Wednesday, June 09, 2010

Waandishi wa Habari Waibiwa Afrika Kusini!!!

Duh! Hii kali. Waandishi wa habari walioenda kwenye mashindano ya World Cup, huko Afrika Kusini wameibiwa hotelini kwao! Kazi ipo. Picha waliokuwa wanajenga kuwa Afrika Kusini ni salama, hakuna wezi wala vibaka, watu wanapendana inadoa kubwa kweli sasa.

******************************************************************************

World Cup Journalists Robbed

By Richard Allen Greene, CNN

(CNN) -- Three journalists covering the World Cup in South Africa were robbed of money, passports, cameras and computers early Wednesday, police said.
Armed suspects entered three hotel rooms where the journalists were staying near the town of Magaliesburg, police Col. Charmaine Muller told CNN.
Two of the victims "slept through the whole thing", but a Portuguese photographer woke up as it was taking place at about 4 a.m. local time (10 p.m. Tuesday ET), she said.
A suspect pointed a gun at him and told him to keep quiet, she said.
Police were called after the suspects left and are still investigating, she added. No one has been caught yet.
Hundreds of thousands of sports fans and journalists are descending on South Africa for the World Cup soccer tournament, the biggest sporting event in the world this year. It begins Friday.

Tuesday, June 08, 2010

Review of Maangamizi the Ancient One


I found this review of Maangamizi the Ancient One, very good. It hits the nail on the head about what the film is about. As you know Maangamizi is the first film to be submitted to the Academy Awards by Tanzania.
*************************************************************



Maangamizi (the Ancient One)


A film by Martin Mhando, Ron Mulvihill and the Ancestors

Featuring Amandina Lihamba, BarbaraO, Mwanajuma Ali Hassan, Thecla Mjatta, Waigwa Wachira

Review by
Marvin X (El Muhajir)

Maangamizi is a film in the genre of Daughters of the Dust and Sankofa, it even stars Babrara O from Daughters of the Dust. So let's get to point of this film that has won awards at several international film festivals, though few have heard about it.

I have long maintained that before African Americans can heal the trauma of White Supremacy they must make peace with their southern roots, the pain of slavery in all its vicissitudes. This film justifies my thesis that we must indeed come to peace with the terror of Alabama, Mississippi, Georgia, and the rest of the south before we can truly be healed. Whatever the south meant to us or means to us now, we must come to grips with it before we can deal with Mother Africa.

In the film the African American psychiatrist (Barabra O) goes to Tanzania to work in a mental hospital, but she cannot heal the Africans until the Africans come to terms with who she is as long lost daughter and she cannot deal with Africans until she is woman enough to confront the terror of African American oppression, there is a leitmotif of lynching to allow us to see her suffering, even though she is a doctor on a mission to heal her African brothers and sisters.
But she cannot heal her primary patient until the patient understands that the doctor from America is her salvation, not in a medical sense but in a spiritual sense.

After the African sister is traumatized by seeing her father burn her mother to death in a hut, the child refuses to speak until the wise woman Manzamizi (also grandmother) entreats her to connect with her African American sister, that is her salvation.

But as I said above, the African American must heal from the terror of America, not their disconnection with Africa as we are usually told. Supposedly, we cannot heal until we come to terms with our Africanity, but this film flips the script as many revolutionaries and radicals have discovered: we must come to terms with our Americanity in all its vicissitudes. Afterwards, we will have no problem with Africa.

With their attitude of jealousy and envy as expressed in the film, clearly, it is Africans who must adjust to African Americans. The film showed our African brothers and sisters as the playa haters of African Americans, and certainly the star patient had reservations about reconnecting with her African American sister, but this was the point of the film: that until Africans come to terms with African Americans, no healing can come to Africa, even though she has her neo-colonial problems with religion, Western religion, Christianity, the father being so dogmatic and savage that he burns his wife alive because her daughter is supposedly under witchcraft when it is clear the father is a devil under the power of a pseudo-Jesus. What Jesus told him to burn his wife alive in the granary hut?

The most powerful scene is the father in hell begging his daughter for forgiveness. And she forgives him, thus transcending the pseudo-Christianity of her father, to the objection of her wise woman, grandmother, Maanzimizi, who said to hell with the father, let him burn in hell for dissing the ancestors in favor of Christianity.

* * * * *

Rest in Peace Oliver N'Goma


Wadau, mnakumbuka ule wimbo BANE uliyoimbwa na Oliver N'Goma wa Gabon. Leo kuna habari kuwa ametutoka. Alikuwa anaumwa ugonjwa wa figo. Tutamkumbuka kwa nyimbo zake tamu tamu!

Mungu ailaze roho yake mahala pema peponi. AMEN.

****************************************************
Afro Zouk star Oliver N'Goma is Dead

Tuesday, 8th June, 2010

GABONESE singer Oliver N'Goma is dead.The famous singer died last night in a hospital in the Gabonese capital, Libreville. He suffered kidney failure. N'Goma was regarded as "a monument of Gabonese music. He had gained international fame through music in the style "Zouk". Born in south-west of Gabon, March 23, 1959, Oliver N'Goma started singing at the age of eight years. His father was one of the best players of his harmonium region. Music and cinema have been the two passions of this artist. He studied accounting at the technical school of Libreville. He made


Mnaweza kusoma habari kwa KiFaransa hapa:

MDurban the King Atuma Salamu kwa Mjomba Kamau

Imeandikwa na Mdau MDurban the King Kutoka Algeria.

MDurban anatoa dukuduku lake kuhusiana na mada kwa Kaka Michuzi....

SALAMU KWA MJOMBA KAMAU :

MJOMBA MICHUZI NAFURAHI SANA UMELETA HOJA NZURI SANA!!ME HII HABARI NIMEISOMA JUZI KWENYE IPP MEDIA!!NA ILINIGUSA NIKACHANGIA MAONI.

KWANZA NASIKITISHWA SANA NA KAULI ZA HAWA WAKENYA !!BINAFSI HASA ZA BROTHER KAMAU MAANA KAMA NI KWELI KAMAU NINAYEMJUA MWANDISHI WA HABARI WAKIKENYA NDIYE ALIYEFANYA HICHI NI AIBU KWAKE NA JAMII YAKE !!MAANA KAMAU NA WENZAKE WAANDISHI WA HABARI WA VITUO MBALIMBALI VYA KIKENYA WAPATAO ZAIDI YA 15 MWISHONI MWA MWAKA JANA (2009) WAKIWEMO WA KITUO CHA KBC KENYA KWENYE SHEREHE ZA PAN AFRICANISM ALGERIA, NIMIMI NDIYE NILIYEWAPOKEA NA NILIKUWA NDIYO TOUR GUIDE WAO NA INTERPRETER WAO KUTOKANA HAWAKUWA WANAFAHAMU LUGHA YA KIFARANSA !!NA SIO KWAMBA WALIKUWA WANANILIPA ILA ILIKUWA NI VOLUNTEER TU NA KWA USHAHIDI HUO WALIKUWEPO WAANDISHI WENGINE WA KITANZANIA KUTOKA KAMPUNI YA MAGAZETI YA SERIKALI NA KAMPUNI YA NEW HABARI COPARATION !!NAO WALIFIKIA HAPA EL-AURASSI HOTEL ALGIERS.

HAWA WAKENYA WALIFURAHISHWA SANA NA UKARIMU NILIOWAFANYIA NIKIWAWAKILISHA WATANZANIA WENZANGU POPOTE WALIPO DUNIANI NDANI NA NJE YA NCHI !!SIO KAMA WAKENYA WENZAO HAWAKUWEPO ILA NI WATU WAMASLAHI !!! SASA HII INAONESHA NI JINSI GANI TULIVYOKUWA CIVILISED ZAIDI YAO.

SASA KAMA KAWAIDA YETU SISI NDIYO WAZALENDO WENYEWE TUTAILINDA NCHI YETU KWA NAMNA YEYOTE ILE KUTOKA KWA ADUI!!TAIFA LOLOTE LILE LILILOKOSA WANANCHI WAZALENDO SIKU ZOTE WATAKUWA WATUMWA!!LITAKUWA TAIFA LA MACHAKUBIMBI NA WANAFIKI ILI WAWEZE KUWAPREZIR WENYE NGUVU YANI HAO MABWANA ZAO!!SASA SISI TUKIWA KAMA WAZALENDO TUNAIPENDA NCHI YETU, NI KWELI NCHI YETU NI MOJA YA NCHI MASKINI DUNIANI NA TUNAMATATIZO MENGI SANA TU LKN SIO MKENYA WAKUTOSEMA SISI!!KILA LINALOTUSIBU KENYA LINAWASIBU MARA MIA ZAIDI YA SISI!NAONGEA HIVI KUTOKANA HUU NDIYO UKWELI KWA MTU ANAYEIFAHAMU KENYA VIZURI ATANIUNGA MKONO, WALIO WENGI KENYA WANATAABIKA KAMA WAPO JAHANAMU!!RAIA WAKENYA WALIOWENGI HAWANA HATA MAJI YA KUNYWA USHAHIDI UKAME ULIOPITA ULIUA MAELFU YA MIFUGO KENYA ILE ILIKUWA AIBU NA KIELELEZO TOSHA CHA KUWA KENYA SIO WAKUTUSEMA SISI WATZ.

PIA UNAKUMBUKA VURUGU ZA MUNGIKI? ZILE NI ISHARA TOSHA WATU WAMESHATAABIKA VYA KUTOSHA NA IMEFIKIA KIPINDI HAWAOGOPI KIFO!!MAANA MJOMBA MALCOM X ALISHASEMA U CANT SEPARATE PEACE FROM THE FREEDOM BEACAUSE NO ONE CAN BE IN PEACE UNLESS HE HAS HIS FREEDOM!!KWA KULITIZAMA HILI KWANZA NDIYO MAANA HAWA WAKENYA HAWANA AMANI KWAO COZ HAWANA UHURU WA KUIKOSOA SERIKALI YAO SASA HII LEO WAJE WAIKOSOE SERIKALI YETU? SASA WATUPE UHURU WETU NASI ILITUWE NA AMANI NAO!!MAANA KITENDO CHA KUTUNYIMA UHURU WA KUFANYA MAMBO YETU NI KUTUNYIMA UHURU WETU KWAHIYO HATUTOKUWA KWENYE AMANI NAO!!TUSIWE WANAFIKI KWA KUJIFANYA ETI TUNAWAWAPENDA WAKENYA WAKATI WAO HAWATUPENDI !! HATA MBWA AU PAKA UKIMCHUKIA NAYE ATAKUCHUKIA SEMBUSE SISI AS HUMAN BEING HILO NI GUMU NA ZITO !!HALAFU MJOMBA MALCOM X AKAMALIZIA KUWA HAKUNA AMANI KWENYE NCHI YENYE NJAA NA ISIYO NA HAKI !!HIKI NI KIELELEZO TOSHA KUWA KENYA NI NCHI YA NJAA NA ISIYO NA HAKI NA NDIYO MAANA HAKUNA AMANI KWAO KILA KUKICHA TUNASHUHUDIA VURUGU MAUAJI YA HALAIKI NA WANASIASA ILA SISI TUMENYAMA KIMYA HATUWAONGEI VIBAYA !!MIMI NAMARAFIKI WENGI TU WAKIKENYA NA TUNAHESHIMIANA NA HAWANA KEJELI. SISEMI WAKENYA WOTE WANATABIA MBOVU.

NAUNGA MKONO RISALA YA MH : RAISI WETU JAKAYA ALIYOITOA KWAO KUWA TUHESHIMIANE WALA TUSITOLEANE KEJELI HUO NDIYO UJIRANI MWEMA ILI TUSIJENGE TENSION MIONGONI MWETU !!HII ILIKUWA ELIMU TOSHA KWAO !!LKN WENZETU HAWAELEWI NA HII KUTOKANA KWAMBA NA VIONGOZI WAO NDIYO HULKA ZAO WANAFURAHIA HILI !!NAKUMBUKA MWAKA 2006 MWISHONI MWA MWEZI WA 10 NILIKUWA VACATION KENYA KILA REDIO UTAYOFUNGUA WALIKUWA WAKITUKEJELI HAWA WATU KTK MAMBO MENGI TU !!SASA HILI HALIKUANZA LEO !!

UNAJUA SIKU ZOTE ADUI HAKUSIFII KWENYE ZURI UTAKALOFANYA ZAIDI YA KUKUPONDA ILIUWEDISCOURAGE USIENDELEE NA MAZURI YAKO !!JUU NIMEFURAHI KUONA KUWA LEO MJOMBA WANGU MASHAKA KAONESHA UZALENDO KWA KUWAAMBIA UKWELI KUWA ANATEGEMEA KTK MAMIA YA WAKENYA WATAKAO KUJA KUWAONA BRAZIL ANATEGEMEA KUWA BROTHER KAMAU NAO ATAKUWA MIOGONI MWAO !!WAJE WATULETEE FOREIGNE CURRENCY NA WATUPATIE AJIRA NA NDILO LINALOWAUMIZA VICHWA HILO.

KUWAALIKA BRAZIL KUJA TZ KWA SISI WATAALAMU WA UTALII TUNALIITA NI STRATEGIQUE MARKETING TOURISTIQUE WAKENYA WANALIJUA HILI NA NDIYO MAANA WANAANZA KUTAPATAPA MAANA WANAJUA FAIDA ZAKE NI NYINGI MNO MAANA WAO WALISHAANZA KUIPA KIPAUMBELE SECTEUR YA UTALII SIKU NYINGI MFANO WA BAADHI YA FAIDA NI KAMA IFUATAVYO :
KWANZA KABISA TANZANIA ITAPATA FAIDA YA KUJITANGAZA NJE YA NCHI HII KUTOKANA SOKA NI MOJA YA MCHEZO UNAOPENDWA SANA DUNIANI NA WASHABIKI WENGI WASOKA WANA CULTURE YA UTALII NA KUFANYA RESEARCH !!KWA HIYO WAPENZI WOTE WA SOKA WATAJUA KWAMBA BRAZIL IPO TZ !!NA HAPO NDIPO WATAKAPOANZA KUJUA RESOURCE N CIRCUITS TOURISTIQUE ZOTE ZILIZOPO TZ !!

PILI TELEVISION ZOTE MASHUHURI ZA HABARI NA VYOMBO VYA HABARI VYENGINE VITAITANGAZA HII MECHI NA PIA KUNA VITUO VITALIPIA HII MECHI ILIWAWEZE KUIONESHA KWAHIYO HII ITAKUWA NI MOJA YA MBINU ZA BURE KUJITANGAZA KWA NCHI YETU !!

PILI NCHI ITAPATA FOREIGN CURRENCY WAKIWEMO HAO WAKENYA WATATULETEA PESA ZA KIGENI !!TUTAINGIA MAPATO YA KIINGILIO NA HOTELI ZETU ZITAPATA MAPATO !!

PIA WANANCHI WETU KTK SECTEUR TOFAUTI WATAPATA AJIRA MFANO WATU WA USAFIRI WATAFANYA KAZI KWA UHAKIKA, WAFANYABIASHARA, MAHOTELINI NA WAKULIMA WATAUZA MAZAO YAO N.K
HIZO NI BAADHI YA FAIDA TUTAKAZO ZIPATA !!NA NDIYO LINALOWACHANGANYA VICHWA BINAMU ZETU WAKENYA !!

TZ HAINA TOFAUTI KUBWA NA UCHUMI WAKIKENYA KWENYE MAKARATASI !!MKITAKA STATISTIQUE ZA INSTITUTE ZA UMOJA WA MATAIFA UNKALE NITAKUTUMIA !!

WATANZANIA TUSHUKURU KWAMBA TUMEPATA RAISI MZALENDO ALLIYEFUNGA KILA AINA YA JANJA NA DANGANYA TOTO ZA KIKENYA NA LINAWAUMIZA HILI.

PIA KUNA SUALA NINGEPENDA KUISHAURI SERIKALI YETU KUANGALIA SUALA LA AJIRA NA KULINDA AJIRA KWA WATANZANIA SIDHANI KAMA KENYA INGAWA WATAINGIA KWENYE COMMUNITY LKN WATAMUACHA MTZ ACHUKIE AJIRA KIRAHISI HIVYO NA PIA SUALA LA ARDHI TUSIKUBALI KUWAUZIA WAGENI MAANA ARDHI HAIUZWI, UKIMWONA MTU ANAUZA ARDHI UJUE ANAJIANDAA KUWA MTUMWA NYUMBANI KWAKE.

PIA SERIKALI YETU ITIZAME VIZURI HIVI VYOMBO VYA HABARI VYOTE VINAVYOMILIKIWA NA WAKENYA NCHINI KWANI NDIYO VIMEKUWA VIKIONGOZA KUTUPONDA NA KUKEJELI VIONGOZI WETU !!PIA VIMEKUWA VIKIJA NA STYLE YA KUTULETEA SIASA ZA MAKUNDI NA SUPPORT KWA BAADDHI YA WANASIASA NA PIA KAMA MNAFUATILIA VIZURI VIMEKUWA MSTALI WA MBELE KULETA ITIKADI ZA UCHONGANISHI WA KIKABILA NA UDINI.

