Showing posts with label Vijana. Show all posts
Showing posts with label Vijana. Show all posts

Saturday, May 27, 2017

Mkutano Mkuu wa Vijana Kimataifa Kufanyika Arusha

Mkutano Mkuu wa Vijana Kimataifa Kufanyika Arusha kwa Siku 7 [caption id="attachment_79335" align="aligncenter" width="800"] Mratibu wa Mkutano Mkuu wa Kimataifa wa Umoja wa Mataifa kwa Vijana Tanzania, Tajiel Urioh akizungumza na waandishi wa habari leo (hawapo pichani) kuzungumzia Mkutano Mkuu Kivuli wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa unaokutanisha vijana utakaofanyika kuanzia tarehe 22 hadi 26 mwezi Mei, 2017 mjini Arusha katika Ukumbi wa Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela. Kulia ni Makamu Mwenyekiti wa Asasi ya Vijana ya Umoja wa Mataifa Tanzania, Arafat B. Lesheoe.[/caption]   AKIZUNGUMZA na waandishi wa habari Mratibu wa Mkutano Mkuu Kivuli wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa, Tajiel Urioh alisema mkutano huo ni maigizo ya vitendo ya baraza kuu la Umoja wa Mataifa ambapo vijana wenye umri wa miaka 15 hadi 30 kutoka sehemu mbalimbali wanapata fursa ya kujifunza Diplomasia, Uongozi na namna Umoja Wa Mataifa unavyofanya kazi. Bw. Tajiel Urioh alisema kuwa, Mkutano huo unaojulikana kama kongamano kubwa kabisa la vijana nchini linalowaleta pamoja vijana wadogo kutoka nchi mbalimbali tangu mwaka 1997. Aidha aliongeza kuwa Mkutano huo Mkuu Kivuli wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa utafanyika mjini Arusha katika Ukumbi wa Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela kuanzia tarehe 22 hadi 26 mwezi wa Mei mwaka 2017, ambapo vijana takribani 200 kutoka katika nchi mbalimbali wanatarajiwa kuhudhuria kujadili masuala yanayohusiana na Afya ya Uzazi na Uzazi wa Mpango, Demokrasia na Amani katika nchi zinazoendelea, Kuhama kuelekea kwenye Nishati safi na ya teknolojia mbadala na Elimu kwa Maendeleo Endelevu. Aliongeza kuwa majadiliano ya mwaka huu yatajikita katika mada kuu: “Kuwawezesha Vijana katika Diplomasia na Uongozi”. Mada hii inalenga kuwezesha ushiriki wa vijana na kuwajengea uwezo kwenye masuala ya Diplomasia na Uongozi kwa kuwapa mafunzo ya vitendo katika mada ngumu ambazo zitawaongezea ujuzi wa majadiliano na kufikia muafaka wa masuala mtambuka yanayogusa maslahi ya mataifa. "Tunaishi katika ulimwengu ambao diplomasia yenye ujasiri na uongozi vinahitajika sana hivyo basi kuwakuza vijana katika uwanja huu itachangia kukua kwa mataifa yenye watu wenye uwezo wa kuamua mambo yao. Katika mkutano wa mwaka huu wajumbe watakuja na maazimio mbalimbali ambayo kwa namna moja hama nyingine yatakuwa na manufaa katika maisha yao ya kila siku na watu wanaowazunguka katika jamii zao," alisema Bw. Urioh.   [caption id="attachment_79334" align="aligncenter" width="800"] Mratibu wa Mkutano Mkuu wa Kimataifa wa Umoja wa Mataifa kwa Vijana Tanzania, Tajiel Urioh akizungumza na waandishi wa habari leo (hawapo pichani) kuzungumzia Mkutano Mkuu Kivuli wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa unaokutanisha vijana utakaofanyika kuanzia tarehe 22 hadi 26 mwezi Mei, 2017 mjini Arusha katika Ukumbi wa Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela. Kushoto ni Ofisa Habari wa Kituo cha Habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC), Bi. Stella Vuzo akiwa katika mkutano huo pamoja na Makamu Mwenyekiti wa Asasi ya Vijana ya Umoja wa Mataifa Tanzania, Arafat B. Lesheoe.[/caption]   “Ni matarajio yangu makubwa kwamba mtakuwa tayari kujifunza kuendana na mada kuu ya ‛ Kuwawezesha Vijana katika Diplomasia na Uongozi′ lakini pia kubadilishana mawazo na wajumbe wengine na kutengeneza mtandao wa vijana wenye fikra mnazoendana nazo,” aliongeza Tajiel Urioh, Mratibu wa Kitaifa wa Mkutano Mkuu wa Kimataifa wa Umoja wa Mataifa kwa mwaka 2017. Ofisa Habari wa Kituo cha Habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC), Bi. Stella Vuzo alisema kongamano kama hilo la vijana lina umuhimu mkubwa kwa vijana kwani huwajenga vijana kupitia Club za UN. Aliwataja miongoni mwa vijana ambao ni matunda ya Club za UN ni pamoja na Naibu Waziri wa Kazi, Vijana na Ajira, Mhe. Antony Mavunde, Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe Antony Mtaka, Balozi wa Tanzania nchini Japan, Benedict Kikove, Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Ally Salum Hapi, Mbunge wa Kibamba (Chadema), John John Mnyika na wengine wengi.

Friday, March 20, 2015

Muswada Binafsi wa Baraza la Vijana la Taifa Kujadiliwa Bungeni

Mh. John Mnyika


MUSWADA BINAFSI WA BARAZA LA VIJANA LA TAIFA KUJADILIWA BUNGENI TAREHE 31 MACHI 2015
Nashukuru wote ambao mmekuwa mkifuatilia hatma ya muswada binafsi wa Baraza la Vijana la Taifa niliouwasilisha tarehe 31 Oktoba 2013.
Vijana na wadau wa maendeleo ya vijana mzingatie kwamba muswada huo hatimaye umepangwa kusomwa kwa mara ya pili na kujadiliwa Bungeni Jumanne tarehe 31 Machi 2015 katika Mkutano wa 19 wa Bunge.
Muswada huo ulisomwa kwa mara ya kwanza katika Mkutano wa 14 wa Bunge tarehe 21 Disemba 2013. Maoni kutoka kwa wadau yalikusanywa Oktoba 2014 na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maendeleo ya Jamii.
Baraza la Vijana la Taifa pamoja na malengo mengine litawezesha vijana kuanzia kwenye vijiji/mitaa mpaka taifa kuweza kuwa na vyombo vya kuwaunganisha vijana kwa kike na wa kiume kwa ajili ya maendeleo yao na ya taifa.
Aidha, Baraza hilo litafuatilia pia kwa karibu utekelezaji wa mipango ya maendeleo ya vijana ikiwemo kuhusu ajira, elimu na sekta zingine katika Halmashauri, Serikali kuu, katika vyombo mbalimbali vya maendeleo na wadau wa maendeleo.
Pia, Muswada huo utawezeshwa kuanzishwa kwa Mfuko wa Maendeleo ya Vijana na kulipa jukumu Baraza la Vijana kufuatilia kwa karibu utendaji wa Mfuko wa Maendeleo ya Vijana; kuhakikisha kwamba fedha zinatengwa za kutosha na kufika kwa walengwa kuwawezesha vijana kujiajiri, kukuza vipaji vyao na kushughulikia maendeleo yao kwa ujumla.
Kujadiliwa kwa muswada huo ni hatua ya pekee katika historia ya harakati za vijana nchini kwa kuzingatia kuwa Sera ya zamani ya maendeleo ya vijana ya mwaka 1996 ilitamka kwamba kutaanzishwa  Baraza la Vijana na suala hilo kurudiwa katika Sera mpya ya mwaka 2007.
Hata hivyo Serikali imekuwa ikikwepa kuhakikisha kwamba matakwa hayo ya sera tajwa yanatekelezwa kwa wakati pamoja na kuwa suala hilo linahusu mustakabali wa maendeleo ya vijana nchini.

