![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiX-0Ny1ZpsZar4r93pF2-uyYuWh3r5v3Vm9f-TBf-Elkx-5LuZhxGqRaTmNoMU6ejfxwS1zcRQZ1ruGpO2VRQKUd1ng9aU3SVjhoVWEpXKf4r9pyuT9kaICrl8N-gK1VY-DlTp/s400/victoria-rowell-obama-dress-emmy-2009.jpg)
Wengine wanasema eti Victoria alionekana kama kajitundika kitambaa cha mezani (Tablecloth). Wengine eti ni kama blanketi. Kuna waMarekani weusi ambao wamesema kuwa wameona aibu kwa vile kavaa nguo ya kiAfrika! Heh!
Mimi namsifu Victoria kwa kupenda uAfrika na kutangaza Afrika na mila yake! Weusi waMarekani wamepoteza uAfrika wao na mila zao za kiAfrika kutokana na utumwa. Nashukuru kuna weusi wanaopenda weusi wao.
VICTORIA, YOU GO GIRL! BIG UP ON YOUR BOLD MOVE!
Kwa habari zaidi someni:
http://www.starsareblind.com/2009/09/21/victoria-rowell-emmy-dress/
http://blackpoliticalthought.blogspot.com/2009/09/actress-victoria-rowell-wears-obama.html
1 comment:
She looks so lovely on that dress
Post a Comment