Sunday, November 09, 2008

Wapenzi wa Obama Uturuki


Asante nifahamishe.com kwa kuleta habari hizi.

*********************************************************************

Kijiji Uturuki chachinja kondoo 44 kumtolea kafara Obama

Baada ya Barack Obama kuchaguliwa kuwa rais wa 44 wa Marekani
wanakijiji wa Cavustepe katika Mkoa wa Van nchini Uturuki wameamua
kumtolea kafara mheshimiwa Obama kwa kumchinjia kondoo 44.

kwa habari kamili na picha zaidi link ni

http://www.nifahamishe.com/newsindetails.aspx?Cat=2&&NewsId=288238

Visit http://www.nifahamishe.com/ for Tanzania and world news

No comments: