Monday, January 12, 2009

Kitabu Kipya cha Da Sandra Mushi


Hivi karibuni, mtunzi maarufu Da Sandra Mushi, alizindua kitabu chake kipya, The Rhyme of my Rhyme, huko Dar es Salaam. Ni kitabu cha mashairi.

Hongera sana kwa kitabu chako kipya!
Da Sandra pia amewahi kuandika vitabu na mashairi kuhusu haki za akina mama na mila za WaChagga.






No comments: