Saturday, September 08, 2007

Hafla ya Kumpongeza Dada Asha Rose Migiro New York






(All Photos courtesy of Issac Kibodya)
Kumbukumbu ya hafla ya Dr. Asha Rose Mtengeti Migiro ilofanyika Pelham, New York kumkaribisha Marekani na kupongeza kwa kuchaguliwa kuwa Katibu Mkuu Msaidizi wa Umoja wa Mataifa tarehe 25 Agosti 2007.

No comments: