Saturday, October 13, 2007

Mkono wa Iddi


Nawatakia wapendwa wasomaji waislamu Eid Mubarak!
Hapa Boston leo kuna Suala kwenye msikiti kubwa iliyofunguliwa hivi karibuni Roxbury Crossing. Vyombo vya habari vinasema wana tarajia zaidi ya waislamu 6,000 kuhudhuria. Kuna wazungu wameingia na hofu kuwa na waislamu wengi hivyo katika eneo moja wanasema kumbuka 9/11. Ubaguzi hauishi jamani!
Na pia kuna sherehe iliyoandaliwa na waTanzania hapa Boston leo jioni ya kusherekea Eid.
Time: 6pm to 12am
Address: BROMLEY HALL
10 LAMARTINE STREET
JAMAICA PLAIN MA 02130

No comments: