Friday, December 05, 2008

Miss Uganda

(Pichani ni Miss Uganda 2008)

Wadau, hivi kwenye mashindano ya Miss Tanzania kuna kigezo cha Urefu? Katika Miss Uganda kuna kigezo kuwa mshiriki ni lazima awe na urefu wa futi 5'7" na zaidi.

http://missugandapageant.com/

No comments: