Showing posts with label London. Show all posts
Showing posts with label London. Show all posts

Saturday, February 28, 2015

Jihadi John na Uhusiano wake na Tanzania


Kumbe Usalama wa Taifia walimgundua Jihadi John mpaema. Walimzuia kuingia Tanzania kwa ajili ya Safari ya kutembelea mbuga za wanyama. Walisema nia yake ilikuwa kwenda kujinga na Al Shabab Somalia. Jihadi John ameua mateka wa kizungu na kiJapani kadhaa huko Syria kwa kuwakata vichwa (Beheading). Jihadi John kumbe ni msomi na anatoa kwenye familia enye uwezo.


****************************************
   LONDON (AP) - The unmasking of Islamic State militant "Jihadi John" as a Londoner who had repeatedly been questioned by security services sent shock waves through Britain Friday, with Prime Minister David Cameron stepping in to defend British spy craft.

   Cameron tried to defuse criticism of Britain's intelligence community, which had "Jihadi John" on its list of potential terror suspects for years but was unable to prevent him from traveling to Syria, where he has played a prominent role in grisly beheading videos.

   Cameron did not mention "Jihadi John" or refer to his real identity: Mohammed Emwazi, a Kuwait-born computer science graduate raised and educated in Britain. But he said the country's spies make "incredibly difficult judgments" daily about how to pursue threats to national security and have broken up plots that would have caused immense damage.

   Emwazi had been known to the British intelligence services since at least 2009, initially in connection with investigations into terrorism in Somalia.

   David Anderson, who is in charge of reviewing Britain's terrorism legislation, said intelligence agencies may have dropped the ball, but faced a big challenge to identify real threats from "hundreds, probably thousands" of suspects.

   "Perhaps they did slip up in this case but one won't know until there's been an inquiry or a report of some kind," he told the BBC.
Mohammed Emwazi aka Jihadi John

   The case has some parallels to that of two al-Qaida-inspired extremists who murdered a British soldier in a London street in May 2013. A report by lawmakers concluded that delays and other failings by the agencies had contributed to that tragedy.

   However, it is not clear what laws could have been used to prevent Emwazi from leaving Britain at the time, since he had not been charged with any terrorist-related offenses. It is not known if police or security services had any evidence he was planning to join extremists in Syria.

   His identification as the front man in IS murder videos has raised questions about how a soccer-playing London youngster who liked smart clothes became one of the world's most wanted men.

   Authorities were working to piece together the path to radicalization of Emwazi, who came to Britain from Kuwait as a small child and attended state schools in London before studying computer science at the University of Westminster.

   Court documents from 2011 obtained by the BBC list Emwazi as part of a network of west London men suspected by MI5 of sending funds, equipment and recruits to al-Shabab militants in Somalia. The group included Bilail al-Berjawi, a Lebanese-British militant who was killed in a U.S. drone strike in Somalia in January 2012.

   Emails that Emwazi sent to a Muslim advocacy group reveal a young man increasingly frustrated by the attentions of British spies and angry at the plight of Muslims around the world.

   Emwazi approached the group, CAGE, after he and two friends were arrested and deported on a trip to Tanzania in August 2009. They said they were going on a post-university safari. But Emwazi said he was grilled by a British intelligence officer who accused him of trying to travel to Somalia to link up with terrorists there.

   He said the agent, who identified himself as Nick, suggested Emwazi "work for us" before saying "life will be harder for you" if he did not cooperate.

   It is clear that Emwazi was unnerved after his unwanted interrogation.

   "He knew everything about me; where I lived, what I did, the people I hanged around with," he wrote in one of the emails that CAGE made public Thursday. "He even said that he would try to visit me. But I refused and told him that I did not want him to pay me a visit."

   The following year Emwazi accused British agents of preventing him from going to Kuwait, where he had a job and planned to marry. He wrote in one email that his "`life' is kind of on a `pause."'

   Like many British Muslims who have become radicalized in recent years, he seemed to feel that Muslims were increasingly under attack in many parts of the world and complained to CAGE of the plight of his fellow believers in Chechnya, Iraq and elsewhere.

   CAGE said that Emwazi even changed his name in a bid to escape the attentions of the security services, but still was barred from going to Kuwait. His family reported him missing early in 2013. Four months later, police told them Emwazi was in Syria, CAGE said.

   He appeared in a video released in August showing the slaying of American journalist James Foley, denouncing the West before the killing. A man with similar stature and voice was also featured in videos of the IS killings of American journalist Steven Sotloff, Britons David Haines and Alan Hemming, and U.S. aid worker Abdul-Rahman Kassig.

   Foley's parents in Arizona on Thursday expressed surprise that "Jihadi John" was an educated man who had real prospects in life.

   "So he, in a sense, had a privileged upbringing, so to me that makes that even more sad that he'd want to use his gifts for such evil and such hatred. It's very frightening to me," Diane Foley said.

   "We need to forgive him for not having a clue what he was doing," she said.

   The widow of Haines, a British aid worker, said Friday she would like to see "Jihadi John" captured and put on trial.

   Dragana Haines told The Associated Press in a phone interview from her home in Croatia that "I really hope he will be caught, I think it would be a good lesson for all."

   Haines, whose husband was killed in September, said she would rather see Emwazi judged in a court of law than killed by enemy action.

   "People of his kind believe that death in combat is an honor, something special," she said.

   In the modest west London neighborhood where Emwazi's family lived, citizens were shocked after his identify was revealed.

   Sharaft Ullah, who worships at the Harrow Road Mosque near the family home, remembered Emwazi as a strict Muslim who prayed several times a day. He said Emwazi was "a very good local guy and polite with everybody."

   "I feel angry because he was educated in this country and he graduated from Westminster," Ullah said. "If he has been doing these things it's wrong."

   Another mosque that Emwazi was reported to have attended, the Greenwich Islamic Centre, said it had no knowledge of him.

Saturday, February 21, 2015

Wanaume Wenye Mboo Ndogo Watafanya Sherehe Uingereza

Huko Uingereza kutakuwa na sherehe maalum kwa ajili ya wanaume wenye mboo ndogo.  Si utani, lakini wazungu wanajulikana kwa kuwa na mboo ndogo. Sherehe inaitwa, 'The Big Small Penis' party.  Ni kwa ajili ya kutiana motisha.  Sherehe itafanyika mwezi ujao mjini London.

Bwana Ant Smith (48) anaandaa sherehe hiyo. Anasema mboo yake ikisimama inakuwa na urefu wa inchi 4 tu (sentimita 9).   Anataka wakatao hudhuria hiyo sherehe kujiona kuwa ni watu wa maana wasio na kasoro. 

Sherehe inaitwa, 'The Big Small Penis' party.  Ni kwa ajili ya kutiana motisha.  Wanaume wote wenye mboo ndogo wanaalikwa kuhudhuria. Kiingilio ni dola moja kwa kila inchi ya saizi ya mboo. kwa hiyo kama wewe ni inchi nne dola $4.


Kwa habari zaidi BOFYA HAPA:



Monday, November 04, 2013

Freddy Macha at the London Jazz Festival



GLOBAL FUSION MUSIC AND ARTS
Presents
ROYAL GREENWICH JAZZ
PART OF LONDON JAZZ FESTIVAL
Thursday 14th November 2013
Legendary Jim Mullen Trio
Plus Freddy Macha and Friends
Performing songs from his new album
Doors Open 7pm
Gig 7.30 - 10.30pm
CHARLTON HOUSE
CHARLTON ROAD
LONDON SE7 8RE
Ticket price £7- available @ www.wegottickets.com
Info - 0208 858 9497

Tuesday, October 29, 2013

Rais Kikwete Aelekea London Kwenye Mkutano wa Open Government

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ameondoka nchini jioni ya jana, Jumatatu, Oktoba 28, 2013, kwenda London, Uingereza, kwa ziara ya kikazi ya siku nne ambako atahudhuria Mkutano wa Kimataifa wa Serikali Uwazi (Open Government) uliotishwa na Serikali ya Waziri Mkuu wa Uingereza, Mheshimiwa David Cameroun.


Mkutano huo wa siku mbili utafanyika keshokutwa Jumatano na Alhamisi kwenye Ukumbi wa Queen Elizabeth 2 mjini London.


Miongoni mwa mambo makuu ambayo mkutano huo utazungumzia ni Serikali Uwazi na Ajenda ya Maendeleo Baada ya Mwaka 2015 wakati muongo wa utekelezaji wa Malengo ya Maendeleo ya Milenia (Millenium Development Goals) unafikia mwisho.


Masuala mengine ambayo yatazungumzwa katika mkutano ambao Rais Kikwete anaambatana na Mawaziri wake watatu ni pamoja na uwazi katika manunuzi ya umma, uwazi katika mikataba, haki ya kupata habari, uwazi katika ukaguzi wa fedha za umma, uwazi wa Serikali na vyombo vya habari, uwazi katika mikataba ya maliasili, uwazi katika maendeleo ya nchi zinazoendelea.


Mawaziri wanaoambatana na Rais Kikwete katika ziara hiyo ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mheshimiwa Bernard Membe, Waziri wa Sheria na Katiba Mheshimiwa Mathias Chikawe na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Utawala Bora Serikali ya Mapinduzi, Zanzibar Mheshimiwa Mwinyihaji Makame.


Rais Kikwete anatarajia kurejea nyumbani Jumamosi, Novemba 2, 2013.

Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,

Ikulu.
Dar es Salaam.
29 Oktoba, 2013


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na wafanyakazi wa Swissport katika uwanja wa ndege wa kimataifa ya Julius Nyerere wakati akielekea kwenye ndege jioni ya jana, Jumatatu, Oktoba 28, 2013, kwenda London, Uingereza, kwa ziara ya kikazi ya siku nne ambako atahudhuria Mkutano wa Kimataifa wa Serikali Uwazi (Open Government) uliotishwa na Serikali ya Waziri Mkuu wa Uingereza, Mheshimiwa David Cameroun. Kulia kwake ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe Bernard Membe na Meneja wa Shirika la ndege la Emirates uwanjani hapo Bw. Aboubakar Jumaa. (PICHA NA IKULU)

Thursday, October 24, 2013

Hakuna Vizuizi Katika Maendeleo ya Kilimo Tanzania



MAENDELEO YA KILIMO TANZANIA-WAWEKEZAJI WAKUMBUSHWA- HAKUNA VIZUIZI  ...

Imeandaliwa kwa ushirikiano wa Urban Pulse na Freddy Macha

Wawekezaji wamehimizwa kutosikiliza propaganda za uongo kuhusu uporaji ardhi Tanzania na kuendeleza miradi  ya kilimo nchini.
Akiongea katika  mkutano wa wafanyabiashara na viongozi wa taasisi, mashirika na makampuni  mbalimbali ya ukulima na mazao Uingereza na Tanzania, Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika,  Mhandisi Christopher Chiza alisisitiza serikali iko tayari kumsaidia yeyote anayetaka kuchangia idara hii muhimu ya uchumi.

Waziri wa Kilimo Mh. Christopher Chiza

Waziri Chiza  aliyewasili London Jumatatu,  kwa ziara ya kiserikali ya siku tano akiongoza msafara wa wanataaluma  wa kilimo, alikuwa akijibu swali lililoulizwa mara kadhaa kuhusu ugawaji ardhi Tanzania.
Alifafanua: “ Lipo gazeti moja lilisema serikali imechukua hekta milioni tatu. Si kweli. Ardhi  iliyoshakaguliwa katika miaka miwili iliyopita si zaidi ya hekta 4,000. Habari hizi zimesababisha Tanzania kuondolewa katika kundi la nchi za kuwekeza kilimo.  Hata wafanyakazi wa mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs) yanatangaza uongo huu ambao ni marudio tu ya mambo yasiyo kweli yaliyoshazushwa zamani. Tafadhali njooni muongee na sisi wizarani na serikalini  au taasisi zinazoaminika kama SAGCOT. Tutawaambia ukweli na kufanya nanyi kazi.”
Mkutano husika ulifanyika ukumbi wa Reform Club mtaa wa Pall Mall, London, na kuhusisha  wafanyabiashara wenye shughuli za kilimo Tanzania, makampuni makubwa yanayojishughulisha  bara Asia, Afrika na Uingereza, mathalan duka maarufu la Sainsburys.
Kati ya wazungumzaji wakuu alikuwa Balozi  wetu, Uingereza, Mhe Peter Kallaghe aliyesisitiza sera ya Tanzania kuendeleza mahusiano ya kibiashara badala ya kutegemea sana misaada ya kigeni; Rachel Turner  mkurugenzi wa tawi la Mashariki na Afrika ya kati, idara ya serikali ya Uingereza ya Maendeleo ya Kimataifa (DFID);   Afisa Mtendaji Mkuu wa kituo cha mpango maalum wa uendelezaji kilimo ukanda wa Kusini Tanzania ( SAGCOT), Geoffrey Kirenga na Profesa Peter Mahamudu Msolla,  Mwenyekiti wa Kamati ya Wabunge  ya Kilimo, Mifugo na Maji.
Katika hotuba yake Waziri Chiza alifafanua malengo matatu muhimu kuhusu ziara hii, yaani kuendeleza fursa ya kibiashara na uwezekaji, kujifunza teknolojia zinazohitajika na kuwaeleza wakulima na wafanyabiashara mambo takikana.
Msisitizo wa uwekezaji kupitia sekta binafsi ulitolewa mfano mzuri na Bwana Carter Coleman, Afisa Mtendaji wa  Agrica linaloongoza mradi wa kuendeleza hifadhi, misitu na kilimo bora Afrika Mashariki.
Coleman ambaye amekuwa na mahusiano ya karibu na Tanzania toka 1987 alieleza baadhi ya shida zinazokabili kilimo kwa kusisitiza kuwa “ kilimo Afrika ni aghali kuliko sehemu nyingine zote duniani.”
Alitaja baadhi ya matatizo makuu kuwa kupatikana kwa umeme, ghala na hifadhi za mazao, matengenezo ya vifaa kama trekta, maradhi ya mimea na kujua mbegu zipi zitumike wapi na vipi.
“Kutokana na hayo kitengo cha uwekezaji na biashara ya binafsi ni muhimu sana kuendeleza kilimo Afrika,” alikumbusha. 
Mheshimiwa Waziri Chiza anatazamiwa kukutana na Watanzania leo Jumatano katika ukumbi wa Ubalozi wa Tanzania London, uliomtayarishaji mkuu wa safari hii nzima.

Balozi Mh. Kallaghe Akihutubia Mkutano





Tuesday, March 12, 2013

Poleni Kwa Baridi Huko London!


Kaka Freddy Macha huko London, Uingereza ameleta taarifa hii.
BARIDI KALI LEO LONDON

by Kitoto

Wamesema mara ya mwisho baridi kali namna hii kutokea visiwa vya Uingereza ilikuwa miaka 30 iliyopita.

Leo kila mtu nliyekutana naye jijini: mzee, mtoto, mwanaume, mwanamke, alilalama na kulaani baridi.



Hata "maglovu" nliyovaa mkononi hayasaidii. Ngumi haikunjiki sawasawa. Miti kule nyuma imepukutika matawi- zimebaki tu kuni kavu. Ndevu zangu zimenyaushwa. Upepo wa kutoboa kisindano sindano ulikuwa ukisaidia baridi kuwa kali zaidi.

Aliyewazidi wote kwa malalamishi alikua ajuza mmoja mzawa wa visiwa vya Karibian. Alihamia hapa miaka 55 iliyopita.

"Nlikuja kusoma na kutafuta ajira. Sipendi na siizoei baridi hata kidogo."

Nkamuuliza kama haipendi baridi kwanini harudi tu kwao kwenye ujoto joto?

Basi linapitisha abiria waliojikunyata ndani.

Ajuza akajibu keshapazoea; lakini asichokiweza baridi.

Rudi basi kwenu.

Ajuza akacheka.

"Baridi kama hii ya leo sijapata kuona." Nilikisia umri wake ushapita miaka 70 na kitu.

Tulikua katika foleni posta. Foleni ndefu kidogo.Foleni za Ulaya, hizo; kila mtu kimya; nje baridi kali.

"Nkishaondoka hapa nakwenda kulala," akatangaza.

Kweli nje palikua kiama.

Kawaida hii sehemu ya kuchezea watoto katika mtaa ninaoishi -huwa imejazana vijana wakicheza kila aina ya utoto, lakini leo palikuwa patupu kama jangwa la Sahara.

Kawaida barafu inapodondoka baridi hupungua, watoto wanacheza; lakini ya leo ilikua na matone machache tu ya barafu. Imeongozana na upepo mkali - wanasema toka Siberia.

Wednesday, December 05, 2012

Warsha Kwa Vyombo Vya Habari London 6/12/12

WARSHA FUPI YA VYOMBO VYA HABARI KESHO ALHAMISI LONDON


Na Michael Zetulla

Jumuiya ya Urafiki kati ya UIngereza na Tanzania (Britain –Tanzania Society) itaendesha warsha juu ya vyombo vya habari Tanzania, kesho Alhamisi.

Semina hiyo itafanyika chumba namba 4421 katika chuo kikuu cha lugha SOAS (School of Oriental and African Studies) kilichoko Russell Square, katikati ya London, saa kumi na moja hadi saa moja jioni.

Mtu yeyote anaweza kuhudhuria na hakuna malipo yeyote yanayotakiwa.

Mzungumzaji mkuu atakuwa Ben Taylor wa Daraja ambalo linasimamia magazeti kadhaa mjini Njombe na Iringa ikiwemo Kwanza Jamii. Mwenyekiti wa warsha atakuwa Freddy Macha mwandishi na mwanasafu mkazi London.

Kufuatana maelezo yaliyotolea na jumuiya ya BTS, mada ya warsha itakuwa : “Habari na demokrasia Tanzania”. Shughuli hii ni sehemu ya warsha mbalimbali zilizofanywa na jumuiya ya BTS toka mwezi Oktoba kuzungumzia na kuangalia mada mbalimbali za Tanzania. Mwezi jana Waziri wa Uchukuzi , Dk Harrison Mwakyembe alialikwa kuzungumzia suala la katiba na usafiri katika ukumbi wa Central Hall, mjini London.

Habari zaidi tembelea:

http://www.btsociety.org/events-and-announcements

Au piga simu

+44-20-7727-1755
+44-7721-869-215

Tuesday, October 16, 2012

Waziri Mkuu Pinda Kuunguruma London!


Waziri Mkuu, Mh. Peter Mizengo Pinda

WAZIRI MKUU PINDA KUUNGURUMA LONDON.


*Ni siku chache baada ya uadilifu wake kumuokoa kupigiwa kura ya Imani Bungeni.

*Kuainisha mafanikio ya serikali kuhusu Uraia Pacha na Ardhi kwa wanadiaspora.

Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe. Peter Kayanda Mizengo Pinda (Mtoto wa Mkulima) leo Alasiri ya Jumanne tarehe 16 Oktoba, 2012 anatarajiwa kuunguruma Jijini London katika mkutano wake na Watanzania waishio hapa Uingereza.

Mheshimiwa Pinda ambaye yuko katika ziara fupi ya kibinafsi hapa London amerudia utaratibu wa kupenda kusemezana na Watanzania hata anapokuwa kwenye itifaki ya ziara fupi na ya binafsi, tabia ambayo imekuwa ikisifiwa na watanzania waishio nje ya nchi.

Aidha mkutano huu ni wa kwanza kwa Mheshimiwa Pinda hapa London tangu jaribio liloongozwa na wabunge wa Upinzani na wachache wa CCM kutaka kumng’oa madarakani liliposhindwa vibaya kwa kupata saini 70 tu kati ya 357 kupinga Ufisadi uliokithiri miongoni mwa watumishi vigogo ndani ya Serikali. Mkutano huu wa Waziri Mkuu unakuja katika kipindi ambacho Chama Kikuu cha Upinzani Tanzania (CHADEMA) kimebadili ghafla mtazamo wake kwa watanzania nje ya nchi na kuanza kufungua utitiri wa matawi, kumwaga Ruzuku na kufanya ziara ya mara kwa mara kwenye matawi yao ili kuwapika makada wake kwa ajili ya uchaguzi wa 2015. Waziri kivuli wa Mambo ya Nje (CDM) Mhe. Dibogo Wenje ndiyo kwanza amemaliza ziara yake hapa London akiwa ameacha ahadi lukuki kwa wafuasi wao akiwataka wajiandae kushika majimbo ya Ubunge na nyadhifa mbalimbali serikalini kunako baada ya Uchaguzi Mkuu wa 2015. Awali, tofauti na CCM, CHADEMA walipinga sana uhusishwaji wa watanzania nje ya nchi katika miradi ya kisiasa na maendeleo ya kitaifa.

Katika hoja za msingi, Waziri Mkuu Pinda anategemewa kuainisha bayana msimamo wa serikali na hatua madhubuti ambazo imezichukua kutafsiri kwa vitendo Sera na Ahadi ya Chama cha Mapinduzi ya kujumuisha suala la Uraia Pacha katika marekebisho mapya ya katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hasa ikizingatiwa kuwa uwakilishi wake wa awali ulipokelewa kwa hofu miongoni mwa wabunge, baadhi ya wananchi, wanahabari na wafinyanzi wa Sera katika chelezo mbalimbali za kijamii.

Mashauri mengine yanayotarajiwa katika mkutano huu ni pamoja na maombi ya awali ya CCM UK ya kutaka Serikali iandae utaratibu maalum wa kuwasaidia watanzania waishiao nje ya nchi kupata na kuwekeza katika hazina ya ardhi nchini Tanzania kuliko ugumu uliopo sasa hivi. Aidha Serikali kuhamasisha sekta binafsi za kifedha na mitaji ya jamii kuwafikia watanzania ughaibuni ili kuhamisha teknolojia, ubunifu na uwezo wa kuwekeza katika maeneo kama Kilimo Kwanza na Ujasiria mali wa mizania ya kati.

Pamoja na mahudhurio kutarajiwa kuwa makubwa lakini watanzania wengi wanasemezana kuwa na imani na CCM lakini wanahisi Serikali na mamlaka zake bado hazija chukua hatua madhubuti kupunguza ufisadi katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo ya kitaifa.

Na Clement Mbawala

Tanzania Now: Freelance Observers Slough. St.Marys Road. SL3

Saturday, August 25, 2012

Mpira London


MASHABIKI ARSENAL WAMTEMEA MOTO ROBIN VAN PERSIE

Urban Pulse na Freddy Macha waweletea habari moto moto siku moja baada ya kutangazwa kuhama kwa mshambuliaji na nahodha wa Arsenal, Robin Van Persie kwenda Manchester United  adui  wake mkubwa. Mahojiano yalifanywa kando kando ya uwanja maarufu wa Emirates ambapo washabiki walikuwa wakielekea kufurahia mechi ya kwanza ya ligi (2012-2013) baina ya Arsenal na Sunderland.