Showing posts with label Maangamizi. Show all posts
Showing posts with label Maangamizi. Show all posts

Thursday, April 04, 2019

Kumbukumbu - Mauaji Rwanda 1994

Wadau, nilikuwa mwandihsi wa habari katika gazeti la serikali, Daily News. Siku ya 4/4/1994, tulipata Telex kibao kuwa watu wanafurika Bukoba na sehemu zingine mpakani kutoka Rwanda. walisema watu wanauawa ovyo, kisa...eti WaTusi!  Walisema watu waliokuwa marafiki jana, leo ni maadui!  Asante Mwalimu  Nyerere, sisi waTanzania wote ni NDUGU!

******************************************

Rwanda genocide victims 1994

By The Associated Press

   KIGALI, Rwanda (AP) - Twenty-five years ago, Rwanda descended into an orgy of violence in which some 800,000 Tutsis and moderate Hutus were massacred by the majority Hutu population over a 100-day period in what was the worst genocide in recent history.

   The massacres, mostly by gangs wielding machetes, swept across Rwanda and groups of people were killed in their homes and farms and where they sought shelter in churches and schools. The mass killings started after a plane was shot down on April 6, 1994, in the capital, Kigali, killing President Juvenal Habyarimana. The killers were encouraged by hate messages broadcast on radio stations. Rwandan police, military and other government authorities did not stop the killings.

   Scores of thousands of terrified Tutsis fled Rwanda for neighboring countries including Congo, Tanzania and Uganda. The waves of murders continued until the rebel forces of the Rwandan Patriotic Front took control of the country. Paul Kagame, who led the rebels, helped re-establish order in the country and served as vice-president and defense minister from 1994 until he became Rwanda's president in 2000. Under Kagame's leadership Rwanda has achieved stability and economic growth, although he is widely accused of being intolerant of criticism and of running a repressive government.

   The scale of the killings in 1994 was unimaginable but the reporting and photographs taken at the time, for which AP won Pulitzer prizes, helped to inform the world of the horrors of the genocide.



Sunday, July 10, 2016

MAANGAMIZI: THE ANCIENT ONE - Sinema ya Kwanza ya Tanzania Kwenda Oscars!

   Hii ni sinema ya kwanza kutoka Tanzania kushindana katika Academy Awards (Oscars)!

Monday, January 07, 2013

Harry Fear Speaking Tour Schedule - Gaza's Ark

Reporting on Israeli aggression against Gaza - Speaking tour January 7-12, 2013


Greetings to all supporters of the Canadian Boat to Gaza for 2013, the year when we plan to sail Gaza's Ark to challenge the blockade from the inside out, with your support. To find out more about Gaza's Ark and how you can support our work, please see http://www.GazaArk.org

The Canadian Boat to Gaza is pleased to co-sponsor a Canadian tour this week by Harry Fear, an independent journalist, documentary maker and activist from the UK. Harry was witness to the Israeli aggression against the Palestinians of Gaza during Operation Pillar of Cloud in November 2012. Harry will be appearing in six Canadian venues in early January following a successful talking tour in Germany.

Website: http://www.harryfear.co.uk

YouTube: http://www.youtube.com/user/harryfear

Twitter: @harryfear

Harry's schedule this week in Ontario and Alberta is as follows (for more details check Facebook event page or http://www.gazaark.org/events):

Jan 7 Guelph, ON

7:00 - 9:00 PM

40 Baker Street

Co-host: OPIRG U of Guelph

Event page: http://on.fb.me/TIMRrF



Jan 8 Toronto, ON

2:00 - 5:00 PM

University of Toronto Mississauga

Co-hosts: SAIA U of T & UTM
TSJP UTSC
SJP Ryerson U
SAIA York U

Event page: http://on.fb.me/UkmuGP


Jan 9 Hamilton, ON

7:00 PM Talk

Co-host: SPHR McMaster U

Event page: http://on.fb.me/ZUkFZ0


Jan 10 London, ON

7:00 PM

Co-host: Western U SPHR


Jan 11 Windsor, ON

7:00 PM

Co-host: PSG U of Windsor

Event page: http://on.fb.me/ZVNm7U



Jan 12 Calgary, Alberta

Co-host: SPHR U of Calgary

Event page: http://on.fb.me/10QRBRz


For updates and more information, please see: http://www.harryfear.co.uk/blog/gaza-report/reporting-aggression-tour

Friday, January 04, 2013

Barua ya Wazi kwa WaTanzania Kuhusu Wanyrwanda Nchini

Imeandikwa na Mchungaji Christopher Mtikila

MAANGAMIZI YA KUTISHA YA WANANCHI WA BULIGI

(Wanyarwanda wahusika na unyama dhidi ya Wasukuma)

Hii ni Taarifa ya kuteketezwa zaidi ya nyumba 500 za wananchi wa kabila la Wasukuma kwa moto, pamoja na tani nyingi za mazao yao ambayo ni pamoja na mpunga, mahindi, maharagwe, mtama, dengu, uwele, serena, pamoja na mali zao zingine, katika eneo liitwalo Buligi, katika Wilaya ya Muleba. Unyama huu wahusika wamejaribu kuuficha kwa jina la ‘Opresheni Okoa mazingira’.

Ni lengo la Katiba ya Nchi yetu na Sheria pamoja na taarifa ifuatayo, kwamba wote waliohusika na maangamizi haya waadhibiwe vikali, na wananchi wote waliofanyiwa unyama huu ni lazima walipwe fidia za mali zao na mateso ya kutisha waliyopata. Baada ya kuchomewa nyumba zao na mali zao zote wananchi wengi wamelundikana makanisani, na wengi wako maporini wakikimbia unyama wa kutisha na kuporwa mali zao. Vijiji vilivyoteketezwa ni pamoja na Nyamiranda, Itunzi, Kasharara na Kiteme. Uharamia uliendelea mpaka maeneo ya Karagwe na Biharamulo kama alivyoeleza Mkuu wa Mkoa wa Kagera katika vyombo vya habari, kama gazeti la Mtanzania Toleo nambari 7142 la tarehe 17/11/2012. Utetezi wa Mkuu wa Mkoa wa Kagera Col. Fabian Masawe wa maangamizi ya kutisha ya Wasukuma, kama ulivyokuwa ule wa Waziri wa Ardhi Profesa Anna Tibaijuka ambaye pia ni Mbunge wa Muleba Kusini, kwamba ilikuwa opresheni maalum iliyolenga kuondoa wahamiaji haramu wenye maelfu ya ng’ombe katika Hifadhi ya Taifa ya Buligiuna ukweli. Lakini Wasukuma si wahamiaji haramu, kwa sababu ni wazawa katika nchi yao, na hayo maelfu ya ng’ombe katika hifadhi si ya Wasukuma bali ni ya Watusi wa Rwanda.

KIINI CHA MATATIZO YA WATUSI DUNIANI

Hakuna asiyejua kuwa malengo makuu ya kuanzishwa Umoja wa Mataifa ni pamoja na kulinda haki na usawa wa binadamu wote ulimwenguni, ili idumu amani na kuleta maendeleo katika kuboresha maisha ya binadamu. Ndiyo maana ile sera ya Makaburu ya udhalilishaji wa mtu mweusi au ubaguzi wa rangi waliyoiita apartheid ilipigwa vita na dunia yote, mpaka ikatokomezwa. Hata ushujaa wa Nelson Mandela unaopita umaarufu wa kiongozi mwingine yeyote duniani, aliupata kwa sababu ya uhanga wake katika kutetea usawa wa binadamu wa rangi zote duniani. Lakiniapartheid ya Makaburu haikuweza kuufikia ushetani wa Watusi, jinsi wanavyowadhalilisha Wahutu na Wabantu wengine, kwa imani yao chafu sana kwamba wao eti waliumbwa kwa ajili ya kutawala tu, na kwamba Wahutu waliumbwa kwa ajili ya kuwa watumwa wao! Ni makufuru yanayojulikana wazi ya Watusi kuwatema mate Wahutu au Wabantu wengine kwa kinyaa kama vile ni mavi mbele zao. Na imani yao hii ya kishetani ndilo chimbuko la mbinu na mikakati yao yote ya kutawala siyo tu Maziwa Makuu bali hatimaye hata Afrika yote ya ‘watumwa’ wao!Tabia ya Watusi ya kula wao kwanza, halafu kuwatupia makombo watumwa wao (Wahutu), tena baada ya kuyatemea mate na makohozi, ni historia inayojulikana na kila mzawa wa Maziwa Makuu. Hata maendeleo yalipozidi kutowesha giza hili, bado wanawake Watusi walilazimika kudumisha udhalili wa Wabantu kwa kuolewa na wale wenye mali lakini mimba wapate kwa Watusi wenzao, ikibidi hata kwa ndugu zao wa damu kama hakuna Watusi wengine karibu. Historia itamuenzi shujaa Gregory Kayibanda wa Rwanda kuliko inavyomuenzi Nelson Mandela wa Afrika Kusini, kwa kutokomeza ile apartheid chafu kupindukia ya Watusi nchini Rwanda mwaka 1959. Ukweli ni budi uheshimiwe na dunia kwamba Watusi wengi walikimbia kutoka Rwanda kufuatia mapindizi yale, kwa sababu ya kukwepa balaa ya kuwa chini ya watumwa wao!Watusiwalikimbilia Burundi na Tanganyika kwa baba yao Julius Nyerere, kujipanga kwa ajili ya “kurudisha ubwana wao juu ya watumwa wao” Rwanda. Kwa imani ya kishetani ya Watusi, Watanganyika kwao wao ni mataahira tu kama Wabantu wenzao yaani Wahutu. Hata bila kupayuka Watusi wanarithishana imani kwamba sisi tuliumbwa kwa ajili ya kuwa watumwa wao. Ubwana wa Watusi uliimarishwa kwa kupandikizwa utwana katika mioyo ya Watanganyika, wa kuwaona Watusi kuwa bora kuliko Wahutu pamoja na hata sisi wenyewe! Hali hii ndiyo iliyowezesha Watusi kujipenyeza katika sehemu zote nyeti za utawala wa Nchi yetu, pamoja na uhodari wao katika matumizi ya rushwa ya mapesa na chambo cha wanawake zao (the Tutsi sexual diplomacy). Ndivyo Watusi walivyofanikiwa hata kuiteka kifikra jumuiya ya kimataifa, ikabariki na kuwasaidia kuangamiza Wahutu zaidi ya milioni sita, na hata kugeuza kibao kuhusu genocide ya Rwanda kwamba Wahutu ndio walioangamiza Watusi! Ndiyo maana nchi yetu ilipokuwa na wakimbizi wa Kitusi na wa Kihutu, Watusi walipendelewa kwa kuhudumiwa kama wafalme na kuandaliwa kurudi “kuikomboa” Rwanda. Kwani ingawa Rwanda ilikuwa na utawala wa kidemokrasi wa Wahutu walio wengi kwa asilimia 85%Watusi wakiwa asilimia 14% tu, ni haramu Watusi kuwa chini ya Wahutu kwavile eti ni watumwa wao! Ni kweli kwamba matokeo ya ufisadi nautwana wa watawala wetu wanaoamini katika ubwana wa Watusi, ni pamoja na kufurahisha Watusi na baba yao Nyerere kwa kuhusika kwa serikali yetu katika yafuatayo:

1. Maangamizi ya Wahutu zaidi ya 6,000,000,

2. Uvamizi wa Jamhuri ya Rwanda kupitia Uganda na Burundi, ambapo maandalizi kwa sehemu kubwa yalifanyikia nchini mwetu kwa mkono wa Serikali ya CCM. 3. Kuhusika kikamilifu na mauaji ya kinyama ya marais watatu Wahutu wa Burundi na Rwanda yaani Melchior Ndadaye, Juvenal Habyarimana na Cyprien Ntaryamira pamoja na ujumbe wao wote, na ushetani mwingine wa kutisha.

4. Kujiuza utumwani kwa Watusi, na kutumika kuliingiza eneo la Maziwa Makuu katika Himaya yao, kwa kuwasaidia kuingia katika Jumuiya ya Afrika Mashariki, wakati hawana sifa kabisa kulingana na Mkataba wa Uundaji wa Jumuiya(EAC), kwa unyama wa ‘apartheid’ na genocide yao.

5. Kusaidia uvamizi wa DRC uliofanywa na Kagame na Mseveni, watawala wetu wakaivika aibu kubwa Nchi yetu kwa kukataa kushiriki katika Jeshi la SADC (SADC Alliance) la kusaidia ndugu zetu dhidi ya maharamia, Nchi yetu ikaongopea dunia bila aibu kwamba eti haiko upande wowote kati ya wavamizi na mnyonge aliyevamiwa!

6. Kuwarudishia RPF Wahutu takriban milioni moja kwa unyama usiosemeka, waliokuwa wameyakimbia mauaji ya kinyama ya RPF baada ya kuvamia nchi yao, RPF wakawapokea na kuwaangamiza wote, na kumwaga maiti zao kwa maelfu katika mto Kagera, zikawa zinafunika Ziwa Victoria mpaka General Mboma alipotoa Tamko la kuvamia Rwanda kukomesha ushetani huu wa RPF, kama wasingeacha unyama huo mara moja.

Nchi yetu inakabiliwa na kisasi cha Mwenyezi Mungu! Na ishara tayari zinaonekana! Kuna kuacha upumbavu na kutengeneza na Mwenyezi Mungu, ama mapigo makali kuliko yaliyoipiga Misri, yatakayosimuliwa vizazi vyote! Kwa ufisadi na utwana wa watawala wa nchi yetu kwa Watusi, bila chembe ya aibu wala hofu kwa Mwenyezi Mungu waliikaribisha katika ardhi yetu ICTR, ikiwa nyenzo maalum ya kuwasaidia Watusi kuangamiza Wahutu wote wenye uwezo kiuchumi na kifikra duniani! Kenya iliikataa ICTR katika ardhi yake, kwa kumwogopa Mungu kwa sababu ni nyenzo ya genocideiliyoangamiza mamilioni ya Wahutu, ikawafuata mpaka na wale milioni 2.5 waliokuwa wamekimbizia uhai wao Mashariki ya Congo, na kuwateketeza kinyama! Kupenyezwa kwa Watusi katika ngazi zote nyeti za utawala wa nchi yetu kumewezesha Utusi kuteka nyara sera za nchi yetu zitumikie maslahi ya Watusi, kwa gharama ya heshima ya utaifa wetu na maslahi ya nchi yetu. Na siyo siri kwamba msingi wa laana hii yote iliyoonywa na Mwenyezi Mungu katika Kumbukumbu la Torati, ulijengwa na dikteta Julius Nyerere, ambaye leo anawekwa mahali pa Mwenyezi Mungu na kufanyiwa ibada ya ‘ubaba’ wa Taifa! Utekelezaji wa ndoto ya Nyerere ya kuweka eneo lote la Maziwa Makuu chini ya Himaya ya Watusi unasimamiwa na vijana wake, madikteta Yoweri Museveni na Paul Kagame aliyeangamiza mamilioni mengi ya binadamu duniani kuliko Adolf Hitler.

Propaganda za ‘Jumuiya au Shirikisho la Afrika Mashariki’ zinazopigiwa debe kwa nguvu na hawa Watusi, ni katika ujenzi wa hiyo Himaya yao. Dikteta Yoweri Museveni ametangaza mara kadhaa haki yake ya kustahili kuwa Rais wa kwanza wa shirikisho la Maziwa Makuu (Himaya ya Watusi), na anacho kikosi cha majasusi zaidi ya 400 ndani ya Nchi yetu, yanaoiyeyusha nchi yetu kwa ajili ya kumezwa katika Himaya hiyo, na mafanikio yanaonekana kwa jinsi utawala wetu wa CCM unavyonyenyekea Watusi na kujidhalilisha kwao.

KUMEZWA KWA DRC KATIKA HIMAYA YA WATUSI

Mwuaji wa kutisha Paul Kagame alikwishaikamata DRC baada ya kufanikiwa kumwua Rais Laurent Kabila, akampenyeza madarakani Mnyarwanda Hypolite Adrien Christophe Kanambe kwa jina bandia la ‘Joseph Kabila’. Wauaji wa Rais Laurent Kabila baada ya kutoroshewa Rwanda walikimbiziwa hapa, ambapo walihamishiwa Norway kimya kimya. Mnyarwanda “Joseph Kabila” anayetawala Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo kama Gavana wa dikteta Paul Kagame, ni ndugu wa damu wa Mkuu wa Majeshi ya Kagame, yaani James Kabarebe, ambaye pamoja na Kayumba Nyamwasa ndio waliosimamia yale mauaji ya kutisha ya wale Wahutu milioni 2.5 waliokuwa wamekimbilia DRC, ilipovamiwa nchi yao na wauaji wa RPF. Ni sera ya Rwanda kuhakikisha kuwa DRC haiwi na Jeshi imara, mpaka hapo mkakati wa Himaya yao utakapokamilika. Ndiyo sababu maafisa wa juu 7,000 wa Jeshi la DRC ni Wanyarwanda. Hypolite Kanambe (Joseph Kabila) anatumikia maslahi ya Rwanda kwa uzalendo wa hali ya juu, na Rwanda inapovamia DRC pilika za Hypolite A. C. Kanambe huwa ni usanii tu wa kuhadaa ulimwengu. Vinginevyo lazima DRC ingewapa silaha askari Wahutu waliojichimbia Congo, ambao wana uwezo mkubwa sana wa kuutokomeza unyama wa Watusi. Hata uvamizi wa Rwanda wa RPF ulifanikiwa kwa kutanguliza vikwazo vikali sana, vilivyohakikisha kuwa majeshi ya Hayati Rais Habyarimana hayawi na silaha.Historia ni budi iwe sahihi, kwamba vijana wa Nyerere yaani Museveni na Kagame walivamia Zaire kwa maelekezo ya baba yao, bila hayati Laurent Kabila, kwa malengo ya kupanua Himaya yao na kuteka tani za dhahabu na madini mengine mengi ya thamani Gbadolite, Kilomoto, Kinshasa, Kisangani na kwingine, kwa ajili ya kujipatia mabavu ya kiuchumi ya kupanulia Himaya yao, na kugharamia propaganda kali inayohadaa jumuiya ya kimataifa. Dunia ilipoanza kupigia kelele uvamizi huo, ndipo Nyerere alipomtafuta Laurent Kabila haraka, zikiwa zimepita wiki mbili baada ya uvamizi kuanza, na kumtanguliza yeye mbele katika kuhadaa ulimwengu, kwamba ni Wakongo wenyewe walikuwa wanaikomboa nchi yao kutoka kwa dikteta Mobutu! Uvamizi ulipoingia Kinshasa Kabila aliwageuka Watusi kizalendo, na kuwaambia sasa warudi kwao wawaachie Wakongo nchi yao. Kwani aliyekusudiwa na Watusi kuwa gavana wa Rwanda wa koloni hilo ni Bizimana Karahamheto au ‘Bizima Karaha’ kwa jina la hadaa. Uporaji wa kutisha wa utajiri wa DRC ndio mtaji wa jeuri yote ya Kagame leo, ya kuchezea amani ya Maziwa Makuu, na kusambaza maelfu ya majasusi katika nchi za kusini mwa Afrika, kuzifanyia kazi chafu ili hatimaye zimezwe katika Himaya yao, mbali ya kugharamia kikosi chake cha Escadron de la mort kinachoua wapinzani wake popote walipo duniani. Siri ya mkakati wa Nyerere wa Himaya ya Watusi ilionekana tangu alipotaka kuchelewesha uhuru wa Tanganyika, eti mpaka majirani wapate wao ili mkakati ufanikiwe, uhuni ambao ulishindwa kuuhadaa ushujaa kama wa Jomo Kenyatta. Mzee Jomo Kenyatta alipogundua jinsi Nyerere anavyochezea uhuru wa wana wa Tanganyika, hatimaye akaunajisi kwa ‘Muungano’ kwa ajili ya maslahi ya Wamarekani katika vita baridi, alilaani kwamba “Hakika Nyerere anatawala maiti” Ndiyo maana ni Watanganyika peke yao duniani wasiojali uhuru wao, wala hatima yao na vizazi vyao vijavyo, wala maslahi ya Nchi yao! Hii ni baada ya kupigika vizuri vichwani mwao ili wawe kama makondoo ya mtawala, waweze kuvikwa kwa ulaini kongwa la utumwa kwa Watusi, kwa maslahi ya kifisadi ya watumwa walio madarakani, wanaouza utu wao na hatima ya Nchi yao kwa utamu wa tende na halua, zinazomung’unyika mara moja na kupotea! Saa ya ukombozi ni sasa! Ndivyo utaahira wetu unavyoonekana kwa dunia yote ya wenye akili kuhusu kongwa la utumwa la Watanganyika liitwalo “Muungano”, lenye maslahi ya kifisadi ya watwana wachache sana wanaotawala, kama si mmoja tu, lakini kwa gharama ya Uhuru wa Watanganyika, heshima yao na utambulisho wao kama Taifa takatifu la heshima tangu katika Unabii wa Mwenyezi Mungu, tena kwa gharama ya raslimali za Watanganyika na matrilioni ya fedha ya damu yao! Utaahira wetu sisi Watanganyika unaonekana zaidi baada ya Zanzibar kujitoa rasmi katika huo ‘muungano’ kikatiba, ambapo kwa ajili ya maslahi ya kifisadi watawala wetu wanafumbia macho ukweli kwamba muungano umebatilika! Na kwa ujinga kama wa kuku anapodhani haonekani kwavile amefunika macho yake kwa bawa lake, hawa nao wamekazana kuudanganya ulimwengu kwamba muungano bado upo, na hata kulazimisha raia waukiri kiwendawazimu usanii huo! Lakini ukweli ni kwamba baada ya Zanzibar kujitoa rasmi yaani kikatiba katika muungano, Wazanzibari ni wachache sana mafisadi na wasaliti waliohongwa madaraka watetee bila haya usanii wa muungano batili, kwa maslahi yao ya kibinafsi, huku wakisingizia maslahi ya ukupe wa Taifa lao (parasitic advantages) katika damu ya Watanganyika.. Kama chatu anavyomvunjavunja mnyama ili awe rahisi kumezeka, ndivyo Nyerere alivyowahasi kifikra Watanganyika na kuwafisha ari ya ukombozi wao na utaifa wao, mpaka kwa kafara yamwenge, ili wawe rahisi kuvishwa kongwa la utumwa la Watusi. Upofushaji wa jinsi hii huua kabisa uzalendo ndani ya dhamiri ya kila raia katika nchi, na kuwaacha wananchi katika minyororo ya woga tu akilini mwao, badala ya uhanga kwa ajili ya Taifa lao.

KAGAME NA MUSEVENI - HATARI SANA KWA TAIFA LETU!

