Showing posts with label Khanga. Show all posts
Showing posts with label Khanga. Show all posts

Saturday, October 18, 2014

Chemi Katika Sinema, HIstoria ya Khanga 1994



Mwaka 1994, TAMWA, walitengeneza sinema kuhusu Historia ya Khanga. Mimi nilikuwa mmoja wa waigizaji pamoja na Issa Michuzi.  Mnaweza kuona Clip yote YOU TUBE:

CHEMI & MICHUZI IN HISTORY OF KHANGA

Monday, July 01, 2013

Ziara ya Rais Obama wa Marekani Nchini Tanzania Katika Picha

Wadau,  vyombo vya habari hapa Marekani jinsi waTanzania walivyompokea Rais Obama kwa upendo na ukarimu.  Na pia walishanaa Rais Bush Jr. alivyopokelewa. Kweli waTanzania tujivunie! Wanazidi kushangaa vitenge na khanga zenye picha ya Rais Obama pia! 

Picha Kutoka Yahoo News na CNN.com






Monday, October 03, 2011

Sinema 'Historia ya Khanga" Cheki Mimi na Kaka Michuzi!

MaStaa wa Bongowood 1991 Michuzi & Chemi


Kabla ya Kanumba na Ray kulikuwa na Chemi na Michuzi!

Wadau, kwenye mwaka 1992 nilishiriki katika sinema ya TAMWA, "The History of Khanga".  Hebu itizame, Utaniona mimi na Kaka Michuzi, "Tunajiandaa kulala"

Mwongozaji alikuwa Dada Fatma Alloo. Pia kuna mahojiano na marehemu Bibi Titi Mohamed.

Sinema sasa iko YOU TUBE kwa hisana ya Dada Fatma na Kaka Michuzi:

http://www.youtube.com/watch?v=jAuhAB0HeeA&feature=player_embedded

Monday, December 20, 2010

Mr. Tanzania - Christopher Maganga Malecha




Huyu ni Bwana Christopher Maganga Malecha wa Tenki Bovu, Mbezi Beach, Dar es Salaam. Anasema anataka kutangaza Tanzania kwa dunia. Anapenda sana kuvaa nguo za Khanga amabazo anashona mwenyewe. Asili yake ni MNyamwezi kutoka Tabora. Anapatikana sehemu za Chai Bora njia ya kwenda Goba.

Thursday, November 04, 2010

Makochi ya Vitenge




Mwaka 1990 kuna dada fulani (Marehemu) huko Manzese aliyetengeneza maforonya na mashuka ya vitenge. Watu walimcheka.

Leo wazungu wanatengeneza makochi ambayo yamefunikwa (upholstery) na vitenge. Tena wanaziuza bei mbaya. Hebu cheki hizo kochi pichani, moja dola $1,700! Hizo ottoman za kuwekea miguu dola $200! Acheni kudharua vitenge na khanga zetu. Tengenezeni maseti ya mashuka na maforonya mpate kibunda....ohhooooo! Exported from Tanzania!
Mnaweza kuona bidhaa zaidi kwa kubfoya hapa: ANTHROPOLGIE.COM

Thursday, February 21, 2008

First Ladies

American First Lady Laura Bush walks down the red carpet with her Tanzanian Counterpart First Lady, Salma Kikwete during the recent visit of President Bush to Tanzania. (Photo courtesy of Mpoki Bukuku).

Sasa jamani, hiyo khanga ilivyokunjwa. Picha ya Bush imefichwa lakini maneno WE CHERISH DEMOCRACY ni prominent. Hivi aliamua kuikunja hivyo kusudi picha ya Bushi isionenekane? Hapa Marekani watu walikuwa wanacheka kweli hizo khanga wanasema picha ya Bush iko kwenye butts (matako) na bosoms (vifua) vya wanawake wa kiafrika. Hawaelewi utamduni wetu wa khanga.

Sunday, February 17, 2008

President Bush Visit to Tanzania in Pictures II

Americans were amused to see people wearing clothes with President's Bush's picture on it. Hon. Margareth Sitta gets complemented by the President for outfit. Kitenge/Khanga for special occasions are part of Tanzanian culture.
President Bush admires the warm welcome he received the Tanzania. His host is Tanzanian President Jakaya Kikwete.
President Bush and his wife Laura greet Tanzanian officials. Behind President Bush if Tanzanian first Lady, Salma Kikwete.
USA Secretary of State Condoleeza Rice greets Honourable Sofia Simba.

The Tanzanian News media reps getting checked over by the Secret Service.


All Photos from Michuzi Blog and were taken by famous Tanzanian photojournalist, Muhidini Issa Michuzi:

Friday, February 15, 2008

Raisi Bush matakoni Mwetu!

Picha na Caption kutoka Food For Thought Blog

Maandalizi ya ujio wa rais George Bush wa marekani yamepamba moto kwa njia mbalimbali kama kanga hii yenye maneno ya kumkaribisha rais huyo nchini ambayo imetolewa rasmi kwa ajili ya mapokezi yake. Picha na Mpoki Bukuku

****************************************************************************

Wapendwa wadau, nawauliza hivi, "WHO IS KISSING WHO'S ARSE HERE?"
Duh, Rais Bush atablow kuona picha yake kwenye matako makubwa ya wanawake wa kiafrika! Wazungu wanavyochukia matako makubwa halafu sasa picha ya rais Bush hiyo! Nadhani TMZ na stesheni zingine, akina Leno na Letterman watafanya utani kweli hapo! Utasikia utani kuhusu, 'sit on it'.
Khanga siyo mbaya ila mmh kuna watu hawapendi kuona uso ya huyo Bush kutokana na vitu alivyofanya kama kuanzisha vita isiyo na maana huko Iraq! Lakini watasema iko where it deserves to be, on an arse!