
*************************************************************
Nimeona hii habari ya mziba wa Mzee Kizigha kwenye Michuzi blog. Nilifanya kazi na mwanae Charles Kizigha, miaka mingi Daily News. Kwa kweli lazima nimpe pole Kaka Charles maana ni majuzi tu alifiwa na mama yake mzazi. Msiba ni msiba lakini kufiwa na wazazi wote wawili katika kipindi kifupi duuh. Poleni familia.
Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema mbinguni. AMEN.
2 comments:
Pole sana familia ya Kizigha. Mungu amlaze mahala pema mbinguni. Amen.
nimesoma habari za msiba wa mzee wetu Kizigha kwenye blog ya Michuzi roho imeniuma sana kwa sababu ni juzi juzi tu tumemzika mama yetu mama kizigha pale usangi jamani familia poleni sana. tunaambiwa tumshukuru Mungu kwa kila jambo. poleni sana sana na Mungu awatie nguvu. mimi ni jirani yenu pale Majengo moshi
Post a Comment