna watu wanacheka hapa!
Eti aende huko sijui Kigoma,Moshi na Iringa kuna nini ilhali babu yake mwenyewe kazaliwa Taasisi ya Saratani Ocean Road, nauri ya kuja kutoka Mwenge au Kimara ni 300 mara mbili hapo 600 umeliwa.Kwataarifa yako sasa nauri zote za hapa town zimepanda. Tobah!
Ndio Sekilasa wa SUMATRA amesema hivi sasa ukitoka Mbezi mwisho hadi Kariakoo au Posta utalipa Sh 600, Mwenge Posta sasa utalipa 500 na nauri ya chini sasa ni 300 hakuna kulia lia.Hapo sasa utajiuliza kwa mshahara gani niupatao nauri 1200 kwa siku?
Ebwana ninawazo sasa akili zikiniruka tu nahamisha watz wote weupe pale NHC za Posta na Kariakoo wakaishi Kimara naTegeta halafu WaTz weusi tuhamie zile nyumba za mjini amabazo hata kodi yake ni nafuu.
Watahama tu wao si, wanavipato vikubwa unafikiri watashindwa kukaa nje ya mji na magari wanayo.Waajiri sasa muangalie upya sakata hili la nauri kupanda na gharama nyinge za maisha, muwahurumie hao wanao wazalishia kwa kuwapa nyongeza kama ya SUMATRA.-------------------------------------------------------------------------------------------------
Wasomaji wa gazeti tando hili kuanzia sasa nitakuwa naweka maneno kama haya hapa chini na yeyote mwenye maoni au ushauri aniandike mrokim@gmail.com au sms +255373999.
Sunday, April 20, 2008
Ditopile Afariki!
Habari kutoka Tanzania zinasema Ditopile Ukiwaona Mzuzuri amefariki dunia leo asubuhi katika hoteli moja huko Morogoro. Habari za kuaminikia zinasema kuwa Ditopile alikuwa anatazama TV ndipo kapata Heart Attack na kufa.
Kesi ya mauji ya Ditopile, ambayo Ditopile alimwua dereva wa daladala pale njia panda ya Bagamoyo Rd. ilikuwa isikilizwe hivi karibuni.
Mola ailaze roho yake mahala pema peponi. AMIN.
***************************************
Kutoka Michuzi Blog
BREKING NYUUUZZZZZZ
HABARI KUTOKA MOROGORO ZINASEMA ALIYEKUWA MKUU WA MKOA WA TABORA UKIWAONA ATHUMANI DITOPILE AMEFARIKI DUNIA LEO ASUBUHI KATIKA HOTELI MOJA MJINI HUMO.
JUHUDI ZINAFANYWA KUJUA CHANZO CHA MAUTI YAKE. UONGOZI WA HOSPITALI YA MKOA IMETHIBITISHA KIFO HICHO.
**************************************
Habari kutoka Ippmedia.com
Ditopile allegedly guns down daladala driver 2006-11-06
Police in Dar es Salaam are holding Tabora Regional Commissioner, Capt (rtd) Ukiwaona Ditopile Mzuzuri for allegedly shooting to death a commuter bus driver. Dar es Salaam Special Zone Police Commander Alfred Tibaigana told a news conference yesterday that Ditopile, who once served the government as deputy minister, allegedly shot Hasani Mbonde (33) in the head, killing him instantly.
According to Tibaigana, police are holding the regional commissioner, as investigations into the killing continues. He said Ditopile, who has been in the public service for many years, having served as RC in a number of regions, allegedly shot the bus driver at around 7.pm, at the junction of Kawe and Bagamoyo roads in Kinondoni District on Saturday.
Tibaigana said Mbonde, a resident of Kawe Mzimuni, was driving a commuter bus an Isuzu Journey with registration number T788 ACC, plying between Ubungo and Tegeta. Detailing on the incident, he said the commuter bus had collided with a Prado vehicle with registration number T816 AJT which was being driven by Nasoro Mohamed (42) a resident of Kijitonyama.
Ditopile was a passenger in the Prado.
The RPC said Ditopile was heading to Bagamoyo from Dar es Salaam, with another passenger whose name could not be immediately be obtained. He said preliminary investigation shows that shortly after the collision, Ditopile’s driver alighted from his vehicle, to establish the extent of the damage.
He discovered a minor damage at the rear of the vehicle.
However, Ditopile also got out of the car to assess the damage, went straight to the commuter bus driver and ordered him out of his vehicle. The driver allegedly refused to budge and shut the door and window of the bus. ”At this juncture, Ditopile drew a pistol and used it to knocked on the window of the bus, insisting that the driver should come out,” Tibaigana explained.
He said in the course of the wrangle, Ditopile allegedly fired at the driver through the glass window and killed him on the spot. Tibaigana said the body of the deceased is being preserved at the Muhimbili National Hospital mortuary. Prior to his appointment as Tabora RC, Ditopile, popularly known as ’Dito’ served as deputy minister in the then Communication and Transport ministry and as RC for Kigoma, Lindi and Coast Region. He once served as Ilala legislator and member
Subscribe to:
Posts (Atom)







