![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg5EuTSeIbjH2vGUnTtMoUIdK3_aqOgH_oV9el-j6rWXfvo-IcBxXToDWZcGgY3BDQMcmvTRxoKDkRpO76PcHXHnzFgDZrHMN7jybTqxOvos_Pwv7Z4vU89UyGMLKxhOwTKTgiZ/s400/Obama1.jpg)
Wanakamati wa Nobel wanasema kuwa Rais Obama alichaguliwa shauri ya bidii yake ya kupoza chuki kati ya Marekani na nchi za KiIslamu.
Wengine waliowahi kushinda ni: Al Gore, Jimmy Carter, na Martin Luther Jr.
Kwa habari zaidi someni:
http://edition.cnn.com/2009/WORLD/europe/10/09/obama.nobel.international.reaction/
http://freakonomics.blogs.nytimes.com/2009/10/09/a-little-soon-for-the-nobel-peace-prize/
4 comments:
Obama angekuwa mzungu wangekuwa wanamsifu! Kazi nzuri Rais Obama Keep it Up!
it is true kuwa hastahiki kupewa. ilikuwa wasubiri angalau miaka 2 ndio wampe. hii ni upendeleo wa wazi. hata mkewe kuwa ni no1 katika orordha ya wanawake ambao ni powerful duniani ni kupendelewa tu. siku hizi hayo mbambo ni biashara.
mbona hawajampa rais kikwete? rais kikwete anastahiki kwa sababu zifuatazo:#
1. amesuluhisha mgogoro wa comoro.
2. amesuluhisha mgogoro wa kenya baada ya uchaguzi.
3. akiwa kama mwenyekiti wa au amechangia kusuluhisha mgogoro wa zimbambwe.
4. pia amechangia kusuluhisha mgogoro unaoendelea wa madagascar nk nk.
lakini pia tanzania ina dk salem ahmed salem ambae amesuluhisha migogoro lukkuki siyo na idadi mbona hajapewa hiyo tunzo. ni wizi mtupu.
hili jamaa lichawi nini?
@John: Komenti yako imenivunja mbavu!:-)
Post a Comment