Saturday, February 21, 2015

Bongo Fleva Staa Mez B Afariki Dunia!

Kutoka Facebook 

Msanii wa Bongo fleva  Moses Bushagama  aka. 'Mez B'  amefariki Dunia Ijumaa, February 20, mkoani Dodoma kutokana na ugonjwa wa homa ya mapafu. 

Mez B alikuwa ni mtoto wa pekee kwa mama yake kwani alizaliwa peke yake. Rest in Peace.


The Late Mez B

No comments: