Saturday, February 21, 2015

Wanaume Wenye Mboo Ndogo Watafanya Sherehe Uingereza

Huko Uingereza kutakuwa na sherehe maalum kwa ajili ya wanaume wenye mboo ndogo.  Si utani, lakini wazungu wanajulikana kwa kuwa na mboo ndogo. Sherehe inaitwa, 'The Big Small Penis' party.  Ni kwa ajili ya kutiana motisha.  Sherehe itafanyika mwezi ujao mjini London.

Bwana Ant Smith (48) anaandaa sherehe hiyo. Anasema mboo yake ikisimama inakuwa na urefu wa inchi 4 tu (sentimita 9).   Anataka wakatao hudhuria hiyo sherehe kujiona kuwa ni watu wa maana wasio na kasoro. 

Sherehe inaitwa, 'The Big Small Penis' party.  Ni kwa ajili ya kutiana motisha.  Wanaume wote wenye mboo ndogo wanaalikwa kuhudhuria. Kiingilio ni dola moja kwa kila inchi ya saizi ya mboo. kwa hiyo kama wewe ni inchi nne dola $4.


Kwa habari zaidi BOFYA HAPA:



No comments: