Saturday, March 11, 2017

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi Maliasili na Utallii Yatembela Eneo lenye Mgogoro la Por Tengefu la Loliondo

Msafara wa Magari ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi,Malisili na Utaalii,yakpita katika maeneo mbalimbali ya Pori Tengefu la Loliono kwa ajili ya kujionea hai halisi ya mgogoro ulioo katika eneo hilo.
Mwenyekii wa Kamati ya Kudumu ya Ardhi ,Maliasii na Utalii,Atashasta Ndetiye (katikati) akiongozana na wajumbe wengine wa kamati hiyo kutizama vyanzo vya maji vilivyoko katika Pori Tengefu la Loliondo.
Waziri wa Malisili na Utalii ambaye pia ni mjumbe wa kamati hiyo,Prof Jumanne Maghembe akiongozana na wataalamu katika ziara ya kamati hiyo.
Mtafiti Mkuu wa Idara ya Ikolojia (TAWIRI) Dkt Edward Khoi akitoa maelezo ya kitaalamu kwa wajumbe wa kamati ya kudumu ya Ardhi,Malisili na Utalii wakati wakitembela Pori tengefu la Loliondo.
Baadhi ya wajumbe wa kamato hiyo wakifuatilia maelezo kutoka kwa wataalamu wa Ikolojia na Uhifadhi.
Mkuu wa Hifadhi ya Taifa ya Serengeti,William Mwakilema akiwaeleza wajumbe w kamati hiyo madhara yatakayojitokea endapo eneo la Pori Tengefu la Loliondo halita hifadhiwa.
Wajumbe wa Kamati ya Maliasili na Utalii,wakitizama eneo linalotajwa kutengenezwa na wafugaji kwa ajili ya kunyweshea maji mifugo yao ndani ya Pori Tengefu la Loliondo.
Eneo linalouiwa na wafugaji unyweshea mifgo yao.
Sehemu ya Mabirik yanayotajwa kutengenezwa na jamii ya wafugaji kwa ajili ya kunywesha mifgo yao.
Mwenyekiti a Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi,Maliasili na Utalii,Atashsta Ndetiye (kulia) pamoja na Waziri wa Malisili na Utalii,Prof ,Jumanne Maghembe wakitizama eneo ambalo i mapiio ya maji katik Pori Tengefu la Loliondo.
Moja ya Makundi ya Ng'ombe yaliyokutwa na Kamati hiyo katika Pori Tengefu la Loliondo.
Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi,Maliasili na Utalii wakizungumza na mmoja wa wafugaji waliokutwa wakichunga Ngombe ndani ya Pori Tengefu la Loliondo. 
Kamati ilikutana pia na Changamoto ya uboovu wa Miundombinu ya barabara hali iliyolazimu magari kupita kwa tahadhari .
Wajumbe wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Ardhi,Maliasili na Utalii wakitizama moja kati ya vyanzo vy maji vinavyotiririsha maji yake katika mto Gurumeti uliopo katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti.
Mbunge wa Jimbo la Sumve ambaye pia ni mjube wa kamati hiyo,Richard Ndasa akizungumza jambo mara baada ya kutizama moja ya vyanzo vya maji vilivyoko katika eneo la Pori Tengefu la Loliondo.
Sehemu ya Makundi ya Mifugo pamoja na Mashamba yaliyopo katika eneo la Pori Tengefu la Loliondo.


Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii,Kanda ya Kaskazinia

Liberian Civil War Atrocities

Murder Victims in Liberia Civil War

   MONROVIA, Liberia (AP) - The skeletal remains of 27 people were all that was left of a massacre, one of many in this West African nation's back-to-back civil wars more than a decade ago. When the United Nations handed over the bones to the government last month, it was an invitation to investigate. Instead the remains were buried quickly, without ceremony, in a site intended for victims of the Ebola virus.

   The incident left many Liberians feeling as though the government wanted to bury the past, too.

   As the U.N.'s peacekeeping mission prepares to leave Liberia with the country's return to stability, questions remain about who must take responsibility for the atrocities over 14 years that left some 250,000 dead.

   Unlike neighboring Sierra Leone, which also suffered from the fighting that spilled over the border, Liberia has yet to deal with perpetrators of the killings, many carried out by drugged and under-age fighters, overseen by people who may now be in power.

   "If there is a need for exhumation for further investigation, that will happen," Information Minister Eugene Nagbe told The Associated Press, insisting the remains of the 27 people were not buried in the same spot where victims of the Ebola outbreak were buried.

   The government of President Ellen Johnson Sirleaf, a Nobel Peace Prize winner, has said it is taking measures to reconcile with the past, but human rights advocates say the president doesn't have the political will to allow the pursuit of past crimes. Before she took power, Sirleaf said that if she was elected she would go for reconciliation instead of prosecution.

   Some in Liberia see this year's election as a chance to bring in a government that might take a more assertive approach.

   The bones handed over by the U.N. mission are thought to be those of victims of the River Gee massacre in 2003, which left more than 360 dead, the New Democrat newspaper reported, citing a 2008 report of the truth and reconciliation commission set up after the civil wars. The U.N mission had begun a forensic investigation into the killings but chose to turn over the bones as its gradual withdrawal from Liberia continues. The mission ends in March 2018.

   The truth and reconciliation commission had blamed on forces loyal to former Liberian rebel leader-turned-President Charles Taylor. Taylor is currently serving a 50-year sentence in Britain after being found guilty of war crimes by a U.N.-backed special court for his role in the bloody civil war in Sierra Leone when he was Liberia's leader.

   Liberia has never had such a special court, though the truth and reconciliation commission had recommended criminal prosecution for dozens of ex-warlords and a 30-year political ban for people who supported the war.

   One of those supporters was Sirleaf, who reluctantly appeared before the commission in 2008 and admitted to providing $10,000 to Taylor when his National Patriotic Front rebel movement was fighting the regime of then-President Samuel Doe.

   But Sirleaf told the truth commission that the money to Taylor was for "humanitarian purposes." Her critics have debunked this, saying that in the 1990s Taylor and his rebels weren't pursuing any humanitarian venture. Meanwhile, Sirleaf held a string of overseas positions with the United Nations and the World Bank and returned to Liberia only in 2004 when Taylor was forced to step down. She was elected president the following year.

   The truth and reconciliation commission's recommendations for criminal prosecution and political bans have never been implemented, and many people named by the commission are now senior members of Liberia's government. The National Human Rights Commission, tasked with implementing the commission's suggestions, remains underfunded.

   Meanwhile, many massacres during the fighting from 1989 to 2003 remain uninvestigated, Liberians say. Some prefer to be done with the past, but others feel closure is vital.

   "It is hard and worthless to keep repeating the graphic of the scene and see the hate and vices that occasioned the war still exist unabated," said Isaac Redd, director of press at the House of Representatives who survived a 1994 massacre at Kpolokpai. "I have personally prayed for the lost souls and asked God to take control for the perpetrators. I have forgiven them."

   Redd, a local radio reporter at the time, recalled that "deaths by chopping off limbs and heads with machetes were ordered without discrimination." Victims were tied up on arrest, and there was no interrogation. "Heads were smashed against the rocks in the middle of the town."

   Those rocks still take center stage in the small coffee-growing town. Visitors stand by them, agape, as survivors explain the atrocities.

   Like the rest of the survivors, Redd does not know how many people were killed in the Kpolokpai massacre, but he said that when rebel fighters released him the next morning, "I was confused but remembered seeing around a hundred bodies on the rocks."

   Many have called for the establishment of a war crimes court like the one that existed in post-conflict Sierra Leone, even as some say no amount of accountability can ease the trauma left behind.

   Peterson Sonyah, who witnessed killings in another assault that has come to be known as the Lutheran Church Massacre, is among those calling for a war crimes tribunal "so that our ugly past cannot haunt us as a nation."

   Sonyah survived an attack by Doe's troops by hiding under a church bench. Around him, soldiers opened fire, the flashes brightening the hall as if it was daytime.

   "People started crying all over the place. Women were raped and made to give out whatever money they had to the soldiers before they were gunned down," he said.

   Sonyah said Liberia Massacre Survivors Association has identified 69 mass graves in five of the country's 15 counties in the hope that someone will take interest. None is under investigation by the government.

Ujumbe wa Polopole Kuellekea Mkutano Mkuu Maalum wa CCM Mjini Dodoma Machi 12, 2017


Saturday, February 25, 2017

Wachawi Wamloga Rais Trump wa Marekani!

Usiku wa kuamkia leo,  Wachawi duniani waliungana kumloga Rais Donald J, Trump wa Marekani.  Nia yao ilikuwa wamfanyie dawa asiweze kumwumiza mtu.  Tutaona kama walikuwa na mafaniko.

Asante Rais Trump, ubaguzi unashamiri Marekani.  Wahamiaji wanajificha kwa woga, wazungu wabaguzi wanatukana na kupiga weusi na wasio wazungu ovyo. Tumerudi kwenye enzi za Jim Crow.  Weusi wakienda kwenye migahawa kadhaa wanaambiwa kwa vile Trump ni Rais, si lazima wahudumie weusi! Khaa!  Ubaguzi na utawala aliyoleta Trumo inanafana ya yule mshenzi aliyetawala Ujerumani, Adolf Hitler.

Trump ameaapa kuwa mema aliyofanya Rais Obama atafuta.  Mungu atunusuru na Trump!

Kwa habari zaidi BOFYA HAPA:


Mbunge Ritta Kabati Kusaidia Ujenzi wa Ofisi Tatu za CCCM Manispaa ya Iringa

MBUNGE wa viti maalumu Mkoa wa Iringa Ritta Kabati kupitia chama cha mapinduzi (CCM) akimkabidhi mifuko ya saruji kwa ajiri ya ujenzi wa jengo la ofisi ya chama katika kata ya Ruaha kwa mwenyekiti wa chama cha mapinduzi(CCM) manispaa ya Iringa Abeid Kiponza
 MBUNGE wa viti maalumu Mkoa wa Iringa Ritta Kabati kupitia chama cha mapinduzi (CCM) akiwa katika eneo la uwanja wa kujenga ofisi ya kata ya Ruaha
 MBUNGE wa viti maalumu Mkoa wa Iringa Ritta Kabati kupitia chama cha mapinduzi (CCM) akibadilishana mawazo na katibu wa ccm manispaa ya Iringa Nuru Ngereja
 MBUNGE wa viti maalumu Mkoa wa Iringa Ritta Kabati kupitia chama cha mapinduzi (CCM) akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya wanachama wa hama hicho wa kata ya ruaha
 MBUNGE wa viti maalumu Mkoa wa Iringa Ritta Kabati kupitia chama cha mapinduzi (CCM) akiwa na
mwenyekiti wa chama cha mapinduzi(CCM) manispaa ya Iringa Abeid Kiponza pamoja na viongozi wengine wa chama hicho.
 MBUNGE wa viti maalumu Mkoa wa Iringa Ritta Kabati akipokelewa na wanachama wa mtaa wa kigamboni mkoani Iringa

Na Fredy Mgunda,Iringa.

MBUNGE wa viti maalumu Mkoa wa Iringa Ritta Kabati kupitia chama cha mapinduzi (CCM) ameanza kusaidia Ujenzi wa ofisi za Matawi ya CCM katika kata mbali mbali za Jimbo la Iringa mjini kama sehemu ya majukumu yake ya kukijenga chama hicho ambacho kilipoteza kiti cha ubunge na halmashauri kuchukuliwa na wapinzani.

Akizungumza wakati wa kukabidhi mifuko ya saruji kwa Ujenzi wa ofisi za Tawi Kigamboni na Ruaha ,Kabati alisema kuwa anafanya hivyo kama njia ya kutekeleza ilani na maadhimio ya miaka arobaini ya chama cha mapinduzi.
“Nakipenda chama changu ndio maana napigana sana kuhakikisha chama cha mapinduzi mkaoni mhapa iringa kinarudi mahala pake na kuhakikisha kinaaminika kwa wananchi na wanachama wa  manispaa ya Iringa”.alisema Kabati 

Hata hivyo Kabati alisema kuwa ataendelea kusaidia Ujenzi wa ofisi hizo ili kuona ndani ya kipindi kifupi cha miezi mitatu ama sita kila tawi linakuwa na ofisi yake ya tawi na aliwataka wanachama wa CCM kushikamana na kuendelea na Ujenzi wa ofisi hizo pamoja na kujihusisha na shughuli nyingine za kijamii

"Haiwezakani chama kikubwa kama hiki kukosa ofisi za matawi wakati tunamaeneo mengi ya kujenga ofisi nitakikisha tunashirikiana na wanachama na wananchi wengine kujenga hizo ofisi ili kumuunga mkono Rais wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania DR John Pombe Magufuli ambaye anapambana kuhakikisha cha mapinduzi kinakuwa chama cha wananchi wa chini na sio matajiri pekee yao".alisema Kabati

Kwa upande wake mwenyekiti wa chama cha mapinduzi(CCM) manispaa ya Iringa Abeid Kiponza aliwataka wanachama kuwa kusahau yaliyopita na kuanza kujenga chama upya.
“Tulipoteza halmashauri ya Iringa na jimbo hivyo inabidi tukae chini na tujipange upya kukijenga chama maana tunajua kwa kujenga ofisi za matawi zitatusaidia kurudisha hadhi na hali ya chama hapa manispaa kwa kutoa huduma bora kwa wananchi wote bila kuchagua chama”.alisema Kiponza 

Kiponza alimshukuru mbunge wa viti maalumu Ritta kabati kwa mchango anaoutoa kwa kuleta maendeleo katika manispaa ya Iringa hasa ukiangalia ujenzi wa majengo mbalimbali ya shule,taasisi za kidini,taasisi za kijamii hapa kujenga majengo ya chama.

Lakini Kiponza alimtaka mbunge Kabati kuwasaidia wananchi wanaodhurumiwa na kunyang’anywa mali zao katika manispaa ya Iringa.

“Hapa kigamboni kunawananchi wanapigwa na viongozi wa mtaa kwa kuwa wapo CCM tu na wamenyang’anywa kituo cha kuchotea maji ambacho kilikuwa mradi wa chama cha mapinduzi hivyo lazima upambane kuhakikisha wananchi wanaishi kwa amani na mali za chama zinarudi kwenye chama”.alisema Kiponza

 Naye Katibu wa CCM manispaa ya Iringa Nuru Ngeleja alisema kuwa wamejipanga kuhakikisha ofisi zote za chama zinajengwa na zinakuwa katika ubora unaotakiwa kutokana na ukubwa wa chama cha mapinduzi(CCM) na kuahidi kuwa wataendelea kumuunga mkoano Rais wa jamhuri ya muungano ya Tanzania Dr John Pombe Magufuri.

“Sisi tunafanyakazi ya kumsaidia mwenyekiti wetu wa chama ambaye ni Rais wetu kwa kufanya kazi na kuisimamia serikali kufanya kazi kwa uhakika na kuwafaikia na kuwatumikia wananchi waliowaweka madarakani mpaka sasa”. Alisema Ngereja

Saturday, February 18, 2017

Kinana Akutana na Waziri Mkuu Majaliwa Leo

KINANA AFANYA MAZUNGUMZO NA WAZIRI MKUU MAJALIWA,LEO LUMUMBA JIJINI DAR ES SALAAM
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimpokea Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa, alipowasili katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, leo, Februari 18, 2017, kwa ajili ya mazungumzo baina yao
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akiwa na Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa, alipowasili katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, leo, Februari 18, 2017, kwa ajili ya mazungumzo baina yao
Wakienda eneo la kufanyia mazungumzo
Wakiwasili eneo la mazungumzo Ofisini kwa Katibu Mkuu wa CCM.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (kulia) akizungumza na Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, leo Feb 18, 2017. (Picha zote na Bashir Nkoromo)

Tuesday, February 07, 2017

Usiharibu Harusi Yako na Make -Up ya Ajabu!


Wasanii Wanaohusishwa na Madawa ya Kulevya Kisutu Court Leo!Ki


Rais Mstaafu George H.W. Bush ni Mzima!

Wadau, siku Rais Donald Trump anaapishwa tulidhani kuwa Rais Mstaafu George H. W. Bush, yuko mahututi atakufa dakika yoyote. Mke wa Barbara naye alikuwa hoi hospitalini. Ajabu juzi tuliwaona kwenye mchezo wa Super Bowl, wakitabasamu,kupungia watu na hata kufanya coin toss, kujua nani atarusha mpira kwanza. Wataishi maisha mrefu hao. Sasa watu wanafanya matani !😂😂😂
j

Monday, January 23, 2017

Mwanamke wa KiTanzania Apigwa Kwenye Treni na Mzungu Boston

Wadau, tumekuwa tukisema kuwa Rais Trump amefufua na kuhalilisha Ubaguzi Marekani
Kuna matukio mengi dhidi ya weusi na waspanish ambazo zimetokea.

Leo asubuhi, jumatatu 23/1/17, MTanzania, Stella Rupia, kasukumwa nje ya Treni na dume baguzi wa kizungu. Baada ya kusukumwa nje, alimwambia Stella," ita polisi basi!! " Mzungu baguzi kaendelea na safari yake.
Na kweli Stella kaita polisi na sasa Yule mzungu anatafutwa!! Ilitokea kwenye kituo cha MBTA Red Line, Cambridge, Massachusetts.
**********"*"*"**

The incident below happened to Stella Rupia today. God help  us.     This morning I got reintroduced to Trump's America.
I normally get off the Redline Central Sq station at around 6:30am then I catch the number one bus to go to work. So this morning around 6:35 as I was getting off the bus, this tall white guy leaned over and pushed me out of the train, when I turned to look at him before I could even open my mouth to say anything he yelled "Go on and call the police!" Just then the doors closed, the train moved. The few people who got off the train with me did not turn around as they were heading to the stairs, the people I don't think the people inside the train saw what he did, but it was sooo bizarre and shocking. Well, I made it to my bus and as I sat down in the bus that's when it dawned on me that He must be one of Trump's followers who has no balls to pick on someone his size SMH 😣

Saturday, January 14, 2017

WBZ News Radio Weekend Morning Crew

Kazini Leo!

Serikali Kuendeleza Mapambano ya Madawa ya Kulevya Nchini

 Waziri  wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba (katikati), akihutubia katika Maadhimisho ya Siku ya Familia ya Polisi Mkoa wa Kipolisi wa Kinondoni Dar es Salaam leo. Kutoka kushoto ni Katibu Tawala wa Wilaya ya Kinondoni, Gift Msuya,Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Simon Sirro, Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Ali Hapi, Kamanda wa Polisi Kinondoni, Suzan Kaganda na Meya wa Manispaa hiyo, Benjamini Sitta.
 Waziri  wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba, akimkabidhi zawadi Mkaguzi wa Polisi, David Mabula.
 Ofisa wa Polisi Hamad akikabidhiwa zawadi na Waziri Nchemba.
 Askari wa Kikosi cha Usalama Barabarani Sajeni, Moses Alphance Sinyagwa akipongezwa baada ya kukabidhiwa zawadi ya pikipiki kutokana na ufanyakazi bora.
 Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Ali Hapi akitoa neno la shukurani katika maadhimisho hayo.
 Maofisa wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Kinondoni wakiwa katika shindano ya kumkamata kuku kwenye maadhimisho hayo.
 Maofisa wa jeshi la polisi wakiwa kwenye maadhimisho hayo.
 Waziri Nchemba akiwa katika picha ya pamoja na viongozi mbalimbali.
 Waziri Nchemba akiwa katika picha ya pamoja na maofisa wa polisi waliotunukiwa vyeti.
 Hapa Waziri Nchemba akiwa katika picha ya pamoja na wadau 
kutoka akampuni yaliyodhamini maadhimisho hayo.
 Bendi ya Jeshi la Polisi ikitoa burudani.
Askari polisi, jamaa zao na waandishi wa habari  wakiwa kwenye hafla hiyo.

Na Dotto Mwaibale

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kupambana wa waingizaji na wauzaji wa dawa za kulevya nchini.

Mwigulu alitoa kauli hiyo wakati akihutubia katika Maadhimisho ya Siku ya Familia ya Polisi Mkoa wa Kinondoni jijini Dar es Salaam leo ambapo alikuwa mgeni rasmi.

"Serikali imejipanga  kupambana na dawa za kulevya ambazo zimekuwa janga la kitaifa ambapo vijana wengi wanakuwa waanga wakubwa'' alisema Mwigulu.

Mwigulu alisema serikali ya awamu ya tano haitamfumbia macho mtu yeyote atakaye kwamisha jitihada za kupambana na uhalifu nchini ambao wamepanga kuupunguza kwa asilimia 10 ifikapo mwaka 2019.

Aliongeza kuwa kanuni na sheria zilizowekwa na mkoloni ambazo zinazotumika ndani ya jeshi la polisi zimekuwa na changamoto kubwa kwa askari polisi. 

Akitolea mifano kadhaa alisema askari polisi aliyekosa nyumba ya kuishi ya jeshi hilo anapaswa kupewa fedha za kulipia pango nje ya kambi ya polisi na suala hilo si la kumuonea huruma askari husika bali ni haki yake.

Alisema kwa upande wa askari polisi aliyeumia au kupoteza kiungo wakati wa mapambano dhidi yake na wahalifu askari huyo anapaswa kulipa fidia yake kwa wakati badala ya kuunda tume ya kuchunguza jinsi alivyoumia akiwa katika mapambvano hayo.