Natambua mchango wa vijana na taasisi zote za vijana mlioshiriki katika maandalizi ya muswada huu, unaitwa binafsi kwa sababu tu ndio neno linalopaswa kutumika kwa mujibu wa Kanuni za Bunge lakini ukweli ni kwamba huu ni muswada wenu; mimi ni mwakilishi.

John Mnyika (Mb)
20 Machi 2015

Saturday, March 01, 2014

Rasimu ya Katiba imewashau Vijana! - Makonda

Mimi ni Kijana, ninayoyazungumza,ninayoyafanya yana reflect uhalisia huo. Hivyo kwa wito wa Ujana najikuta nashawishika sana kuongeza umakini katika masuala yahusuyo vijana hasa kwenye Katiba.

Ni ajabu lakini kweli kuwa sehemu inayotaja juu ya Haki na Wajibu wa Vijana katika Rasimu yote ni Ibara ya 44 tu, tena inataja kwa ujumla wake bila hata kuweka ibara ndogo ama vipengele vya ufafanuzi.

Ibara hiyo inasema;

"..kila kijana ana haki na wajibu wa kushiriki kikamilifu katika shughuli za maendeleo ya Jamhuri ya Muungano pamoja na jamii kwa ujumla, na kwa mantiki hiyo, Serikali ya Jamhuri ya Muungano, serikali za nchi washirika na jamii zitahakikisha kuwa vijana wanawekewa mazingira mazuri ya kuwa "Raia Wema" na kupatiwa fursa za kushiriki kikamilifu katika nyanja za kisiasa, kiuchumi, kijamii na kiutamaduni..."

Sikuwa nategemea huu unaweza ukawa ndio mwisho wa maelezo ya Rasimu kuhusu Vijana. Nilitegemea nitakuta vipengele vinavyobainisha namna vijana watakavyonufaika na rasilimali, namna ambavyo sheria ndogo na taratibu baguzi ktk upatikanaji wa ajira na fursa zitakavyobainishwa kikatiba ili kumaliza kabisa matatizo ya Vijana.

Nilidhani Rasimu itaweka bayana Uanzishwaji wa Baraza La Vijana la Taifa ili kiwe chombo cha kikatiba cha Vijana.

Nikitumia fursa na nafasi yangu kama mbunge wa bunge maalum la Katiba zipo hoja hizo kuu (3) tatu ambazo nitazisimamia ziingie kwenye Katiba kwa manufaa na mustakabal mwema wa Vijana bila kujali tofauti ya itikadi, dini ama kabila.

Na nakaribisha mawazo na michango ya fikra ktk hoja zihusuzo Vijana.

IMETOLEWA NA:
PAUL MAKONDA.
MBUNGE WA BUNGE MAALUM LA KATIBA.

Thursday, October 24, 2013

Serikali Yawataka Vijana Kujiajiri Ili Kuondokana Na Umaskini

Kwa Hisani ya Mo Blog: IMG_1784

UN Resident Coordinator Dr. Alberic Kacou arriving at the Karimjee Grounds.

.UN calls on fastest reduction of poverty to meet the MDGs

By MOblog Team

UNITED Nations (UN) members states has been told to take on board issues of youth in the Millennium Development Goals (MDGs) as part of the global community efforts to fight against organized crimes such as terrorism and drug trafficking. Moblog can report.

Speaking to invited dignitaries during the commemoration of the 68th anniversary of the United Nations in Dar es Salam at Karimjee grounds, the Minister for Natural Resources and Tourism Hon, Ambassador Khamis Kagasheki said although the MDGs is all about development but unfortunately the inclusion of youth is conspicuously absent in the eight goals.

IMG_1772

Brazilian Ambassador to Tanzania, Francisco Luz with Tanzanian Official from Foreign Affairs.

He said that according to the 2012 Population and Housing Census (PHC), the proportion of persons aged 15-35 years has decreased marginally from 35.6 percent in 2002 to 34.7 percent in 2012. The median age of the Tanzania’s population is 18 years.

Ambassador Kagasheki added that Tanzania like many other African countries suffers from youth unemployment rate of 13.4 percent. Youth employees aged between 15 and 24 years comprise only 2.5 percent of total employees in the formal sector showing the low involvement of youths in the formal sector.

“These challenges affect all segments of the population. But young people are the most affected. We are witnessing an increased trend of the youth falling victims of joining terrorists groups, drug cartels and organized crimes which is not healthy to global community welfare,”

IMG_1831

Brass Band arriving at Karimjee Grounds.

“Agricultural sector which is the main stay of most Tanzanians employs 81.4 percent. 24 percent of youths aged 15-24 years are employed in manufacturing industry followed by wholesale and retail trade comprising 17.6 percent of total youths in the formal sector. Another important industry in employing youths in Tanzania is the education sector with 15.2 percent of all youths in this sector,’ he said.

He further said that major challenges facing the youth today are lack of access to capital, negative impact of the electronic media and social networks and competitiveness in education. These are current challenges apart from the traditional ones which are drug abuse, crime, violence, sexuality and poverty.

On his part UN Resident Coordinator Alberic Kacou said that globally, this year's UN Day focuses on the eight UN Millennium Development Goals and the global partnership to achieve those goals.

IMG_1871

Guest of Honour Minister for Natural Resource and Tourism Ambassador Khamis Kagasheki accompanied by the United Nation Resident Coordinator Dr. Alberic Kacou. Left is Director of the Department of Multilateral Cooperation in the Ministry of Foreign Affairs, Ambassador Celestine Mushy and Right is Chief of Protocol Ambassador Mohammed Maharage Juma.

“In Tanzania we have chosen “The Future We Want” as the week’s theme, focusing more towards the Post 2015 Development Agenda and the role of Youth,”

“As we seek to identify the parameters of the post-2015 development agenda, the magnitude of the task before us will require decisive action and the highest levels of collaboration and we must prove our efforts to be equal to the enormity of the task,” he said

He further said that at the request of the President of the World Bank, members of the UN System Chief Executives Board (CEB) agreed unanimously in November 2012 to use its semi-annual meetings to review and improve their support to MDG progress in countries ahead of the 2015 target date. Tanzania was among the countries selected for the first review.

Kacou underscored that many nations have achieved what could have been considered a dream in 2000 – cutting in half the number of people living in extreme poverty.

Similarly, some progress is made on eliminating gender disparities in school, expanding access to safe drinking water, and improving living conditions for slum dwellers BUT progress on health, sanitation, and primary school completion is still at risk. He lamented.

IMG_1877

Above and Below: Guest of Honour Minister for Natural Resource and Tourism Ambassador Khamis Kagasheki introduced to the UN Heads by the United Nation Resident Coordinator Dr. Alberic Kacou

IMG_1876

IMG_1887

Guest of Honour Minister for Natural Resource and Tourism Ambassador Khamis Kagasheki stand for the National Anthem during the occasion of the 68th Anniversary of the United Nations at Karimjee Grounds.

He noted that UN has been encouraging an unprecedented ‘global conversation’ on the type of world that people want beyond Post 2015, through 11 thematic public consultations and surveys on the themes around— inequalities, health, education, growth and employment, environmental sustainability, governance, conflict and fragility, population dynamics, hunger, food & nutrition security, energy and water.

Kacou said the global conversation initiated by the UN engaged more than 1.3 million people in above 180 UN Member States from August 2012 to March 2013.

The report- ‘A Million Voices: The World We Want’ released by the UN Secretary General in September 2013 captures the voices from all regions and backgrounds – particularly those people that are poor, excluded or marginalized.

IMG_1897

Guest of Honour Minister for Natural Resource and Tourism Ambassador Khamis Kagasheki inspect a military parade during the 68th Anniversary of the United Nations Karimjee Grounds.

IMG_1904

A prisoner warden raising a Flag of the United Nations to commemorate the 68th Anniversary of the UN at Karimjee Grounds in Dar es Salaam.

IMG_1912

High Table: From Left is United Nation Resident Coordinator Dr. Alberic Kacou, Guest of Honour Minister for Natural Resource and Tourism Ambassador Khamis Kagasheki , Dean of the Diplomatic Corps, Amb. Juma Alfani Mpango and Member from TPDF.

IMG_1923

Above and Below are Religious Leaders.

IMG_1934

IMG_2021

The Guest of Honour the Minister for Tourism and Natural Resources, Hon Ambassador Khamis Kagasheki speaks during the climax of the UN 68th Anniversary at Karimjee Grounds in Dar es Salaam.

IMG_1961

Some of the UN Heads listening attentively to the Guest of Honour (not in picture).

IMG_1977

UN Resident Coordinator in Tanzania Dr. Alberic Kacou gives inaugural speech during the official Flag raising ceremony to mark 68th Anniversary of the United Nations at Karimjee Grounds in Dar es Salaam.

IMG_1994

Excellencies Ambassadors, High Commissioners and Heads of International Development Co-operations and Members of the Military Forces.

IMG_2039

IMG_2036

IMG_1959

United Nations Association (UNA) Secretary General Nancy Kaizilege speaks during the official flag raising ceremony on UN day at Karimjee Hall. she said the work of the United Nations Association of Tanzania has also evolved with the times and into its next era, new and creative methods of outreach, innovative tools for engagement and enhanced synergies in processes that further human rights, peace and security specifically in the Great Lakes, health, energy and climate change; and increased civic engagement in the MDGs and the Post 2015 process are at the forefront of their priorities.

IMG_2065

Guest of Honour Minister for Natural Resource and Tourism Ambassador Khamis Kagasheki in a discussion with the United Nation Resident Coordinator Dr. Alberic Kacou.

IMG_1963

Invited Guests and some of UN Staff.

IMG_2035

UN Staff from different agencies.

IMG_1997

IMG_2075

Guest of Honour Minister for Natural Resource and Tourism Ambassador Khamis Kagasheki cuts a ribbon to officiate UN Pavilion at Karimjee Grounds. Left is the United Nation Resident Coordinator Dr. Alberic Kacou.

IMG_2076

Pavilion is Official Kicks Off.

IMG_2225

Guest of Honour Minister for Natural Resource and Tourism Ambassador Khamis Kagasheki visits one of UN Pavilion.

IMG_2267

Advisor for Communication and Information at UNESCO Yusuph Al Amin elaborate a point about Community Radios and How is championing on Democratic process ahead of 2015 general election to the Guest of Honour Minister for Natural Resource and Tourism Ambassador Khamis Kagasheki.

IMG_2283

IMG_2310

UNIC Information Officer Usia Nkhoma Ledama explains a point to the Minister for Natural Resource and Tourism Ambassador Khamis Kagasheki on how the UN is empowering Youth in Tanzania.

IMG_2350

UN Communications Analyst Hoyce Temu chat with the Minister.

IMG_2201

UN Operations Adviser , Mr George Otoo shares a light moment with his colleagues.

IMG_2356

Director of the Department of Multilateral Cooperation in the Ministry of Foreign Affairs, Ambassador Celestine Mushy chat with United Nation Resident Coordinator Dr. Alberic Kacou.

Saturday, May 04, 2013

Kiongozi wa Vijana Zimbabwe Yuko Jela Kwa Kutukana Rais Mugabe


Kiongozi wa Vijana Zimbabwe Solomon Madzore (mwenye kofia)

Wadau, nakumbuka tulikuwa kwenye halaiki na vijana wa shule mbalimbali za Tabora nilipokuwa Form 5. Kijana fulani wa Tabora Boys aliuliza kwa sauti eti kwa nini tunapoteza muda kuwa pale kwenye mambo ya kijinga. Doh! Kijana wa watu alipigwa mbele yetu na afande fulani.  Sitasahau!  Enzi zile za Chama Kimoja, Chama Kimeshika Hatamu nk.  Huyo Kiongozi wa vijana wa Zimbabwe, Charles Madzore, si mara yake ya kwanza kufungwa kwa kumsema Rais Mugabe. Safari hii kamwaita "punda zee"
.

**********************************

HARARE, Zimbabwe (AP) - A lawyer for a youth leader in the Zimbabwe prime minister's party says he is in jail for referring to the nation's longtime ruler as "a limping donkey" at an election campaign rally.

   Attorney Charles Kwaramba said Friday the youth wing head  is charged with  insulting President Robert Mugabe, 89, under sweeping security laws.

   In the local Shona language the phrase "dhongi rinokamina" is used to depict a lame draught animal that is no longer of any use and must be put out to pasture.

   Youth leader Solomon Madzore faces a penalty of a fine or several months of imprisonment.

   Legal charges for insulting Mugabe are common in Zimbabwe.

   The prime minister's party says the arrest is to stifle its campaigning for younger voters in elections scheduled this year.


Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe

Saturday, April 09, 2011

My Time as a Student and then Resident in the UK

(Pichani Mlevi akiwa Hoi huko kwenye Baa fulani Dar)

Haya ni Maoni ya Mdau Fatima Husenali. Lazima niseme kaongea kweli tunaelekea wapi?


************************************

Friends,

Let me add the benefit of my time as a student and then resident in the UK - and I live in Dar now. The first thing that I discovered about UK-born, white, English undergraduates was that all of them did holiday or weekend job to support themselves - including the children of millionaires amongst them. It is the norm over there - regardless how wealthy their
parents are. And I soon discovered that virtually all other foreign students did the same - the exception being those of us status-conscious Tanzanians.

I also watched Richard Branson (owner of Virgin Airline)speaking on the Biography Channel and, to my amazement, he said that his young children travel in the economy class -even when the parents (he and his wife) are in upper class.

Richard Branson is a billionaire in Pound Sterling. A quick survey would show you that only children from Tanzania fly business or upper class to commence their studies in the UK. No other foreign students do this.

There is no aircraft attached to the office of the prime minister in the UK - he travels on BA. And the same goes for the Royals. The Queen does not have an aircraft for her exclusive use.

These practices simply become the culture which the next generation carries forward. Have you seen the car that Kate Middleton(the lady soon to marry Prince William) drives? VW Golf or something close to it. But there's one core difference between them and us(generally speaking). They (even the billionaires among them) work for their money, we steal ours!

If we want our children to bring about the desired change we have been praying for on behalf of our dear country, then please, please let's begin now and teach them to work hard so they can stand alone and most importantly be content, and not having to "steal", which seem to be the norm these days.

"30 is the new 18", which seem to be the new age for testing out the world in Tanzania now. That seems to be an unspoken but widely accepted mindset among the last 2 generations of parents in Tanzania.

At age 18 years, a typical young adult in the UK leaves the clutches of his/her parents for the University, chances are, that's the last time those parents will ever play "landlord" to their son or daughter except of course the occasional home visits during the academic year.

At 21 years and above or below, the now fully grown and independent minded adult graduates from University, searches for employment, gets a job (could be in another city from the parents) and shares a flat with other young people on a journey into becoming fully fledged adults.

I can hear the echo of parents saying, well, that is because the UK economy is thriving, safe, well structured and jobs are everywhere? I beg to differ and I ask that you kindly hear me out. I am a UK trained Recruitment Consultant and I have been practicing for the past 10 years in
Tanzania. I have a broad range of experience from recruiting new graduates to executive
director level of large corporations. In addition, I talk from the point of view of someone with relatively privileged upbringing. Driven to school every day, had my clothes washed for me, was barred from taking any part-time job during my A-levels so that I could concentrate on
studying for my exams?! BUT, I got the opportunity to live apart from my parents
from age 18 and the only time I came back home to stay was for 3 months ever
summer, before I got married!

Am I saying that every parent should wash their hands off their children at age 18? No, not at all, of course, I enjoyed the savings that I made from living on and off at my parent's house in London - indeed that is the primary reason for my being able to buy myself a 3 bedroom flat in
London at age 25 with absolutely no direct financial help from my parents! For me, pocket money stopped at age 22, not that it was ever enough for my lifestyle to compete with Paris Hilton's or Victoria Beckham's.

Meanwhile today, we have Tanzanian children who have never worked for 5 minutes
in their lives insisting on flying "only" first or business class, carrying the latest Louis Vuitton ensemble, Victoria 's Secret underwear and wearing Jimmy Choo's, fully paid for by their "loving" parents.

I often get calls from anxious parents, my son graduated 2 years ago and is still looking for a job, can you please assist! Oh really! So where exactly is this "child" is my usual question. Why are you the one making this call dad/mum? I am yet to get a satisfactory answer, but between you and I, chances are that big boy is cruising around Dar with a babe dressed to the nines, in his dad's spanking new SUV with enough "pocket money" to put your salary to shame. It is not at all strange to have a 28 year old who has NEVER worked a day in his or her life in Tanzania but "earns" a six figure "salary" from parents for doing absolutely nothing.

I see them in my office once in a while, 26 years old with absolutely no skills to sell, apart from a shiny CV, written by his dad's secretary in the office. Of course, he has a driver at his beck and call and he is driven to the job interview. We have a fairly decent conversation and we get to
the inevitable question - so, what salary are you looking to earn? Answer comes straight out – Tshs 250,000.00. I ask if that is per month or per annum.

Of course it is per month. Oh, why do you think you should be earning that much on your first job? Well, because my current pocket money is Tshs 200,000.00 and I feel that an employer should be able to pay me more than my parents.

I try very hard to compose myself, over parenting is in my opinion the greatest evil handicapping the Tanzanian youth. It is at the root of our national malaise.

We have a youth population of tens of millions of who are being "breastfed and diapered" well into their 30s. Even though the examples I have given above are from parents of considerable affluence, similar patterns can be observed! Wake up mum! Wake up dad! You are practically loving your children to death! No wonder corruption continues to thrive. We have a society of young people who have been brought up to expect something for nothing, as if it were a birth right.

I want to encourage you to send your young men and women (anyone over 20 can
hardly be called a child!) out into the world, maybe even consider reducing or stopping the pocket money to encourage them to think, explore and strive.

Let them know that it is possible for them to succeed without your "help". Take a moment to think back to your own time as a young man/woman, what if someone had kept spoon feeding you, would you be where you are today?

No tree grows well under another tree, children that are not exposed to challenges, don't cook well. That is why you see adults complaining, "my parents didn't buy clothes for me this christmas", ask him/her how old-30+. Because of the challenges we faced in our youth, we are where and what we today, this syndrome- my children will not suffer what I suffered is
destroying our tomorrow. Deliberately reduce their allowance or mum- don't cook on Saturday till late afternoon or evening-do as occasion deserve.

I learnt the children of a former Tanzanian Senior Official with all the stolen
(billions) monies in their custody, still go about with security escort as wrecks. They are on drugs, several times because of the drug, they collapse in public places. The escort will quickly pack them and off they go, what a life. No one wants to marry them.

Anyone who stops learning is old, whether at twenty or eighty. Anyone who keeps learning stays young. The greatest thing in life is to keep your mind young.- Henry Ford. Hard work does not kill, everything in Tanzania is going down, including family settings. It is time to cook our children, preparing them for tomorrow. We are approaching the season in Tanzania where only the RUGGED, will survive. How will your ward fare?

If the present generation of Tanzanian pilots retire, will you fly a plane flown by a young Tanzanian pilot, If trained in Tanzania? People now trave first class, who cannot spell GRADUATE or read an article without bomb blast!

Which Way Tanzania!, Which Way Tanzanians!! Is this how we will ALL sit
and watch this country SINK?