Sunday, September 23, 2007

Msikilize Kaka Ndesanjo Macha




DIGITAL CITIZENS


The second Digital Citizen Indaba took place on September 9, 2007 at Rhodes University in Grahamstown, South Africa. Discussions during the Indaba centered on issues of blogging, cyber-activism, language and identity. The first Indaba, which took place last year, provoked a heated debate about the racial composition of participants.

Ndesanjo Macha, a blogger and writer from Tanzania gave a Keynote adress on ' The Emergence of the Digital Citizen'.

************************************************************************

Kaka Ndesanjo Macha ndiye alinipa motisha ya kuanza ku-blogu.

Hivi karibuni alikuwa Keynote Speaker kwenye mkutano kuzungumzia habari ya internet na mablogu katika dunia ya leo. Mkutano ulifanyika Afrika Kusini.

Kaka Ndesanjo ana blogu yake JIKOMBOE. Unaweza kusoma habari zaidi za huo mkutano kwenye blogu yake. http://jikomboe.com/

1 comment:

Simon Kitururu said...

Kaka Ndesanjo ,nnimekusikia ukishuka mayai!Hivi unakumbuka maswala ya raba mtoni:-)