"Mambo mengine hayahitaji mpaka uwe na elimu kubwa askari amepambana na majambazi mbele ya watu lakini majambazi hayo yamemjeruhi fidia yake anashindwa kulipwa eti mpaka iundwe tume haya si mambo ya ajabu" alihoji Mwigulu.

Alisema kwa muda mrefu askari anapopangiwa kituo cha kazi amekuwa akijigharamia kwa nauli na fedha za kujikimu kwa zaidi ya miezi mitatu na zaidi bila ya sababu za msingi.

Alisema hali hiyo kama askari husika anakuwa si mzalendo anaweza kujiingiza katika tamaa na kutumia silaha aliyonayokufanya uhalifu hivyo akaomba wahusika kuliangalia jambo hilo kwa karibu kwani mshahara na posho kwa askari hao ni haki yao.

Mwigulu alisema serikali kupitia Rais Dk. John Magufuli imejipanga kuweka mazingira mazuri kwa askari polisi ikiwa ni pamoja na kujengewa nyumba na kuona namna ya kubadilisha sheria ambazo zinaonekana hazina tija kwa wakati huu katika kuliongoza jeshi hilo.

Saturday, January 07, 2017

Mchungaji Kulola wa EAGT Lumala Jijini Mwanza

Usikose kufuatilia maombezi na ibada ya neno la Mungu kutoka kwa Mchungaji Dkt.Daniel Moses Kulola wa Kanisa la EAGT Lumala Mpya lililopo Sabasaba Jijini Mwanza, mubashara (live) kupitia ukurasa wake wa facebook.

Ni kila siku ya alhamisi kuanzia saa nane kamili mchana kupitia ukurasa wake wa facebook wa DANIEL KULOLA ambapo mahubiri na maombezi yatarushwa moja kwa moja (mubashara) kwa njia ya video.

Bodi ya Filamu Nchini Yawaomba WaTanzania Kuzipigania Kura Filamu za Kitanzania Kwenye Tuzo za AMV

BMGHabari
Bodi ya Filamu nchini imewahamasisha watanzania kuongera ari ya kuzipigia kura filamu za kitanzania zinazowania tuzo za Africa Magic Viewers Awards (AMVA 2017) za nchini Nigeria.

Katibu Mtendaji wa bodi hiyo, Bi Joyce Fissoo (pichani juu) ametoa hamasa hiyo hii leo, wakati akihojiwa kwenye kipindi cha Power Break Fast On Saturday kinachoendeshwa na watangazaji Philip Mwihava na Godfrey Kusolwa.

“Filamu hizo ni Naomba Niseme, Aisha na Home Coming ambazo zinawania tuzo za filamu bora na Siri ya Mtungi ambayo inagombea filamu bora ya lugha ya Kiswahili. Niwaase Wanzania, ushindi wa filamu hizi ni sisi kuwapigia kura hawa vijana wetu ambao wameshika bendera yetu kwenda kutuwakilisha kule Nigeria, niwasihi waweze kuzipigia kura na wahakikishe wanahamasisha marafiki zao pia kuzipigia kura ili nafasi zote tuzo zije Tanzania”. Amesisitiza Fissoo.
Naye Mtayarishaji wa filamu nchini, Staphord Kihole (pichani) ambaye pia alikuwa kwenye kipindi hicho, ametumia fursa hiyo kuwaomba watanzania kuzipigia kura filamu za kitanzania ili zishinde tuzo za Africa Magic Viewers Choice Awards ikiwemo filamu yake ya "Naomba Niseme" inayowania vipengele viwili, kikiwemo kipendele cha Best East Africa na Best All Africa kinachoamuliwa na majaji.

Ili kuzipigia kura filamu za Tanzania ambazo ni Naomba Niseme, Aisha na Home Coming, unapakua Application ya We Chat, unajisajiri kwenye Africa Magic kwa kutumia nambari ya simu na kisha unatafuta kipengele cha AMVCA na utaweza kupiga kura kadri upendavyo ambapo mtu mmoja anaweza kupiga kura hadi 100 kwenye filamu tofauti tofauti.
Bonyeza Hapa  Au play hapo chini kusikiliza sauti  Credit: Clouds Fm

Thursday, January 05, 2017

Aloanisha Kitanda katika Mapenzi

Kumbe staili zingine za ngono ni balaa!!!!