TUKUMBUKE KTK KILA NCHI DUNIANI KUNA AINA KUU 3 ZA POUVOIRS PUBLICS (NGUVU YA DOLA) IKIWEWO POUVOIRS EXECUTIVE, LEGISLATIVE NA POVOIRS JURIDIQUE LKN TUNASAHAU KUWA KUNA AINA NYENGINE YA NGUVU YA DOLA NA NDIYO NI HATARI ZAIDI KTK USHWAWISHI KTK JAMII AMBAYO NI MEDIA !!VYOMBO VYA HABARI VIKITUMIWA VIBAYA VINAATHARI KUBWA KTK JAMII KAMA VIKITUMIWA VIBAYA !!ANGALIA MFANO WA RWANDA NA BURUNDI VYOMBO VYA HABARI VILILETA MTAFARUKU MKUBWA NA KUJIKUTA WATU WAKIINGIZA NCHI KTK UMWAGAJI DAMU !!TIZAMA HISTORIA YA ISRAEL NA PALESTINA, UJERUMANI WKT WA HITLER NA WAKATI WA VITA BARIDI YA DUNIA.

SASA TUSIJE TUKAJIKUTA TUMESHACHELEWA KUVIZIBITI NA BADALA YAKE TUKAANZA KUVIDHIBITI BAADA YA MADHARA KAMA ILIVYOKUWA KWA ZE UTAMU !!

UNKAL NAOMBA USINIBINYIE HUU UTAKUWA NI KIJIMCHANGO CHANGU KIDOGO KWA WATANZANIA WENZANGU NA NDIYO MAANA NIMEJARIBU KUIANDIKA KWA KISWAHILI ILI WATANZANIA WENZANGU WANIELEWE.

MWISHO NALITAKIA KILA LA KHERI TAIFA LETU LA WAMATUMBI NA TUKITUKUZE KIMATUMBI CHETU KIDUMU DAIMA !!MAANA KILIMKOSTI NYERERE KTK KUKIKUZA NA KIKAWAUNGANISHA WAMATUMBI NA BADALA YAKE TUNAWAACHIA WAKENYA KILA MAHALI UTAKAPOPITA AMA UTAKAPOSOMA UTAONA KIMATUMBI NI CHA WAKENYA !!WANAPATA MALAKI YA WATALII KWA AJILI YA CIVILISATION ZA KIMATUMBI TUAMKE WTZ NA NDIYO MAANA HAWA JAMAA WANATUTUKANA KWA KUMONOPOLI KILA KITU CHETU KIZURI KUANZIA MLIMA KILIMANJARO, TANZANITE YETU, KARAFUU, SERENGETI, ZANZIBAR VYOTE NI VYAO.

NATUMAI WATANZANIA TUTAKUWA WASTAARABU KTK KUCHANGIA MADA NA HII TUWAONYESHE KUWA CIVILISATION ILIZALIWA NA KUKULIA KWETU NA NDIYOMAANA HATA KWAO WANAOPAKANA NASISI KAMA MOMBASA WAMESTAARABU.

BY MDURBAN

******************************************************

Mnaweza kusoma Mada kwa MICHUZI HAPA:

Sunday, June 06, 2010

Karibuni Barbecue Boston Jumamosi 6/12/10

Restoration Fellowship welcome all to a Friends & Family Barbecue in honor of their One Year Anniversary.

Please join us for Nyama Choma, Games, Various Activities & Fellowship.

When: Saturday June 12, 2010
Where: Break Heart Reservation, 177 Forest St., Saugus, MA 01906
Time: 12:00PM to 4:00PM

For more information please contact:

Mary - 857-236-0220
Winnie - 781-552-9499

This event is FREE. KARIBUNI!

Saturday, June 05, 2010

Umuhimu wa SInema Tanzania a Freddy Macha


Why are movies so important? - By Freddy Macha

From The CITIZEN PAPER IN TANZANIA

By Freddy Macha

Can anyone tell me the origin of the word dezo?

In standard Swahili it means anything obtained free of charge. Sometimes I like to think of it as dazzle or daze which is to stun and bewilder.

Surely that explains the feeling of happiness after being endeared?

Anyway, I recall sinema dezo, back in the sixties and early seventies. Movies would be shown for free across Tanzanian fields and football pitches.

We watched the Charlie Chaplin, Stanley Laurel and Oliver Hardy series, then known as Chalii Mnene na Mwembamba. They were not only funny they also help build the Swahili vocabulary.

Charlie or Charley became Chalii or Chale, which in Swahili is a funny or humorous person. Movies not only entertain but also create new words thus helping shaping a national language.

By the mid-1970s, sinema dezo was out and in came the cinema halls. Our mothers and sisters flocked to watch afternoon movies (matinee) from India.

Nobody spoke Hindi, but the songs were loved. Does anyone recall i (which means Sometimes) and Sholay? The stories were long; movies went on for three hours plus.

Some of these Hindi films had strong social political messages like Mother India and Namak Haraam. I recall seeing them without subtitles and loving them across Dar es Salaam halls – Empire and Empress (in the Askari Monument area), Avalon, Odeon and Cameo.

For those who did not like these Hindi movies with their exaggerated sentimental singing and tears, there was an alternative option: Bruce Lee and kung fu, whoo, whaa films.

These flicks razed and grazed our halls until early eighties when the economic doom chocked and slapped everyone. The only consolation were second-hand imported ‘B’ movies like the soft porn wave Emanuelle.

From then on until around the arrival of mainstream television in the mid-1990s we had nothing. The film industry in Tanzania has always been thirsty and hungry.

Before Josiah Kibira's efforts in 2003 with the production of the Bongoland series we had only Fimbo ya Mnyonge as a Swahili movie of any substance. Mwalimu Nyerere must have gone to his grave wondering, will it ever be?


Lately because of this hunger we have started munching Nigerian and South African films.

US-based Josiah Kibira says he used to watch the Nigerians and wondered. His Bongoland one and two tale is a convincing narrative about dreams of a young Tanzanian totally gone wrong.

Like Obama's presidential win in 2008, Kibira uses the Internet well to publicise and sell them in a well packaged and organised product.

And that is the story of May-June 2010.
Lovely Gamble, a Swahili-English, film has just been released in the UK by young Tanzanian filmmakers. I have seen the flick and attended the launch last weekend in Reading, a few kilometres out of London.

I do not think Lovely Gamble is anything close to Bongoland. The storyline is simplistic, with an ending that women especially will find uninspiring. However, its release has heralded a new chapter in our filmmaking.

In 2008, I watched and listened to Spike Lee, the African American filmmaker, answering a crucial question in London. Many of us asked him why he never makes films about Africa. He said we should do it ourselves and in collaboration.

“Be a gang, form a posse...,” said the creator of Inside Man, Malcolm X, Do the Right Thing and She Is Gotta Have It.

Makers of Lovely Gamble, known as Urban Pulse, have already ticked this box. Urban Pulse unites not only a group of Tanzanians, but other Africans and Caribbean youths. They are all multi-skilled and multitalented.

Launching the event, which also raised funds for HIV orphans in the UK and Tanzania, Minister of Foreign Affairs and International Co-operation at our London High Commission, Amos Msanjila, made a lively speech that summed up why the film industry is so important for any nation.

Brand Tanzania, is what Swahili movies may create and help reinforce. Nigerian and Hindi films have helped popularise their countries, the diplomat said. Then there is the use of Kiswahili a language rated amongst ten fastest growing in the world.

Not to forget employment opportunities. Making films is an activity involving a lot of people: technicians, actors and business people. But before going any further we need to make convincing films.

Films depend on well-written stories, researched materials and high standard acting.
More info about Lovely Gamble or to get DVD phone Frank Eyembe on +44-7865594576. Email: urbanpulsecreative@gmail.com

Email: kilimanjaro1967@hotmail.com This e-mail address is being protected from spambots. www.freddymacha.blogspot.com

A War for Your Soul

A War For Your Soul-Birmingham version from Erisai Films on Vimeo.



DUH! Lakini lazima weusi waamke hapa Marekani. Naona wengine wanazorota kutokana na haya mambo ya ovyooooo kuitana majina ya ajabu! Weusi wamenyanyaswa na hii video inasema badala ya wazungu kutunyanyasa sasa tunanyanyasana!

Wadau, wanaume weusi wengi mno wamefungwa katika magereza na majela. Wanauana ovyo. Hapa Boston katika wiki mbili vijana watano wameuawa!!

Professa Kutoka Marekani Akamatwa Rwanda


Professa kutoka William Mitchell College of Law huko Minnesota amekmatwa nchini Rwanda. Professa Peter Erlinder (Pichani), alikuwa amekwenda huko kumsaidia mgombea rais wa kutoka chama cha upinzani, Bi Victoire Ingabire.

Alifikishwa mahakamani Kigali na kushitakiwa na madai kuwa alidai kuwa maangamizi ya 1994 haikutokea na pia aliandika habari ambazo zilitishia usalama wa nchi.

Polisi wa Rwanda wansema kuwa Professa Erlinder alimeza vidonge vingi katika jaribio la kujiua. Lakini familia yake hapa Marekani wanasema kuwa hawaamini kuwa atajaribu kujiua.

Jumatatu jaji atamua kama Professa Erlinder anaweza kutoka jela kwa dhamana (bail).
*************************************************************************

By EDMUND KAGIRE

KIGALI, Rwanda (AP) - A Rwandan judge has charged a U.S. lawyer with denying Rwanda's 1994 genocide and publishing articles that threaten the country's security.

Peter Erlinder pleaded not guilty to the charges during a five-hour court hearing late Friday in the Rwandan capital, Kigali.

"It is the first time I have come to know that my obscure publications back in America were that bad and could amount to genocide denial," Erlinder told the court. He suggested it may be a case of misinterpretation or misunderstanding.

If convicted, he faces up to 25 years in prison. Erlinder was upset when the judge said he will decide on Monday whether to grant bail.

Erlinder - a professor at William Mitchell College of Law in St. Paul, Minnesota - has a reputation for taking on difficult, often unpopular defendants and causes. A past president of the progressive National Lawyers Guild, Erlinder leads a group of defense lawyers at the U.N.'s International Criminal Tribunal for Rwanda, which is trying the alleged leaders of the 1994 genocide.


The genocide claimed the lives of more than 500,000 people, mostly Tutsis and moderate Hutus. The massacres ended when mostly Tutsi rebels led by President Paul Kagame defeated the mostly Hutu extremist perpetrators.

Erlinder said Kagame's party might dispute his writings, but "not all Rwandans."

He said he had ignored warnings from his tribunal colleagues not to travel to Rwanda, where he had spent several days helping opposition leader Victoire Ingabire in her presidential election challenge before his May 28 arrest.

"I believed the country has grown democratically, but if I am detained and prosecuted, my case will be confirm what is being said out there," Erlinder said.

Appearing weak in court, Erlinder asked to be granted bail so he could return home for treatment, and promised to comply with any conditions the court sets.

He said he hadn't been mistreated, but also had not had contact with anyone while in Rwandan custody.

"I haven't talked to anyone in my family, I haven't listened to the radio or watched TV since I was arrested. I haven't talked to my doctor," he said.

Judge Maurice Mbishibishi said he would decide Monday whether to grant bail.

Prosecutor Richard Muhumuza argued against it while investigation was ongoing, but agreed not to object if a medical examination determined Erlinder needed treatment in the United States.

Authorities are considering a joint medical evaluation involving a doctor of Erlinder's choice, Foreign Affairs Minister Louise Mushikiwabo said, while rejecting a U.S. request made Thursday for the lawyer's release on compassionate and humanitarian grounds.

"We are sensitive to medical and health conditions, whether it's for American citizens or others, but we cannot short circuit the legal process, so we stand advised by mental health professions on what needs to happen," Mushikiwabo said.

Erlinder was hospitalized Tuesday after police said he took dozens of pills in an attempted suicide. Erlinder's family said it did not believe that.

Meanwhile, the Hutu opposition leader Ingabire was in court Friday to attend Erlinder's hearing.

She plans to challenge Kagame for the presidency in Aug. 9 elections, and had asked Erlinder for legal advice in defending herself against charges of promoting genocidal ideology.

After returning to Rwanda in January from the Netherlands, Ingabire had visited a memorial to Tutsis killed in the 1994 genocide and asked why Hutus who died weren't also remembered.

She was arrested and freed on bail, but her passport was seized and she cannot leave Kigali. If cnvicted, Ingabire, 41, could be sentenced to more than two decades in prison.

Thursday, June 03, 2010

DICOTA Convention 2010

Greetings,

Many of you are aware of the upcoming 2nd convention of Tanzanians in the American Diaspora which will be held in Minneapolis, Minnesota on July 1 – 4, 2010 at Minneapolis Marriott City Center. This is a special invitation to you and friends of Diaspora Council of Tanzanians in America (DICOTA). Please encourage your partner and friends to participate as well.

The convention brings together members of the Tanzanian Diaspora in USA, Tanzanian private sector and government officials; key decision makers from U.S. businesses; financial institutions, and international organizations with vested interest in investment and growth in the country.

The theme of the conference this year is “Unleashing the Diaspora Potential” and it focuses on key economic sectors in Tanzania including agriculture, energy, mining, tourism, Technology and human security. DICOTA’s goal is to exchange ideas, best practice and debate issues with inter governmental agencies and organizations, and to strive to be a catalyst for the establishment of even better cooperation (Economic, Cultural, Education, Technology, Social Services, and Sports) between the United States of America and Tanzania. DICOTA is dedicated to the virtuous cycle of wealth creation and economic development of Tanzania and America. To accomplish this goal, DICOTA will engage in investment, job creation, or development projects.

Organizing committee encourages you to attend this convention will be glad to see your participation. Visit us www.dicotaus.org/convention/ for all the information and early registration deadline. You will also be eligible for the discounted hotel reservation at the Marriott Hotel City Center Minneapolis the convention site.

This is a great opportunity for establishing your network and learning experiences through exchange of ideas including business promotions and fostering meaningful partnerships.

Open the attachments for additional information as well
Hope to see you soon and best regards

Crispin Semakula, MD
Chairman DICOTA Convention 2010

Monday, May 31, 2010

Missing Tanzanian Woman - Caroline Mmary

Wadau, Los Angeles, California ni mji mkubwa mno. Nashukuru kuona kuwa polisi wa huko wanafanya bidii wamtafute. Sehemu nyingi hapa USA kama ni mweusi, mwafrika, tuseme mtu minority kwa ujumla hawajali.

*********************************************************************

LAPD Searches for Missing South Los Angeles Woman

Los Angeles: The Los Angeles Police Department and family members are asking for the public’s help in searching for a missing 26-year-old South Los Angles woman.

Detectives say Caroline Mmary was last seen at a home near 88th Place and Broadway on April 2, 2010 and hasn’t been seen since.

Family members told police they have not heard from Mmary and it’s out of character for her to lose contact with them. She has also failed to show up for work in the past couple of months and had not missed any work before her disappearance.

Mmary is originally from Tanzania, Africa, and came to the United States to study nursing at a local college in Long Beach. She has a 3-year-old daughter who lives in Los Angeles and a 6-year-old daughter currently living in Africa.

She is described as an African woman with black hair and brown eyes. She stands 5 feet 7 inches tall and weighs 150 pounds.

Anyone with information regarding the whereabouts of Mmary is asked to call Missing Persons Unit detectives at 213-996-1800 begin_of_the_skype_highlighting 213-996-1800 end_of_the_skype_highlighting.

During non-business hours or weekends, calls may be directed to 1-877-LAPD-24-7 begin_of_the_skype_highlighting 1-877-LAPD-24-7 end_of_the_skype_highlighting.

Anyone wishing to remain anonymous may call Crime Stoppers at 1-800-222-TIPS begin_of_the_skype_highlighting 1-800-222-TIPS end_of_the_skype_highlighting (1-800-222-8477 begin_of_the_skype_highlighting 1-800-222-8477 end_of_the_skype_highlighting).

Tipsters may also contact Crime Stoppers by texting to phone number 274637 (C-R-I-M-E-S on most key pads) using a cell phone.

All text messages should begin with the letters “LAPD.” Tipsters can also go to LAPDOnline.org, click on “web tips” and follow the prompts.


Sunday, May 30, 2010

Takwimu Zetu



Asante Da Subi
na TEDxDar (thx to
VijanaFM.com for the alert) kwa kuleta habari hizi.

Friday, May 28, 2010

Viongozi wa Afrika Part II

L-R Rais Siad Barre wa Somalia, Mwalimu na Rais wa FRELIMO Samora Machel. Baada ya Msumbiji kupata uhuru Machel alikuwa Rais wa nchi hiyo. Alifariki katika ajali ya ndege Afrika Kusini.
Nisaidie majina. L-R, Rais Kenneth Kaunda wa Zambia, ?, Rais Indira Gandhi wa India, Mwalimu, Rais Milton Obote wa Uganda, ?
Rais Mobutu Sese Seko wa Zaire (Congo), Rais Kaunda wa Zambia nyuma yake na Mwalimu
Mama Maria Nyerere, Dikteta Idi Amin Dada was Uganda na Mwalimu

Thursday, May 27, 2010

Ndege Acheza Ngoma



Frostie The Cockatoo Dancing To Shake Your Tail Feather! Bird Loves Ray Charles!

Yaani huyo ndege aina ya Cockatoo anacheza ngoma kweli. Ana rhythm kuliko mzungu! Yaani anapatia moves kweli kweli!

Viongozi wa Afrika

Mwaka 1960 Rais Sekou Toure wa Guinea na mke wake walitembelea mikoa ya Kusini mwa Marekani. Wakati huo Ubaguzi huko ulikuwa mbaya mno!
L-R - Emperor Haile Selassie (Eithiopia), President Jomo Kenyatta (Kenya), President Gamal Abder Nasser (Egypt), and President for Life Hastings Kamuzu Banda (Malawi)

Hii picha naona ilipigwa kwenye miaka ya 1964. Rais Nasser alifariki 1970, na Mzee Banda anaonekana bado kijana.

Luncheon With the Vice President of Malawi Boston


Name of Event: NEMA Luncheon with the Vice President of Malawi, Hon. Joyce Banda

When: 06/05/2010 at 12:30pm

Where: The Lantana, 43 Scanlon Drive, Randolph, MA 02368 (Tel) 781-961-4660
In the Mediterranean Room

Cost per Person: $40

RSVP and Give your payment to : Tione Chilambe (617) 909-2906, Chimwemwe Kamwana (617) 894-6065, Kettie Mtawali (339) 987-9390, Chimwemwe Moya Clarke (617) 335-8033

Wednesday, May 26, 2010

Chura Wavamia UGiriki!


Kwenye bliblia tunasoma habari ya nchi ya Misri kuvamiwa na nzi, chura, nzige nk. wakati wayehudi walitaka uhuru wao kutoka kweney utumwa. Sasa huko UGiriki yametokea tena.

Kuna mji umevamiwa na mamilioni ya chura, kiasi kwamba waliowaona walisema kuwa ilikuwa kama kapeti imetundikwa chini! Walikuwa wanavuka barabara kuu na kusababisha magari yaliyowakanyaga yateleze. Khaa! Watu wa huko wamekosa nini mpaka wautumiwe chura?

Mnaweza kusoma habari HAPA:

Monday, May 24, 2010

Eti Venus Williams Alivaa Vibaya?



Wadau, huko kwenye French Open, bingwa wa mchezo wa Tennis, Venus Williams aliwatoa wazungu jasho. Wanalamika kuwa nguo yake, ilimfanya Venus aonekane kama yuko uchi. Mbona wazungu hawasemwi wakivaa vibaya kwenye michezo. Wengine wako uchi kabisa! Kwa mila na desturi ya tennis ni lazima uvae nguo nyeupe. Venus kavaa nyeusi.
***********************************************
BY MARK W. SMITHFREE PRESS WEB EDITOR

American tennis star Venus Williams is making some headlines this morning after donning a revealing outfit during her Sunday straight-set rout of Patty Schnyder at the French Open.
Williams, ranked No. 2 at the Paris tourney behind kid sister Serena, wore a black lace corset-inspired outfit with a flesh-toned undergarment that gave the appearance that the outfit was more revealing than it actually was.

Williams told the media that the outfit was all "about illusion,"
Kwa habari zaidi BOFYA HAPA:

Saturday, May 22, 2010

Mtume!!!

Jamani huo mchezo wa kupambana na ng'ombe dume (bull) huko Hispania una athari zake. Yaani huwezi kuamini lakini huyo jamaa bado yu hai!

Mnaweza kusoma story hapa:

http://www.nypost.com/p/news/international/gored_matador_gets_spain_and_suffering_uKtLPXB9Snnc3d4BRNZPUN

Halahala Wanaonunua Chupi Marekani!!!!

Kama unanunua chupi Marekani ni lazima mtazame hii video!!! Inahusu chupi za akina mama.

Huenda unanunua chupi ambayo imevaliwa na mtu mwingine tena haijafuliwa!

http://today.msnbc.msn.com/id/26184891/vp/35659447#35659447

Ndege ya Air India Imeanguka India!


Ndege ya Air India aina ya 737 imeanguka leo huko India. Habari zinasema kuwa watu 158 wamekufa na watu 8 wamepona. Ndege hiyo ilitoka Dubai na ilikuwa ina jaribu kutua mjini Mangalore.

Mungu alaze roho za waliokufa mahala pema peponi. Amen. Kupona kwa hao watu 8 ni miujiza. Mungu lazima ana mpango nao dunia.

************************************************************
NEW DELHI (AP) - As many as 160 people were feared dead after an Air India plane arriving from Dubai crashed Saturday as it overshot a runway while trying to land in southern India.

Television images showed dense black smoke billowing from the aircraft surrounded by flames just outside the Mangalore city airport in a hilly area with thick grass and trees.

Firefighters sprayed water on the plane as rescue workers struggled to find survivors. One firefighter ran up a hill with an injured child in his arms.

Officials in the state of Karnataka said of the 169 people believed on board, only six or seven might have survived.

"This is a major calamity," Karnataka Home Minister V.S. Acharya told CNN-IBN TV.

The aircraft overshot the runway, hit a fence and went beyond the boundary wall of the airport, according to the Press Trust of India.

The crash could be the deadliest in India since the November 1996 midair collision between a Saudi airliner and a Kazakh cargo plane near New Delhi that killed 349 people.

The airport's location, on a plateau surrounded by hills, made it difficult for the firefighters to reach the scene Saturday, officials said.

Pre-monsoon rains over the past two days caused low visibility in the area, officials said.

Mangalore airport is about 19 miles (30 kilometers) away from Mangalore city.

Thursday, May 20, 2010

Kitabu - Sitasahau MV. Bukoba


SITASAHAU MV BUKOBA nikitabu kinachoelezea hali halisi ilivyokuwa ndani ya meli ya MV kabla na baada ya ajali. Nyaisa Simango ni miongoni mwa abiria walionusurika katika ajali hiyo, Ameandika hiki Kitabu kuelezea hali halisi ilivyokuwa tangu mwanzo wa safari yake hadi meli hiyo ilipopinduka na kuzama. SASA KIPO MADUKANI.

VITABU HIVYO VINAPATIKANA MADUKA YAFUATAYO;
1. Novel Idea- City Centre na Slip way
2. Soma Book Cafe- Regent Estate
3. Mwenge Best book shop - Mwenge
4. Scholarstica book shop -- Mlimani city
5. Salamander book shop --- City centre
6. General book Seller -- City Centre
7. Dar es salaam Printers -- City centre
8. DUP -- University of Dar es salaam

Arusha
Kase store

Moshi
Mwenge best book shop

Tarime/ Musoma
Gimunta Champion Traders Ltd

Iringa
Tanzania Literature Centre
Hiyo ajali ilikuwa ni mbaya na ni kweli ilisababishwa na uchu wa pesa! Ile meli ilijazwa vibaya mno na watu na mizigo (Overcapacity)! Kusoma habari za ajali ya meli MV Bukoba kilichotokea mwaka 1996 BOFYA HAPA:
*************************
Tanzania Ferry Capsizes; Hundreds Die

May 22, 1996 From Washington Post
BUJUMBURA, Burundi — A Tanzanian ferry crammed with passengers--many of them teenagers returning home from school--capsized in Lake Victoria early Tuesday, and reports from the scene said hundreds of people drowned.

Witnesses and survivors, in accounts relayed by news agencies and Tanzanian radio, reported that many of the estimated 600 passengers were trapped under the ferry after it capsized just off the port town of Mwanza, on the southern shore of Lake Victoria 600 miles northwest of Dar es Salaam, the Tanzanian capital.

Confusion surrounded rescue operations, and it was uncertain how many aboard died. But even in the confusion it was clear that large numbers of people--probably more than 400--drowned.
Mass transportation accidents are common in sub-Saharan Africa. Ferries and buses--often long past their years of peak function--are frequently overcrowded and poorly maintained.

There were suggestions that both factors contributed to Tuesday's accident. But government officials said the vessel had recently been deemed fit for service.

The steamship was near the end of a 110-mile, regularly scheduled trip to Mwanza from Bukoba, on the lake's western shore, just south of the Tanzanian border with Uganda. Tanzanian radio and witnesses reported more than 600 passengers packed the craft even though government officials said it was supposed to hold only 441 people.

Some witnesses said in broadcast reports that the vessel did not have an organized ticket-taking procedure, making a precise accounting of those aboard extremely difficult.

Details of the accident and the number of those killed remained unclear in the often-conflicting accounts. But as the overwhelming scale of the catastrophe became known, Tanzanian President Benjamin Mkapa declared a three-day period of mourning to mark what he called "a national tragedy."

Tanzanian radio reported that the accident occurred when the steamship, the MV Bukoba, struck a rock and sank about 6 a.m.

The radio reported that only 40 people survived the accident. But spokesmen for the state railway company that owned and operated the ferry contended that more than 100 passengers were rescued by boats dispatched to the scene with rescue workers.

Many of the passengers were believed to have been teenage Tanzanian students heading home at the end of the spring term. It was not clear where they were attending school, but Tanzanians frequently travel to Uganda for secondary and higher education.

Lake Victoria, Africa's largest lake, covering 27,000 square miles, is the second-largest freshwater lake in the world, after Lake Superior.

Mwanza is a major port, from which much of Tanzania's cotton, tea and coffee are exported.

Mtumishi wa Mungu Mama Habiba Atakuwa Dallas!

Wapendwa katika shamba la Bwana. Ninayoheshima kukukaribisha ili uweze kukutana na mtumishi wa Mungu Mama Habiba.Inawezekana umewahi kumsikia huyu mtumsihi kwa namna moja au nyingine au hujawahi kumsikia.Mama Habiba ni mama aliyepewa karama ya maombezi na Mungu na amekuwa akiifanya hii kazi kila Mungu alipompeleka.Watanzania wengi wanaoishi hapa Marekani wamekuwa wakisafiri kwenda Houston ili kuombewa na mama huyu na wengine wengi kwa mamia wemekuwa wakiombewa kwa njia ya simu.Mama Habiba atakuwa mgeni wetu kuanzia Jumamosi mpaka Jumapili (22&23/5).

Mama Habiba atafuatana na ujumbe wa watu kama 20 ukiongozwa na Dr.Jerrry Mng'wamba.
Kutokana na uwezo wa ukumbi wetu na ushauri tuliopewa hatutaweza kuchukua watu zaidi baada ya ukumbi kujaa.Ninakushauri ujitahidi kuwahii ili uwe na uhakika wa kupata nafasi ya kukaa bila usumbufu.Milango itakuwa wazi kuanzia saa kumi na moja kamili jioni.

Kwa Maelezo zaidi; 214 554 7381, 682 552 6402, 214 773 6697

Mungu akubariki sana na naomba ufoward huu ujumbe kwa kila mtu bila kujali dini,kabila au nchi anayotoka.

Pastor
Venue:
Trinity Church
12727 Hillcrest Road
Dallas, Texas 75230

Jumamosi kuanzia saa 12 jioni 6:00PM

Jumapili 9:00AM to 11:00AM (saa tatu hadi saa tano asubuhi)
na 5:00PM - 8:00PM (saa 11 hadi saa mbili jioni)

Tuesday, May 18, 2010

Shangazi wa Rais Obama apewa Asylum Marekani!


Hatimaye, Zeituni Onyango (57) mkazi wa Boston, Massachusetts na pia shangazi yake rais Obama kapewa ruhusa ya kukaa Marekani kihalali. Amepewa 'asylum' kutokana na afya yake mbaya na pia fujo za kisiasa huko Kenya. Kesi yake ilifuatiliwa kwa makini tangu Rais Obama alivyokuwa anagombania uraisi. Wazungu wenye fikra za kibaguzi walimtumia kama mfano na kusema eti Kenya nzima itahamia Marekani kama Obama atachuguliwa kuwa rais!

Watu wengi kutoka nchi za Afrika wana asylum hapa Marekani. Pia kuna waBongo waliopewa. Wanapata kutokana kuhofia maisha yao wakirudi kwao, fujo za kisiasa, kuteswa kutokana na imani za kidini nk. Hata wanawake kuogopa kutahiriwa.
Sasa ataweza kuleta familia aliyoacha huko Kenya kihalali.
Rais Obama anasema hakuhusika kabisa na uamuzi wa jaji.
HONGERA SHANGAZI ZEITUNI!
******************************************************************

Obama's aunt can stay in U.S.
Posted: May 17th, 2010 01:42 PM ET
From

Washington (CNN) - President Barack Obama's Kenyan aunt can stay in the United States, a U.S. immigration judge has ruled, ending a more than six-year legal battle over her status.
Judge Leonard Shapiro made the decision Friday, court officials told CNN.

Two government sources confirmed Monday that the ruling will give legal status to Zeituni Onyango, 57, allowing her to remain in the country.

Onyango's attorneys held an afternoon news conference on the matter in Ohio.
Onyango, who is the half-sister of the president's late father, applied for political asylum in 2002 due to violence in her native Kenya. She was a legal resident of the United States at the time and had received a Social Security card a year earlier.

Onyango's asylum request was turned down in 2004. She appealed the rejection of her request twice, but was denied each time and ordered to leave the country. Onyango remained in the country illegally until April of 2009, when Judge Shapiro gave her permission to stay in the United States while he considered her case.In February, Onyango arrived at an immigration court in a wheelchair and testified before the judge for more than two hours, her representative, Amy Cohn, told CNN at the time. Two doctors, including her personal physician, also testified on her behalf. Onyango's medical condition was part of her legal defense against expulsion.
White House officials said during the appeals that Obama was staying out of the matter.

"The president believes that the case should run its ordinary course," the officials said.
Onyango's immigration status came to light in the final days of the 2008 presidential race.

Monday, May 17, 2010

Kaka Michuzi Anahamisha Blogu Yake!


Kutoka Kwa Kaka Michuzi:

Asalaam Aleikhum, Bwana Asifiwe, Tumsifu Bwana, Shalom, Namaste, konnichiwa, Nihao, olá.....
kwa heshima na taadhima nawaamkia wadau wote popote mlipo ulimwenguni. Salamu nilizotoa hapo juu naomba ifahamike kuwa hizo nilizozimudu ni kama kielelezo kwamba nia ni kumuamkua kila mmoja kwa nafasi yake popote alipo. Mie sijambo na naendelea na Libeneke kama kawaida.

Waama, baada ya salamu, napenda kuwafahamisha kwamba Globu ya Jamii hivi karibuni itaingia kwenye awamu mpya ya dot com, ikiwa katika jitihada za kuboresha Libeneke zaidi.

Imechukua muda kuchukua hatua hii kutokana na mazoea kwani toka September 8, 2005 hadi leo si kidogo ati. Hivyo mabadiliko kama yapo inabidi yafanywe kwa uangalifu wa hali ya juu ili kutoleta usumbufu wa aina yoyote kwa wadau wa Globu ya Jamii ambao kwangu ndiyo waajiri wangu wakuu.

Naam, wakati wowote kuanzia sasa libeneke la issamichuzi.blogspot.com litaingia katika awamu ya www.imichuzi.com. unakaribishwa kujaribu na kutoa maoni yako.
Mabadiliko haya tayari yameshaanza na sasa yako katika hatua za nchani. Kilichosalia ni kuhamisha 'mzigo' wote toka issamichuzi.blogspot.com na kuutua katika www.imichuzi.com ili libeneke liendelee vile vile kama siku zote, ukaicha mabadiliko kiasi ya muonekano.
Ni kweli jina litabaki lile lile la 'MichuziBlog' lakini si uwongo kwamba hivi sasa itakuwa tovuti kamili ila katika sura ya globu kama siku zote. Hii yote ni katika juhudi za kuongeza ufanisi, tija na vionjo vingi zaidi pamoja na kuondoa kero ya kusaka mitundiko iliyopita. Nadhani sasa itaeleweka kwa nini kulikuwa na kwikwi katika kutafuta posti za zamani.

Mdau usihofu kwamba labda utapata shida kusaka www.imichuzi.com. La, hasha. hautopata shida kwani hata kama utaingia Globu ya Jamii kwa kutumia issamichuzi.blogspot.com ama hata kwa kutumia 'michuzi' pekee utapelekwa moja kwa moja kwenye kurasa mpya bila matatizo. Isitoshe, posti zitabakia kwenye ukurasa wa mwezi husika na kuingia kwenye 'archive' baada ya mwezi huo kwisha.
Hivyo basi, kwa unyenyekevu naomba niwashukuru wadau wote popote mlipo kwa kampani yenu wakati wote huu ambayo kwa kweli bila nyie Libeneke lisingefikia hapa lilipo, hususan katika wakati huu wa kulifanya bora zaidi.

Maoni, ushauri na mawazo vinakaribiushwa kwa mikono miwili, pasina kusahau kukosoana kwa kujenga na mawazo mbadala ili kieleweke na Libeneke liendelee mbele.

Kwa kuwa nawapenda wadau wote, nitakuwa mtovu wa fadhila endapo kama sintowaonjesha Libeneke litalokuja kwa muonekano mpya. Hapo hapo naomba radhi kwa usumbufu wowote utaotokea kwani kama inavyofahamika si rahisi kwa binadamu kuwa sahihi kwa kila jambo. Hivyo n penye kwikwi na tusameheane na tushtuane haraka iwezekanavyo kupitia anuani ile ile ya issamichuzi@gmail.com ambayo nayo itabadikika mambo yakikaa sawa muda si mrefu ujao itakuwa info@imichuzi.com

Miss USA kwa mara ya kwanza ni Mwarabu!


Kwa mara ya kwanza Miss USA ni mwarabu. Anaitwa Rima Faki. Ana miaka 24. Ni mhamiaji kutoka Lebanon. Ni Miss Michigan. Kama mnavyofahamu huko Michigan kuna waarabu wengi sana wana jamii kubwa sana enye nguvu. Na sehemu zingine ni kama kwenda Uarabuni kabisa.


NImependa sana maneno yake ya utundu. Mfano aliulizwa unajisikiaje kuwa Miss USA. Alijibu, nitakuambia nikishakula pizza!
Hongera Rima!

Congratulations on your win!


Pichani Rima akivishwa Taji.

***************************************************************LAS VEGAS – Rima Fakih knew she had won the 2010 Miss USA title when she saw the look on Donald Trump's face: It was the same one she'd seen him flash at the winners of "The Apprentice."

The 24-year-old Lebanese immigrant — Miss Michigan USA to the judges — beat out 50 other women to take the title Sunday night, despite nearly stumbling in her evening gown.

She told reporters later that she believed she had won after glancing at pageant owner Trump as she awaited the results with the first runner-up, Miss Oklahoma USA Morgan Elizabeth Woolard.

"That's the same look that he gives them when he says, 'You're hired,'" on Trump's reality show, she said.

"She's a great girl," said Trump, who owns the pageant with NBC in a joint venture.


Mnaweza kusoma habari kamili hapa:

Wednesday, May 12, 2010

Kinyago kilichoibwa Tanzania Charejeshwa


Pichani - Sanamu ya Makonde ambacho kiliibiwa kutoka Makumbusha ya Taifa Dar es Salaam, ilibwa kati ya mwaka 1984-1986 pamoja na baadhi ya mikusanyo ya mila na Sanamu hiyo kilikamatwa nchini Uswisi na hatimaye kurejeshwa hapa nchini.


Asante Da Subi kwa habari hizi:

Sanamu ya Kimakonde ambayo iliibwa mwaka 1984 pamoja na mikusanyiko ya vitu vya kimila kutoka kwenye Makumbusho a Taifa Dar es Salaam, na kuingia katika makumbusho ya Barbier-Mueller iliyopo nchini Uswisi mwaka 1985, imerejeshwa. Wahusika wa makumbusho hiyo ya Uswisi wanasema waliinunua miaka 25 iliyopita bila kufahamu kuwa iliibwa toka Tanzania.

*******************

The Makonde mask, which was worn at male initiation rites by the animist ethnic group, was taken by burglars from the National Museum of Tanzania at Dar Es Salaam in 1984 and bought by the Swiss museum the following year. An official "mask-giving" ceremony will take place in Paris on Monday between representatives of the Geneva-based Barbier-Mueller museum and the Tanzanian museum, under the guidance of the International Council of Museums.

The Barbier-Mueller said in a statement that in 1990, a professor at an Italian university told it that the Makonde mask in its collection could have come from the Tanzanian museum and it informed the council.

The Barbier-Mueller museum, founded in 1977, then began the process for an eventual return of the mask to Tanzania, under certain conditions. "The return of the Makonde mask is a happy end to more than 20 years of negotiations and efforts by the two parties, with the help of the ICOM," the statement said.

Tuesday, May 11, 2010

Kifaru Atoroka Zoo Florida

(Pichani - Archie Kifaru aliyetoroka Zoo Huko Florida)

Leo kuna habari kuwa kifaru alitoroka kutoka kwenye hifadhi yake kwenye Mbuga ya wanyama (Zoo) huko Jacksonville, Florida. Kifaru huyo anaitwa Archie na ana miaka 41. Wafanyakazi wa zoo walipoenda kazini asubuhi hawakumkuta kwake. Kwa bahati walimkuta kwenye eneo la tembo. Lakini wanasema Archie alikuwa mbishi na alikuwa hataki kurudi kwake. Ilibidi wampigie risasi enye dawa ya usingizi.

Hebu mwone huyo Archie (pichani). Mbavu zake zinaonekana, anaonekana mnyonge pia. Anajua maisha nje ya hiyo zoo kweli. Lakini sidhani kama anaelewa kuwa kama angekuwa porini asingeishi muda mrefu maana wale poachers wangemwua kwa ajili ya hiyo pembe yake. Eti unga wa pembe ya kifaru inaongeza uwezo wa mwanamme kufanya ngono!

Hapa Boston sokwe alitoroka kutoka Franklin Park Zoo. Walimkuta kakaa kwenye kituo cha basi karibu na zoo. Siku nyingine sokwe huyo huyo alitoroka na kuzaba vibao kila mtu ambaye alikutana naye!

Kwa habari zaidi someni:

http://jacksonville.com/news/metro/2010-05-06/story/archie-rhino-spends-morning-lam

Monday, May 10, 2010

Lena Horne Afariki Dunia Akiwa na Miaka 92.

Lena Horne 1917-2010
(pichani Lena Horne akiwa na Bill Robinson aka. Bojangles na Cab Calloway mwaka 1943)

Wadau, leo tunamka kusikia habari ya kifo cha Lena Horne. Lena alifariki jana huko New York akiwa na miaka 92. Aliishi maisha marefu.

Lena alipambana sana na ubaguzi Hollywood. Alikuwa mweupe mno, na mara nyingi ilikuwa akiigiza katika sinema na wazungu ilibidi wampake make-up kusudi aonekane mweusi zaidi na wazungu wasidhani ni mzungu. Wakati huo sinema zilikuwa zinapigwa katika black & white.

Safari yake kwenda Hollywood ilianza mwaka 1933 alipokuwa katika stage show ya Cotton Club huko, New York. Lena aliigiza katika sinema, Cabin in the Sky. Katika hiyo ni kimada wa Little Joe. Walipiga scene ambayo Lena alikuwa anaoga katika bathtub huko akiimba akijiandaa kwenda kwa Little Joe. Scene ilikatwa eti kwa vile wazungu hawataamini kuwa weusi wanaoga!

Lena alikuwa mwimbaji maarufu pia. Aliimba katika klabu nyingi, na pia katika bendi za Noble Sissle, Duke Ellington na Cab Calloway. Alikuwa katika sinema The Wiz pia na Michael Jackson na Diana Ross.

Mwaka 2004 ilikuwa watengeneze sinema kuhusu maisha yake. Janet Jackson ndo alikuwa stelingi wake. Lakini baada ya Janet Jackson kuonyesha titi lake kwa umati akiwa kwenye Superbowl, Lena Horne alisema hataki "mtu mwenye fikra za kimalaya" aigize kama yeye. Alisha Keyes atakuwa stelingi wa hiyo sinema.

Rest in Peace Lena Horne.


Sunday, May 09, 2010

Happy Mother's Day!




Nawatakia akina mama wote sikukuu njema!!!!

Na nawaomba watoto wawakumbuke mama zao siku ya leo, hata kwa kuwapigia simu.

Saturday, May 08, 2010

KiSwahili Yamponza MRundi New Hampshire - Anusurika Kuuwawa


Jamani, kumbe yule baba aliyekuwa kwenye ile basi ya Greyhound huko Portsmouth, New Hampshire ambaye walisema kabeba bomu alikuwa ni MRundi!Na wala hakuwa na bomu! Alikuwa anaongea kwenye simu ya mkononi katika lugha ya kiswahili kwenye basi. Mama moja wa kizingu eti kasikia eti kasema, "BOMB ON BUS'! Watu wanasema huenda jamaa alisema Obama!

Sasa watu wamezidi! Ukiwa mweusi umevaa nguo za kijeshi, unaongea lugha ambayo mzungu haelewi basi unaweza kupigwa risasi hapa Marekani!

Polisi wa SWAT (FFU) walitumwa kwenye eneo la tukio. Waliwaambia watu washuke kwenye basi mikono mitupu huko wamezipandisaha juu. Huyo baba wa KiRundi hakuelewa inatokea nini, kabaki kwenye basi. Basi ndo wakaamua ni kweli ana bomu.

Naona huko New Hampshire polisi hawakuwa na kazi siku hiyo. walituma, mizinga vifaru (tanks), pia robot alitumwa. Nilimwona kwenye TV akiwa kwenye mlango wa basi, na kamera yake. Wataalamu wa bomualikuwepo yaani ukitazama kwenye TV unaweza kuanguka kwa vicheko baada ya kugundua kuwa fikra za kibaguzi zilizosabaisha huo mkasa!

Polisi kwa aibu, hawakumkamta yule MRundi. Bali walimkamata mzee wa kizungu mwenye miaka 68, amabaye walisem kuwa aligombana na polisi, na MMarekani mweusi ambaye walisema aliwapa jina la uongo! Jina la huyo MRundi wamehifadhi. Lakini jamani wanavyoongea utadhani Swahili inongelewa katika sayari gani sijui!



*********************************************
(NECN: Portsmouth, N.H.) - Two men were arrested following a nine-hour standoff on board a Greyhound bus in Portsmouth.

