Tuesday, November 04, 2008

WaTanzania Wamshabikia Obama - CNN

Hongereni kaka Maggid Mjengwa na Alex Mayunga kwa kuonesha ujasiriamali kwa vitendo katika kinyang'anyiro cha uchaguzi wa raisi Marekani. Mmeweza kutumia nafasi na wasaa ipasavyo!

Waweza kutizama CNN Video hapa: http://nukta77.com/matangazo.aspx

Subi

No comments: