Tuesday, January 08, 2008

Inaelekea Obama kashindwa New Hampshire

Inaelekea Senator Hillary Clinton, ni mshindi kwa upande wa Democrats huko New Hampshire kwenye upande wa Democrats. Senator Obama amekuwa wa pili.

Hillary ana 39% na Obama 36% za kura. Kwa upande wa Republicans Senator John McCain ameshinda.

Bado uchaguzi katika jimbo 48 zingine za Marekani.

1 comment:

Anonymous said...

Inaelekea??????