Uharamia anaoufanya Kagame kule Mashariki ya Congo hapa kwetu alifanikiwa siku nyingi. Tofauti ya DRC Mashariki na mikoa yetu ya Kagera na Kigoma ni kwamba wenzetu wanayo hata majeshi ya mgambo ya uzalendo wao yanayotetea ardhi yao na uhuru wao, kama vile Mai Mai. Lakini sisi tuliuawa kabisa uhanga wetu kwa ajili ya Nchi yetu. Tumebaki kuwasujudia wageni wanaoteka na kuipora nchi yetu, na kututia utumwani katika nchi yetu wenyewe. Hii ndiyo raha ambayo Nyerere aliwaandalia Kagame na Mseveni kwa Watanganyika. Kagame tayari ameingiza katika Nchi yetu Wanyarwandazaidi ya 35,000 wenye silaha, wengi wakiwa katika mapori ya Hifadhi ya Taifa ya Buligi na maelfu ya ng’ombe waliowaingiza kutoka kwao Rwanda na Uganda. Kwani kule kwao wamejiwekea sheria kali ya kuokoa mazingira yao, kwamba ni marufuku mtu kumiliki zaidi ya ng’ombe tano (5). Kwahiyo mamia ya maelfu ya ng’ombe zao wameziingiza katika ardhi yetu kwa njia za porini, na wapo Wanyarwanda wenye ng’ombe mpaka 10,000 mtu mmoja ndani ya Nchi yetu. Maelfu mengi ya ng’ombe hao wa Wanyarwanda wanajulikana kuwa mali ya dikteta Paul Kagame mwenyewe na mawaziri wake, na wengine ni mali ya dikteta Yoweri Mseveni, wengi wakiwa hata na mihuri ya NRA! Mbali ya Hifadhi ya Taifa ya Buligi, maelfu mengi ya ng’ombe wao wamewaswagia katika mapori yetu ya Kasindaga, Katete, Kinesi (Karagwe), Nyakerera, Kyobuheke na Misambya na kwingineko, ambako Wanyarwanda wamejikatia mabuloku makubwa sana (Blocks) ambayo wazawa hawaruhusiwi kukanyaga, na wakithubutu ni kuuawa. Kitendo cha Kagame na Museveni cha kuifanya Nchi yetu kwamba haina Utaifa na heshima ya mipaka yake (sovereignty and territorial integrity) kama zilivyo nchi zao, ni Tangazo la Vita! Ni lazima tujibu mapigo kwa nguvu kuliko tulivyomjibu dikteta Idd Amin Dadah. Majeshi yetu yaanze mazoezi makali ya vita, na raia waanze upya mafunzo ya mgambo kwa ajili ya Nchi yetu. Kama lilivyoanza tatizo la uvamizi wa Kagame DRC Mashariki, maelfu ya Wanyarwanda tayari wamekamata ardhi yetu kubwa sana, kwa kutumia vibali bandia vya kuishi nchini, na makaratasi ya uraia bandia wa Nchi yetu. Jasusi la Kagame liitwalo Athanas Kafurama mara nyingi hudhalilisha wazawa wa nchi yetu kwamba hawana kitu vichwani, na kwamba Tanzania inamjali mtu mwenye pesa yaani kama wao, na siyo raia wake walalahoi! Kagame amefanikiwa kwa sehemu kubwa kuiteka kimya kimya mikoa yetu ya Kagera na Kigoma! Hata Mkuu wa Mkoa wa Kagera Col. Fabian Masawe unamwuma moyo, jinsi Kagame na Mseveni walivyopenyeza askari zaidi ya 35,000, waliojichimbia na maelfu ya ng’ombe, hasa katika Hifadhi ya Taifa ya Buligi. Wanyarwanda wamekamata ardhi yetu kubwa sana, bila kuwa hata na vibali vya kuwepo nchini mwetu. Kabla ya kueleza zaidi juu ya uvamizi wa Buligi mkoani Kagera, tunapenda ifahamike kwamba Mkoa wa Kigoma umeingiliwa na Wanyarwanda na Warundi zaidi ya 100,000, ambao tayari wameteka sehemu kubwa ya ardhi ya Taifa letu, katika upanuzi wa Himaya yao. Tena wanajipenyeza kupitia katika makanisa maalum yanayoeleweka. Tayari wameanza kufanikiwa kukamata utawala wa Nchi yetu, kama vile Mnyarwanda aitwaye Peter Serugamba alivyoteka Jimbo la Kigoma Mjini, au Diwani John wa Kata ya Gungu. Watusi wamegundulika kuwamwagia rushwa viongozi wa vijiji na vitongoji ambao wanawatumia kuiteka ardhi yetu, na nafasi hizo wamepanga kuzichukua wao katika kuijenga Himaya yao. Vikao vya Watusi vya mikakati yao ya kuitwaa Nchi yetu katika Himaya yao mjini Kigoma hufanyikia katika hoteli ya Coast View, iliyojengwa kwa mtaji uliotoka Rwanda, ambao ni utajiri ulioporwa Congo.Watusi hawafichi katika majigambo yao, kwamba wanaweza wasilazimike kutumia nguvu za kijeshi kuitwaa ardhi ya Tanzania, kwa sababu eti wanaweza kutumia rushwa tu na akili kuichukua yote bila shida! Wanaujua udhaifu wetu kwa sababu walijipenyeza katika ngazi zote za utawala wa Nchi yetu, katika majeshi yetu, Uhamiaji, Taasisi zetu za fedha, Usalama wa Taifa n.k. Ndiyo maana Nchi yetu takatifu imetumika katika unyama wa kutisha kwa maslahi ya Watusi. Ni kweli pia kwamba nchi yetu inao watawala wanaoweza kununuliwa kirahisi kwa mapesa ya Wanyarwanda, ng’ombe zao na au mabinti wa Kitusi. Ndiyo maana wanampigia debe na kumwinamia mwuaji wa kutisha Paul Kagame, wakati wanajua kabisa kwamba:

1. Kagame amemwaga kinyama sana damu ya mamilioni ya Wahutu, ambao bado anaendelea kuwaua usiku na mchana, kuliko Adolf Hitler alivyowaua Wayahudi.

2. Kagame anaendesha mauaji dunia nzima, kwa kutumia kikosi chake maalum cha Escadron de la mort, ambacho ndicho alichotumia hata kumwangamiza Bingwa wetu wa Sheria, Hayati Profesa Jwani Mwaikusa, kwa kosa la kuweka wazi katika ICTR kwamba mtuhumiwa mkuu wa genocide katika Maziwa Makuu ni dikteta Paul Kagame. Kagame alihofia kwamba kutokana na majumuisho ya mwisho ya Mwanasheria huyo, lazima Ulimwengu ungelazimisha kukamatwa kwake na kufikishwa mbele ya Sheria.

3. Kagame akiwa na cheo cha Meja alikuwa mstari wa mbele kumwua Rais Thomas Sankara wa Burkina Faso, kule Uagadougou.

4. Kagame alikuwa Burundi kwa ushirikiano wake muhimu na Jean Bikomagu, katika mauaji ya kikatili sana ya marehemu Rais Melchior Ndadaye.

5. Kagame ndiye aliyehusika kikamilifu na utunguaji wa ndege iliyomchukua Rais Juvenal Habyarimana wa Rwanda pamoja na Rais Cyprien Ntaryamira wa Burundi.

6. Kagame analaaniwa na dunia nzima kwa kumfanyia unyama wa kutisha mwanasiasa mwanamke, shujaa Victoire Ingabire, ambaye amemtupa gerezani kwa kosa la kugombea Urais wa Rwanda akiwa Mhutu, na kosa la kuwa na kibali kwa wananchi wa Rwanda kuliko yeye aliyeloa damu ya mamilioni ya binadamu aliowaua kinyama.

7. Kagame amemwaga majasusi zaidi ya 1,000 katika Nchi yetu, wanaotumia ufisadi wa mapesa, ngono n.k katika kutengeneza mazingira ya kutekwa utawala wa nchi yetu na Watusi na hatimaye nchi yetu kuwa mkoa wa Himaya yao. Kama ilivyoelezwa juu, maelfu yao wamefanikiwa kujipenyeza katika taasisi zote nyeti za dola ya Nchi yetu. Walipoishika Uhamiaji waliitumia kujipa uraia na kukamata nafasi nyeti na ardhi yetu pia.

8. Maelfu ya majasusi wa Kagame wanajifanya wanashughulikia mizigo ya Rwanda na Uganda, wengine wanajifanya wafanyabiashara au wanatafuta kuwekeza, wengine wanajifanya wanafunzi. Lakini ukweli ni kwamba Taifa letu liko uchi kwa Kagame, kwa sababu kila tunachokifanya katika Nchi yetu kinaripotiwa Rwanda masaa 24. Katika Jiji la Dar es Salaam, Mikocheni ndiko walikojaa Wanyarwanda hao kama kwao.

ANGALIZO: Jumuiya ya Afrika Mashariki ilivunjika mwaka 1977 kwa sababu moja tu kwamba ilishindikana viongozi wa nchi tatu wananchama yaani Tanzania, Kenya na Uganda kukutana pamoja, kwa ajili ya kupitisha maamuzi yote muhimu ya uendeshaji wa shughuli zote za Jumuiya.

Kwa sababu Rais Julius Nyerere alikataa kukaa meza moja na Rais Idd Amin Dadah wa Uganda, kwa sababu Amin alikuwa mwuaji. “Siwezi kuchangia meza moja na mwuaji aliyeloa damu” alitamka Rais Nyerere, ulimwengu wote ukamuunga mkono hata mgomo wake uliposababisha kuvunjika kwa Jumuiya ya Afrika Mashariki! SWALI: Ikiwa Nyerere alikataa kukaa meza moja na dikteta Idd Amin kwavile aliua binadamu takriban 350,000, Jumuiya ya Afrika Mashariki ikavunjika kwa sababu ya kuthamini uhai wa binadamu kuliko vitu vingine vyote, hawa watawala wetu wa leo wa CCM ni binadamu wa jinsi gani, ikiwa wanaweza kulikumbatia na kulipigia debe na hata magoti liuaji la kutisha kama Paul Kagame, lililoua kinyama binadamu zaidi ya 6,000,000 Rwanda, Burundi, Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo, Tanzania, Kenya, na kuwapelekea wengine kifo kule kule Ulaya walikokuwa wamekimbizia uhai wao? Watu wa hatari kuliko wote kuhusu amani katika Maziwa Makuu ni hawa madikteta, Paul Kagame na Yoweri Museveni, walioangamiza mamilioni ya raia wa Maziwa Makuu, wakavamia Jamhuri dada za Rwanda na Zaire (DRC) na kuangusha tawala za mataifa hayo huru, na kuipora Congo mpaka dunia nzima inawapigia mayowe kama majambazi ya hatari! Watawala wetu wanakuwa katika akili za namna gani wanapokwenda Kampala na Kigali, na kukaa na Kagame na Museveni na kuzungumzia eti amani katika eneo la Maziwa Makuu, wakati hao ndio wavunjaji makatili wa hiyo amani? Hivi ni kweli akina Kikwete hawana hofu kwa Mwenyezi Mungu, kiasi cha kuamua kumsaliti jirani mwema aliyevamiwa na kuangamiziwa mamilioni ya raia wake kwa kosa tu la kuwa Wahutu, na kuwasaidia maharamia waliomvamia? Ni aibu kubwa zaidi kwamba watawala wetu waliishia kukubali umamluki, wa kuwasaidia Kagame na Museveni majeshi eti yakawasaidie kuangamizia Wahutu waliopokonywa nchi yao ya Rwanda, na mashujaa wanaopinga udikteta wa damu wa Yoweri Museveni nchini Uganda! Huku ndiko kuhimiza kisasi cha Mwenyezi Mungu juu ya nchi yetu!



UHARAMIA ULIOFANYWA NA WANYARWANDA BULIGI

Kwanza kabisa, Wanyarwanda hawatasahaulika walivyotikisa Mkoa wa Kagera walipoingia kule kwa uharamia wa kutumia silaha, wakajulikana kwa ufupisho kama Wanyaru. Wanyarwanda waliteka magari, walipora fedha na mali zingine za wananchi, na zaidi waliteka ng’ombe za wananchi na kuzikimbizia Uganda, ambako walizibadilisha na kuleta nchini wale ng’ombe wa kwao, ambao wako tofauti na wetu kimaumbile. Huu ni ujanja wa kawaida wa kijambazi. Uharamia wa Wanyarwanda ulishamiri mno mkoani Kagera, hapo Buligi pakawa kama makao yao makuu ya kutisha, ndiyo maana palipewa jina la Kosovo. Pori lote mpaka Kyamyorwa lilikuwa halipitiki kwa sababu ya hatari ya Wanyaru., ambao walikuja kutokomezwa na ulinzi wa jadi wa Wasukuma na ushirikiano wa dhati wa Kamanda mzalendo wa Polisi, Inspekta Samson ambaye hivi sasa yuko Wilayani Chato Mkoa wa Geita. Kutokana na umahiri wa Wasukuma katika kupambana na uharamia kwa ulinzi wao wa jadi au Sungusungu, Mheshimiwa Wilson Masilingi akiwa Waziri katika Ofisi ya Rais na Mbunge wa Muleba Kusini, alipopita mikoa ya Ukanda wa Ziwa aliwahamasisha Wasukuma kwamba wahamie maeneo ya Kyamyorwa na Kasindaga na kwingine mkoani Kagera, na kwamba wapewe na mashamba kwa sababu ni kweli kwamba Wasukuma kwa asili ni wazalishaji hodari. Wasukuma waliitika mwito huo na kuhamia huko, na ni kweli kwamba waligeuza eneo lile kuwa kitovu cha uzalishaji usio kawaida wa mazao ya mpunga, mahindi, dengu, mtama, ulezi, serena na mengine mengi, mbali ya ufugaji wao. Baadaye Wasukuma hao walihamishiwa Buligi kutoka hapo Kyamyorwa, kwa maombi ya Waziri wa sasa wa Ardhi na Maendeleo ya Makazi ambaye pia ni Mbunge wa Muleba Kusini, Profesa Anna Tibaijuka, kwa msingi kwamba eneo hilo ni la kampuni ya Itente ambayo yeye ni mhusika. Profesa Anna Tibaijuka aliandika hata katika kitabu chake cha kampeni yake ya Ubunge wa Muleba Kusini, kuwa Wasukuma wengi walikuwa wamepewa eneo la Kyamyorwa kwa makosa, kwavile eneo hilo lilikuwa la Kampuni hiyo. Waziri Anna Tibaijuka anakiri kwamba aliwaombea Wasukuma Serikalini wakapewa uhamisho kwenda Buligi, na kwamba yeye mwenyewe aliwasaidia hata usafiri wa kuhamia Buligi. Wazalishaji wa Kisukuma waliongezeka huko Buligi, baada ya ndugu zao waliokuwa wamewaacha nyuma kuvutiwa na ushuhuda mwema wa uzalishaji wa wenzao waliotangulia huko, baada ya mageuzi ya eneo lililokuwa ‘Kosovo’ kuwa paradiso ya amani na maendeleo. Ni kweli kwamba Wasukuma walipofika uhamishoni Buligi, kwa uhodari wao katika uzalishaji na umahiri wao katika ulinzi wao wa jadi, waliigeuza‘Kosovo’, ikawa kihenge cha chakula cha Mkoa wa Kagera, wakizalisha mpunga, mahindi, maharagwe, dengu, mtama, ngano, uwele, mihogo, migomba, viazi ulaya, vitunguu, nyanya, mboga na hata miti kwa ajili ya hifadhi ya mazingira, kwa kadri walivyoshauriwa kitaalamu. KWAHIYO ukweli hauwezi kukwepeka kwamba :

1. Uchomaji wa nyumba zaidi ya 500 za wananchi wa kabila la Wasukuma katika maeneo ya Buligi na mengineyo kwa kisingizio cha ‘Operation Okoa Mazingira’ ulilenga kuwaangamiza Wasukuma pamoja na mazao yao tele waliyokuwa nayo majumbani mwao pamoja na mali zao zingine zote.

2. Huko Buligi na maeneo mengine ambako Wasukuma wanazalisha kwa wingi mazao hayo yote, Wasukuma waliletwa na Serikali, si wavamizi.

3. Wasukuma hawakuvamia mapori ya Wanyarwanda au ya mtu mwingine yeyote. Kwani Vijiji vyote wanavyoishi vinawatambua, hata kwa mchango wao mkubwa sana katika uzalishaji.

4. Wasukuma hawajaingia katika Hifadhi ya Taifa, wala hawana ng’ombe hata mmoja katika Hifadhi, bali Wanyarwanda ndio wenye mamia ya maelfu ya ng’ombe katika Hifadhi, ambamo hata wanyamapori wetu Wanyarwanda wamewamaliza. Wanyarwanda huhonga mamilioni ya fedha na ng’ombe kwa maafisa wa wanyamapori na watumishi wengine wa umma.

5. “Operation Okoa Mazingira” haikulenga wahamiaji haramu ambao ni Wanyarwanda, wala mamia ya maelfu ya ng’ombe zao kutoka Rwanda na Uganda hususan katika Hifadhi ya Taifa, kwa sabau Wanyarwanda hawakuguswa kabisa, bali walikuwa wakishangilia wanavyofanyiwa unyama Wasukuma, ambao wala hawana ng’ombe katika Hifadhi kunakoharibiwa mazingira!

6. Nyumba za Wasukuma zilizoteketezwa hazikuwa katika Hifadhi, bali katika vijiji na vitongoji rasmi vyenye serikali halali za Vijiji na Vitongoji. Mfano ni nyumba 105 za Kishonga B Barabara ya 9, katika Kijiji cha Nyamilanda Kitongoji cha Nyakabingo, na Kijiji cha Itunzi Kitongoji cha Miziro. Wenyeviti wa Vijiji vya Nyamilanda na Itunzi ni mashahidi, na wanalalamikia unyama wa kuchomewa nyumba wananchi wao.

7. Uteketezaji wa nyumba za Wasukuma uliambatana na unyang’anyi wa pesa zao, kuanzia shs 100,000/- hadi shs 4,000,000/- kwa Msukuma mmoja, na kuwapa stakabadhi feki zilizoandikwa “WAZABUNI WA MASOKO/ MIALO/VIVUKO. Eti ADHABU kwa ajili ya hatia zilizobuniwa zikiwa ni pamoja nauharibifu wa mazingira, kufyeka misitu ovyo, zingine ziliandikwa ‘Kusafirisha mifugo bila kibali’ Tunaambatanisha vivuli vya stakabadhi feki zilizotumika (Nambari 135559, 135519, 135562, 135356, 135520,135367). Tena walipora mapesa mengi sana kuliko waliyoandika katika stakabadhi, na walio wengi hawakepewa hizo karatasi! Huu ni unyang’anyi na ujambazi wa wazi kabisa! Tunawaachia kazi DCI na Takukuru.

8. Maelfu ya wananchi waliofanyiwa unyama huu walilundikana makanisani, kwa ndugu zao na marafiki zao, na wengi walilazimika kuishi maporini, ambako wanawake wapatao watatu walijifungua kama wanyamapori.

9. Mkuu wa Wilaya ya Muleba, Lemberis Kipuyo, ambaye alikuwa ameonwa na Mnyarwanda aitwaye Athanas Habamungu Kafurama, na kibaraka wa Wanyarwanda ambaye ni Mwenyekiti wa Kijiji cha Kisana aitwaye Julius Rwechungura, baada ya kuchangwa shilingi milioni 100 katika kikao cha Wanyarwanda katika kanisa lao la Butera tareke 31/10/2012, kulingana na majigambo ya Wanyarwanda na Kafurama mwenyewe, ndiye aliyeonekana kusimamia unyama huo, ingawa yeye ndiye mwangalizi wa amani na usalama katika Wilaya!

10. Mkuu wa Wilaya Lemberis Kipuyo alipohojiwa na waandishi wa habari kuhusu unyama huu wa kutisha, alikiri kwamba wamechoma moto nyumba eti zilizokuwa katika Hifadhi, eti kwa ajili ya kulinda mazingira ya Mkoa wa Kagera na kuhamisha wahamiaji haramu wanaoingia na makundi makubwa ya ng’ombe katika Hifadhi.

11. Kama alivyoeleza Lemberis Kipuyo, unyama huo wa kutisha uliosukwa na Wanyarwanda na kutekelezwa kwa usimamizi wake yeye mwenyewe Mkuu wa Wilaya, ulianza tarehe 3/11/2012 saa 3 asubuhi katika eneo la Buligi. Na kama alivyosema hata yeye Mkuu wa Wilaya, maharamia waliowafanyia wananchi wa kabila la Wasukuma unyama huu ni: Askari wa Jeshi la Polisi Usalama wa Taifa Takukuru Wafanyakazi wa Idara ya Misitu Wafanyakazi wa Idara ya Uvuvi, ambao baadhi yao walitambulika. Askari wa Wanyamapori, ambao baadhi yao walitambulika. Askari wa Jeshi la Ulinzi, waliotambulika kwa sare zao. Maharamia waliovaa sare za Mgambo. Lemberis Kipuyo alisema walikuwemo pia Wanasheria katika unyama huu.

12. Wananchi waathirika walipokusanyika Kituo cha Polisi Miziro, Mkuu wa Wilaya Lemberis Kipuyo alifika hapo. Lakini alipoombwa afike ajionee makazi ya wananchi wake yalivyoteketezwa, aliwapuuza isivyo kawaida hata kibinadamu, ingawa umbali haufiki hata kilometa!

13. Kwa kuhofia makusanyiko ya vilio vya Wasukuma, jasusi Mnyarwanda Athanas Kafurama alikwenda kumchochea Mkuu wa Wilaya azidishe unyama kwa madai kwamba eti Wasukuma wamejiandaa kuvamia Kituo cha Polisi Miziro. Ndipo unyama ulipozidishwa maradufu kuwaangamiza Wasukuma, na kuwawinda wale wote wanaoogopwa kama waelewa, na wengi ikawabidi kukimbilia maporini na kuishi huko kama wanyamapori licha ya mvua nzito.

WANYARWANDA WALIVYOIPINDUA OPRESHENI DHIDI YAO

(Kwa kuwageuzia kibao hicho Wasukuma)

Wanyarwanda walipoijua ‘Opresheni Okoa Mazingira’ kwamba imeandaliwa rasmi kwa ajili ya kuwatokomeza wahamiaji haramu yaani wao, na kwavile waliwashika mkononi viongozi wote kuanzia Mkuu wa Wilaya kama walivyokuwa wanajigamba, na kama walivyokuwa wanajihami kwa rushwa kwa uharamia wao wote wanaoifanyia Nchi yetu, ndivyo walivyojipanga kuwatoa kafara Wasukuma Serikali yetu ilikuwa na taarifa zote za mikakati ya dikteta Kagame na Museveni juu ya Nchi yetu, yaani uvamizi wenye lengo la kuiteka ardhi yetu kama vile wanavyofanya Congo Mashariki, uporaji wa raslimali zetu, na walivyohamishia mamia ya maelfu ya ng’ombe zao katika Hifadhi za Taifa letu na utekaji wa ardhi ya wananchi, na hata kulisha mifugo yao katika mazao ya wananchi, wakitetewa na vibaraka wao ambao ni viongozi wetu wala rushwa.

Wamiliki halisi wa haya mamia ya maelfu ya ng’ombe ni marais na mawaziri wa Rwanda na Uganda, ambao wanayo mahusiano ya kifisadi na viongozi wetu mafisadi au Watusi kama wao. Ndiyo maana azma ya Serikali yetu ya ‘Opresheni Okoa Mazingira’ imekuwa ikipozwa kwa ufisadi kwa muda mrefu, huku maadui wakizidi kujichimbia na kuangamiza mazingira. Lakini kwa nguvu ya wale viongozi wetu waliobaki na uzalendo, Serikali yetu ilikazana na mpango kabambe wa OPERATION ‘OKOA MAZINGIRA’, kwa ajili ya kutokomeza kabisa uvamizi wa Watusi katika Nchi yetu (wahamiaji haramu), na kutowesha ng’ombe zote zilizoingizwa katika Nchi yetu, zenye kuhatarisha uhai wa vizazi vyetu vijavyo kwa kuharibu vibaya sana mazingira. Kilio cha wananchi juu ya uvamizi wa ardhi yetu na kuingizwa maelfu ya ng’ombe katika Nchi yetu kutoka Rwanda na Uganda kilianza mwaka 2009. Wanyarwandawalipopata taarifa juu ya ‘Opresheni Okoa Mazingira’ dhidi yao, walifanya mikutano kadhaa mizito katika kanisa lao la Butera, linaloongozwa na Mtusi wa hatari aitwaye Augens.

Tawi la kanisa hilo liko Chanyamisa, Karagwe, ambako pia linatumika kwa mikakati hii ya Kagame. Opresheni Okoa Mazingira iliyokusudiwa kutokomeza wavamizi wa Nchi yetu na maelfu ya mang’ombe yao yanayoharibu mazingira ya Nchi yetu, iligeuzwa na walengwa, Wanyarwanda, kuwa unyama wa kutisha wa kutowesha katika eneo hilo wananchi wa kabila la Wasukuma, na kuwapora mali na ardhi wanayozalishia mavuno yaliyotia fora katika mkoa wa Kagera. Katika kuwatwika Wasukuma dhoruba ya ‘Operation Okoa Mazingira’ ambayo iliwalenga wao, Wanyarwanda walianza kwa kuwachonganisha kirahisi kabisa Wasukuma na ndugu zao Wahaya; Kwavile Mhaya mwenye kulima ekari nne au tano ndiye aliyeonekana kuwa mkulima stadi, lakini Wasukuma wakawa wanalima ekari mpaka 50 mkulima mmoja, Wanyarwanda walitumia kwa ufundi wao kigezo hicho kupandikiza mbegu ya kijicho miongoni mwa Wahaya, ambao wamekuwa wepesi kukabidhi kwa Wanyarwanda ardhi yetu. Hatimaye baadhi ya Wahaya walianza kuwanyoshea kidole Wasukuma kwamba eti wanakamata ardhi kubwa kuliko wao, ingawa mapori hayo yalikuwa yanakaa bure tangu uumbaji mpaka Wasukuma walipoyavamia kwa uzalishaji wa nguvu, hata wakawa wakivuna magunia ya mpunga mpaka 700 mkulima mmoja.Kwa hila za Wanyarwanda, Wahaya wa Muleba na sehemu zingine zilizofanyiwa kazi ya ufitini na Watusi, walianza kujikusanya vikundi vikundi kuandika barua za kuomba ardhi hiyo wanayozalishia Wasukuma, ili mashamba ya Wasukuma yamegwe na kupewa wao, kusudi Wanyarwanda wajipatie kutoka mikononi mwa Wahaya, ambao Watusi wanawachukulia kuwa wepesi zaidi wa kuwapasia wao. Kwa kuwatumia vibaraka wao kama Julius Rwechungura ambaye ni Mwenyekiti wa Kijiji cha Kisana, Wanyarwanda siyo tu wameteka mamia ya ekari za ardhi yetu, bali wamekuwa wanapiga vita siku zote ya kuwafukuza Wasukuma ili wakamate wao maeneo yote. Uharamia huu ndio uliopelekea Mkurugenzi wa Wilaya kumwamuru Afisa Mtendaji Kata ya Kyebitembe kuitisha mkutano wa tarehe 27/3/2012 kuhusu malalamiko ya Wasukuma dhidi ya Wanyarwanda. Mkutano huo ulipiga marufuku kumega ardhi yoyote inayotumiwa na wananchi wa kabila la Wasukuma, kwa ajili ya mapinduzi ya uzalishaji waliyofanikisha katika mkoa, walioingia katika maeneo hayo tangu mwaka 2007 hadi 2011. Mkutano uliamuru pia kufutwa mashitaka ya kihaini yaliyofunguliwa na kibaraka wa Wanyarwanda Julius Rwechungura, akitaka Wasukuma wanyang’anywe mashamba yao ili wapewe Wanyarwanda. Kisha Wanyarwanda walifanya kikao muhimu tarehe 31/10/2012 katika kanisa hilo la Butera, chini ya uongozi wa Jasusi la Kagame liitwalo Innocent Mchunku Kapilipili. Agenda kuu ilikuwa kuchangisha shilingi milioni mia moja kwa ajili ya kujihami nahiyoOpreshenidhidi yao, kwa kuwanunua viongozi wote wa hiyo opresheni. Taarifa za uchunguzi wetu ni kwamba kweli mapesa hayo yalichangwa na kuwasilishwa kwa Mkuu wa Wilaya Lemberis Kipuyo na timu yake iliyoendesha unyama wa kutisha dhidi ya Wasukuma, badala ya wahamiaji haramu. Uchunguzi umethibitisha kuwa Mnyarwanda Innocent Mchunku Kapilipilialikuwa jambazi, katika lile genge la hatari la maharamia kutoka Rwanda waliojulikana kama “Wanyaru” chini ya kamanda wao aliyeitwa ‘Kamanda Dogo’. Mnyaru huyu ameteka zaidi ya ekari 400 za ardhi yetu katika Kijiji cha Nyamilanda, Kitongoji cha Nyakabingo, na Kijiji cha Kisana Kitongoji cha Butera. Mtusi huyu anamiliki zaidi ya ng’ombe 500. Mnyarwanda mwingine muhimu katika kikao cha kanisani Butera ni Francis Magege, ambaye amekamata ekari zaidi ya 400 katika Kijiji cha Nyamilanda, Kitongoji cha Nyakabingo. Kikao hicho kilishirikisha pia Afisa Mtendaji wa Kijiji cha Kisana, msaliti aitwayeJohanson Shumuni, Mwenyekiti wa Kijiji cha Kisana, msaliti aitwaye Julius Rwechungura, na Mwenyekiti wa Kitongoji cha NyamtunduAbdon Krophas. Msaliti Johanson Shumuni ametoka katika kifungo cha nje cha mwaka mmoja, kwa kosa la kung’oa mazao ya mwananchi wa Kijiji cha Nyamilanda, kusudi Wanyarwanda wapitishe ng’ombe zao. Kibaraka huyu wa Wanyarwanda alilipishwa pia fidia ya shilingi 70,000/- kwa ajili ya mazao ya wananchi. Wasaliti Johanson Shumuni, Julius Rwechungura na Abdon Krophas kwa pamoja wana kashfa ya kukitapeli Kikotongoji cha Butera msitu wa asili wa mitundu, wakivunga kwamba ni ‘Hifadhi ya Kijiji’ lakini wakawa wanapasua wao mbao na kuzitoroshea nje ya nchi, mpaka moja ya malori ya mbao hizo lilipokamatwa mwaloni Katunguru na kifikishwa Polisi Muleba, mwezi Mei 2010. Lakini watuhumiwa hawajawahi kufikishwa mahakamani mpaka leo, Vibaraka hawa wa Wanyarwanda ndio wahusika wakuu katika kuwauzia ardhi yetu wahamiaji haramu. Mhusika mwingine katika uuzaji wa ardhi kwa Wanyarwanda ni Diwani wa Kata ya Karambi, Ngote, aitwaye Hamudi Abdalla, ambaye hivi sasa anamiliki zaidi ya ng’ombe mia mbili (200) kutokana na rushwa ya Wanyarwanda. Mwenyekiti wa Kijiji cha Kisana, msaliti Julius Rwechungura alidiriki hata kuwafungulia mashitaka mahakamani wananchi wa kabila la Wasukuma, kwamba eti wamevamia ardhi ya machungio ya Wanyarwanda! Kisha aliwawekea dhamana yeye mwenyewe na kuwatoza shilingi 10,000/- kila mmoja. Lakini kibaraka huyo alilazimishwa na kikao cha tarehe 27/3/2012 kilichoamriwa na Mkurugenzi wa Wilaya kufuta kesi hiyo, kwa sababu haiwezi kuwepo ardhi ya Wanyarwanda ndani ya mipaka ya Jamhuri ya Tanzania!

USHAHIDI WA UKATILI WA WANYARWANDA KWA RAIA WETU

Kwanza kabisa turejee mapokeo ya ile imani chafu sana ya Watusi, kwamba wao wana utu wa hali ya juu zaidi (superior race) kuliko Wabantu. Unyama wa Wanyarwanda ni pamoja na kuwateka nyara raia wetu, na kuwatumia kama watumwa wa kuswaga mifugo yetu waliyotupora.Mateka hawa huvuliwa nguo na kuvikwa vipande vya matambara vya kitumwa, na kubadilishwa majina. Mfano ni vijana wetu Opecatus Filipowa Nsheshe, Kijiji cha Nyamilanda, Kata ya Kyebitembe ambaye aligeuzwa jina na kuitwa Peter, na Antelius wa Kabanga Kijiji cha Kasharara, Kata ya Karambi, aliyegeuzwa jina na kuitwa Rutashambya. Wanyarwanda waliishi porini na hawa ‘watumwa’ kwa miaka miwili. Mmoja wao hatimaye alifanikiwa kuwatoroka, akatoa taarifa Kituo cha Polisi Kyebitembe, ambapo Mkuu wa Kituo hicho shujaa Inspekta Samson alifuatilia kwa uhodari mpaka akafanikiwa kumwokoa yule kijana wetu wa pili. Wale watekaji walikimbia msako huo baada ya kutonywa na msaliti Afisa Mtendaji wa Rwabera, Karagwe, mwanamke aitwaye Alfredina. Raia wetu hao waliokombolewa wana ushuhuda wa kutisha wa unyama uliokuwa ukifanywa na Wanyarwanda. Wanaeleza njia za porini walizokuwa wakipitishia mifugo yetu, mawasiliano ya Wanyarwanda kwa redio na simu dhidi ya mipango yote ya serikali yetu ya kuwafuatilia na mifugo yetu waliyopora. Vijana wanaeleza jinsi walivyotumika kuficha hayo makundi ya ng’ombe zetu, na jinsi walivyoishi kama wanyamapori katika mvua kali na jua na mateso mengi yasiyosemeka. Vijana hawa wanashuhudia jinsi Wanyarwanda walivyomchoma raia wetu kwa upanga wa moto mwilini, kwa kuthubutu kudai ujira wa kutumiwa kikatili kutorosha ng’ombe waliopora katika nchi yetu mpaka huko maporini. Vijana wanashuhudia jinsi wenzao walivyouawa na Wanyarwanda kama wanyama. Zaidi ya yote, anaalaniwa vikali msaliti Johanson Shumuni ambaye ni Afisa Mtendaji wa Kijiji cha Kisana, kwa kumfichia siri mwuaji katili wa Kinyarwanda,‘Mchungaji’ Augens mwenye hilo kanisa la Butera, alipomwua kinyama mfanyakazi wake aliyekuwa anasimamia boti yake iliyokuwa ikifanya kazi za magendo katika Ziwa Buligi, baada ya kumtuhumu kwa wizi wa injini ya hilo boti lake. Shahidi mmojawapo wa mauaji haya ni Benedicto Damian ambaye ni Mwenyekiti wa Kitongoji hicho cha Butera. ‘Mchungaji’ hatari Augens pia anashughulika na uvuvi haramu wa kutumia makokoro, unaoangamiza mpaka mbegu ya samaki kwa ajili ya vizazi vyetu vijavyo, Mtusi mwingine aliyeua kinyama raia wetu ni Mchungaji wa kanisa la Mnyarwanda Francis Magege. Huyu alimwua aliyekuwa mchungaji wa ng’ombe zake, baada ya siku tatu akaenda kutoa taarifa ya uongo Polisi kwamba marehemu ameuawa na nyoka. Baada ya kugundulika mwili wa huyo marehemu machakani na kuchunguzwa na Dr. Mtumbi, iliripotiwa kwamba aliuawa kikatili sana kwa kitu kizito chenye ncha kali. NdipoMnyarwanda huyo ‘Mchungaji’ aligeuza kibao na kusema marehemu ameuawa na Msukuma eti aliyekuwa amegombana naye kwa sababu ya kulisha ng’ombe mazao yake. Lakini uchunguzi unaonyesha kuwa marehemu aliuawa baada ya kudaiana na huyo mwajiri wake ‘Mchungaji’. Mashahidi muhimu ni pamoja na huyo Daktari aliyefanya uchunguzi, Mwenyekiti wa Kitongoji cha Butera, na kijana aliyekuwa anachunga pamoja na marehemu, ambaye alikimbilia Ngara. KWAHIYOkwa ajili ya usalama wa Nchi yetu, na heshima na Uhuru wa kweli wa Taifa letu, na sifa ya Taifa letu ya kupigania HAKI na utu wa mwanadamu, tunasisitiza kwamba:

1. Watu wote waliohusika na unyama wa kutisha dhidi ya wananchi wa kabila la Wasukuma Mkoani Kagera, pamoja na Wanyarwanda wote waliohusika na unyama huu wakamatwe na kufikishwa mbele ya sheria. Watuhumiwa ni pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Muleba, Lemberis Kipuyo .

2. Wananchi wote waliofanyiwa ukatili huu walipwe fidia ya mateso yote na hasara zote walizosababishiwa na unyama huu.

3. Mamia ya maelfu ya ng’ombe zilizoingizwa nchini mwetu kutoka Uganda na Rwanda zikamatwe na kupigwa mnada, ili fedha hiyo itumike kuboresha Hifadhi zetu na mazingira ya Nchi yetu.


KUHUSU GENOCIDE MAZIWA MAKUU

4. Taifa letu lisimame kinyume kabisa na uharamia wa kuvamia Nchi yoyote huru duniani, ikiwa ni pamoja na uvamizi wa Jamhuri ya Rwanda na uvamizi na uporaji wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo, uliofanywa na Watusi wa RPF na Uganda.

5. Taifa letu lilaani imani chafu ya Watusi(apartheid nyeusi) kwamba wenzao eti waliumbwa kuwa watumwa wao, hivyo kudai usawa wa kibinadamu eti ni uasi wa kuangamizwa kama wanavyofanywa Wahutu.

6. Taifa letu liusaidie ulimwengu kujua ukweli kwamba Watusi ndio walioendesha genocide ya kutisha duniani, kwa kuangamiza Wahutu zaidi ya 6,000,000, zaidi ni mauaji yaliyofanywa na dikteta Paul Kagame wa Rwanda, ambaye ndiye mtuhumiwa Mkuu wa genocide ya Maziwa Makuu.

7. Taifa letu lihakikishe pia kwamba mwuaji Paul Kagame na wenzake wote wanafikishwa mbele ya Sheria kujibumashitaka ya genocide.

8. Taifa letu lifanye TOBA kwa mwenyezi Mungu kwa kudhamini unyama wote uliofanywa na Watusi, ukiwa ni pamoja na mauaji ya marais watatu wa Kihutu wa mataifa ya Rwanda na Burundi, marehemu Rais Melchior Ndadaye, marehemu Rais Juvenal Habyarimana na marehemu Rais Cyprien Ntaryamira.

9. Taifa letu lifanye TOBA kwa kuikaribisha ICTR Arusha, na kuifukuza katika Nchi yetu mara moja, kwa sababu siyo siri kwamba ICTR ni nyenzo ya kusaidia genocide ya dikteta Paul Kagame ya kuwamaliza Wahutu.

10. Taifa letu lipige vita ukatili wa kuendelea kuwashikilia kifungoni Wahutu waliotamkwa na hiyo ICTR kwamba hawana hatia, na kuwatetea kwamba walipwe fidia kwa unyama wote waliotendewa na Kagame pamoja na ICTR na/au UNO.

11. Taifa letu lihakikishe kuwa Rwanda, Burundi na Uganda zinafutwa uanachama katika Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC). Kwa sababu sharti kuu la uanachama ni Haki za Binadamu, Demokrasia na Utawala wa Sheria, lakini hizi ni tawala za Udikteta wa kikatili na Umwagaji damu.

12. Taifa letu lihakikishe kwamba Dikteta Paul Kagame anamwachia huru mara moja mwanamke mpinzani wake, shujaa Victoire Ingabire, ili akakataliwe na wananchi wenyewe wa Rwanda au wampe uongozi kama wanaona atawafaa. Kutoona haya mbele ya dunia kwa unyama huu, kunadhihirisha Kagame kuwa si binadamu wa kawaida!

Liberty International Foundation

Reverend Christopher Mtikila
(0766 053081, 0713 435016 )
EXECUTIVE CHAIRMAN

Monday, June 13, 2011

Aliyetabiri Mwisho wa Dunia 5/21 Apata Kiharusi!


Habari kutoka California zinasema kuwa Mtume Harold Camping (89) (pichani), yule babu aliyetabiri kuwa mwisho wa dunia itakuwa 5/21/11 amepata kiharusi. Kutokana na ugonjwa wake hawezi kuongea vizuri sasa. Amelazwa hospitalini California. Kwa sasa ndugu zake wanaomba watu wamwombee.

Dunia haikwisha na bado tupo. Mtume Camping anasema kuwa alikosea makadirio na sasa mwisho wa dunia itakuwa 10/21/11.

**********************************

Errant 'Rapture' Prophet Harold Camping Suffers a Stroke
Last Thursday, the elderly pastor and Family Radio host best known for birthing an all-consuming "May 21st" rapture meme suffered a stroke and was hospitalized. The Oakland Tribune reported that the 89-year-old Harold Camping's voice "may never be the same" after suffering a stroke that left his speech "a little bit slurred" according to a unnamed neighbor.

Back when we thought the rapture prophecy was both humorous (look at this van) and deeply sad (too many naive supporters lost their life savings for a lie), it was impossible to ignore the frequent jokes about Harold Camping's age factoring into his apocalyptic prognostication. "He's 89. Actuarially speaking, he's probably not that far off," quipped Jon Stewart about the Family Radio host before the May 21st date.

As of now, it appears unclear if/when Camping will return to his perch as broadcaster on Family Radio. Fox News relayed a message from his manager stating that an update on his health will be issued today. If he does return to the radio, he'll be back in the limelight in a few short months: due to a slight miscalculation, the full-blown apocalypse forecast is now scheduled for October 21st.

Sunday, May 22, 2011

Bado Tupo!

Wadau, wikiendi inaisha vizuri tu. Hatujasikia habari za tetemeko la ardhi au maafa!

Huyo mzee aliyetabiri kuwa jumamosi itakuwa mwisho wa dunia kajificha!

Friday, May 20, 2011

Kwaherini Wadau! Kesho Mei 21, 2011 ni Mwisho wa Dunia!





Wadau, inabidi niwaage! Kuna watu wanaodai kuwa kesho siku ya jumamosi, May 21, 2011 ni mwisho wa dunia! Yaani karibu kila kona unaona tangazo inayoonya kuwa kesho ni mwisho wa dunia. Sasa ni habari kuu kwenye taarifa ya habari.


Wanasema kuwa Bwana Yesu Kristo atarudi duniani kesho, na kutakuwa na tetemeko kubwa mno la ardhi itakayo anagamiza dunia nzima. Hivyo inabidi niwaage. Tutaonana huko mbele.

Habari za mwisho wa dunia zilitabiriwa na Mtume/Mchungaji Harold Camping (90) kutoka California. Aliwahi kutabiri kuwa mwaka 1994 itakuwa mwisho wa dunia.


Huo utabiri wake unawafanya wengine wahaha na wengine wanacheka. Yaani hapa kuna wanaocheka kwa kutokuamini na wengine ambao wanaamini. Leo na kesho kutakuwa na party kadhaa za kusherekea mwisho wa dunia, wengine watakuwa kwenye maombi makali usiku mzima. Kuna waliochimba mahandaki na majumba chini ya ardhi na kuzijaza na maji ya kunywa na vyakula vya makopo. Binamu yangu (upande wa mama) mwenye miaka 94, alinipigia simu na kunionya kuwa kesho ni mwisho wa dunia na hatutaonana tena.


Ila kuna jaama alinifurahisha. Kamwambia mchungaji Camping hivi: Kama kweli siku ya jumamosi, May 21, itakuwa mwisho wa dunia nitakumia dola $5,000. Kama haitakuwa mwisho wa dunia basi nitumie dola $100.


Haya wadau, kazi kwenu!

Kwa habari zaidi za mwisho wa dunia 2011 someni:

Saturday, January 15, 2011

Clip From Maangamizi the Ancient One



Hii ni clip ktuoka sinema Maangamizi the Ancient One. Ni sinema ya kwanza ambayo Tanzania ilietua katika Academy Awards (Foreign language category). Ingawa haikuchaguliwa kuwa katika sinema tano bora za mwaka huo 2000 ilikuwa hatua kubwa sana kwa Tanzania kujulikana katika dunia ya sinema.

Je, sinema gani kutoka Tanzania itakuwa ya pili kutueliwa? Kwa wasiojua mimi niliigiza kama Nesi Malika katika Maangamizi, ilikuwa sinema yangu ya kwanza. Ilipigwa Bagamoyo mwaka 1994 kabla mji haujajengwa kama ilivyo sasa.

Saturday, November 13, 2010

Diasaster Preparedness

DISASTER PREPAREDNESS

By Dr. Amur Abdullah Amur
Principal Specialist in Internal Medicine, Muhimbili National Hospital, Dar-Es-Salaam

The success of the plan of action to rescue miners in Chile reflects to well organized disaster preparedness activities by the Public Health Authorities. This rescue involved Chilean miners who had been trapped for almost 70 days some 600 meters underground after the mine they were working in collapsed around them 5th Aug.2010 , puzzled the attention of many.

The possibility of Public Health Emergencies concerns many people in the wake of frequent outbreaks of diseases and environmental mishap particularly in developing countries.

Many would agree with me that disaster preparedness helps people to deal with disasters of all sorts much more effectively when they do occur. Disaster preparedness is efficiently accomplished from family level to the national level. Charity starts at home! At a family level, keeping a three-day supply in the reserve and at least an additional four-day supply per person for use at home by each family is advisable. Public Health Disaster Preparedness teams are expected to provide operational requirements include tents and toilet facilities, contracted support for food, potable water, protective gears, transport , portable medical kits including oxygen cylinders, and biomedical waste disposal. Disaster Teams provide primary and acute care, initial resuscitation and stabilization, advanced life support and preparation of sick or injured for evacuation. Each team includes physicians, nurses, medical technicians, and supporting staff. The team is expected to sustain operations for 72 hours without external support.

Disasters disrupt hundreds of thousands of lives every year and have lasting effects, both to people and property. There is a need to establish tailor made Training Courses on Disaster Management that involve all walks of Life. During our school time, we used to have Scout Clubs that conduct elementary disaster preparedness programs. Such activities should be incorporated formally to an accredited level so as to produce cadres who can serve as Emergency Medical Responders, Paramedics and Members of Ambulance Teams. Institutes like Red Cross and Red Crescent play vital role in conducting short and long term First Aid Training. Provision of assistance consists of medical materiel, personnel, and technical assistance. These resources may provide response capability for the emergency response needs. Collab­oration in advance with rescue teams helps to promote alertness, disseminate health information, minimize confusion, and identify appropriate actions and responses.

Due to increasing vulnerability of developing countries to suffer various natural disaster in a form of outbreak of infectious diseases and environmental hazards, there is a need to establish Disaster Management Institute within the Public Health Program.

Lesson from Chile has proved that appropriate disaster preparedness reduces the devastating impact on human life, economy and environment . This is achieved through education, implementing warning strategies , toll free numbers, safety measures, users friendly infrastructures, developmental plans to provide coverage to such disasters ,provision of resources and rehabilitation as well as post-disaster reconstruction.

Disaster Management is multidisciplinary approach which involves nationwide participation, different professions and different scientific fields, and has become an important measure for human, society and nature sustainable development. Developing countries that lack the necessary facilities, planning, expertise and resources for

disaster preparedness arguably need them the most. The development of Disaster Preparedness within a Public Health Program should be seen as an important opportunity for the development within the nationwide health program.

The responsibility of Disaster Preparedness is to provide for a comprehensive Emergency Management Program that meets the emergency needs of those who either have been or might be affected by an emergency or major disaster for example cholera outbreak .

The population explosion and exposure to inadequate space, substandard sanitation, pollution, poor housing and lack of safety measures in poor resource countries have increased the frequency and severity of disasters. Surface decontamination remains an uphill task in case of chemical or biological pollution in developing countries. With the prevailing background of the high disease burden an environmental hazards present in many poor resource countries, the cost of running Disaster Management could be very high. In any public health program, a well-integrated Disaster Preparedness ultimately result in cost savings through early recognition and management of the disasters.

Some countries have units of Medical Response Cops(MRC) consist of organized medical and public health professionals who serve as volunteers to respond to natural disasters and emergencies. The MRC helps to engage medical and public health personnel in response to an emergency. MRC team is capable of providing primary and secondary medical care as well as to stabilize victims for transportation to hospital facilities .

Application of proper disaster management strategies involves formation of disaster management teams ,identifying phases of disaster preparedness, pre-disaster planning, resources preparedness, monitoring including relief management capability, prediction, early warning, damage assessment and relief management. Disaster Preparedness aims to save lives, prevent injuries, preserve the environment and protect property and the economy. Disaster management is comprised of four interdependent risk-based functions: prevention/mitigation, preparedness, response and recovery. Mitigation provides a critical foundation for disaster management.

The followings are the Phases of Disaster Preparedness:

1.Mitigation/Prevention -- A period of time during which activities are undertaken by individuals/institutes to improve their capabilities to respond to a potential emergency and fulfill their assigned responsibilities. Mitigation efforts attempt to prevent hazards from developing into disasters altogether, or to reduce the effects of disasters when they occur. The mitigation phase concentrates on short and long-term measures for reducing or eliminating risk. The implementation of mitigation strategies can be considered as a part of the recovery process if applied after a disaster occurs. The need of Establishment of Curriculum to train cadres of Disaster Management Team should be emphasized. Strategies of mitigation eliminate or reduce the impacts and risks of hazards through proactive measures taken before an emergency or disaster occurs.

2. Preparedness --

A period of time during which activities are undertaken by individuals and disaster teams to increase their alertness during periods of heightened risk. The emergency managers develop plans of action to manage and counter their risks and take action to build the necessary capabilities needed to implement such plans during this phase. Common preparedness measures include communication plans, emergency population alertness, evacuation, shelters, and provision of supplies. Public Health Program have the task to ensure first responders and emergency management personnel are well-prepared through education, support and exercises.

3. Response --

A period of time during which activities are undertaken by individuals and institutes to respond to an occurrence that threatens or harms human beings and environment. The response phase includes the mobilization of the necessary emergency service and members of disaster teams in the affected area. A well organized emergency plan activities developed as part of the preparedness phase enables efficient coordination in saving life ,prevention of injuries and protection of environment . The earlier response commences the better the outcome . Depending on impact of disaster sustained by the victims, virulence in case of infections, and access to health management, the vast majority of those affected by a disaster will die within 72 hours after impact. Regardless of the cause of the disaster, hygienic precautions such as hand washing ,wearing protective gears must be the rule of the game. Thorough hand-washing with antiseptics between examining victims and after contact with blood, body fluids, secretions, excretions, and equipment contaminated by them is an important component of infection control during disaster.

4. Recovery --

A period of time during which activities are undertaken by individuals and institutes to provide for the welfare of the people following a Disaster and/or emergency. Recovery efforts are primarily concerned with actions that involve counseling, crisis intervention, rehabilitation , moral support and rebuilding destroyed property. Efforts should be made to build user friendly structures taking safety measure techniques into account . This requires collective responsibilities and commitment of the community and the nation to develop and deliver disaster financial assistance, determining the amounts and types of assistance that will be provided to those who have experienced losses.

Tuesday, June 08, 2010

Review of Maangamizi the Ancient One


I found this review of Maangamizi the Ancient One, very good. It hits the nail on the head about what the film is about. As you know Maangamizi is the first film to be submitted to the Academy Awards by Tanzania.
*************************************************************



Maangamizi (the Ancient One)


A film by Martin Mhando, Ron Mulvihill and the Ancestors

Featuring Amandina Lihamba, BarbaraO, Mwanajuma Ali Hassan, Thecla Mjatta, Waigwa Wachira

Review by
Marvin X (El Muhajir)

Maangamizi is a film in the genre of Daughters of the Dust and Sankofa, it even stars Babrara O from Daughters of the Dust. So let's get to point of this film that has won awards at several international film festivals, though few have heard about it.

I have long maintained that before African Americans can heal the trauma of White Supremacy they must make peace with their southern roots, the pain of slavery in all its vicissitudes. This film justifies my thesis that we must indeed come to peace with the terror of Alabama, Mississippi, Georgia, and the rest of the south before we can truly be healed. Whatever the south meant to us or means to us now, we must come to grips with it before we can deal with Mother Africa.

In the film the African American psychiatrist (Barabra O) goes to Tanzania to work in a mental hospital, but she cannot heal the Africans until the Africans come to terms with who she is as long lost daughter and she cannot deal with Africans until she is woman enough to confront the terror of African American oppression, there is a leitmotif of lynching to allow us to see her suffering, even though she is a doctor on a mission to heal her African brothers and sisters.
But she cannot heal her primary patient until the patient understands that the doctor from America is her salvation, not in a medical sense but in a spiritual sense.

After the African sister is traumatized by seeing her father burn her mother to death in a hut, the child refuses to speak until the wise woman Manzamizi (also grandmother) entreats her to connect with her African American sister, that is her salvation.

But as I said above, the African American must heal from the terror of America, not their disconnection with Africa as we are usually told. Supposedly, we cannot heal until we come to terms with our Africanity, but this film flips the script as many revolutionaries and radicals have discovered: we must come to terms with our Americanity in all its vicissitudes. Afterwards, we will have no problem with Africa.

With their attitude of jealousy and envy as expressed in the film, clearly, it is Africans who must adjust to African Americans. The film showed our African brothers and sisters as the playa haters of African Americans, and certainly the star patient had reservations about reconnecting with her African American sister, but this was the point of the film: that until Africans come to terms with African Americans, no healing can come to Africa, even though she has her neo-colonial problems with religion, Western religion, Christianity, the father being so dogmatic and savage that he burns his wife alive because her daughter is supposedly under witchcraft when it is clear the father is a devil under the power of a pseudo-Jesus. What Jesus told him to burn his wife alive in the granary hut?

The most powerful scene is the father in hell begging his daughter for forgiveness. And she forgives him, thus transcending the pseudo-Christianity of her father, to the objection of her wise woman, grandmother, Maanzimizi, who said to hell with the father, let him burn in hell for dissing the ancestors in favor of Christianity.

* * * * *

Wednesday, April 28, 2010

Maangamizi the Ancient One



Wadau hebu mcheki Prof. Amandina Lihamba, Barbara O, Bibi Mwanajuma Ali Hassan, Mimi, Mona Mwakalinga, marehemu Mwalimu Kisaka A. Kisaka, Dada Mhando, Stumai Halili, Mary Chibwana, Waigwa Wachira na wengine katika sinema Maangamizi the Ancient.

Maangamizi the Ancient One ni sinema pekee kutoka Tanzania iliyopelekwa katika mashindano ya Oscars. Sinema iliigwa Bagamoyo, Arusha, na Morogoro mwaka 1994 na 1997.

Tuesday, November 24, 2009

Sinema 'Maangamizi' Ilivyotua Academy Awards - Oscars


Wadau, sinema gani kutoka Tanzania itakuwa ya pili kutua huko Academy?Maangamizi ilikuwa ya kwanza mwaka 2001.

*************************************************
December 7, 2001

For Immediate Release

Tanzania’s First Ever Entry In The 74th Academy Awards

Los Angeles, CA – The United Republic of Tanzania has submitted MAANGAMIZI– THE ANCIENT ONE as its film entry in the Foreign Language Film categoryfor the 74th Academy Awards. Maangamizi – The Ancient One will be competing with foreign language films from 50 other countries around the world, thelargest group ever in this category for the Academy. The only other African country in the running is Algeria; however, Tanzania remains the onlysub-Saharan African country in this year’s competition.

Maangamizi – The Ancient One represents the first ever entry by the UnitedRepublic of Tanzania. The film was selected by a group of film, televisionand theater professionals and was released in Tanzania the last week ofOctober 2001, and was received by excited local audiences.With over 50 million Swahili speakers in the world, Maangamizi – TheAncient One represents the first feature film made for worldwide release inSwahili--another "first" for Tanzania.Maangamizi – The Ancient One reaches beyond the parameters of Africa andspeaks to the whole world as a film of hope and healing and has broughtmany American Film Festival audiences a sense of peace and reconciliationin the wake of the tragic events of September 11th.

Summoned to the majestic heights of Kilimanjaro, two women--one African,one American are led by an ancient and mysterious ancestor on a primaljourney of spiritual awakening. The story locations set in Tanzania, EastAfrica, proceed from the shores of the Indian Ocean to the heights of Mt.Kilimanjaro. Maangamizi – The Ancient One was shot at some of the mostbeautiful and historic landmarks in Tanzania and was made with the supportof Tanzania’s Embassy to the U.S., Tanzania’s Ministry of Tourism, TanzaniaNational Parks (TANAPA) and the Tanzania Film Company.

Maangamizi – The Ancient One centers around three women, a doctor, herpatient and the mysterious ancestor that comes to take them on a journeyinto their past and inevitably delivers them to a place of healing.Among the film’s executive producers are Oscar winning producer/directorJonathan Demme (Silence of the Lambs, Philadelphia) as well as Joan Cunningand Steven Shareshian. The film produced by Martin Mhando (currently theChairperson of Media Studies at Murdoch University in Perth, Australia) andQueenae Taylor Mulvihill was seven long years in the making with principlephotography starting in June 1994.

Co-producer Leonard Merrill Kurz inassociation with Forest Creatures Entertainment, and co-producers DavidRosshirt and Casta Tungaraza helped to walk the production to its completion which was finalized in November, 2000. Additional AssociateProducers Fatma Alloo and Mark Leveri to name only a few were alsoinstrumental in bringing the film to completion.The film’s two directors, both veteran Tanzanian filmmaker Martin Mhando(Mama Tumaini, Yomba Yomba) and first time feature film director RonMulvihill deliver an outstanding directorial feat. Both have been laudedfor bringing an exemplary and outstanding spiritual tale to the big screen.Additionally, they brought together an international pool of talent, bothcast and crew.

The cast and crew made up primarily of Tanzanians alsocomprised Kenyans, Australians, Americans, Brits and Scottish citizens.African American cinematographer Willie Earl Dawkins captures the beauty ofTanzania through the lens of the camera and transforms the audience toTanzania’s exotic locations. James B. Ling, the film’s editor has craftedthe images together to make it one of the most memorable film experiencesimagined--a film that remains etched in the mind’s of audiences long afterthey have left the theater.The original screenplay, written by Queenae Taylor Mulvihill while she wasa graduate student at UCLA’s film school was a story originally based onthe Greek Goddess, Hekate. Director Mulvihill and screenwriter TaylorMulvihill met at UCLA, however, Maangamizi – The Ancient One representstheir first film project together.

Music composed by Grammy Award winner Cyril Neville, the youngest of TheNeville Brothers is both mesmerizing and hypnotic and features the FinaMbira, an unusual mbira designed by Italian musician Enzo Fina. BothNeville and Fina build inspiring crescendos and harmonic rhythms in the score.The film stars Amandina Lihamba, a renowned Tanzanian actress who deliversan award-winning performance as "Samehe." Ms. Lihamba studied at Yale andalso studied and performed with the American Negro Ensemble. Currently sheis chairperson of the Department of Drama at the University of Dar Es Salaam.BarbaraO, also stars as "Dr. Asira" in her first major role since hermemorable and powerful performance as "Yellow Mary" in Julie Dash’s indiefilm, Daughters of the Dust.

Maangamizi – The Ancient One features Mwanajuma Ali Hassan as "BibiMaangamizi" a formidable and accomplished "Taarab" singer from Zanzibar,Ms. Hassan delivers a rare performance by a Zanzibari elder. "Bibi", (aSwahili word meaning grandmother--as the cast and crew affectionatelyaddressed her) effectively brings a loving, compassionate, strong,confident and sometimes humorous quality to the ancient ancestor she portrays.Additionally, the film has garnered two Best Actress Awards for AmandinaLihamba at the Zanzibar International Film Festival and at the SouthernAfrican Film Festival.

The Film won the first place prize, The Golden Dhowat the Zanzibar International Film Festival, Second Place Feature at the San Francisco Black Film Festival and Second Place Feature at the BlackFilmmakers Hall of Fame. It has also garnered an Honorable Mention at theBlack Dot Ritual Film Festival. Maangamizi – The Ancient One had its world premiere at the Tokyo AfricanFilm Festival, and has played as an official selection at:·

Montreal International Film Festival· Mill Valley Film Festival· FESPACO, Burkina Faso· Haus der Kulturen der Welt Retrospektive, Berlin, Germany· Afrikanisches Filmfestival, Osnabrück/Germany· African Summer Film Series - University of Wisconsin, Madison· West Virginia International Film Festival· Arizona International Film Festival· Pan-African Film Festival, Los Angeles· Pan-African Film Festival, Denver· New York African Film Festival· New York African Diaspora Film Festival· Africa in the Picture, Amsterdam· Southern African Film Festival· Zanzibar International Film Festival· Black Filmmakers Hall of Fame· Black Dot Ritual Film FestivalAdditional special screenings have been held at:· The United Nations World Conference on Racism, Durban, South Africa;· The Spiritual Institute for Divine Wisdom, Atlanta, GA· The Institute of Karmic Guidance, Washington DC· the KRST Unity Church, Los Angeles, CA.

As one of the 51 Foreign Language film entries, Maangamizi – The AncientOne has been invited to screen at the prestigious Palm SpringsInternational Film Festival, Jan 10-21, 2002.The film has been distinguished with praises and accolades from famedauthor Alice Walker (The Color Purple) who describes Maangamizi – TheAncient One as "more than a movie. It is a look at how we’ve been torn atour roots; severed from nourishment at the source…. Those of us who can remember and honor who we have been over eons of time, will be able toinspire the whole world to greater heights of compassion."

Maangamizi – The Ancient One has also received favorable reviews includingmost recently in The Variety (a major Hollywood industry trade paper)."A quietly impressive drama, U.S. Tanzanian co-production "Maangamizi"…repsa rare wade into multicultural spirituality that’s neither obscure noroversimplified… Screenplay… is unhurried yet concise in focus. Results sport significant conceptual overlap with exec producer Jonathan Demme'sToni Morrison adaptation "Beloved." In its smaller-scaled, less ambiguousway, "Maangamizi" locates a similar healing intersection betweenWesternized identity, traditional African religious belief, andregenerative matriarchal strength.

[The film’s] confident understatement a small miracle given myriad hurdles(scant location tech support, cast/crew malaria bouts, et al.) first-timefeature helmer Ron Mulvihill and Tanzanian-bred vet Martin Mhando ("YombaYomba," "Mama Tumaini") weathered en route to completion.Willie Earl Dawkins' color lensing provide leavening visual notes; diversesoundtrack assembled and composed by Cyril Neville is another well-judgedplus."(Dennis Harvey, The Variety, 9/28/01)Additional information including a synopsis can be accessed at:http://www.grisgrisfilms.com/maangamizi.htm

Wednesday, July 29, 2009

Rest in Peace DJ Eddy Sally (Adam S. Mwambile)

Adam akiigiza kama Dr. Moshi (Maangamizi the Ancient One)

Nimepokea habari za kusikitisha. DJ Eddy Sally aka. Adam S. Mwambile, alifariki dunia leo asubuhi huko Dar es Salaam.

Kaka Adam alikuwa mmoja wa wale maDJ wa mwanzo Dar. Pia, Adam aliigiza kama Dr. Moshi katika sinema, Maangamizi the Ancient One. Nakumbuka tulivyokuwa kambi Bagamoyo College wakati wakushuti sinema Aprili 1994. Alikuja na mke wake MZambia. Adam alikuwa mcheshi kweli na alichangamsha kweli kambi.

Natafuta picha yake nibandike hapa. Lakini kama mmeona sinema Maangamizi yeye ndiye aliigiza kama daktari mkuu wa hospitali na aliwapa madkatari wengine shida sana.

REST IN ETERNAL PEACE!

**********************************************************
Kutoka Michuzi Blog:

DJ EDDY SALLY, DJ MASHUHURI NCHINI, AMEFARIKI DUNIA LEO ASUBUHI KATIKA HOSPITALI YA MKOMBOZI JIJINI DAR AMBAKO ALILAZWA KWA MATIBABU TOKA JANA.

HABARI KUTOKA MSIBANI AMBAKO NI NYUMBANI KWA MAREHEMU SINZA KUMEKUCHA HAPA JIJINI ZINASEMA MAZISHI YATAFANYIKA KESHO KIJIJINI KWAO KISARAWE.

HAYATI DJ EDDY SALLY ATAKUMBUKWA KUWA MIONGONI MWA MA-DJ WA MWANZO KABISA NCHINI, AKIWA AMEANZIA DISCO LA SEA VIEW KABLA YA KUHAMIA LUSAKA, ZAMBIA, ALIKOTOKEA KUWA DJ WA KWANZA MMATUMBI NCHINI HUMO.

MIAKA YA 80 ALIREJEA NCHINI NA KUANZISHA LIBENEKE LA 'EM THREE DISCOTHEQUE' KWENYE UKUMBI WA KEYS HOTEL AKIWA NA DJ SWEET FRANCIS AMBAO KWA PAMOJA WALITETEMESHA JIJI KWA VIFAA VYA KISASA NA SOUND SYSTEM ILIYOKUWA BORA KULIKO ZOTE ENZI HIZO

Monday, January 28, 2008

Academy Awards wanaijua Tanzania







Mwaka 2001, Tanzania ilipeleka sinema, Maangamizi The Ancient One, kushindana katika, 74th Academy Awards. Ilishindana katika kipengo cha 'Foreign Language' (Lugha za kigeni). Sinema hiyo ilikuwa ya kwanza kutoka Tanzania kupelekwa. Ilikuwa kati ya sinema 51, zilizopelekwa na nchi kadhaa huko mwaka huo.

Hatimaye haikufika katika sinema tano bora zilioingia katika raundi ya mwisho kupewa tuzo ya Oscar. Mwaka huo sinema ya 'No Man's Land' kutoka Bosnia Herzegovina, ilishinda.

Ili sinema ifike Academy Awards ni lazima iwe na sifa kadhaa. Sinema ya Maangamizi ilikuwa na sifa zote.

Je, sinema ya Bongoland II, itakuwa sinema ya pili kutoka Tanzania kupelekwa Academy Awards?

Mnaweza kusoma Press Release ya Academy Awards 2001, hapa:

Tutaona mambo yatakavyokuwa.

Sunday, January 27, 2008

Maelfu wajitokeza kwenye Casting Call Boston


Maelfu na maelfu ya watu wanaotaka kuwa Extras katika sinema mpya ya Martin Scorsese, Ashecliffe, walijitokeza jana Boston University. Watu walianza kupanga foleni tangu saa 12 asubuhi!

Mimi nilifika saa 8:30 (2:30Pm). Walikuwa wanaingiza watu kama 300 kwa mpigo kwenye ukumbini. Tulipewa lecture kuhusu kazi ya Extra. Siku inaweza kuwa ndefu masaa 12 hadi 16, fanya kama mnavoambiwa. Fika saa uliyopangiwa etc. Walitaja na bei ya malipo, dola $100 (Masaa manane) kwa siku plus overtime, kwa wasio union. Watapiga sinema maeneo ya Boston, Medfield na Taunton, Massachusetts kuanzia Machi 6 hadi mwisho wa Juni.

Baada ya hapo, watu walipanga foleni nyingine na kutoa fomu na kipigwa picha. Weusi walikuwa wachache sana kulinganishwa na idadi ya wazungu. Najua wengi wa weusi waliotokea watapata nafasi kwenye hiyo filamu.

Kufika mezani niliwapa Acting resume na headshot. Niliulizwa kama nimewahi kuactin kama Nurse. Nikawaambia ndio, niliwahi kuacti Nurse Malika kaitika sinema, Maangamizi the Ancient One.

Kama tunavyosema kwenye dunia ya acting, 'Break a Leg'. Kama kuna mdau aliyeenda huko karibu mtoe experience yako katika hiyo Casting Call.

Kwa habari zaidi soma:

http://wbztv.com/local/Martin.Scorsese.Leonardo.2.638533.html

Thursday, November 08, 2007

Msanii Ernest Mtaya anaoa kwa staili aina yake!





Ninamfahamu msanii na mchoraji, Ernest Mtaya tangu ni kijana mdogo. Alikuwa anatusaidia TAMWA katika mambo ya uchoraji katika magazeti na vitabu yetu. Sasa ni mwalimu maarufu wa uchoraji. Amewahi kupata zawadi ya uchoraji kutoka Mfuko wa Utamaduni Tanzania.

Pia alishiriki katika sinema ya Maangamizi the Ancient One. Picha zake nyingi zilitumika kwenye hiyo sinema, iliyowakilisha Tanzania katika mashindano ya Oscars Hollywood mwaka 2001.

Ernest na Juddy HONGERA! Nawatakieni maisha mema ya ndoa.

Dada Chemi

***********************************************************************************
Ndugu zangu na marafiki zangu,Natumaini wote ni wazima na kama wapo ambao wanaugua au wanauguliwa naombaMUNGU awasaidie katika matatizo hayo. Mie ni Ernest Mtaya (pichani) na maelezo yangu zaidi yanapatikana katika http://www.ernest.4mg.com/

Madhumuni ya barua hii ni kuwafahamisha natarajia kuoa tarehe 17 Novemba 2007 saa 10 kamili katika kanisa linalojulikana kama st.Peter's church liliopo Oysterbay karibu na shule ya Mbuyuni hapa Dar Es Salaam. Baada ya hapo kutakuwa na msafara wa BAJAJI sita kuelekea eneo la sherehe ambalo ni kijiji cha Makumbusho tena nje chini mwembe.

Sherehe hii itakuwa na vionjo vya kitamaduni zaidi ya "uzungu" katika msafara wa Bajaji tutakapofika eneo la Victoria tutabadilisha usafiri na kupanda GUTA lililotengenezwa kiustadi kabisa na kuitambua Bajaji nitakayokuwa na mtarajiwa wangu itakuwa imepambwakwa makuti.
Sherehe itashereheshwa na msanii maarufu wa jukwqaa Mrisho Mpoto kwa wasiomfahamu ni yule muimbaji wa wimbo wa SALAMU KWA MJOMBA pia kutakuwa na msanii maalufu wa Afro Reggae Jhiko Manyika ambaye amerudi juzi tu kutoka ziara yake ya kimuziki ya Ulaya.
Mtumbuizaji mwingine ambaye atakuwa msimamizi wa mtarajiwa wangu ni muimbaji na mtunzi maarufu anayeitwa Karola Kinasha ambaye mbali na shughuli ya usimamizi kama Matron pia atatumbuiza kwa nyimbo zake tamu na sauti nzuri. keki , shampeni na jukwaa utamaduni wetu wa Afrika utapewa hadhi.

Cha muhimu ndugu na marafiki ni hii sherehe ya watoto ambayo nimefikiri niifanye ili watoto kwa mara ya kwanza washiriki katika sherehe ya Arusi la kwa nia ya kuwaaunganisha na kusaidiana na kutambua matatizo ya watoto wengine wenye shida zaidi yao.

Hivyo basi siku ya pili ya sherehe yaani 18 Novemba 2007 kwa niaba ya mchumba wangu JUDDY nimeandaa sherehe ya watoto ambapo nimeawaarika watoto wa mataifa mbalimbali nia kubwa ikiwa ni kuwaaunganisha watoto wote bila kujali misingi ya rangi, dini na utabaka waaina yoyote, pia kuwafanya watambue matatizo ya watoto wengine ili wakue wakijua kuna watoto wenzao wenye shida zaidi yao na wawe na moyo wakuwasaidia kupitia wazazi wao, pia kuwafanya wafurahi kwa kucheza ,kuimba na chochote chema ili mradi wafurahi.

Hapa tutafanya utafiti wa kugundua vipaji vya watoto na kuwasiliana na wazazi ili kuona mwelekeo wa kuweza kuwasaidiakatika siku za mbele ambapo Mungu akinijalia nategemea kuanzisha taasisi itakayohusika na shughuli za watoto.

Nimewaalika watoto yatima wa Kurasini ili waweze kufurahi na wenzao na kama kuna yoyote atayeweza kusaidia kwa chochote kile hasa kwa walengwa wakuu ambao ni hawa watoto yatima anakaribishwa kusaidia anaweza kupiga simu hii 0713-23 31 74 .

Michango itapokelewa hata baada ya sherehe kwani baad ya sherehe mimi na Juddy tutaelekea Zanzibar kwa mapumziko ingawa tutatumia mapumziko yetu kutembelea vituo vya watoto wenye shida na nyumba za kutunzia wazee.

Tayari kwa niaba ya Juddy nawashukuru Duka la vifaa vya elimu lilopo Upanga la KALL KWIK Bookshop kwa zawadi zao ambazo zitatolewa kwa watoto wote wataohudhuria sherehe hii.
Pia wale walioahidi kusaidia nitawaandika mara nitakapopokea zawadi zao. nawashukuru pia wazazi ambao tayari wamechangia sherehe hii na napenda kuwaahidi michango yao itasaidia kuwaalika watoto yatima na itatumika kwa madhumuni yaliyotajwa kwenye kadi tu.
Nashukuru kwa kuniamini na naahidi sitawaangusha tufanye huu ni mwanzo tu.

Ahsante na MUNGU awabariki wote na kuwajalia imani na huruma.

Ernest kwa niaba ya Juddy

Tuesday, June 26, 2007

Mjue Msanii Thecla Mjatta

Thecla Mjatta in Arusi ya Mariamu
Thecla Mjatta at a screening of the film, Tumaini
Thecla Mjatta (in baibui) with other cast of the film, Mlima Kolero
(photo from Jiachie blog)


Mama Thecla Mjatta ni mwigizaji mkongwe wa Tanzania. Huenda mnakumbuka zile michezo za kuigiza kwenye redio. Tulikuwa tunazingojea kwa hamu kila wiki, hasa kwa vile wakati huo hakuna TV miaka ya 70 na 80. Pia aliigiza katika michezo ya kuigiza kadhaa.

TV ilivyoanza alianza kuigiza kwenye michezo ya television. Mama Thecla pia ameigiza katika sinema kadhaa na kucheza kama watu ambao hamwezi kusahau.

Katika sinema ya Arusi ya Mariamu, anaigiza kama shangazi yake Mariamu, na hamtasahau anvyopagawa.

Katika sinema ya Maangamizi the Ancient One aliigiza kama mama wa mhusika mkuu, Samehe. Samehe, alishuhudia kifo cha cha kuunguzwa na moto na baba yake mzazi amabaye alikuwa ni mchungaji mwenye imani kali ya dini. Sinema ya Maangamizi iliteuliwa kama sinema ya kwanza kutoka Tanzania, katika mshindano ya Oscars mwaka 2001 (Foreign Language category).

Pia ameigiza katika sinema za Simu ya Kifo, Tumaini, Mzee Mkude, na mlima Kolero. Hivi karibuni ataigiza katika sinema ya Bongoland II, akicheza kama mama yake mhusika mkuu, Juma.

Kwa habari zaidi za sinema ya Bongoland II nenda : http://www.kibirafilms.com/bongoland/home.html