Tuesday, May 22, 2007

Kama Huoni Blog

Wapendwa wasomaji blog sizifuti. Hapana zinaingia Archives, na kila mtu anaweza kuziona. Kama kuna blog uliyopenda na kwa sasa huoni, uangalie upande wa kushoto wa blog, halafu u-clik kwenye Archives. Kama unakumbuka mwezi ulioiona u-click kwenye mwezi na mwaka. Pia, unaweza kufanya Search hapo juu kwenye upande wa kushoto.

No comments: