Tuesday, January 06, 2009

Msiba Italy - Mohamed Abdul Shakur


Marehemu Mohamed Abddul Shakur aka Captain PAMA (pichani)

Uongozi wa Jumuiya ya Watanzania Italy unasikitika kutangaza kifo cha Ndugu MOHAMED ABDUL SHAKUR (PAMA) kilichotokea jana asubuhi katika hospitali ya SAN GIOVANNI DI DIO E RUGGI D'ARAGONA" SALERNO.

Kutakuwa na Mkutano wa Watanzania wote leo jioni saa kumi na moja 17:00 pm.
Sehemu: LAGO PATRIA MABEMBEANI.

TAFADHALI TUZINGATIE WAKATI NA KUFIKA BILA KUKOSA.
Mwenyekiti wa jumuiya ya Watanzania Italy,kwa niaba ya uongozi na watanzania wote hapa Italy,anapenda kutoa salam za rambirambi kwa wazazi na ndugu wa marehemu nyumbani na popote walipo, kuwa tumepokea taarifa hizi kwa masikitiko makubwa na tunaungana nanyi katika wakati huu mgumu wa maombolezo.
Mungu ailaze roho yake mahala pema .
Amin.
Abdulrahaman A.Alli.
Mwenyekit

i*****************************************************************
WA WALE WOTE WALIO NJE YA ITALY KWA MAWASILIANO TUPIGIE SIMU NAMBA:
+39 3271753565(Mwenyekiti)
AU
+39 3453118431 (DULLAH)
au
+39 331 8360509 (Katibu mkuu)
au
+081 3340635 (ofisi ya jumuiya)
e-mail: tnzncommunity@yahoo.com
HABARI ZAIDI: http://www.tnzncommunity.blogspot.com/

No comments: