Friday, October 26, 2007

Heshima za Mwisho - Mheshimiwa Salome Mbatia



Rais Mstaafu Benjamin Mkapa na Mke wake wakitoa heshima za mwisho.
Baadhi ya waombolezaji.

Picha zote kwa hisani ya Michuzi Blog

Leo watu walitoa heshima za mwisho nyumbani kwa marehemu Mheshimiwa Salome Mbatia, huko Oyster Bay. Marehemu atazikwa kesho kwao Kirua, Moshi.

No comments: