Showing posts with label Khanga. Show all posts
Showing posts with label Khanga. Show all posts
Saturday, October 18, 2014
Chemi Katika Sinema, HIstoria ya Khanga 1994
Mwaka 1994, TAMWA, walitengeneza sinema kuhusu Historia ya Khanga. Mimi nilikuwa mmoja wa waigizaji pamoja na Issa Michuzi. Mnaweza kuona Clip yote YOU TUBE:
CHEMI & MICHUZI IN HISTORY OF KHANGA
Monday, July 01, 2013
Ziara ya Rais Obama wa Marekani Nchini Tanzania Katika Picha
Wadau, vyombo vya habari hapa Marekani jinsi waTanzania walivyompokea Rais Obama kwa upendo na ukarimu. Na pia walishanaa Rais Bush Jr. alivyopokelewa. Kweli waTanzania tujivunie! Wanazidi kushangaa vitenge na khanga zenye picha ya Rais Obama pia!
Picha Kutoka Yahoo News na CNN.com
Picha Kutoka Yahoo News na CNN.com
Labels:
Khanga,
President Barack Obama,
President Jakaya Kikwete,
Tanzania,
Visit,
Vitenge,
Ziara
Monday, October 03, 2011
Sinema 'Historia ya Khanga" Cheki Mimi na Kaka Michuzi!
Kabla ya Kanumba na Ray kulikuwa na Chemi na Michuzi!
Wadau, kwenye mwaka 1992 nilishiriki katika sinema ya TAMWA, "The History of Khanga". Hebu itizame, Utaniona mimi na Kaka Michuzi, "Tunajiandaa kulala"
Mwongozaji alikuwa Dada Fatma Alloo. Pia kuna mahojiano na marehemu Bibi Titi Mohamed.
Sinema sasa iko YOU TUBE kwa hisana ya Dada Fatma na Kaka Michuzi:
http://www.youtube.com/watch?v=jAuhAB0HeeA&feature=player_embedded
Labels:
Bibi Titi Mohamed,
Fatma Alloo,
Khanga,
Michuzi,
Ndoa,
Sinema,
TAMWA,
Tendo la Ndoa,
Unyago,
You Tube
Monday, December 20, 2010
Mr. Tanzania - Christopher Maganga Malecha
Huyu ni Bwana Christopher Maganga Malecha wa Tenki Bovu, Mbezi Beach, Dar es Salaam. Anasema anataka kutangaza Tanzania kwa dunia. Anapenda sana kuvaa nguo za Khanga amabazo anashona mwenyewe. Asili yake ni MNyamwezi kutoka Tabora. Anapatikana sehemu za Chai Bora njia ya kwenda Goba.
Labels:
Dar es Salaam,
Khanga,
Tanzania. Mbezi Beach
Thursday, November 04, 2010
Makochi ya Vitenge



Mwaka 1990 kuna dada fulani (Marehemu) huko Manzese aliyetengeneza maforonya na mashuka ya vitenge. Watu walimcheka.
Leo wazungu wanatengeneza makochi ambayo yamefunikwa (upholstery) na vitenge. Tena wanaziuza bei mbaya. Hebu cheki hizo kochi pichani, moja dola $1,700! Hizo ottoman za kuwekea miguu dola $200! Acheni kudharua vitenge na khanga zetu. Tengenezeni maseti ya mashuka na maforonya mpate kibunda....ohhooooo! Exported from Tanzania!
Mnaweza kuona bidhaa zaidi kwa kubfoya hapa: ANTHROPOLGIE.COM
Thursday, February 21, 2008
First Ladies
American First Lady Laura Bush walks down the red carpet with her Tanzanian Counterpart First Lady, Salma Kikwete during the recent visit of President Bush to Tanzania. (Photo courtesy of Mpoki Bukuku).Sasa jamani, hiyo khanga ilivyokunjwa. Picha ya Bush imefichwa lakini maneno WE CHERISH DEMOCRACY ni prominent. Hivi aliamua kuikunja hivyo kusudi picha ya Bushi isionenekane? Hapa Marekani watu walikuwa wanacheka kweli hizo khanga wanasema picha ya Bush iko kwenye butts (matako) na bosoms (vifua) vya wanawake wa kiafrika. Hawaelewi utamduni wetu wa khanga.
Labels:
First Lady,
Khanga,
Laura Bush,
Salma Kikwete,
Tanzania
Sunday, February 17, 2008
President Bush Visit to Tanzania in Pictures II
President Bush and his wife Laura greet Tanzanian officials. Behind President Bush if Tanzanian first Lady, Salma Kikwete.All Photos from Michuzi Blog and were taken by famous Tanzanian photojournalist, Muhidini Issa Michuzi:
Labels:
Khanga,
Michuzi,
President Bush,
President Jakaya Kikwete,
Tanzania
Friday, February 15, 2008
Raisi Bush matakoni Mwetu!
Picha na Caption kutoka Food For Thought BlogMaandalizi ya ujio wa rais George Bush wa marekani yamepamba moto kwa njia mbalimbali kama kanga hii yenye maneno ya kumkaribisha rais huyo nchini ambayo imetolewa rasmi kwa ajili ya mapokezi yake. Picha na Mpoki Bukuku
****************************************************************************
Wapendwa wadau, nawauliza hivi, "WHO IS KISSING WHO'S ARSE HERE?"
Duh, Rais Bush atablow kuona picha yake kwenye matako makubwa ya wanawake wa kiafrika! Wazungu wanavyochukia matako makubwa halafu sasa picha ya rais Bush hiyo! Nadhani TMZ na stesheni zingine, akina Leno na Letterman watafanya utani kweli hapo! Utasikia utani kuhusu, 'sit on it'.
Khanga siyo mbaya ila mmh kuna watu hawapendi kuona uso ya huyo Bush kutokana na vitu alivyofanya kama kuanzisha vita isiyo na maana huko Iraq! Lakini watasema iko where it deserves to be, on an arse!
Subscribe to:
Posts (Atom)