The last man off the bus, whose hesitation resulted in a six-hour delay to the end of the standoff, was not one of the men charged. That man, who is from Burundi, Africa, has been released but not publicly identified by police. A passenger reported hearing on the other end of his phone conversation that a bomb was on the bus. That caused the 911 phone call to which police responded and sprung the standoff.

Officials believe the Burundi man did not get off the bus when instructed due to language, cultural and social barriers. His native tongue is Swahili.

"We took the time and additional resources to locate a family member and additional resources to locate a family member who spoke with this person in his native tongue of Swahili and helped to assure the man that no harm would come to him if he surrendered to the police officers outside the bus," Police Chief David Ferland said.

Where he is from, police said, people fear law enforcement -- they believe he feared he would be shot if he exited the bus. His hesitation delayed the end of the incident by six hours. He is in the country legally, police said.

The two men who were charged in the incident will be arraigned Friday afternoon. John Smolens of Lewiston, Maine was charged with resisting arrest or detention. Chief Ferland said the charges stem from his refusal to follow the orders of SWAT team members and refusal to cooperate in the overnight bail process.

Calvin Segar of Brooklyn, N.Y. was charged with two counts of obstructing governmental administration for providing false names and false information, according to the police chief.

The two were scheduled to be arraigned at 1:30 Friday afternoon in Portsmouth District Court. The incident is not considered an act of terrorism, rather a "local event."

The police chief thanked all the agencies that participated in the peaceful conclusion of the nine-hour standoff, and apologized to the local businesses and citizens who were inconvenienced by the evacuation and closure of the area.

Kwa habari zaidi tembelea:

http://www.necn.com/05/07/10/Police-Cultural-barriers-extended-Portsm/landing.html?blockID=230623&feedID=4206

Friday, May 07, 2010

Ngoma ya Marais

Kutoka Michuzi Blogu:

Rais wa Janhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete katikati, Rais wa Afrika ya Kusini Mhe. Jacob Zuma, Wazi Mkuu wa Kenya Mhe.RailaOdinga na Waziri Mkuu Mstaafu wa Tanzania Dk. Salim Ahmed Salim, wakisakata Rumba katika Tafrija ya kukamilisha Mkutano wa Uchumi Duniani iliyofanyika jana katika Viwanja vya Ikulu Dar es salaam.Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dk. Ali Mohamed Shein, akisakata Rumba na Elsia Kanza kwenye Tafrija ya kukamilisha mkutano wa Uchumi Duniani iliyofanyika jana Usiku katika Viwanja vya Ikulu Dar es salaam.(picha na Amour Nassor VPO)
Kupata habari na kuona picha zaidi mtembelee KAKA MICHUZI:

Kanumba Aja na Sinema Mpya - White Maria!


Wadau, mcheza sinema maarufu wa Tanzania Steven Kanumba aka. The Great Kanumba au Denzel wa Tanzania atatoa sinema mpya mwezi ujao.

Sinema itaitwa White Maria. Stelingi wake ni Kanumba mwenyewe, Wema Sepetu aliyewahi kuwa Miss Tanzania.

Mnaweza kupata habari zaidi kwenye Blog ya Kanumba:
http://kanumbathegreat.blogspot.com/
Naingojea kwa hamu! Wadau huko Bongo mtuletee reviews.

Mazishi ya Bi Mwana Nassor mjini Boston


Mtoto wa marehemu Alex Rashad akiangalia utaratibu ya mazishi


Wadau, mpendwa mama yetu Bi Mwana Nassor alizikwa jana Alhamisi, Mei 6, katika makaubiri ya The Gardens at Gethsemane, West Roxbury, Massachusetts. Ni nje kidogo ya Boston.
Mola ailaze roho yake mahala pema peponi. Amina.
******************************************************************

ASSALAM ALAYKUM

Ndugu Wapendwa Kwa niaba Ya Familia ya Bi Mwana, Tunatowa shukurani zetu za dhati
kwenu nyote Mliochangia na Mliohudhuria kwa hali na Mali Na Kwa yote Mazuri Yaliyotendeka wakati wa msiba wa kipenzi chetu Bi Mwana k. Nassor.

Vilevile Tunamshukuru M/Mungu Sana kwa Imani zenu na Ihsani zenu kwa Mshikamano wenu Mwanzo mpaka Mwisho katika Kumzika Marehemu Mama Yetu,na tunaomba mshikamano huu tuuwendeleze hivihivi ,Mungu Aendelee Kutupa roho za imani na upendo kwa sote. Na Tunawaomba Radhi kama kuna Usumbufu wowote ule uliotokea.

Na kwa wale wanaotaka kutowa salamu zao
za Rambirambi unaweza kuwapigia simu

Alex Rashad 832-537-1749
Eddy Rashad 781-608-0665
Kassim Khelef 617- 372-2566
Hafidh Kombo 203-558-1073
Samha Matar 857-249-0401

Tuesday, May 04, 2010

Msiba Boston - BiMwana Nassor


pichani Marehemu Bimwana Nassor

Ndugu, Jamaa na Marafiki, Tunasikitika kuwajulisha Msiba wa Mama Yake Alex Rashad, Eddy Rashad, Hafidh,na Samha Matar (Bi Mwana ) Mwana Nassor Khalef ameshatangulia mbele ya haki.

Mungu amlaze mahali Pema peponi (Amin)Taratibu na mipango ya kuzika zinaendelea Nyumbani kwake Samha 208 Westville, Dorchester MA.
Tunawaomba ndugu zetu mtusaidie kuchangia fedha kwa ajili ya kuwezesha Gharama za kuhifadhi mwili, , na gharama zingine ambazo kwa kawaida huja na haya matatizo.

Mnaweza kuwasilia na :

Alex Rashad 832-537-1749

Eddy Rashad 781-608-0665

Kassim Khelef 617- 372-2566

Akaunti Maalum umefunguliwa kwa ajili ya Rambirambi:
Eddy Rashid
Bank of America : 004616854853 (Savings)
Routing Number: 011000138

Monday, May 03, 2010

Ukosefu wa Maji Safi Boston


Wadau, nikikukumbuka shida ya maji Bongo, lazima nicheke na vituko vya watu hapa Boston na miji kadhaa iliyoathirika shauri ya bomba kuu la majio kupasuka huko Weston.

Basi leo, huwezi kununua kahawa, wala chai. Sehemu chache walikuwa wanauza na walikuwa wanatumia maji ya chupa kutengeneza. Huko watu wanalia kukosa kahawa ya asubuhi, mimi nilileta kahawa ya unga kutoka nyumbani, nilichemsha maji ya kutoka kwenye bomba la jikoni kwenye microwave. Watu wamenishangaa mno! Walinitizama kama nina kichaa!

Nilienda Shaw's supermarket huko Fenway jana kununua mahitaji machache jana. Nilipoingia pale mbele walikuwa na zile packs za chupa 24 za maji, $3.99. Ilikuwa palate nzima. Nivyotoka zilibaki mbili tu!

Watu wameambiwa wasifue nguo wala kuosha nguo na hayo maji! Hapa kazini walitupiga marufuku kunawa mikono. Walisema ukinawa lazima utumie hand sanitizer.

Jana mzungu fulani kanipigia simu na kuniambia niwapigie watu wote kwenye idara yangu simu kuwaonya kuhusu maji. Nilimwambia kuwa huo bomba ulipasauka zaidi ya masaa 24 iliyopita, hivyo huenda watu wamekunywa. Na bila shaka watakuwa na habari kwa vile iliotangazwa kwenye vyombo voyte vya habari na miji kadhaa iliwapigia simu watu kuwaonya. Pia nilimwambi nilikuwa natoka kwenda kwenye shughuli saa hiyo. Mzungu alianza kulia oh watu wataugua sana usipowapigia simu! Jana ilikuwa jumapili!!!!

Hayo maji yanayotoka kwenye bomba ukitazama yanaonekana masafi kweli kweli. Huko Bongo watu wangesema ni salama. Wengine wangetia kwenye chupa na kuuza!

- Watu wamepigana mangumi madukani wakigombania chupa za maji.

- Poland Springs, Dasani, Everest, na hao wengine wanaotengeneza maji ya chupa wa ruka ruka kwa furaha. Shareholders wao watapata faida kubwa kweli mwaka huu!

- Maduka mengi yamepandisha bei ya maji. Mayor Menino anagomba!

- Watu wanafaya hoarding ya maji! Unakuwa mtu ana minivan imejaa maji! Sasa maduka wanawauzia watu crate mbili tu!

Lakini jamani, lazima niulize. Hivi watu wanashindwa kuchukua sufuria na kuchemsha maji ya kunywa? Huenda wamesahau! Maana siku hizi kila kitu ni take-out, microvae, frozen!