Wednesday, January 28, 2009

Matondo Blog

Wapendwa wanablogu;

Kwa heshima kubwa na taadhima tele nabisha hodi tena kwenu mliotangulia. Naomba mnifungulie mlango na kunikaribisha tena. Safari hii nakuja na blogu ya kuchangamsha fikra na uchambuzi. Blogu hiyo inapatikana hapa www.matondo.blogspot.com

Natanguliza shukrani zangu kwani najua mmeshanikaribisha.

Wenu;
Dr. Masangu Matondo Nzuzullima
Chuo Kikuu cha Florida

No comments: