nimegundua (kwa maoni yangu)kama mtu hajui historia ya mtu mweusi kule marekani (kuhusu ubaguzi na mateso ya utumwa), hawezi kuelewa ni kwanini watu weusi wanafurahia sana kina Obama kuwa ikulu!
kuwaita watoto wa obama wanawake ni sahihi. mwanamke sio lazima awe mtu mzima ni jinsia hata kama kazaliwa leo kama ana jinsia ya kike ni mwanamke. hicho ndio kiswahili safi. ile kuwaita wasichana ni lugha za mitaani sio lugha safi.
I worked for Tanzania's Daily News for 11 years leaving as a Senior Reporter. I love acting, films, short story writing and cooking. I blog in English and Swahili. I am a member of the Screen Actors Guild (SAG) and AFTRA.
You can contact me at chemiche3@yahoo.com.
7 comments:
Dada CHEMI ,
How do you define Mwanamke ? How can you categorize those kids as wanawake....
chemi acha kuwasifu sana hao kina obama family kuna siku nao wataondoka hapo nyumba nyeupe kama wenzao na kuingia wengine. is a matter of time!!!
Hao ni watoto wa kike hivyo ni sawa kuwaweka katika group ya wanawake.
nimegundua (kwa maoni yangu)kama mtu hajui historia ya mtu mweusi kule marekani (kuhusu ubaguzi na mateso ya utumwa), hawezi kuelewa ni kwanini watu weusi wanafurahia sana kina Obama kuwa ikulu!
kuwaita watoto wa obama wanawake ni sahihi. mwanamke sio lazima awe mtu mzima ni jinsia hata kama kazaliwa leo kama ana jinsia ya kike ni mwanamke. hicho ndio kiswahili safi. ile kuwaita wasichana ni lugha za mitaani sio lugha safi.
Hiyo familia inajua kucheka sana
Chemi Kitu nilichogundua, mara nyingi maandishi yako unakurupuka sana kuandika. sijui umeanza kusahau kiswahili??
Post a Comment